VUTA NIKUVUTE YAIBUKA KATIKA "MGAHAWA" RC AYOUB AINGILIA KATI ATOA AGIZO LA SIKU 2

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 41

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Waislamu leo tunatoa ardhi yetu kuuzia ulevi? Allah atunusuru. Hamna kheri hapo, mashaka hayatokwisha. Duniani na akhera.

  • @blueeconomy7208
    @blueeconomy72083 жыл бұрын

    Hengera sana Mh Ayubu ww nikiongozi bora! Tunakuomba uendelee kuwasaidia wananchi sababu hao waekezaji wanamatatizo sana na sio huyo tu niwaekezaji wote wanawanyanyasa na kuwazulumu wananchi mm nipo katika utalii tunayaona mengi Ahsante by Hassan.

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Tatizo ni upungufu wa imani zetu tunakubali kuuza dini yetu kwa thamani ndogo ya dunia lakini nayo dunia hiyo inakwisha. Kwaivo hapo maslahi yamekwisha ndio imeanza kesi. Hata dada zetu wanachukuliwa na kufanya wanapendwa lakini mwisho wa siku wanageuka kuuza miili yao.

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    3 жыл бұрын

    Sawa Diamond, maneno yako almasi.

  • @hashilfarhan7319
    @hashilfarhan73193 жыл бұрын

    Uwo ni mkahawa au baa iyo mkawaha gani unouzwa pombe hiyo ni baa na tufahamu maisha yote baa huleta balaaa au ukifanya kazi katika baa basi ujue utapata baa lote lile.Ushauri wangu ili uepukane na baa ilo ulilolipata basi acha kufanya kazi hapo baa ili usije ukapata baa zaidi kwa Allah halafu pia tubu kwa Allah.

  • @rahmaabdallah5114
    @rahmaabdallah51143 жыл бұрын

    Ktv acheni ubabaifu video zenu hazina viwangu ebu angalieni video za alfatah mupate kujifunza zaidi

  • @hussenmilao5791
    @hussenmilao57913 жыл бұрын

    good start.

  • @Africa822
    @Africa8223 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa mashallah anakipiga vzur kiengereza

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    Na hao wengine lazima wasome waweze kujitetea kwa Lugha nyengine Dunia iweze kuwafahamu. Siyo msukosuko ufahamika Zanzibar tuu.

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 Жыл бұрын

    Saf sana mkuu wamkowa wetu nakuamin sana kwenye mambo km haya tupambanie watu wako tunaimani nawe sana natunamatumaini yauongoz wajuu zaid hata kwangazi yairais mdamchache 2 badae tunakuamini asilimia miaaàaa

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Kiingereza cha Ayubu ss😂😂😂

  • @bbishatuale1150
    @bbishatuale11503 жыл бұрын

    Wema humtongeya mwanadamu.😭😭

  • @adamabui6121
    @adamabui61213 жыл бұрын

    Acheni kuwapa wageni ardhi

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua52412 жыл бұрын

    Ongera Rc Ayoub kwa kuleta amani NA utulivu ,tuba imani nawe

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Zulma to wazanzibar ujanja ujanja wa kuwatapeli wageni ndio zao tunajuwa vyema mie mwenyewe ni mzanzibar kindaki ndaki wala sijavuka maji

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy19793 жыл бұрын

    Msikubali kunyanyaswa kwa haki yenu fatilieni

  • @magrethtimothy8775
    @magrethtimothy87753 жыл бұрын

    Wazanzibari mmezoea dhuluma jasho la mtu halipotei

  • @lucialeonard6734
    @lucialeonard67343 жыл бұрын

    Hahahaha anazaraulika duh

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Ivi mlivokubaluana mwanzo hamkwenda kwa mwanasheria?

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    Hapo basii????

  • @mamussi6872
    @mamussi68723 жыл бұрын

    Utalii sio tatizo tatizo watalii wawe na mipaka jamani maadil yetu yaheshimiwe

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98673 жыл бұрын

    Serikali ichukue hatua na waliokodishwa na wakakodisha wote wapokonywe mara moja. Apewe mwenyewe

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz3 жыл бұрын

    Uzeni mugawane musilumbane

  • @yussufbinally7449
    @yussufbinally74493 жыл бұрын

    b

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98673 жыл бұрын

    Hakuna mjadala hapo wapokonywe tu ikiwa wamekodishana

  • @alimussa2655
    @alimussa26553 жыл бұрын

    Wewe ayubu 2030 tunataka uwe raisi zanzibar

  • @sadakhamis1261

    @sadakhamis1261

    3 жыл бұрын

    Hiyo imepita hata mie nakuunga mkono... Nampenda saana ayoub

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11063 жыл бұрын

    Nyiye watu wa Zanzibar ni watu wazuri sana.watu wa MUHALI. unasema upewe mbili yeye achukuwe nane (inasikitisha sana) ilikuwa wewe ndio uchukuwe 51% na wao 49% ni mgeni wai... au sijuwi hapo Zanzibar sheria zenu vipi. Hapo mnatakiwa muwe matajiri kwa Mali mlokuwa nayo... Zanzibar inachezewa na WATU WA NJEE.

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    3 жыл бұрын

    Kweli. Watu hawajui thamani ya ardhi yao. Serikali haijawapa elimu khs jambo hili.

  • @rajabmsinzia7921

    @rajabmsinzia7921

    3 жыл бұрын

    Wao tayari walikuwa washakodisha kwa mtu mwengine nahisi hiyo 51 waliiipata kwa mtu wa mwanzo, ila huyo waliomkodisha pia kawakodisha watu wengine zanzibar bhana sheria tu ndio tatizo

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Hao waswahili matapel na wiz sio kama hamujuwi lazima mgeni hupata tabu ugenini . Hao jamaa zenu ndio zulma .musijifanye vipofu ila hata kafir ukimzulumu utamlipa to

  • @mamiyfeiy

    @mamiyfeiy

    3 жыл бұрын

    Kweli unajua kwavile mgeni hawezi kununua ardhi lazima awe na ubia na raia sasa hapo waswahili huwa hawatoi hata shilingi baadae wanawabadiikia na kutumia ushirikina mgeni anaondoka na kuwaachia

  • @hajiabdalla5772

    @hajiabdalla5772

    3 жыл бұрын

    @@mamiyfeiy kweli kweli

  • @mamiyfeiy

    @mamiyfeiy

    3 жыл бұрын

    @@hajiabdalla5772 tunaona ni makafiri kumbe dhulma ni dhulma tuu

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11403 жыл бұрын

    Huko Kiwengwa Mmmezoea Dhulma ,,,Hayo masuala yenu binafsi nendeni mahakamani ,,,mkuu wa mkoa alikuwako wakati nyie mnaingia mikataba yenu?

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    3 жыл бұрын

    Mhhh acha roho mbaya!

  • @ambokileasheengai1140

    @ambokileasheengai1140

    3 жыл бұрын

    @@aishakhamis2996 huo ndio ukweli wenyewe Leo mnatafuta huyo unamuona kabisa anachoongea ni uongo Leo unamsahinisha mzungu mkataba wa kijinga sijui asiweze shirikiana na wenzake thn ww tena utake tena... Huko bado alipie na minazi pia maana eneo na minazi ni tofauti 😅

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    3 жыл бұрын

    @@ambokileasheengai1140 ata kama lakin usiseme ivo! Maisha tuu haya leo kwake kesho kwako!

  • @ambokileasheengai1140

    @ambokileasheengai1140

    3 жыл бұрын

    @@aishakhamis2996 kwangu vip na mm sio dhulma

  • @munasuleyman3159

    @munasuleyman3159

    3 жыл бұрын

    Subhallah siamini maneno yako

Келесі