Kama ulikuwa hufahamu, hii ndio historia ya mji mkongwe (Stone town) Zanzibar.

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 10

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya9 ай бұрын

    Alhamdulilah Mashaallah Twashkuru Allah Subhana Wataala Atujaalie Kula la Kher,Afya Nzuri na Atuhifadhi Shari.Tafsiri nzuri ya Kuielewa Zanjibar.Shukran.i

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati13693 жыл бұрын

    Nzur

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Жыл бұрын

    Hiyo estory inatakiwa wazanzibar wazijuwe mana wenge shule wamekibia

  • @hamzayusuf2999
    @hamzayusuf2999 Жыл бұрын

    namimi nakufundisha kuna mahali mogadisho somaliya yiko mta karibu na baharini yiko shangani asili ya hiyo jina la kituruki

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99443 жыл бұрын

    Tuleteeni Makunduchi Kwa Muheshimiwa mkuu wa Nchi

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Жыл бұрын

    Jamani kwa nini mnawauliza watu walokuwa hawaijuwi Zanzibar wala hawakusoma hapo Skuli wala Chuoni...Hata basi waulizeni Wahindi ndio walokuwa wakiishi wengi kama 70% hapo Stone Town. Muulizaji huna kazi wewe......

  • @hajmy1954
    @hajmy19543 жыл бұрын

    Hakutaja kwamba hao wa Arabu walikuwa zaidi ni kutoka Oman

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 Жыл бұрын

    Kanisa la mkunazini limejengwa 1905 sio 1800 usitupotoshe historia yetu na hao mishonari wamekuja kusambaza ukiristo na sio kuondosha utumwa masoko ya utumwa yalifungwa tokea 18022

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Жыл бұрын

    Kama hujui historia usjifanye kuwa wewe ni mwanahistoria