Tangu uyu mama ameingia madarakani yangu nchi ina matatizo makubwa mno kila sehemu, tani wanachelewesha mfumo ni rushwa tu
@user-ye8bl4tz6w9 ай бұрын
Safisana muheahimiwa akili nyingisana mkuu nakuelewa sana mkuu
@msangodiesel31329 ай бұрын
Njombe imepata kiongozi chini sasa
@zobakazizi76379 ай бұрын
Hapo wanavuruga mifumo wanataka kutoka kwenye mfumo warudi manual ili wapige.
@aliferuzi15379 ай бұрын
Kkuu wa mkoa aliona hili hata JPM aliwahi liongelea kila mtu Mkubwa hata mgambo anasumbuka si AJABU anakupiga risasi
@francisgituti24949 ай бұрын
Huyo unakuwa ni unyambilisi a. K mfumo duni. Weld one mkuu mtaka Elimu hiyo imewangia vema
@user-xx8jx6tb7d9 ай бұрын
Hayo ndio maneno baba sio kufanya kaz ilimrad tu
@RoanCorporation9 ай бұрын
Maliasili ny kama Lantra , awako rafiki kwa wafanyabishara
@user-or8ow5vr7m9 ай бұрын
Kama kuna maroli yanaenda Zambia tunaomba serikari yetu nayo iwakwamishe kama wanavotusumbua sisi uku kwao
@ayubusanga49979 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@johnchungwa-ei7xj9 ай бұрын
Inchi niyetu mageti yotehayo yanini moja tu linatosha mkulima wamiti anakufa kabisa
@nelsonnyamle9 ай бұрын
Iringa ukitoka geti la kihesa mpaka migori walau hapa kidogo panaumbali.Njombe yetu mageti utitiri .Kibena ,Lulanzi,Ilunda, Lyamkena,Mizani makambako.Yaani njombe makambako mageti 6 halafu wengine wanazima taa maksudi kwenye vibanda vyao ili ukipita tu wanapiga simu mbele kisha wanakwambia faini milion
@msafirimfilinge82229 ай бұрын
Rushwa hizo nyie 🤣🤣🤣
@SAHILSHAABAN9 ай бұрын
Hamna lolo te ni wizi mtupu hapo
@timetravellor53679 ай бұрын
Muwalipe faini uwo ni ujinga wenu
@nelsonnyamle9 ай бұрын
Mkuu wa mkoa umeongea jambo la maana yaani unagongesha mihuri mpaka kero.Kila baada ya kilo mita tano kumi geti.
@user-fw9vk3lo1s9 ай бұрын
Ninakushukulu mkuuwetu wamkoa nimependa majibu hayo yameonyesha kuawewe nimzalendo watnzania yet mngu ukupe uzima
@nth35129 ай бұрын
Mfumo kusumbua sio sababu ya kushindwa kufanya kazi, TZ bado nchi changa upande wa technology ndo maana mifumbo inasumbua. Lengo la vibari ni kukusanya mapato km serikali, pokeeni pesa kwa utaratibu wa kawaida hata cash af baadae mtaweka taarifa hizo kwenye mfumo. Yani viongoz wenyewe hawana ufaham na technologia, vitu vidogo vya kufanya maamuzi kwa akili za kawaida ila mnakuza mambo tu. Yani sababu ni nyingi, kila kitu hadi muambiwe.
@ibrahimhodabaksh39399 ай бұрын
MAGETI YANINI MTUKALI JAMANI UPIGAJI TU
@onesmombele25719 ай бұрын
Mkuu wa mkoa njombe wewe unastahili kuwa waziri wa maliasili, Maana ulivyochambua utendaji wa haya majeshi yetu. Tunaona kula siku muingiliano ni mkubwa,
@ibrahimhodabaksh39399 ай бұрын
MAGU MAGU BABA UPIGAJI TU
@jameskivelege86309 ай бұрын
Huyu ndiye mkuu wa mkoa wa kisasa, congratulations Mr Mtaka. Saidia wafanyabiashara ili kuongeza tija.
@epafraditopajenga46509 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/naOn07aumrq-pJs.htmlsi=BmAIXyBV2W2Tw_Df Hii Ni Shida Kutokana Na ?
Пікірлер: 41
Hongera mkuu kwa utendaji kazi Mzuri ,njombe yetu
👏👏👏Safi sana mkuu wa mkoa, mko wa Njombe Check point zimezidi kuwa nyingi hadi kero
Mkuu wa mkoa nakuelewa sana.hongera Sana ..hii nchi wapigaji kila kono.suala la mbao mgambo wamo polisi wamo nk...umetoa mwongozo mzr sana
Mungu awasaidie
Hongera no 1 lkn malalamiko meng
Utendaji wa kukurupuka, mpaka wazinduliwe,, Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
Safi mkuu umeongea kilicho sahihi usumbufu wote huu ni mazingira ya rushwa
Hivi hapo suala so hela kwa nn wasichukue hela tu nchii hii one side ikigoma hawana plan b
Hiyo ni Njombe Hapa mafinga ndo balaa
Yanimageti utafikili sister majambazi ivihayo mamaliasili ungeyawekandani yakome
Bi mkubwa nchi ishamushinda!
😂 bongo ni hatari Kwa kweli
Serikali yetu ina watumishi wa ajabu mno
Tanzania nchi yangu😂 kila kitu magumash 😂😂
Huu ni uhovyo na kukwamishana kibiashara
Kwani mtu siakate reseni yauhalali
Yaani nchi yetu jamani
Tangu uyu mama ameingia madarakani yangu nchi ina matatizo makubwa mno kila sehemu, tani wanachelewesha mfumo ni rushwa tu
Safisana muheahimiwa akili nyingisana mkuu nakuelewa sana mkuu
Njombe imepata kiongozi chini sasa
Hapo wanavuruga mifumo wanataka kutoka kwenye mfumo warudi manual ili wapige.
Kkuu wa mkoa aliona hili hata JPM aliwahi liongelea kila mtu Mkubwa hata mgambo anasumbuka si AJABU anakupiga risasi
Huyo unakuwa ni unyambilisi a. K mfumo duni. Weld one mkuu mtaka Elimu hiyo imewangia vema
Hayo ndio maneno baba sio kufanya kaz ilimrad tu
Maliasili ny kama Lantra , awako rafiki kwa wafanyabishara
Kama kuna maroli yanaenda Zambia tunaomba serikari yetu nayo iwakwamishe kama wanavotusumbua sisi uku kwao
😢😢😢😢😢😢😢
Inchi niyetu mageti yotehayo yanini moja tu linatosha mkulima wamiti anakufa kabisa
Iringa ukitoka geti la kihesa mpaka migori walau hapa kidogo panaumbali.Njombe yetu mageti utitiri .Kibena ,Lulanzi,Ilunda, Lyamkena,Mizani makambako.Yaani njombe makambako mageti 6 halafu wengine wanazima taa maksudi kwenye vibanda vyao ili ukipita tu wanapiga simu mbele kisha wanakwambia faini milion
Rushwa hizo nyie 🤣🤣🤣
Hamna lolo te ni wizi mtupu hapo
Muwalipe faini uwo ni ujinga wenu
Mkuu wa mkoa umeongea jambo la maana yaani unagongesha mihuri mpaka kero.Kila baada ya kilo mita tano kumi geti.
Ninakushukulu mkuuwetu wamkoa nimependa majibu hayo yameonyesha kuawewe nimzalendo watnzania yet mngu ukupe uzima
Mfumo kusumbua sio sababu ya kushindwa kufanya kazi, TZ bado nchi changa upande wa technology ndo maana mifumbo inasumbua. Lengo la vibari ni kukusanya mapato km serikali, pokeeni pesa kwa utaratibu wa kawaida hata cash af baadae mtaweka taarifa hizo kwenye mfumo. Yani viongoz wenyewe hawana ufaham na technologia, vitu vidogo vya kufanya maamuzi kwa akili za kawaida ila mnakuza mambo tu. Yani sababu ni nyingi, kila kitu hadi muambiwe.
MAGETI YANINI MTUKALI JAMANI UPIGAJI TU
Mkuu wa mkoa njombe wewe unastahili kuwa waziri wa maliasili, Maana ulivyochambua utendaji wa haya majeshi yetu. Tunaona kula siku muingiliano ni mkubwa,
MAGU MAGU BABA UPIGAJI TU
Huyu ndiye mkuu wa mkoa wa kisasa, congratulations Mr Mtaka. Saidia wafanyabiashara ili kuongeza tija.
kzread.info/dash/bejne/naOn07aumrq-pJs.htmlsi=BmAIXyBV2W2Tw_Df Hii Ni Shida Kutokana Na ?