VUTA NIKUVUTE NZITO YAIBUKA NA MGOGORO MKUBWA KUHUSU HOTELI HII KUSINI UNGUJA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 39
Wahimdi Washenzi Sana hao sio watu wazuri kabisa
Pole sana bi Naila. If this is the situation then you have every reason to fight for your sweat and blood. Inasikitisha.
Lakini itakuwaje makhkama imzuwie mwenye mali kutembelea mali yake ?
Tatizo ya serekali zetu za afrika inawapa sana nguvu wageni kuliko wenyeji
Mahakama za ccm hazitendi HAKI.
Huyo muahindi ni mshenz sana jeved
Kesema kweli inauma mimi nakumbuka jinsi bi naila alivyohangaika na hii hoteli ni haki yake jamani mtu kulilia chake ni wajibu jikaze mahfouz usikubali ujinga huu uharibu kila kitu chenu.
Ni lazima washtakiwe wetoa rushwa kwenye mahakama ya ccm.
Hii Hotel ilikua nzury Sana mimi holidays zangu zote nalala hapo Palm beach na wageni wengi wanafakia hapo,services zao nzury,chakula chao kizury+mazingira ya nje mpaka ndani room yalikua mazury now nimeona ivo nimesikitika sana😢😢Wamlipe pesa zake aitengeze tena hotel maana wamemtia hasara sana mwenyewe airudishe kama mwanzo bado wananchi wanaihitaji hii hotel na wageni pia kwa ajili ya mapumziko na family zao.
Kawaida ya hapa kwetu haitochukiliwa hatua yoyote hapa tupo hapa hapa
Wote wajanja hao, wacha vyombo vya kisheria vifanye kazi zao
Subiri utasikia mali ya serikali hio ndio ZANZIBAR
Doo jamaa mshenzi sn
Wamiliki wanajitahidi kuleta uzalendo ili kutupa sisi nafasi nakuacha watu wa nje halafu hatuthamini nia zao... Jamani tubadilike tuwasaport matajiri wanapo amua kutuinua
Javed anajulikana kwa utapeli lazma achukuliwe hatua
Sheha Nakipa 💯
Mahakama gani hio ya Pesa nane inamrudishia Mwenye Hotel Halisi wakati imesha Haribiwa bila kulipiza Walio iteleka na Kuharibu Hoteli🤔😭😠😠
Atiwe ndani
Sasa hio hotel ni orra bungalow resort au club
Sio kweli....hapo pana figisu...asiejuwa ukweli ataamini hayo maneno.
Rushwa mbaya mpaka mtu mnammalizia maliyake
Wote matapel hawa dhulma nyng mwisho wake huo
@khatibabass3106
3 жыл бұрын
Unawajua
@ghalibabdullah9801
3 жыл бұрын
Alomsikiya Adnan anatajwa gonga laiki hapa
🙏
Ogopa tapeli
Bii Naila ana chukua pesa then anaiharibu hoteli
Ushenz zanzibar imekua dili
Sijui ni HOTEL ya nyota ngapi
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Five😂😂😂
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
@@fatemaligalawa1918 😄😄😄asante ila naona kama ya nyota 1
@jakayamati3510
3 жыл бұрын
@@kreamagdfsa1697 hahaha hta moja haifiki nahic ni bangaloo au mgawaha wa hazi ya juu
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
@@jakayamati3510 Nilikua natania tu my dear hio sio restaurant bali ni bungalow
Pole sana
Bii naila nyumba huzieka majini zisikalike
Hom sweety hom mmbwejuu halis
Msiwache
HIIINIHUJUMAWASHTAKIWEHAO
Punguzeni rushwa nyingi2