Ahsante dr kwa somo zuri mwenyezi mungu aendelee kukubariki ili uendelee kutuelimisha
@elizabethsimba974311 күн бұрын
Tunashukuru sana kwa elimu hii.
@waheedaw195310 ай бұрын
Tuna Shkuru sana habibty Asante Allah AWAZIDISHIYE ELIMU inshaAllah 😊
@vickysawalla282 Жыл бұрын
Nashukuru Kwa somo zuri la mwani, kwakweli nimejifunza kitu. Naomba namba ya doctor
@moseskamgwawa2239 күн бұрын
2 much around the bush go to the point
@moseskamgwawa2239 күн бұрын
Je naweza sanga na blander ili nipate juice ,
@vickysawalla282 Жыл бұрын
Dr naitwa Vicky Niko Mwanza . nikweli supermarket zipo lakini kumbuka watu wengi si waaminifu wapo kifedha zaidi. Nikuombe kama hutojali mwisho wa KIPINDI ututajie namba Yako doctor ili tupate mwani ambao ni fresh haujachakachuliwa.
@user-yw2si9xq5sАй бұрын
Mwani unafaida gani kwenye enka
@shuweyaabdulkarim326119 күн бұрын
Na ile mboga pwani ni jamii ya mwani
@DeboraWisdom-zx8ne9 ай бұрын
Naomba nijue utengenezaji wa Unga wa mwani je nauandaaje
@ednanyirenda27609 ай бұрын
NAOMBA KUJUA JE ALEGY NI VIPI INATIBU?
@user-yw2si9xq5sАй бұрын
Je kwa watoto naweza kumtenge neza kichwani
@munirasaidi3602 Жыл бұрын
Mimi nina tatizo la ngozi nina tokwa mabaka sehemu za kwapa chini ya maziwa mapajani na chini ya tumbo mwani inaweza kunisaidiya
@shuweyaabdulkarim326119 күн бұрын
Kama Nina ugongwa Wa kisukari na presha ninaweza kutumia na ninatumiaje
@user-bj8us3iu8wАй бұрын
Zbc zanzibar
@tausimashombo8500 Жыл бұрын
Mama mjamzito anaweza kutumia mwani.
@mwakapalamwakapala83173 ай бұрын
Je mwani unatibu ugonjwa wa homa ya ini B
@khadijabaajabir51592 ай бұрын
Mie nachemsha kama supu jee nisawa au mpaka nitumie unga wk
@leticiabaziwani52349 ай бұрын
Dr nimefurahi kujua faida za mwani ususani kwenye pressure mimi nami nasumburiwa na pressure sasa nitaipataje maana niko tarime
@leticiabaziwani5234
9 ай бұрын
Pia naomba unitumie namba yako tuweze kuwa tunawasiliana kwa njia ya WhatsApp naitwa Leticia niko tarime natamani niwe natumia kila wakati ila upatikanaji wake hapa kwetu tarime si rahisi
@mwakapalamwakapala83173 ай бұрын
Je mwani unatibu homa ya ini
@janefadhili838410 ай бұрын
Je kwa watu wanao kuwa na pumu ya ngozi je inawafaa kutumia? je inaweza kuwaponesha?
@user-bj8us3iu8wАй бұрын
Mwani.unatibu.kisukari?
@mwakapalamwakapala83173 ай бұрын
Je mwani unatibu ugonjwa wa tezi dume
@user-di3tp4zq7n9 ай бұрын
Nitapataje mwani na nibei gani kilo
@user-qs8cv1pw3z Жыл бұрын
Je nikweli unakuza maziwa
@janethgodifrey Жыл бұрын
Samahan dktr kwamtu alifanyiwa upasuaji wa uzazi vp hainashida pia
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Haina shida
@abigaeljohn17422 ай бұрын
je tunakulaje unarusiwa kila sikua au?mana kuna mtu huku kafundisha you tube kua ukiula sana mwani unamazara tunaomba mafafanuzi hapo tuleje kwa matumizi kuna limit?
@vickysawalla282 Жыл бұрын
Doctor Mimi Niko Mwanza ntaupataje mwani wa UNGA?
@SalomeMkumbae
6 ай бұрын
Umeshapata?
@waheedaw195310 ай бұрын
Miye nakula ivivi bila kitu nilisaga fresh ikawa kama Jelly nisawa?nakula asubuhi na jioni kwa kuumwa na magoti jee ni sawa?
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Tumia kwa salad nzuri
@DeboraWisdom-zx8ne9 ай бұрын
Je Mwani unaweza kunisaidi Katibu Sukari?
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Sana tena sana mm mama yangu anatumia na unamsaidia
Пікірлер: 35
Ahsante dr kwa somo zuri mwenyezi mungu aendelee kukubariki ili uendelee kutuelimisha
Tunashukuru sana kwa elimu hii.
Tuna Shkuru sana habibty Asante Allah AWAZIDISHIYE ELIMU inshaAllah 😊
Nashukuru Kwa somo zuri la mwani, kwakweli nimejifunza kitu. Naomba namba ya doctor
2 much around the bush go to the point
Je naweza sanga na blander ili nipate juice ,
Dr naitwa Vicky Niko Mwanza . nikweli supermarket zipo lakini kumbuka watu wengi si waaminifu wapo kifedha zaidi. Nikuombe kama hutojali mwisho wa KIPINDI ututajie namba Yako doctor ili tupate mwani ambao ni fresh haujachakachuliwa.
Mwani unafaida gani kwenye enka
Na ile mboga pwani ni jamii ya mwani
Naomba nijue utengenezaji wa Unga wa mwani je nauandaaje
NAOMBA KUJUA JE ALEGY NI VIPI INATIBU?
Je kwa watoto naweza kumtenge neza kichwani
Mimi nina tatizo la ngozi nina tokwa mabaka sehemu za kwapa chini ya maziwa mapajani na chini ya tumbo mwani inaweza kunisaidiya
Kama Nina ugongwa Wa kisukari na presha ninaweza kutumia na ninatumiaje
Zbc zanzibar
Mama mjamzito anaweza kutumia mwani.
Je mwani unatibu ugonjwa wa homa ya ini B
Mie nachemsha kama supu jee nisawa au mpaka nitumie unga wk
Dr nimefurahi kujua faida za mwani ususani kwenye pressure mimi nami nasumburiwa na pressure sasa nitaipataje maana niko tarime
@leticiabaziwani5234
9 ай бұрын
Pia naomba unitumie namba yako tuweze kuwa tunawasiliana kwa njia ya WhatsApp naitwa Leticia niko tarime natamani niwe natumia kila wakati ila upatikanaji wake hapa kwetu tarime si rahisi
Je mwani unatibu homa ya ini
Je kwa watu wanao kuwa na pumu ya ngozi je inawafaa kutumia? je inaweza kuwaponesha?
Mwani.unatibu.kisukari?
Je mwani unatibu ugonjwa wa tezi dume
Nitapataje mwani na nibei gani kilo
Je nikweli unakuza maziwa
Samahan dktr kwamtu alifanyiwa upasuaji wa uzazi vp hainashida pia
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Haina shida
je tunakulaje unarusiwa kila sikua au?mana kuna mtu huku kafundisha you tube kua ukiula sana mwani unamazara tunaomba mafafanuzi hapo tuleje kwa matumizi kuna limit?
Doctor Mimi Niko Mwanza ntaupataje mwani wa UNGA?
@SalomeMkumbae
6 ай бұрын
Umeshapata?
Miye nakula ivivi bila kitu nilisaga fresh ikawa kama Jelly nisawa?nakula asubuhi na jioni kwa kuumwa na magoti jee ni sawa?
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Tumia kwa salad nzuri
Je Mwani unaweza kunisaidi Katibu Sukari?
@salimridhwan9774
9 ай бұрын
Sana tena sana mm mama yangu anatumia na unamsaidia