UKWELI KUHUSU BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR, MKURUGENZI AFUNGUKA KINACHOENDELEA KWA WAFANYABIASHARA
Жүктеу.....
Пікірлер: 32
@nassormessi-zk5cz9 ай бұрын
Uyo mkuu wa Body kivuli tu anafata upepo ahadi nyingi hamna kitu ati mazoea wanafik nyinyi
@AleiHadji-js3ed9 ай бұрын
Mtihani Serikali haijali wananchi wake.. Maisha yanapanda Sana Huwezi kubinafsisha Nchi za kiafricha ni masikiniiiiii
@humoudseyd73109 ай бұрын
Duhhhhh Afrca tumalizana wenyewe kwa wenyewe maumivu kwa raiya wa chini nyinyi mnaishi maisha ya kifalme wizi mtupu hapa
@sudimgaya17449 ай бұрын
❤ujenzi wa bwawa la nyerere
@abdulwahababdulkadir99659 ай бұрын
Kitu ambacho hamkielewi ni kua huu mzigo anakwenda kubeba mwananchi wa kawaida na baada ya miaka miwili hali za wananchi zitakua mbaya sana kama nyinyi mnatizama matumbo yenu tu,uchumi wa hovyo huu
@nassormessi-zk5cz9 ай бұрын
Mm nataka muiuze haswa sina habar 😊😂 walafi wakubwa
@KhamisHaji-pw4jo9 ай бұрын
Good Zanzibar
@XPOSED2559 ай бұрын
Tulishazoe amiii nimeleta mzgo wangu ntolea, ivo ndio tunavotakiwa kufanya huo utaratibu ni mzuri tupe sawa kwa wote
@mth.90519 ай бұрын
Mahali matumbo yenu tuuuuu
@kakamwarabu9 ай бұрын
Asaiv mwendo wavibwengo ukion zanzibar pagumu ucngoj kuwajiv ila allah atahukum hapahap wallah ukiona mtu kaparalaiz kapooza au kapatamaradh yasotibika ujue yumo walayazid dhwalimina illa hasara namajin tutawapa iliwawe machiz ewemola towahukumu kwaatakae dhulumu theluthi naumchome moto ckuyakiama atakaenda sawa mbashiriepepo aaamin
@user-xv4tl8iv4l9 ай бұрын
Iitishwe kikao cha port users wote na wataalam wa bandari kuzungumzia changamoto zilizopo. Sio leo clearing forwarders, kesho costal ship owners, keshokutwa shipping companies,mtondogo consolidators ete
@abdulwahababdulkadir99659 ай бұрын
Akasema niuweeni niuweeni siondoki, maskini hana kauli
@rajabjuma2779 ай бұрын
Mm namini hakuna uwekezaji niwatu tu wanofanya kazi na husen mwinyi miaka 5 keshachuma
@daudimchileg3079 ай бұрын
Hapo kuna kampigo hakajaenda sawa
@nassormessi-zk5cz9 ай бұрын
Yeye hana wasi uyo mkurugenz analipwa milion 20 mshahara wakati mbunge hachukui ati rafik yke
@saidipara41349 ай бұрын
Kwahiyo nilikuwa munatinfisha kiberit
@thobiasbukali90089 ай бұрын
Na huko Zanzibar kuna Kanisa lilikuwa linanufaika? Tuacheni siasa na udini kwenye masuala ya maendeleo. Bila ubinafisishaji hatuwezi kutoka.
@OmmyJames-xn7ji
9 ай бұрын
HUKO NI BAKWATA MPUNGA UMEISHA HAPA TEC WANABWEKA USIKU NA MCHANA 🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@fauzibinzoo6563
9 ай бұрын
Ipo na utaratibubule ule WA kulazimisha waingize vitu bure
@khatibal-zinjibari6956
9 ай бұрын
@thobiasbukali9008. Bila ya Kanisa Muungano usingekuwepo
@NRI_1
9 ай бұрын
Absolutely right With privatization zanzibar can't get success
@shaabanmohammed26119 ай бұрын
Kwanini hilo la Tariffs hamkuliweka sawa mapema? Inaleta taswira kwamba hamkujali wala kuzingatia Hali halisi ya maisha ya Wazanzibari. Hamkuwa na Nia thabit ya kuwapa unafuu Wananchi. Mmefanya maamuzi kwa mazowea. Business as usual. Mnaleta fitna baina ya Muekezaji na Wananchi. Serikali haikutekeleza wajibu wake. Business as usual. Iwapo hakutokuwa na majibu ya kuridhisha..... Uongozi wa Bandari uwajibike ASAP
@husseinkonz51929 ай бұрын
Wakwepa kod kimeumana sasa
@ghanimajongo78179 ай бұрын
Uko kutawaliwa ss bado eya pot mkodish mmesahau
@murattywamuratty97789 ай бұрын
Kwa nn ayoo musiyaongee, mwanzo kwenye vikao vyenu
@nassormessi-zk5cz9 ай бұрын
Ndo nini ndo wew tu unaetoa mizigo apo awo wenzako je ? Wacheni kupelekeshwa nyinyi walikuwepo watu si wasomi pesa ilikuwa inaingia sasa hivi wameletwa wavaa tai Urojo mtupu imewashinda Bandar kama banda maji kontena moja inashuka kwa cku aibu Ujuaji mwingi utendaji hamna
@nassormessi-zk5cz
9 ай бұрын
Kwishaaaaaaaaaaaaa zimebaki story tu kama gar ya Mwanyanya Iuzeni ndo mushafeli uwo ndo ukweli
@khairatkhamis58459 ай бұрын
Yajayo nema tupu yajayo yanafurahisha uchumi wa bluu tunakwenda kwa mazoea tu
@saidabdala49809 ай бұрын
Kama hakuna mamlaka KAMILI. ZANZIBAR by by by. Nchi ilikuwa na barka Raha juu ya raha . .tangu NYERERE alivotumiwa na waengereza na makanisa . Waje kuwauwa wazanzibar 1964. .ati WARABU wanachukuwa watumwa. Kumbe ni kinyume chake. Kanisa linaimaliza ZANZIBAR Kidogo kidogo UCHAGUZI ujao ni MWISHO wa ZANZIBAR kama WAZANZIBAR hatujapa haki yetu
@shaabanmohammed26119 ай бұрын
Kwani bandari hii si tuliambiwa mapato makusanyo katika kipindi kifupi kabisa yameongezeka kuliko hapo mwanzo au mmesahau Wadau? Lack of accountability. Lack of openess & transparency. Lack of good governance & poor corrupt Leadership. Lack of responsibility. Lack of strong free investigative media ndio chanzo cha yote haya. System ya Kifisadi tutavuna Ufisadi na si kingine
@NRI_19 ай бұрын
This problem zanzibar will face food crisis many products will not come at zanzibar port zanzibar citizens will pay high price for this
Пікірлер: 32
Uyo mkuu wa Body kivuli tu anafata upepo ahadi nyingi hamna kitu ati mazoea wanafik nyinyi
Mtihani Serikali haijali wananchi wake.. Maisha yanapanda Sana Huwezi kubinafsisha Nchi za kiafricha ni masikiniiiiii
Duhhhhh Afrca tumalizana wenyewe kwa wenyewe maumivu kwa raiya wa chini nyinyi mnaishi maisha ya kifalme wizi mtupu hapa
❤ujenzi wa bwawa la nyerere
Kitu ambacho hamkielewi ni kua huu mzigo anakwenda kubeba mwananchi wa kawaida na baada ya miaka miwili hali za wananchi zitakua mbaya sana kama nyinyi mnatizama matumbo yenu tu,uchumi wa hovyo huu
Mm nataka muiuze haswa sina habar 😊😂 walafi wakubwa
Good Zanzibar
Tulishazoe amiii nimeleta mzgo wangu ntolea, ivo ndio tunavotakiwa kufanya huo utaratibu ni mzuri tupe sawa kwa wote
Mahali matumbo yenu tuuuuu
Asaiv mwendo wavibwengo ukion zanzibar pagumu ucngoj kuwajiv ila allah atahukum hapahap wallah ukiona mtu kaparalaiz kapooza au kapatamaradh yasotibika ujue yumo walayazid dhwalimina illa hasara namajin tutawapa iliwawe machiz ewemola towahukumu kwaatakae dhulumu theluthi naumchome moto ckuyakiama atakaenda sawa mbashiriepepo aaamin
Iitishwe kikao cha port users wote na wataalam wa bandari kuzungumzia changamoto zilizopo. Sio leo clearing forwarders, kesho costal ship owners, keshokutwa shipping companies,mtondogo consolidators ete
Akasema niuweeni niuweeni siondoki, maskini hana kauli
Mm namini hakuna uwekezaji niwatu tu wanofanya kazi na husen mwinyi miaka 5 keshachuma
Hapo kuna kampigo hakajaenda sawa
Yeye hana wasi uyo mkurugenz analipwa milion 20 mshahara wakati mbunge hachukui ati rafik yke
Kwahiyo nilikuwa munatinfisha kiberit
Na huko Zanzibar kuna Kanisa lilikuwa linanufaika? Tuacheni siasa na udini kwenye masuala ya maendeleo. Bila ubinafisishaji hatuwezi kutoka.
@OmmyJames-xn7ji
9 ай бұрын
HUKO NI BAKWATA MPUNGA UMEISHA HAPA TEC WANABWEKA USIKU NA MCHANA 🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@fauzibinzoo6563
9 ай бұрын
Ipo na utaratibubule ule WA kulazimisha waingize vitu bure
@khatibal-zinjibari6956
9 ай бұрын
@thobiasbukali9008. Bila ya Kanisa Muungano usingekuwepo
@NRI_1
9 ай бұрын
Absolutely right With privatization zanzibar can't get success
Kwanini hilo la Tariffs hamkuliweka sawa mapema? Inaleta taswira kwamba hamkujali wala kuzingatia Hali halisi ya maisha ya Wazanzibari. Hamkuwa na Nia thabit ya kuwapa unafuu Wananchi. Mmefanya maamuzi kwa mazowea. Business as usual. Mnaleta fitna baina ya Muekezaji na Wananchi. Serikali haikutekeleza wajibu wake. Business as usual. Iwapo hakutokuwa na majibu ya kuridhisha..... Uongozi wa Bandari uwajibike ASAP
Wakwepa kod kimeumana sasa
Uko kutawaliwa ss bado eya pot mkodish mmesahau
Kwa nn ayoo musiyaongee, mwanzo kwenye vikao vyenu
Ndo nini ndo wew tu unaetoa mizigo apo awo wenzako je ? Wacheni kupelekeshwa nyinyi walikuwepo watu si wasomi pesa ilikuwa inaingia sasa hivi wameletwa wavaa tai Urojo mtupu imewashinda Bandar kama banda maji kontena moja inashuka kwa cku aibu Ujuaji mwingi utendaji hamna
@nassormessi-zk5cz
9 ай бұрын
Kwishaaaaaaaaaaaaa zimebaki story tu kama gar ya Mwanyanya Iuzeni ndo mushafeli uwo ndo ukweli
Yajayo nema tupu yajayo yanafurahisha uchumi wa bluu tunakwenda kwa mazoea tu
Kama hakuna mamlaka KAMILI. ZANZIBAR by by by. Nchi ilikuwa na barka Raha juu ya raha . .tangu NYERERE alivotumiwa na waengereza na makanisa . Waje kuwauwa wazanzibar 1964. .ati WARABU wanachukuwa watumwa. Kumbe ni kinyume chake. Kanisa linaimaliza ZANZIBAR Kidogo kidogo UCHAGUZI ujao ni MWISHO wa ZANZIBAR kama WAZANZIBAR hatujapa haki yetu
Kwani bandari hii si tuliambiwa mapato makusanyo katika kipindi kifupi kabisa yameongezeka kuliko hapo mwanzo au mmesahau Wadau? Lack of accountability. Lack of openess & transparency. Lack of good governance & poor corrupt Leadership. Lack of responsibility. Lack of strong free investigative media ndio chanzo cha yote haya. System ya Kifisadi tutavuna Ufisadi na si kingine
This problem zanzibar will face food crisis many products will not come at zanzibar port zanzibar citizens will pay high price for this