Sukari, Umeme, kwa nchi zingine ingepigwa bongo moja la maandamano au viongozi kuondolewa madarakani
@vicentmlumba5914 ай бұрын
Namna hiyoo sio mtu unakuja na pingu unakamata tuu fika kizalendo Toa elimu wasaidie kupata Sukari ikipatikana ndio urudi Sasa kumkamata Mtu Safii Mtakaa
@alexdukes55474 ай бұрын
Mtaka we ni kiongozi,japo mfumo nchi unakutupa, pongezi sana kwako kwa kulisimamia pengine viongozi si kosa kujifunza kwako,mnatupa sana taharuki.
@doreengodwin64924 ай бұрын
Wa kwanza nipeni likes zangu
@Kabwela7764 ай бұрын
Nchi ina serikali jina ingekuwa nchi zingine zilizo serious Samia angelazimishwa kuondoka madarakani au jeshi wangechukua nchi
@salimsalim-ut4jk4 ай бұрын
Nategemea huko nje sukari ipo tele imeandimika kwetu tu Sasa hawa viongozi wetu mbona wanatufanyia sarakata tu baada ya kuhangaik namn ya kutuletea sukar kweli meli huchelew kufik ila ndege ya mizigo si tunayo na ipige hiyo dili
@kedricksiame61674 ай бұрын
Kodi kibao alafu mna taka wafanya biashala wasibaki na faida
@user-mw3yp6kl5c4 ай бұрын
Mhh
@mancholotrasco83504 ай бұрын
Endeleen kumpongeza mama yenu huyo anayeupiga mwingi kenge nyie 😏
Пікірлер: 11
Sukari, Umeme, kwa nchi zingine ingepigwa bongo moja la maandamano au viongozi kuondolewa madarakani
Namna hiyoo sio mtu unakuja na pingu unakamata tuu fika kizalendo Toa elimu wasaidie kupata Sukari ikipatikana ndio urudi Sasa kumkamata Mtu Safii Mtakaa
Mtaka we ni kiongozi,japo mfumo nchi unakutupa, pongezi sana kwako kwa kulisimamia pengine viongozi si kosa kujifunza kwako,mnatupa sana taharuki.
Wa kwanza nipeni likes zangu
Nchi ina serikali jina ingekuwa nchi zingine zilizo serious Samia angelazimishwa kuondoka madarakani au jeshi wangechukua nchi
Nategemea huko nje sukari ipo tele imeandimika kwetu tu Sasa hawa viongozi wetu mbona wanatufanyia sarakata tu baada ya kuhangaik namn ya kutuletea sukar kweli meli huchelew kufik ila ndege ya mizigo si tunayo na ipige hiyo dili
Kodi kibao alafu mna taka wafanya biashala wasibaki na faida
Mhh
Endeleen kumpongeza mama yenu huyo anayeupiga mwingi kenge nyie 😏
Sukar kilo 7000 Duuh😢
NJOMBE BILA EF 6 HUPATI SUKARI