MALORI ZAIDI YA 200 YAKWAMA NJOMBE KISA MFUMO WA VIBALI, RC MTAKA ATOA MAAGIZO MAZITO

Пікірлер: 41

  • @johmyinga691
    @johmyinga6919 ай бұрын

    Hongera mkuu kwa utendaji kazi Mzuri ,njombe yetu

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19579 ай бұрын

    👏👏👏Safi sana mkuu wa mkoa, mko wa Njombe Check point zimezidi kuwa nyingi hadi kero

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93879 ай бұрын

    Mkuu wa mkoa nakuelewa sana.hongera Sana ..hii nchi wapigaji kila kono.suala la mbao mgambo wamo polisi wamo nk...umetoa mwongozo mzr sana

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata9 ай бұрын

    Mungu awasaidie

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh9 ай бұрын

    Hongera no 1 lkn malalamiko meng

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo84969 ай бұрын

    Utendaji wa kukurupuka, mpaka wazinduliwe,, Mungu ibariki Tanzania na watu wake.

  • @user-pb4oh1rw2w
    @user-pb4oh1rw2w9 ай бұрын

    Safi mkuu umeongea kilicho sahihi usumbufu wote huu ni mazingira ya rushwa

  • @user-fy9lo9bw7p
    @user-fy9lo9bw7p9 ай бұрын

    Hivi hapo suala so hela kwa nn wasichukue hela tu nchii hii one side ikigoma hawana plan b

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19579 ай бұрын

    Hiyo ni Njombe Hapa mafinga ndo balaa

  • @user-fw9vk3lo1s
    @user-fw9vk3lo1s9 ай бұрын

    Yanimageti utafikili sister majambazi ivihayo mamaliasili ungeyawekandani yakome

  • @ObligeeNdoni-pb4vs
    @ObligeeNdoni-pb4vs9 ай бұрын

    Bi mkubwa nchi ishamushinda!

  • @husseinmahenge3176
    @husseinmahenge31769 ай бұрын

    😂 bongo ni hatari Kwa kweli

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka87929 ай бұрын

    Serikali yetu ina watumishi wa ajabu mno

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin9 ай бұрын

    Tanzania nchi yangu😂 kila kitu magumash 😂😂

  • @victorjames3730
    @victorjames37309 ай бұрын

    Huu ni uhovyo na kukwamishana kibiashara

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya47709 ай бұрын

    Kwani mtu siakate reseni yauhalali

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz9799 ай бұрын

    Yaani nchi yetu jamani

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d9 ай бұрын

    Tangu uyu mama ameingia madarakani yangu nchi ina matatizo makubwa mno kila sehemu, tani wanachelewesha mfumo ni rushwa tu

  • @user-ye8bl4tz6w
    @user-ye8bl4tz6w9 ай бұрын

    Safisana muheahimiwa akili nyingisana mkuu nakuelewa sana mkuu

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel31329 ай бұрын

    Njombe imepata kiongozi chini sasa

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76379 ай бұрын

    Hapo wanavuruga mifumo wanataka kutoka kwenye mfumo warudi manual ili wapige.

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi15379 ай бұрын

    Kkuu wa mkoa aliona hili hata JPM aliwahi liongelea kila mtu Mkubwa hata mgambo anasumbuka si AJABU anakupiga risasi

  • @francisgituti2494
    @francisgituti24949 ай бұрын

    Huyo unakuwa ni unyambilisi a. K mfumo duni. Weld one mkuu mtaka Elimu hiyo imewangia vema

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d9 ай бұрын

    Hayo ndio maneno baba sio kufanya kaz ilimrad tu

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation9 ай бұрын

    Maliasili ny kama Lantra , awako rafiki kwa wafanyabishara

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m9 ай бұрын

    Kama kuna maroli yanaenda Zambia tunaomba serikari yetu nayo iwakwamishe kama wanavotusumbua sisi uku kwao

  • @ayubusanga4997
    @ayubusanga49979 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj9 ай бұрын

    Inchi niyetu mageti yotehayo yanini moja tu linatosha mkulima wamiti anakufa kabisa

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle9 ай бұрын

    Iringa ukitoka geti la kihesa mpaka migori walau hapa kidogo panaumbali.Njombe yetu mageti utitiri .Kibena ,Lulanzi,Ilunda, Lyamkena,Mizani makambako.Yaani njombe makambako mageti 6 halafu wengine wanazima taa maksudi kwenye vibanda vyao ili ukipita tu wanapiga simu mbele kisha wanakwambia faini milion

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge82229 ай бұрын

    Rushwa hizo nyie 🤣🤣🤣

  • @SAHILSHAABAN
    @SAHILSHAABAN9 ай бұрын

    Hamna lolo te ni wizi mtupu hapo

  • @timetravellor5367
    @timetravellor53679 ай бұрын

    Muwalipe faini uwo ni ujinga wenu

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle9 ай бұрын

    Mkuu wa mkoa umeongea jambo la maana yaani unagongesha mihuri mpaka kero.Kila baada ya kilo mita tano kumi geti.

  • @user-fw9vk3lo1s
    @user-fw9vk3lo1s9 ай бұрын

    Ninakushukulu mkuuwetu wamkoa nimependa majibu hayo yameonyesha kuawewe nimzalendo watnzania yet mngu ukupe uzima

  • @nth3512
    @nth35129 ай бұрын

    Mfumo kusumbua sio sababu ya kushindwa kufanya kazi, TZ bado nchi changa upande wa technology ndo maana mifumbo inasumbua. Lengo la vibari ni kukusanya mapato km serikali, pokeeni pesa kwa utaratibu wa kawaida hata cash af baadae mtaweka taarifa hizo kwenye mfumo. Yani viongoz wenyewe hawana ufaham na technologia, vitu vidogo vya kufanya maamuzi kwa akili za kawaida ila mnakuza mambo tu. Yani sababu ni nyingi, kila kitu hadi muambiwe.

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh39399 ай бұрын

    MAGETI YANINI MTUKALI JAMANI UPIGAJI TU

  • @onesmombele2571
    @onesmombele25719 ай бұрын

    Mkuu wa mkoa njombe wewe unastahili kuwa waziri wa maliasili, Maana ulivyochambua utendaji wa haya majeshi yetu. Tunaona kula siku muingiliano ni mkubwa,

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh39399 ай бұрын

    MAGU MAGU BABA UPIGAJI TU

  • @jameskivelege8630
    @jameskivelege86309 ай бұрын

    Huyu ndiye mkuu wa mkoa wa kisasa, congratulations Mr Mtaka. Saidia wafanyabiashara ili kuongeza tija.

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga46509 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/naOn07aumrq-pJs.htmlsi=BmAIXyBV2W2Tw_Df Hii Ni Shida Kutokana Na ?

Келесі