UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 32

  • @nailamohd7693
    @nailamohd769311 ай бұрын

    Basi km wamewadhalilisha masheikh wetu wakubwa na wakuheshimika tusimtafute mchawi ni laana hio wameicha hakukai sawa mpk wakubali km walikosea na kudhulumu.

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb11 ай бұрын

    Hata skuli pia zilikua za wanaume mbali na wanawake mbali ccm wamejua kutuharibia nchi yetu daah wanataka kuongoza wala hawawezi kuongoza labda kuiharibu tuu

  • @MakameAbdallah-wn3hc

    @MakameAbdallah-wn3hc

    11 ай бұрын

    Skuli Wanawake na wanaume kuchanganyishwa si CCM .1969 ndio skuli za wanawake na wanaume tulichanganyishwa.

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    11 ай бұрын

    @@MakameAbdallah-wn3hc ndio ccm hio kwann kulichanganyishwa na zishatengwa huo mwaka uloutaja kwann wachanganye ndio ccm

  • @MakameAbdallah-wn3hc

    @MakameAbdallah-wn3hc

    11 ай бұрын

    @@nailamohd-wn6sb dada naila sio CCM ni ASP

  • @saidabdala4980

    @saidabdala4980

    11 ай бұрын

    Kweli kabisa kusoma wanawake mbali na wanaume mbali. Ni vizuri kabisa. KWASABABU mwanaume akisha balehe inakuwa tabu kujizuiya. .tena balehe changa ni hatari kabisa.

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto5725 ай бұрын

    Hizi taarifa zingekuwa zina rushwa mara kwa mara zina jenga uzalendo Hongera sana mzee wewe ni hazina kubwa

  • @alijuma8009
    @alijuma800911 ай бұрын

    Perfect mzee

  • @nassorkhalfan-cl6pm
    @nassorkhalfan-cl6pm11 ай бұрын

    Muungan ndo ulotuharubu wa zanzibr naomb dua uvunjike

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    11 ай бұрын

    Muungano ulivunjika waarabu watarudi.

  • @saidabdala4980

    @saidabdala4980

    11 ай бұрын

    ​@@johnkiimbila6799 Mwarabu akirudi nchi itakuwa na heshma. . Kwasababu LUKUVI na wenzake watakufanya uwe mtumwa wao

  • @muddaththirhamoud1240
    @muddaththirhamoud124011 ай бұрын

    Saivi visiwa vinatolewa bure bure watu wafanye maasi yao

  • @user-pu2mp6th3s
    @user-pu2mp6th3s11 ай бұрын

    Very good, l want to learn much from this channel

  • @juma2979
    @juma297911 ай бұрын

    Kweli tupu mzee hii taasisi ya wakfu hawafai wanakula dhulma sana ukiwaona vikanzu kumbe washenzi

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    11 ай бұрын

    Nakubaliana na ww wizi sanaa wakfu 😮

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi719911 ай бұрын

    Vipi kuhusu mauaji ya waarabu

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji620211 ай бұрын

    Zanzibar imekosa viongozi waadilifu .haiweI kubadilika tena km uongozi tulionao hauna khofu ya mungu. Innalillagi wainnailayhi raajiuun

  • @111dudi
    @111dudi11 ай бұрын

    Hakusema kuhusu mauaji ya 1964, na yenyewe yameleta laana

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh661811 ай бұрын

    Mzee unatosha, sasa kama hali ni hiyo mapinduzi ni ya nini na nani alieyafanya, nimependa masimulizi yako yanafanana na ukweli yamepungua chuki na uongo, si kuwepo lakini ya naweza kukaa akilini tofauti na masimulizi ya shante, unaonekana umekinai, na una maumivu ya hali iliopo sasa lakini neno lako zito ni (ni kazi kubwa kujipapatua)

  • @aliyabdullah1633
    @aliyabdullah163311 ай бұрын

    Waswahili wanasema historia hua haijirudii abadan ss ivi imekua zanzibar njema atakae aje ni laana ndio ilobakia na iyo yote ni nyerere aloiyuwa zanzibar

  • @saidyussuf2291

    @saidyussuf2291

    11 ай бұрын

    Haijirudii au inajirudiaa

  • @111dudi
    @111dudi2 ай бұрын

    Sultan alitoka na maadili yake, nchi ikaharibika kama alivosema

  • @ghalibelghanim1151
    @ghalibelghanim115111 ай бұрын

    Sasa hivi hakuna. Maadili wala tamaduni Zanzibari imevamiwa hata waburundi wapi hatujui wametokea wapi.

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    11 ай бұрын

    Wazanzibari wengi walitokea kigoma na burundi , walichukuliwa na waarabu kuja kuwalimia karafuu.

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid976511 ай бұрын

    Mmeiharibu mwenyewe zanzibar

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid976511 ай бұрын

    Sasa alaumiwe nani

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi510411 ай бұрын

    Zanzibar ina laana ya zulma tena zaidi ni mahakamani maloya na majaji wametoka bara kujakuchuma mali za wazanzibari wanaokwenda mahakamani hawa watu si wema kwa wazanzibari tuamke

  • @ahmedbaamironlinetv4753

    @ahmedbaamironlinetv4753

    11 ай бұрын

    Hakika

  • @ibugharib389
    @ibugharib38911 ай бұрын

    Zanzibar imehusudika na mengi Babu Mauaji ya 1964--DHULMA wananchi kupokonywa mali zao hususani Mashamba yako mengi babu

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du11 ай бұрын

    Sasa haya mambo yaliharibika wakati gani na kwa sababu gani?

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    11 ай бұрын

    Mapinduzi ndio walofanya hivo kuwafukuza masheikh na baadhi ya viongozi hapo tena kukawa shaghala baghala mpk leo hakuko sawa 😅 na wala hakui madhali viongozi wanaendelea kudhulumu na kuua

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    11 ай бұрын

    @@nailamohd7693 Naona mzee anajaribu kusema mengi lakini kama ana khofu fulani hivi inayomfanya arukie another subject bila kumaliza fikra zake.