Viongozi wa kidini wataka ofisi ya Mkuu wa Mawaziri kufutiliwa mbali

Viongozi wa kidini kutoka Kajiado wanamrai Rais William Ruto kusikiza kilio cha wakenya na kupunguza matumizi ya fedha ya serikali.
Viongozi hao wanasema kuwa afisi hiyo haitambuliwi kwenye katiba na hivyo inasababisha pesa za umma kutumiwa visivyo. Hata hivyo wamependezwa na hatua rais kuondoa bajeti ya ofisi za wake wa rais na naibu wa rais . Aidha viongozi hao wanamtaka rais kufutilia mbali ofisi ya mkuu wa mawaziri na badala yake kuwaajiri vijana.

Пікірлер: 42

  • @abdulkadirsheikhmohamed5
    @abdulkadirsheikhmohamed513 күн бұрын

    If youu want development and peace and progress and respect in Kenya give the leadership to GZ t with the whole cabinet.We need a new blood.These boys have suffered enough.They wont let the New kenya down . Nairobi kenya

  • @abdab8466

    @abdab8466

    10 күн бұрын

    Very true

  • @yussufahmed136
    @yussufahmed13613 күн бұрын

    Mudavadi mwenyewe asema hiyo office itolewe ile wakenya waridhike

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo27513 күн бұрын

    Kabisa iko ki kiti kia mudavadi cjui kilitokea wapi uyu jamaa anakula pesa mingi bureerrrr

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    13 күн бұрын

    Wht if the office was held by uhuru or Rao 🤔

  • @kwahmah230
    @kwahmah23013 күн бұрын

    Kazi ya women rep ni gani waende home wote

  • @francismeeme3693
    @francismeeme369313 күн бұрын

    Afute office ya mudavadi

  • @MungaiFacebook

    @MungaiFacebook

    13 күн бұрын

    Mudavadi atakula wapi Francis

  • @Needlemover02
    @Needlemover0213 күн бұрын

    Nimrod what are you saying, kwani Ruto ako na wake wangapi? Ebu tupe uhondo...

  • @DrRinDing-pq8fy
    @DrRinDing-pq8fy13 күн бұрын

    Asalimiwe Kwanza huyo Jamaa

  • @JacintaMbinyaz-yl6ho
    @JacintaMbinyaz-yl6ho13 күн бұрын

    Have seen you my Bishop mangeti, saving our younger ones, God bless you all

  • @dandaggy066
    @dandaggy06613 күн бұрын

    Gen-zs really started big fire,now the church is on mudavadi s ghost work office

  • @fmachamimakokha5008
    @fmachamimakokha500813 күн бұрын

    Ni kweli mdavadi anafanya nini

  • @user-xg2xe8ey4f
    @user-xg2xe8ey4f13 күн бұрын

    Wake wa raisi.....kwani anatoa Hadi ya ichungwa😂

  • @Nat-wu4kj

    @Nat-wu4kj

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @zaveriamwai763
    @zaveriamwai76310 күн бұрын

    Me adding 200+ MILLIONS RUTO private JET + nyayp stadium FOREIGN crusade + bishops 460 MILLIONS cancer treatment 😔 = a GOOD equipped cancer treatment centre in KENYA 💔💔💔💔💔

  • @Irandabale
    @Irandabale13 күн бұрын

    Na warudishe pesa ambayo wali lipwa

  • @SethTito
    @SethTito13 күн бұрын

    Happy to see u bishop

  • @lazarusmugo5090
    @lazarusmugo509013 күн бұрын

    Inatusaidia na nini surely waste of our resources

  • @javanngotangoma3617
    @javanngotangoma361713 күн бұрын

    Office ya mudavadi pekee haiwezi lipa deni la kenya wabunge lazima wapunguze mishahara

  • @abdab8466

    @abdab8466

    10 күн бұрын

    It must be started from somewhere

  • @thelalas9204
    @thelalas920410 күн бұрын

    No appointed M.p if you not elected just stay at no home and look for onother job.

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk13 күн бұрын

    Hawa niwa azimio hatuwalaumu

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir392613 күн бұрын

    Saa hii ndio mwaliona hiyo

  • @thomasjoseph2547
    @thomasjoseph254713 күн бұрын

    These faces are so common in the corridors of state house with brown envelops in their hands

  • @josephkinyua8285
    @josephkinyua828513 күн бұрын

    We will revisit

  • @SethTito
    @SethTito13 күн бұрын

    Mr Rudof I can see u

  • @evansoburchy5000
    @evansoburchy500013 күн бұрын

    Mutukufu lies.. 🙈 😂

  • @abdulkadirsheikhmohamed5
    @abdulkadirsheikhmohamed513 күн бұрын

    It is not a matter of mudavadis office to be annulled it a matter of total corruption in the system .

  • @truthchannel5285
    @truthchannel528513 күн бұрын

    Reduce the number of counties to 15

  • @micahalunga7152
    @micahalunga715210 күн бұрын

    But don't forget that you church leaders you are using offerings for your own benefits kinyume na bible teachings.we want all Pentecostal churches to be given to be given management and preaching laws plus time

  • @kibatikibe665
    @kibatikibe66513 күн бұрын

    This church guys are a joke! It takes them this long to speak out?

  • @georgengugi5197
    @georgengugi519713 күн бұрын

    Kazi ya mudavadi ni gani?pia Senate n women rep wanafanya kazi gani?

  • @petersifuma8741

    @petersifuma8741

    13 күн бұрын

    Senate handles devolved issues.....women rep was meant to address gender parity...

  • @user-cg3vf2bl6b

    @user-cg3vf2bl6b

    13 күн бұрын

    Kwanza women rep kama Yule nyamu na toto wanafanya KAZI gani surely?

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    13 күн бұрын

    Mwihakuhé Kuga nginya adú manyihio😂😂

  • @erickanyugo3253

    @erickanyugo3253

    13 күн бұрын

    ​@@dandaggy066Kwani wewe ni bibi ya Mudavadi ama? Ebu leta udaku.

  • @dandaggy066

    @dandaggy066

    13 күн бұрын

    @@erickanyugo3253 mama Stacy are we still from the same page

  • @rosemakinia729
    @rosemakinia72913 күн бұрын

    Amen Bishop, hizo ofisi ni mingi zinaongeza gharama ilhali maisha imekuwa ngumu.

  • @maingadave4841
    @maingadave484112 күн бұрын

    Nyinyi wadini tutawalamba vibaya sana siku moja...hamtaamini

Келесі