KIMEUMANA! DEREVA MWANAMKE AMCHOMA MTUMISHI KWA RC MTAKA, MAGARI 200 YAKWAMA NJOMBE...
KIMEUMANA! DEREVA MWANAMKE AMCHOMA MTUMISHI KWA RC MTAKA, MAGARI 200 YAKWAMA NJOMBE...
Wafanyabaishara wa Mazao ya Misitu ikiwemo zao la Mbao Mkoani njombe Wameulalamikia Wakala wa Misitu Mkoani humo TFS kwa Kushindwa Kuwapa Vibali vya Kusafirisha Mazao ya Misitu kwa Wakati Jambo ambalo Limekuwa Likiwaingiza katika Hasara kubwa.
Wakitoa malalamiko yao mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka Wafanyabiashara hao akiwemo Sofia Raymond pamoja na Subira Kyando wamesem kuwa Magari yao yanayosafirisha Bidhaa hiyo mhimu kwa Uchumi wa Mkoa wa Njombe Yamekwama kwa Muda a Wiki Moja kwa Kile Kinachodaiwa ni Matatizo ya Kimfumo katika Utoaji wa Vibali Hivyo.
Audatus Kashamakula ni Maneja wa Wakala wa Misitu Wilaya ya Njombe akizungumza baada ya Kusikia Kero kutoka kwa Wafanyabiashara pamoja na Madereva Wanaosafirisha Bidhaa Hiyo Mhimu amekiri Kutokea kwa Changamoto ya Kimfumo ambayo Ilisababisha Wafanyabiashara Kukosa Vibali vya Kusafirisha Mazao ya Misitu ndani ya Mkoa wa Njombe ambapo amesema kwa sasa Huduma Hiyo Imerejea.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amefika katika maeneo ambayo Wafanyabiashara Wameegesha Magari yao baada ya kukosa Vibali vya Kusafirishia Mazao yao na hapa akatoa Maamuzi juu ya Kadhia Hiyo Iliyowakumba Wafanyabiashara wa Mazao ya Misitu Mkoani njomb.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 82
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Anthony mtaka no bonge la kiongozi,,hajawahi niangusha Kila unapomuweka anafanya vizuri...hongeraa sn mheshimiwa,,,nakuona ktk nafasi ya ukatibu mkuu tamisemi.
Yaani nchini kwetu viongozi wangekuwa wa hivi, ingekuwa raha kweli. Wanakalia mabungeni na kubuni mbinu za kuibia watoza ushuru na kujijazia mifuko yao. Mara nyingi viongozi wa Tz husikiliza sana wanaokandamizwa.
Safi Sana mkuu mkoa, pomoja na mama huyo vituo vingi sana
Hongera sana RC Njombe maelekezo yanayoleta matumaini kwa wafanyibiashara
Hapa tutamkumbuka sana mwenda zake, enzi yake huu upuuzi haukiwepo labisa yani.
Mama HUYU ameongea KWa UCHUNGU sanaa.. viongozi wetu wasaidieni HAWA wafanya biashara hakuna faida kuuubwaaaa SANAAAAA wanayoipata kisa wakiona Lori limejaza.. roshwa ni kubwa sana barabarani.. VIONGOZI WETU KIUKWELI MUNAJITAHIDI SANA KUWASAIDIA WANANCHI WENU.. HONGERA MKUU WA MKOA.. 🤝
Uko sawa kiongozi Inafika mahara tubadilike tufanye kazi ili maeneeleo
Huyo anaitwa ma Aron nimfanyabiashara sio dereva bhana mwandixhi
Safi sana Mama naomba namba yako niongeze ulinz
Hongera sana ww ni kiongozi siyo bora mtawala
Mama shikamooo nimekuelewa good job
Point kabisa dad yangu wamezid hao yote huo nimchongo wa kupiga cm
Good job
Rushwa imezidi Sana duu!
Duuu kweli tanzania M,mungu anatuona
Idara za serikali zimekuwa ovyo sana..kuna watu wamekuja kukagua huduma yangu, lakini ghafla wameniandikia fine ya ajabu..tena wametengeneza control number wakati kipindi wanaondoka walisema ni 'supportive supervision". Nitalipa annual contribution, fine silipi. Walikuwa wanatengeneza mazingira ya rushwa siku tunafanya majumuisho ya taarifa.
Mama Aron umeongea point🙏🙏🙏
Kila Kona uendapo, Tunaambiwa Mfumo. SISi mitandao sio mizuri,halafu Mfumo sio mzuri,hivi kwanini Tusiweke Manual,halafu kwenye Mfumo,mtandao upo down,umene umekatika hivi vyote tunacheleweshana. Jamani,tutumie njia ileile ya zamani,halafu wao watakopi kile walichokiandika Manual ili tusicheleweshane ati Mfumo. Zamani tulicheza Kwa kuandika mbona kazi hazikusimama?
Rafiki yngu mtaka ni no nonsense.Ifike mahali tuwe serious.
Rushwa ni shida kweli. Kweli
Hapo ni wizi tu,hakuna cha mfumo hapo, RIP JPM
Naomba number hizo za kujifunza kingereza
Uongozi ni tunu hongera Sana kiongozi
Rushwaaa imezidiiii yaani bila uongozii kuwa makini watanzania wanatesekaa
@salumjumaruhaga2513
10 ай бұрын
Na kuandamana hatuwezi
Heko mh maelezo mazuli shida baazi ya hao watumishi vibuli Sana
Mama nikweli kwabisa haowatu nimajambazibkilasehem maliyasili nishida kailuki kazianayo
Mfumo rushwa ndio unaofanya kazi
Hiyoo ndioooo Tanzania yetuu😅😅😅😅
@mdmahammad3278
10 ай бұрын
Hawana wajibu wakazi makukumia muda hawajuwi ndio maana tunahitaji katiba mpya Wana nch
Inchi ya vibaka mama mwizi baba mwizi watoto wezi
Hongera mkuu wa mkoa
Nlisha wahi kuipita Check point ya nyigo ilikua ni ucku na ndo mara ya kwanza kupita njia ile ila kiuhalisia ile check point imejificha na kibao hakina hata kiakisi mwanga kwa ucku ni ngumu kukiona
HONGERA SANA MKUU WATUMISHIWENGI HAWANA UPENDO NA SERIKALI YAO NA HAPOLAWAMAZOTE ZINAMWANGUKIA RAIS HAPOTATIZO KUNARUSHWA INASUMBUA MKUU NAKUOMBASIKUNYINGINE FANYAUKAGUZI WA KUSHITUKIZA .
Msaidieni Rais wetu jamani
Hapo inawezekana Mifumo ikawa ZIMWI Jingine la kutafuna Wananchi kabla ya Mifumu kulikuwa na Zimwi la njoo kesho.
Angekuwa amefanya mtu wa kawaida angekuwa amefungwa na kesi ya hujumu uchumi
Hilo la vituo kweli ni changamoto sana, usumbufu ni mwingi mno
KWELI KABISA KUNA SIKU NILITESEKA SANA UNAGONGA MIHURI MPAKA UNACHOKA
Mkuu upo sahihi
Shida iliyokuwepo ni ya kuvuta subra....😂
Hii ichi imekosaa uzalendoo na uwajibikaji ,magufulii fufukaa , mwenzako kashindwa
Ccm hao na bado mtakoma maana hamtaki madabiliko mtateseka sana
Shida ni unae muomba,yani unamshitaki paka kwa panya.
@mamachris6811
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mfumo wa upigaji
Safi mkuu
Hii😢
nikweli vituo vingi sana wanasumbua
Tukubaliane nani anaemuuliza dereva maswala ya mbao!!?😅
Huyu RC nimemwelewa, natamani wote wangekuwa hvo
@saadyusuph6554
10 ай бұрын
Rc uko vizuri Sana we ni mzalendo
Wanaofanya hayo Kwa kutaka mazingira ya rushwa rushwa
INASEMEKANA Kuna RUSHWA KUBWA SANA KWA WATU WA MALIASILI.
@salumjumaruhaga2513
10 ай бұрын
Hakika
SIJAONA WATU WAZEMBE KM SERIKALINI
Kwakweli
Hiii mifumoo mpaka hospital
@ Abdala hawasaidiwi ni haki yao hao hakuna msaada walarushwa si watimuliwe tuu wanaombaomba pesa iwapo wenzao wako seriously kikazi zao Walipwe wiki moja kukwamishwa hapo ndio vitu vya kijinga jinga vinawakwamisha kuondoka
Wahuni hao
UJINGA MTUPU VIONGOZI WA TZ.... WANAFANYA KUSUDI ILI WALE RUSHWA
Kitu o chá waja iringa hakina alama kifutwe
Shida ya watumishi wa maliasli ni kero kubwa sana rushwa ndio kipaumbele chai akuna lolote hapo
Mkinga huyo
Hilo ni swali niliuliza kwa waziri wa kilimo na naibu waziri wake miez michache ilopita kwenye mkutano wa Exporters , Pesa nying za serikali wanatumia Bilions of money kutengeneza mifumo lakini ni mibovu haifai ,hata kukata leseni tu kunamuda unazungushwa weeee shida tupu unajiuliza , hizo mifumo ipo hata ya kawaida tu ya oesa ndogo haisumbui ila ya serikali weee inazingua hiyo wakati ndiyo inayotumia mabilion ya walipakodi , NAONA WAPIGAJI WANASINGIZIA MIFUMO WAO WALE RUSHWA ,
@user-uo8xw9kr4b
10 ай бұрын
Sio watu wanaisitisha maksud ili wapate kitu mm ilinitokea nikaambiwa mfumo niliposimama imar mfumo ulifunguka mda huohuo.
Sema nilichogundua huyu mother anaeongea ana pesa amini kwambaa😂😂😂
@saidmabanga388
10 ай бұрын
C umeona shngoo ilivo nona
@JK-uq1tv
10 ай бұрын
😂😂😂😂
Mfumo unarejea baada ya kusikia Mkuu wa Mkoa anakuja? Nakukubali sana Mkuu wa Mkoa ktk utendaji wako Mungu akubariki sana
VITUO VYANINI UPIGAJI TU
Hyu mkuu wa mkoa hajawai kuwa fala fala na chawa wa mtu,anakupga za uso papo papo hna masihara!😂
@saidmabanga388
10 ай бұрын
😀😀😀😀
@saidmabanga388
10 ай бұрын
Uyuuu jamaa namkumbkq tangu yupoo dodomq ni mtuu wa misimamo sanaa
Takukuru chunguzeni ukweri
Rais bure umemwondoa mchengerwa
Tutamshauri mama aturudishie Mtaka mkoa wa simiyu, mchapakazi huyu. Kongole kwake
@deograsiamgeni5716
10 ай бұрын
Pole saa hii zamu ya Njombe
@salymkitumbika8644
10 ай бұрын
Na sisi wa Dodoma hatujamfaidi alituonjesha2 akahamishwa ni KIONGOZI bora sana
Rc Mtaka ni moja ya majembe ya kutengemewa. Njb itabadilika kuwa ya maendeleo zaidi, mchumi mzuri huyo.