VUTA NIKUVUTE NZITO YAIBUKA NA MGOGORO MKUBWA KUHUSU HOTELI HII KUSINI UNGUJA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 39

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59223 жыл бұрын

    Wahimdi Washenzi Sana hao sio watu wazuri kabisa

  • @sfiniyussur4460
    @sfiniyussur44603 жыл бұрын

    Pole sana bi Naila. If this is the situation then you have every reason to fight for your sweat and blood. Inasikitisha.

  • @talibsaid8081
    @talibsaid80813 жыл бұрын

    Lakini itakuwaje makhkama imzuwie mwenye mali kutembelea mali yake ?

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz3 жыл бұрын

    Tatizo ya serekali zetu za afrika inawapa sana nguvu wageni kuliko wenyeji

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    Mahakama za ccm hazitendi HAKI.

  • @jumamatao3628
    @jumamatao36283 жыл бұрын

    Huyo muahindi ni mshenz sana jeved

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969
    @mahmoudsuleimanmohamed4969 Жыл бұрын

    Kesema kweli inauma mimi nakumbuka jinsi bi naila alivyohangaika na hii hoteli ni haki yake jamani mtu kulilia chake ni wajibu jikaze mahfouz usikubali ujinga huu uharibu kila kitu chenu.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    Ni lazima washtakiwe wetoa rushwa kwenye mahakama ya ccm.

  • @shadyasaid3224
    @shadyasaid32243 жыл бұрын

    Hii Hotel ilikua nzury Sana mimi holidays zangu zote nalala hapo Palm beach na wageni wengi wanafakia hapo,services zao nzury,chakula chao kizury+mazingira ya nje mpaka ndani room yalikua mazury now nimeona ivo nimesikitika sana😢😢Wamlipe pesa zake aitengeze tena hotel maana wamemtia hasara sana mwenyewe airudishe kama mwanzo bado wananchi wanaihitaji hii hotel na wageni pia kwa ajili ya mapumziko na family zao.

  • @fadhilaahmed6639
    @fadhilaahmed66393 жыл бұрын

    Kawaida ya hapa kwetu haitochukiliwa hatua yoyote hapa tupo hapa hapa

  • @zanzibarexcursions6087
    @zanzibarexcursions60873 жыл бұрын

    Wote wajanja hao, wacha vyombo vya kisheria vifanye kazi zao

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16973 жыл бұрын

    Subiri utasikia mali ya serikali hio ndio ZANZIBAR

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib51163 жыл бұрын

    Doo jamaa mshenzi sn

  • @felixntenyange4593
    @felixntenyange45933 жыл бұрын

    Wamiliki wanajitahidi kuleta uzalendo ili kutupa sisi nafasi nakuacha watu wa nje halafu hatuthamini nia zao... Jamani tubadilike tuwasaport matajiri wanapo amua kutuinua

  • @nadinahfurseth2019
    @nadinahfurseth20192 жыл бұрын

    Javed anajulikana kwa utapeli lazma achukuliwe hatua

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi13143 жыл бұрын

    Sheha Nakipa 💯

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri99213 жыл бұрын

    Mahakama gani hio ya Pesa nane inamrudishia Mwenye Hotel Halisi wakati imesha Haribiwa bila kulipiza Walio iteleka na Kuharibu Hoteli🤔😭😠😠

  • @eenpaard3915
    @eenpaard39153 жыл бұрын

    Atiwe ndani

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16973 жыл бұрын

    Sasa hio hotel ni orra bungalow resort au club

  • @themoudy17
    @themoudy173 жыл бұрын

    Sio kweli....hapo pana figisu...asiejuwa ukweli ataamini hayo maneno.

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib51163 жыл бұрын

    Rushwa mbaya mpaka mtu mnammalizia maliyake

  • @salummzee9739
    @salummzee97393 жыл бұрын

    Wote matapel hawa dhulma nyng mwisho wake huo

  • @khatibabass3106

    @khatibabass3106

    3 жыл бұрын

    Unawajua

  • @ghalibabdullah9801

    @ghalibabdullah9801

    3 жыл бұрын

    Alomsikiya Adnan anatajwa gonga laiki hapa

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54773 жыл бұрын

    🙏

  • @osmanha6915
    @osmanha69153 жыл бұрын

    Ogopa tapeli

  • @aleiali9676
    @aleiali96763 жыл бұрын

    Bii Naila ana chukua pesa then anaiharibu hoteli

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 жыл бұрын

    Ushenz zanzibar imekua dili

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16973 жыл бұрын

    Sijui ni HOTEL ya nyota ngapi

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    Five😂😂😂

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    3 жыл бұрын

    @@fatemaligalawa1918 😄😄😄asante ila naona kama ya nyota 1

  • @jakayamati3510

    @jakayamati3510

    3 жыл бұрын

    @@kreamagdfsa1697 hahaha hta moja haifiki nahic ni bangaloo au mgawaha wa hazi ya juu

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    3 жыл бұрын

    @@jakayamati3510 Nilikua natania tu my dear hio sio restaurant bali ni bungalow

  • @youngteo4158
    @youngteo41583 жыл бұрын

    Pole sana

  • @aleiali9676
    @aleiali96763 жыл бұрын

    Bii naila nyumba huzieka majini zisikalike

  • @shanishamsi9576
    @shanishamsi95763 жыл бұрын

    Hom sweety hom mmbwejuu halis

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    Msiwache

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    HIIINIHUJUMAWASHTAKIWEHAO

  • @barrysulty1756
    @barrysulty17563 жыл бұрын

    Punguzeni rushwa nyingi2

Келесі