VIDEO:BITEKO ASHANGAA MENEJA KWENDA LIKIZO, ATOA KAULI KUHUSU WAFANYAKAZI KWENDA LIKIZO
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@hamadsheni89974 ай бұрын
TUNATAKA TANESCO IWE CHINI YA JWTZ.UONE KAMA UMEME UTAKATIKA.
@jasonwatz7457
4 ай бұрын
Utakatika vile vile tu, ili shirika lina deep technical issues mabazo hazisemwi
@muhammadalibhaz13904 ай бұрын
juzi juzi ulisema bungeni mnatafuta vyanzo vingine vya uzalishaji leo hii unasema hakutakuwa na mgawo + likizo ya mtumishi ikifika lazima apumzike kwani ni haki yake yeye sio mashine afanye kazi
@ramadhanishabani8074 ай бұрын
Acha kiki biteko huyo nae anatakiwa kupumzka usikute ashafanya kaz sana au labda nimgonjwa ndio maana kachukua likizo jarbu kujua sababu kwanza
@petroyohana11264 ай бұрын
Ingekua magufuli yupo Huyo ni jela direct
@YusufDuale-eq4kl4 ай бұрын
Angekuwa maghufuli.nchi ina maji,makaa ya mawe,gesi,uranium bado tùu umeme unakatwa aibu tupu
@rutakihama35234 ай бұрын
Safi sanaaa Mh Biteko naimani Soon tatizo la umeme litaisha kutokana na jitihada zako
@ngadumbishi1405
4 ай бұрын
Unampa sifa wakati tatizo halijakwisha bado jitihada pasipo tatizo kwisha ni sawa na kazi bure tu
@israelkisaila84014 ай бұрын
Kwani meneja hasipoenda likizo,mgao ndo utaisha? Meneja wa mkoa ni mtu mdogo sana,shida ipo kwenu huko juu,msimuonee meneja wa mkoa
@YusufDuale-eq4kl4 ай бұрын
Hawana uchungu na nchi ni wanafki tuu
@fadhilisecha42684 ай бұрын
Ooh! Lord
@VenerandaKundi-ph4hg4 ай бұрын
Ni kweli hao ndo mbinu zao mwenye akili ajue
@ramadhanishabani8074 ай бұрын
Namsituambie mda wowote subirn hio siku mnamalza mgawo ndio mseme leo tutamalza mgao, sio mnatuahd tu jifunzeni uongoz mzur kama mama etu samia alivyo waz, nyie ndio mnaeka siasa
Kwani nyie mnatufanyia nini zaidi ya maneno na lawama kila kukicha? Muwe na kiasi!
@ezekielshija92514 ай бұрын
Nani aliyemuizinishia likizo? Hana kosa.
@hebronmwamwaja76604 ай бұрын
Maneno mengi sana ufanisi bure
@kilimaone36324 ай бұрын
Hivi wafanyakazi ni watumwa kwamba hawatakiwi kupumzika, Mh aache swaga tunachotaka Ni umeme Na Mh tunajua wewe Nsomi ujui Kama Kuna delegation of roles, Meaning kwamba tuanze kushngaa vifo Na mtu akifa kazi zilale
@ramadhanishabani807
4 ай бұрын
Naistoshe mtu anaeza akawa kachukua likizo ya kwenda kutibiwa labda ni mgonjwa
Пікірлер: 20
TUNATAKA TANESCO IWE CHINI YA JWTZ.UONE KAMA UMEME UTAKATIKA.
@jasonwatz7457
4 ай бұрын
Utakatika vile vile tu, ili shirika lina deep technical issues mabazo hazisemwi
juzi juzi ulisema bungeni mnatafuta vyanzo vingine vya uzalishaji leo hii unasema hakutakuwa na mgawo + likizo ya mtumishi ikifika lazima apumzike kwani ni haki yake yeye sio mashine afanye kazi
Acha kiki biteko huyo nae anatakiwa kupumzka usikute ashafanya kaz sana au labda nimgonjwa ndio maana kachukua likizo jarbu kujua sababu kwanza
Ingekua magufuli yupo Huyo ni jela direct
Angekuwa maghufuli.nchi ina maji,makaa ya mawe,gesi,uranium bado tùu umeme unakatwa aibu tupu
Safi sanaaa Mh Biteko naimani Soon tatizo la umeme litaisha kutokana na jitihada zako
@ngadumbishi1405
4 ай бұрын
Unampa sifa wakati tatizo halijakwisha bado jitihada pasipo tatizo kwisha ni sawa na kazi bure tu
Kwani meneja hasipoenda likizo,mgao ndo utaisha? Meneja wa mkoa ni mtu mdogo sana,shida ipo kwenu huko juu,msimuonee meneja wa mkoa
Hawana uchungu na nchi ni wanafki tuu
Ooh! Lord
Ni kweli hao ndo mbinu zao mwenye akili ajue
Namsituambie mda wowote subirn hio siku mnamalza mgawo ndio mseme leo tutamalza mgao, sio mnatuahd tu jifunzeni uongoz mzur kama mama etu samia alivyo waz, nyie ndio mnaeka siasa
Maxoea huzaa utani.Mtamfanya nn.Angekuwepo magufuli hpo hkuna kupepesa macho
Ni meneja mpumbavu sana
Kwani nyie mnatufanyia nini zaidi ya maneno na lawama kila kukicha? Muwe na kiasi!
Nani aliyemuizinishia likizo? Hana kosa.
Maneno mengi sana ufanisi bure
Hivi wafanyakazi ni watumwa kwamba hawatakiwi kupumzika, Mh aache swaga tunachotaka Ni umeme Na Mh tunajua wewe Nsomi ujui Kama Kuna delegation of roles, Meaning kwamba tuanze kushngaa vifo Na mtu akifa kazi zilale
@ramadhanishabani807
4 ай бұрын
Naistoshe mtu anaeza akawa kachukua likizo ya kwenda kutibiwa labda ni mgonjwa