UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 32
Basi km wamewadhalilisha masheikh wetu wakubwa na wakuheshimika tusimtafute mchawi ni laana hio wameicha hakukai sawa mpk wakubali km walikosea na kudhulumu.
Hata skuli pia zilikua za wanaume mbali na wanawake mbali ccm wamejua kutuharibia nchi yetu daah wanataka kuongoza wala hawawezi kuongoza labda kuiharibu tuu
@MakameAbdallah-wn3hc
11 ай бұрын
Skuli Wanawake na wanaume kuchanganyishwa si CCM .1969 ndio skuli za wanawake na wanaume tulichanganyishwa.
@nailamohd-wn6sb
11 ай бұрын
@@MakameAbdallah-wn3hc ndio ccm hio kwann kulichanganyishwa na zishatengwa huo mwaka uloutaja kwann wachanganye ndio ccm
@MakameAbdallah-wn3hc
11 ай бұрын
@@nailamohd-wn6sb dada naila sio CCM ni ASP
@saidabdala4980
11 ай бұрын
Kweli kabisa kusoma wanawake mbali na wanaume mbali. Ni vizuri kabisa. KWASABABU mwanaume akisha balehe inakuwa tabu kujizuiya. .tena balehe changa ni hatari kabisa.
Hizi taarifa zingekuwa zina rushwa mara kwa mara zina jenga uzalendo Hongera sana mzee wewe ni hazina kubwa
Perfect mzee
Muungan ndo ulotuharubu wa zanzibr naomb dua uvunjike
@johnkiimbila6799
11 ай бұрын
Muungano ulivunjika waarabu watarudi.
@saidabdala4980
11 ай бұрын
@@johnkiimbila6799 Mwarabu akirudi nchi itakuwa na heshma. . Kwasababu LUKUVI na wenzake watakufanya uwe mtumwa wao
Saivi visiwa vinatolewa bure bure watu wafanye maasi yao
Very good, l want to learn much from this channel
Kweli tupu mzee hii taasisi ya wakfu hawafai wanakula dhulma sana ukiwaona vikanzu kumbe washenzi
@nailamohd7693
11 ай бұрын
Nakubaliana na ww wizi sanaa wakfu 😮
Vipi kuhusu mauaji ya waarabu
Zanzibar imekosa viongozi waadilifu .haiweI kubadilika tena km uongozi tulionao hauna khofu ya mungu. Innalillagi wainnailayhi raajiuun
Hakusema kuhusu mauaji ya 1964, na yenyewe yameleta laana
Mzee unatosha, sasa kama hali ni hiyo mapinduzi ni ya nini na nani alieyafanya, nimependa masimulizi yako yanafanana na ukweli yamepungua chuki na uongo, si kuwepo lakini ya naweza kukaa akilini tofauti na masimulizi ya shante, unaonekana umekinai, na una maumivu ya hali iliopo sasa lakini neno lako zito ni (ni kazi kubwa kujipapatua)
Waswahili wanasema historia hua haijirudii abadan ss ivi imekua zanzibar njema atakae aje ni laana ndio ilobakia na iyo yote ni nyerere aloiyuwa zanzibar
@saidyussuf2291
11 ай бұрын
Haijirudii au inajirudiaa
Sultan alitoka na maadili yake, nchi ikaharibika kama alivosema
Sasa hivi hakuna. Maadili wala tamaduni Zanzibari imevamiwa hata waburundi wapi hatujui wametokea wapi.
@johnkiimbila6799
11 ай бұрын
Wazanzibari wengi walitokea kigoma na burundi , walichukuliwa na waarabu kuja kuwalimia karafuu.
Mmeiharibu mwenyewe zanzibar
Sasa alaumiwe nani
Zanzibar ina laana ya zulma tena zaidi ni mahakamani maloya na majaji wametoka bara kujakuchuma mali za wazanzibari wanaokwenda mahakamani hawa watu si wema kwa wazanzibari tuamke
@ahmedbaamironlinetv4753
11 ай бұрын
Hakika
Zanzibar imehusudika na mengi Babu Mauaji ya 1964--DHULMA wananchi kupokonywa mali zao hususani Mashamba yako mengi babu
Sasa haya mambo yaliharibika wakati gani na kwa sababu gani?
@nailamohd7693
11 ай бұрын
Mapinduzi ndio walofanya hivo kuwafukuza masheikh na baadhi ya viongozi hapo tena kukawa shaghala baghala mpk leo hakuko sawa 😅 na wala hakui madhali viongozi wanaendelea kudhulumu na kuua
@Ali-nl2du
11 ай бұрын
@@nailamohd7693 Naona mzee anajaribu kusema mengi lakini kama ana khofu fulani hivi inayomfanya arukie another subject bila kumaliza fikra zake.