Viongozi wa kidini wataka ofisi ya Mkuu wa Mawaziri kufutiliwa mbali
Viongozi wa kidini kutoka Kajiado wanamrai Rais William Ruto kusikiza kilio cha wakenya na kupunguza matumizi ya fedha ya serikali.
Viongozi hao wanasema kuwa afisi hiyo haitambuliwi kwenye katiba na hivyo inasababisha pesa za umma kutumiwa visivyo. Hata hivyo wamependezwa na hatua rais kuondoa bajeti ya ofisi za wake wa rais na naibu wa rais . Aidha viongozi hao wanamtaka rais kufutilia mbali ofisi ya mkuu wa mawaziri na badala yake kuwaajiri vijana.
Пікірлер: 42
If youu want development and peace and progress and respect in Kenya give the leadership to GZ t with the whole cabinet.We need a new blood.These boys have suffered enough.They wont let the New kenya down . Nairobi kenya
@abdab8466
10 күн бұрын
Very true
Mudavadi mwenyewe asema hiyo office itolewe ile wakenya waridhike
Kabisa iko ki kiti kia mudavadi cjui kilitokea wapi uyu jamaa anakula pesa mingi bureerrrr
@dandaggy066
13 күн бұрын
Wht if the office was held by uhuru or Rao 🤔
Kazi ya women rep ni gani waende home wote
Afute office ya mudavadi
@MungaiFacebook
13 күн бұрын
Mudavadi atakula wapi Francis
Nimrod what are you saying, kwani Ruto ako na wake wangapi? Ebu tupe uhondo...
Asalimiwe Kwanza huyo Jamaa
Have seen you my Bishop mangeti, saving our younger ones, God bless you all
Gen-zs really started big fire,now the church is on mudavadi s ghost work office
Ni kweli mdavadi anafanya nini
Wake wa raisi.....kwani anatoa Hadi ya ichungwa😂
@Nat-wu4kj
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@dandaggy066
13 күн бұрын
😂😂😂😂
Me adding 200+ MILLIONS RUTO private JET + nyayp stadium FOREIGN crusade + bishops 460 MILLIONS cancer treatment 😔 = a GOOD equipped cancer treatment centre in KENYA 💔💔💔💔💔
Na warudishe pesa ambayo wali lipwa
Happy to see u bishop
Inatusaidia na nini surely waste of our resources
Office ya mudavadi pekee haiwezi lipa deni la kenya wabunge lazima wapunguze mishahara
@abdab8466
10 күн бұрын
It must be started from somewhere
No appointed M.p if you not elected just stay at no home and look for onother job.
Hawa niwa azimio hatuwalaumu
Saa hii ndio mwaliona hiyo
These faces are so common in the corridors of state house with brown envelops in their hands
We will revisit
Mr Rudof I can see u
Mutukufu lies.. 🙈 😂
It is not a matter of mudavadis office to be annulled it a matter of total corruption in the system .
Reduce the number of counties to 15
But don't forget that you church leaders you are using offerings for your own benefits kinyume na bible teachings.we want all Pentecostal churches to be given to be given management and preaching laws plus time
This church guys are a joke! It takes them this long to speak out?
Kazi ya mudavadi ni gani?pia Senate n women rep wanafanya kazi gani?
@petersifuma8741
13 күн бұрын
Senate handles devolved issues.....women rep was meant to address gender parity...
@user-cg3vf2bl6b
13 күн бұрын
Kwanza women rep kama Yule nyamu na toto wanafanya KAZI gani surely?
@dandaggy066
13 күн бұрын
Mwihakuhé Kuga nginya adú manyihio😂😂
@erickanyugo3253
13 күн бұрын
@@dandaggy066Kwani wewe ni bibi ya Mudavadi ama? Ebu leta udaku.
@dandaggy066
13 күн бұрын
@@erickanyugo3253 mama Stacy are we still from the same page
Amen Bishop, hizo ofisi ni mingi zinaongeza gharama ilhali maisha imekuwa ngumu.
Nyinyi wadini tutawalamba vibaya sana siku moja...hamtaamini