SUKARI NJOMBE YATAJWA KUFIKIA 7000 KILO, RC MTAKA ASHTUKIZA MADUKANI "MSIOGOPE NIMEKUJA KUELIMIKA"

Пікірлер: 11

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI4 ай бұрын

    Sukari, Umeme, kwa nchi zingine ingepigwa bongo moja la maandamano au viongozi kuondolewa madarakani

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba5914 ай бұрын

    Namna hiyoo sio mtu unakuja na pingu unakamata tuu fika kizalendo Toa elimu wasaidie kupata Sukari ikipatikana ndio urudi Sasa kumkamata Mtu Safii Mtakaa

  • @alexdukes5547
    @alexdukes55474 ай бұрын

    Mtaka we ni kiongozi,japo mfumo nchi unakutupa, pongezi sana kwako kwa kulisimamia pengine viongozi si kosa kujifunza kwako,mnatupa sana taharuki.

  • @doreengodwin6492
    @doreengodwin64924 ай бұрын

    Wa kwanza nipeni likes zangu

  • @Kabwela776
    @Kabwela7764 ай бұрын

    Nchi ina serikali jina ingekuwa nchi zingine zilizo serious Samia angelazimishwa kuondoka madarakani au jeshi wangechukua nchi

  • @salimsalim-ut4jk
    @salimsalim-ut4jk4 ай бұрын

    Nategemea huko nje sukari ipo tele imeandimika kwetu tu Sasa hawa viongozi wetu mbona wanatufanyia sarakata tu baada ya kuhangaik namn ya kutuletea sukar kweli meli huchelew kufik ila ndege ya mizigo si tunayo na ipige hiyo dili

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame61674 ай бұрын

    Kodi kibao alafu mna taka wafanya biashala wasibaki na faida

  • @user-mw3yp6kl5c
    @user-mw3yp6kl5c4 ай бұрын

    Mhh

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco83504 ай бұрын

    Endeleen kumpongeza mama yenu huyo anayeupiga mwingi kenge nyie 😏

  • @hahorg.4301
    @hahorg.43014 ай бұрын

    Sukar kilo 7000 Duuh😢

  • @uKusiniComedy
    @uKusiniComedy4 ай бұрын

    NJOMBE BILA EF 6 HUPATI SUKARI