#LIVE

#jitambue_mtama

Пікірлер: 35

  • @RachelEmmanuel-lz7vm
    @RachelEmmanuel-lz7vm5 ай бұрын

    Ahsante dr kwa somo zuri mwenyezi mungu aendelee kukubariki ili uendelee kutuelimisha

  • @elizabethsimba9743
    @elizabethsimba974311 күн бұрын

    Tunashukuru sana kwa elimu hii.

  • @waheedaw1953
    @waheedaw195310 ай бұрын

    Tuna Shkuru sana habibty Asante Allah AWAZIDISHIYE ELIMU inshaAllah 😊

  • @vickysawalla282
    @vickysawalla282 Жыл бұрын

    Nashukuru Kwa somo zuri la mwani, kwakweli nimejifunza kitu. Naomba namba ya doctor

  • @moseskamgwawa223
    @moseskamgwawa2239 күн бұрын

    2 much around the bush go to the point

  • @moseskamgwawa223
    @moseskamgwawa2239 күн бұрын

    Je naweza sanga na blander ili nipate juice ,

  • @vickysawalla282
    @vickysawalla282 Жыл бұрын

    Dr naitwa Vicky Niko Mwanza . nikweli supermarket zipo lakini kumbuka watu wengi si waaminifu wapo kifedha zaidi. Nikuombe kama hutojali mwisho wa KIPINDI ututajie namba Yako doctor ili tupate mwani ambao ni fresh haujachakachuliwa.

  • @user-yw2si9xq5s
    @user-yw2si9xq5sАй бұрын

    Mwani unafaida gani kwenye enka

  • @shuweyaabdulkarim3261
    @shuweyaabdulkarim326119 күн бұрын

    Na ile mboga pwani ni jamii ya mwani

  • @DeboraWisdom-zx8ne
    @DeboraWisdom-zx8ne9 ай бұрын

    Naomba nijue utengenezaji wa Unga wa mwani je nauandaaje

  • @ednanyirenda2760
    @ednanyirenda27609 ай бұрын

    NAOMBA KUJUA JE ALEGY NI VIPI INATIBU?

  • @user-yw2si9xq5s
    @user-yw2si9xq5sАй бұрын

    Je kwa watoto naweza kumtenge neza kichwani

  • @munirasaidi3602
    @munirasaidi3602 Жыл бұрын

    Mimi nina tatizo la ngozi nina tokwa mabaka sehemu za kwapa chini ya maziwa mapajani na chini ya tumbo mwani inaweza kunisaidiya

  • @shuweyaabdulkarim3261
    @shuweyaabdulkarim326119 күн бұрын

    Kama Nina ugongwa Wa kisukari na presha ninaweza kutumia na ninatumiaje

  • @user-bj8us3iu8w
    @user-bj8us3iu8wАй бұрын

    Zbc zanzibar

  • @tausimashombo8500
    @tausimashombo8500 Жыл бұрын

    Mama mjamzito anaweza kutumia mwani.

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala83173 ай бұрын

    Je mwani unatibu ugonjwa wa homa ya ini B

  • @khadijabaajabir5159
    @khadijabaajabir51592 ай бұрын

    Mie nachemsha kama supu jee nisawa au mpaka nitumie unga wk

  • @leticiabaziwani5234
    @leticiabaziwani52349 ай бұрын

    Dr nimefurahi kujua faida za mwani ususani kwenye pressure mimi nami nasumburiwa na pressure sasa nitaipataje maana niko tarime

  • @leticiabaziwani5234

    @leticiabaziwani5234

    9 ай бұрын

    Pia naomba unitumie namba yako tuweze kuwa tunawasiliana kwa njia ya WhatsApp naitwa Leticia niko tarime natamani niwe natumia kila wakati ila upatikanaji wake hapa kwetu tarime si rahisi

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala83173 ай бұрын

    Je mwani unatibu homa ya ini

  • @janefadhili8384
    @janefadhili838410 ай бұрын

    Je kwa watu wanao kuwa na pumu ya ngozi je inawafaa kutumia? je inaweza kuwaponesha?

  • @user-bj8us3iu8w
    @user-bj8us3iu8wАй бұрын

    Mwani.unatibu.kisukari?

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala83173 ай бұрын

    Je mwani unatibu ugonjwa wa tezi dume

  • @user-di3tp4zq7n
    @user-di3tp4zq7n9 ай бұрын

    Nitapataje mwani na nibei gani kilo

  • @user-qs8cv1pw3z
    @user-qs8cv1pw3z Жыл бұрын

    Je nikweli unakuza maziwa

  • @janethgodifrey
    @janethgodifrey Жыл бұрын

    Samahan dktr kwamtu alifanyiwa upasuaji wa uzazi vp hainashida pia

  • @salimridhwan9774

    @salimridhwan9774

    9 ай бұрын

    Haina shida

  • @abigaeljohn1742
    @abigaeljohn17422 ай бұрын

    je tunakulaje unarusiwa kila sikua au?mana kuna mtu huku kafundisha you tube kua ukiula sana mwani unamazara tunaomba mafafanuzi hapo tuleje kwa matumizi kuna limit?

  • @vickysawalla282
    @vickysawalla282 Жыл бұрын

    Doctor Mimi Niko Mwanza ntaupataje mwani wa UNGA?

  • @SalomeMkumbae

    @SalomeMkumbae

    6 ай бұрын

    Umeshapata?

  • @waheedaw1953
    @waheedaw195310 ай бұрын

    Miye nakula ivivi bila kitu nilisaga fresh ikawa kama Jelly nisawa?nakula asubuhi na jioni kwa kuumwa na magoti jee ni sawa?

  • @salimridhwan9774

    @salimridhwan9774

    9 ай бұрын

    Tumia kwa salad nzuri

  • @DeboraWisdom-zx8ne
    @DeboraWisdom-zx8ne9 ай бұрын

    Je Mwani unaweza kunisaidi Katibu Sukari?

  • @salimridhwan9774

    @salimridhwan9774

    9 ай бұрын

    Sana tena sana mm mama yangu anatumia na unamsaidia

Келесі