VUTA NIKUVUTE YAIBUKA KATIKA "MGAHAWA" RC AYOUB AINGILIA KATI ATOA AGIZO LA SIKU 2
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 41
Waislamu leo tunatoa ardhi yetu kuuzia ulevi? Allah atunusuru. Hamna kheri hapo, mashaka hayatokwisha. Duniani na akhera.
Hengera sana Mh Ayubu ww nikiongozi bora! Tunakuomba uendelee kuwasaidia wananchi sababu hao waekezaji wanamatatizo sana na sio huyo tu niwaekezaji wote wanawanyanyasa na kuwazulumu wananchi mm nipo katika utalii tunayaona mengi Ahsante by Hassan.
Tatizo ni upungufu wa imani zetu tunakubali kuuza dini yetu kwa thamani ndogo ya dunia lakini nayo dunia hiyo inakwisha. Kwaivo hapo maslahi yamekwisha ndio imeanza kesi. Hata dada zetu wanachukuliwa na kufanya wanapendwa lakini mwisho wa siku wanageuka kuuza miili yao.
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
Sawa Diamond, maneno yako almasi.
Uwo ni mkahawa au baa iyo mkawaha gani unouzwa pombe hiyo ni baa na tufahamu maisha yote baa huleta balaaa au ukifanya kazi katika baa basi ujue utapata baa lote lile.Ushauri wangu ili uepukane na baa ilo ulilolipata basi acha kufanya kazi hapo baa ili usije ukapata baa zaidi kwa Allah halafu pia tubu kwa Allah.
Ktv acheni ubabaifu video zenu hazina viwangu ebu angalieni video za alfatah mupate kujifunza zaidi
good start.
Mkuu wa mkoa mashallah anakipiga vzur kiengereza
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Na hao wengine lazima wasome waweze kujitetea kwa Lugha nyengine Dunia iweze kuwafahamu. Siyo msukosuko ufahamika Zanzibar tuu.
Saf sana mkuu wamkowa wetu nakuamin sana kwenye mambo km haya tupambanie watu wako tunaimani nawe sana natunamatumaini yauongoz wajuu zaid hata kwangazi yairais mdamchache 2 badae tunakuamini asilimia miaaàaa
Kiingereza cha Ayubu ss😂😂😂
Wema humtongeya mwanadamu.😭😭
Acheni kuwapa wageni ardhi
Ongera Rc Ayoub kwa kuleta amani NA utulivu ,tuba imani nawe
Zulma to wazanzibar ujanja ujanja wa kuwatapeli wageni ndio zao tunajuwa vyema mie mwenyewe ni mzanzibar kindaki ndaki wala sijavuka maji
Msikubali kunyanyaswa kwa haki yenu fatilieni
Wazanzibari mmezoea dhuluma jasho la mtu halipotei
Hahahaha anazaraulika duh
Ivi mlivokubaluana mwanzo hamkwenda kwa mwanasheria?
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Hapo basii????
Utalii sio tatizo tatizo watalii wawe na mipaka jamani maadil yetu yaheshimiwe
Serikali ichukue hatua na waliokodishwa na wakakodisha wote wapokonywe mara moja. Apewe mwenyewe
Uzeni mugawane musilumbane
b
Hakuna mjadala hapo wapokonywe tu ikiwa wamekodishana
Wewe ayubu 2030 tunataka uwe raisi zanzibar
@sadakhamis1261
3 жыл бұрын
Hiyo imepita hata mie nakuunga mkono... Nampenda saana ayoub
Nyiye watu wa Zanzibar ni watu wazuri sana.watu wa MUHALI. unasema upewe mbili yeye achukuwe nane (inasikitisha sana) ilikuwa wewe ndio uchukuwe 51% na wao 49% ni mgeni wai... au sijuwi hapo Zanzibar sheria zenu vipi. Hapo mnatakiwa muwe matajiri kwa Mali mlokuwa nayo... Zanzibar inachezewa na WATU WA NJEE.
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
Kweli. Watu hawajui thamani ya ardhi yao. Serikali haijawapa elimu khs jambo hili.
@rajabmsinzia7921
3 жыл бұрын
Wao tayari walikuwa washakodisha kwa mtu mwengine nahisi hiyo 51 waliiipata kwa mtu wa mwanzo, ila huyo waliomkodisha pia kawakodisha watu wengine zanzibar bhana sheria tu ndio tatizo
Hao waswahili matapel na wiz sio kama hamujuwi lazima mgeni hupata tabu ugenini . Hao jamaa zenu ndio zulma .musijifanye vipofu ila hata kafir ukimzulumu utamlipa to
@mamiyfeiy
3 жыл бұрын
Kweli unajua kwavile mgeni hawezi kununua ardhi lazima awe na ubia na raia sasa hapo waswahili huwa hawatoi hata shilingi baadae wanawabadiikia na kutumia ushirikina mgeni anaondoka na kuwaachia
@hajiabdalla5772
3 жыл бұрын
@@mamiyfeiy kweli kweli
@mamiyfeiy
3 жыл бұрын
@@hajiabdalla5772 tunaona ni makafiri kumbe dhulma ni dhulma tuu
Huko Kiwengwa Mmmezoea Dhulma ,,,Hayo masuala yenu binafsi nendeni mahakamani ,,,mkuu wa mkoa alikuwako wakati nyie mnaingia mikataba yenu?
@aishakhamis2996
3 жыл бұрын
Mhhh acha roho mbaya!
@ambokileasheengai1140
3 жыл бұрын
@@aishakhamis2996 huo ndio ukweli wenyewe Leo mnatafuta huyo unamuona kabisa anachoongea ni uongo Leo unamsahinisha mzungu mkataba wa kijinga sijui asiweze shirikiana na wenzake thn ww tena utake tena... Huko bado alipie na minazi pia maana eneo na minazi ni tofauti 😅
@aishakhamis2996
3 жыл бұрын
@@ambokileasheengai1140 ata kama lakin usiseme ivo! Maisha tuu haya leo kwake kesho kwako!
@ambokileasheengai1140
3 жыл бұрын
@@aishakhamis2996 kwangu vip na mm sio dhulma
@munasuleyman3159
3 жыл бұрын
Subhallah siamini maneno yako