KIMEUMANA! DEREVA MWANAMKE AMCHOMA MTUMISHI KWA RC MTAKA, MAGARI 200 YAKWAMA NJOMBE...

KIMEUMANA! DEREVA MWANAMKE AMCHOMA MTUMISHI KWA RC MTAKA, MAGARI 200 YAKWAMA NJOMBE...
Wafanyabaishara wa Mazao ya Misitu ikiwemo zao la Mbao Mkoani njombe Wameulalamikia Wakala wa Misitu Mkoani humo TFS kwa Kushindwa Kuwapa Vibali vya Kusafirisha Mazao ya Misitu kwa Wakati Jambo ambalo Limekuwa Likiwaingiza katika Hasara kubwa.
Wakitoa malalamiko yao mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka Wafanyabiashara hao akiwemo Sofia Raymond pamoja na Subira Kyando wamesem kuwa Magari yao yanayosafirisha Bidhaa hiyo mhimu kwa Uchumi wa Mkoa wa Njombe Yamekwama kwa Muda a Wiki Moja kwa Kile Kinachodaiwa ni Matatizo ya Kimfumo katika Utoaji wa Vibali Hivyo.
Audatus Kashamakula ni Maneja wa Wakala wa Misitu Wilaya ya Njombe akizungumza baada ya Kusikia Kero kutoka kwa Wafanyabiashara pamoja na Madereva Wanaosafirisha Bidhaa Hiyo Mhimu amekiri Kutokea kwa Changamoto ya Kimfumo ambayo Ilisababisha Wafanyabiashara Kukosa Vibali vya Kusafirisha Mazao ya Misitu ndani ya Mkoa wa Njombe ambapo amesema kwa sasa Huduma Hiyo Imerejea.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amefika katika maeneo ambayo Wafanyabiashara Wameegesha Magari yao baada ya kukosa Vibali vya Kusafirishia Mazao yao na hapa akatoa Maamuzi juu ya Kadhia Hiyo Iliyowakumba Wafanyabiashara wa Mazao ya Misitu Mkoani njomb.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 82

  • @globaltv_online
    @globaltv_online10 ай бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele426810 ай бұрын

    Anthony mtaka no bonge la kiongozi,,hajawahi niangusha Kila unapomuweka anafanya vizuri...hongeraa sn mheshimiwa,,,nakuona ktk nafasi ya ukatibu mkuu tamisemi.

  • @sarahkwamboka8190
    @sarahkwamboka819010 ай бұрын

    Yaani nchini kwetu viongozi wangekuwa wa hivi, ingekuwa raha kweli. Wanakalia mabungeni na kubuni mbinu za kuibia watoza ushuru na kujijazia mifuko yao. Mara nyingi viongozi wa Tz husikiliza sana wanaokandamizwa.

  • @kelvinulungi230
    @kelvinulungi23010 ай бұрын

    Safi Sana mkuu mkoa, pomoja na mama huyo vituo vingi sana

  • @firmakisika5073
    @firmakisika507310 ай бұрын

    Hongera sana RC Njombe maelekezo yanayoleta matumaini kwa wafanyibiashara

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui10 ай бұрын

    Hapa tutamkumbuka sana mwenda zake, enzi yake huu upuuzi haukiwepo labisa yani.

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko808810 ай бұрын

    Mama HUYU ameongea KWa UCHUNGU sanaa.. viongozi wetu wasaidieni HAWA wafanya biashara hakuna faida kuuubwaaaa SANAAAAA wanayoipata kisa wakiona Lori limejaza.. roshwa ni kubwa sana barabarani.. VIONGOZI WETU KIUKWELI MUNAJITAHIDI SANA KUWASAIDIA WANANCHI WENU.. HONGERA MKUU WA MKOA.. 🤝

  • @josephatemmanuel458
    @josephatemmanuel45810 ай бұрын

    Uko sawa kiongozi Inafika mahara tubadilike tufanye kazi ili maeneeleo

  • @nashonmwinuka1758
    @nashonmwinuka175810 ай бұрын

    Huyo anaitwa ma Aron nimfanyabiashara sio dereva bhana mwandixhi

  • @monicambossa4937
    @monicambossa493710 ай бұрын

    Safi sana Mama naomba namba yako niongeze ulinz

  • @alphoncejuma9652
    @alphoncejuma96529 ай бұрын

    Hongera sana ww ni kiongozi siyo bora mtawala

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara364910 ай бұрын

    Mama shikamooo nimekuelewa good job

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa97610 ай бұрын

    Point kabisa dad yangu wamezid hao yote huo nimchongo wa kupiga cm

  • @nazarethjoseph8862
    @nazarethjoseph88629 ай бұрын

    Good job

  • @batilda4920
    @batilda492010 ай бұрын

    Rushwa imezidi Sana duu!

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga251310 ай бұрын

    Duuu kweli tanzania M,mungu anatuona

  • @josephlorri431
    @josephlorri43110 ай бұрын

    Idara za serikali zimekuwa ovyo sana..kuna watu wamekuja kukagua huduma yangu, lakini ghafla wameniandikia fine ya ajabu..tena wametengeneza control number wakati kipindi wanaondoka walisema ni 'supportive supervision". Nitalipa annual contribution, fine silipi. Walikuwa wanatengeneza mazingira ya rushwa siku tunafanya majumuisho ya taarifa.

  • @franciskaristo822
    @franciskaristo82210 ай бұрын

    Mama Aron umeongea point🙏🙏🙏

  • @ismailmwakabelele2393
    @ismailmwakabelele239310 ай бұрын

    Kila Kona uendapo, Tunaambiwa Mfumo. SISi mitandao sio mizuri,halafu Mfumo sio mzuri,hivi kwanini Tusiweke Manual,halafu kwenye Mfumo,mtandao upo down,umene umekatika hivi vyote tunacheleweshana. Jamani,tutumie njia ileile ya zamani,halafu wao watakopi kile walichokiandika Manual ili tusicheleweshane ati Mfumo. Zamani tulicheza Kwa kuandika mbona kazi hazikusimama?

  • @MrA24G
    @MrA24G9 ай бұрын

    Rafiki yngu mtaka ni no nonsense.Ifike mahali tuwe serious.

  • @anosiata8242
    @anosiata824210 ай бұрын

    Rushwa ni shida kweli. Kweli

  • @timboxlee919
    @timboxlee9199 ай бұрын

    Hapo ni wizi tu,hakuna cha mfumo hapo, RIP JPM

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o10 ай бұрын

    Naomba number hizo za kujifunza kingereza

  • @juliusmwandusa1528
    @juliusmwandusa152810 ай бұрын

    Uongozi ni tunu hongera Sana kiongozi

  • @fidelisjeremias3145
    @fidelisjeremias314510 ай бұрын

    Rushwaaa imezidiiii yaani bila uongozii kuwa makini watanzania wanatesekaa

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    10 ай бұрын

    Na kuandamana hatuwezi

  • @katambimfalimbega3808
    @katambimfalimbega380810 ай бұрын

    Heko mh maelezo mazuli shida baazi ya hao watumishi vibuli Sana

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il9 ай бұрын

    Mama nikweli kwabisa haowatu nimajambazibkilasehem maliyasili nishida kailuki kazianayo

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro155210 ай бұрын

    Mfumo rushwa ndio unaofanya kazi

  • @fidelisjeremias3145
    @fidelisjeremias314510 ай бұрын

    Hiyoo ndioooo Tanzania yetuu😅😅😅😅

  • @mdmahammad3278

    @mdmahammad3278

    10 ай бұрын

    Hawana wajibu wakazi makukumia muda hawajuwi ndio maana tunahitaji katiba mpya Wana nch

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf9 ай бұрын

    Inchi ya vibaka mama mwizi baba mwizi watoto wezi

  • @silasdominic5309
    @silasdominic530910 ай бұрын

    Hongera mkuu wa mkoa

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija195710 ай бұрын

    Nlisha wahi kuipita Check point ya nyigo ilikua ni ucku na ndo mara ya kwanza kupita njia ile ila kiuhalisia ile check point imejificha na kibao hakina hata kiakisi mwanga kwa ucku ni ngumu kukiona

  • @user-dt9uv3hj6n
    @user-dt9uv3hj6n10 ай бұрын

    HONGERA SANA MKUU WATUMISHIWENGI HAWANA UPENDO NA SERIKALI YAO NA HAPOLAWAMAZOTE ZINAMWANGUKIA RAIS HAPOTATIZO KUNARUSHWA INASUMBUA MKUU NAKUOMBASIKUNYINGINE FANYAUKAGUZI WA KUSHITUKIZA .

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si10 ай бұрын

    Msaidieni Rais wetu jamani

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah623710 ай бұрын

    Hapo inawezekana Mifumo ikawa ZIMWI Jingine la kutafuna Wananchi kabla ya Mifumu kulikuwa na Zimwi la njoo kesho.

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi47089 ай бұрын

    Angekuwa amefanya mtu wa kawaida angekuwa amefungwa na kesi ya hujumu uchumi

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy926510 ай бұрын

    Hilo la vituo kweli ni changamoto sana, usumbufu ni mwingi mno

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle10 ай бұрын

    KWELI KABISA KUNA SIKU NILITESEKA SANA UNAGONGA MIHURI MPAKA UNACHOKA

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula496510 ай бұрын

    Mkuu upo sahihi

  • @barakabusima
    @barakabusima10 ай бұрын

    Shida iliyokuwepo ni ya kuvuta subra....😂

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania822710 ай бұрын

    Hii ichi imekosaa uzalendoo na uwajibikaji ,magufulii fufukaa , mwenzako kashindwa

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v10 ай бұрын

    Ccm hao na bado mtakoma maana hamtaki madabiliko mtateseka sana

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын

    Shida ni unae muomba,yani unamshitaki paka kwa panya.

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @daslamonline4665
    @daslamonline466510 ай бұрын

    Mfumo wa upigaji

  • @mohddelo
    @mohddelo10 ай бұрын

    Safi mkuu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali391810 ай бұрын

    Hii😢

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu34610 ай бұрын

    nikweli vituo vingi sana wanasumbua

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily922310 ай бұрын

    Tukubaliane nani anaemuuliza dereva maswala ya mbao!!?😅

  • @josephlorri431
    @josephlorri43110 ай бұрын

    Huyu RC nimemwelewa, natamani wote wangekuwa hvo

  • @saadyusuph6554

    @saadyusuph6554

    10 ай бұрын

    Rc uko vizuri Sana we ni mzalendo

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv10 ай бұрын

    Wanaofanya hayo Kwa kutaka mazingira ya rushwa rushwa

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko808810 ай бұрын

    INASEMEKANA Kuna RUSHWA KUBWA SANA KWA WATU WA MALIASILI.

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    10 ай бұрын

    Hakika

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid117110 ай бұрын

    SIJAONA WATU WAZEMBE KM SERIKALINI

  • @edwinekahatano8472
    @edwinekahatano84729 ай бұрын

    Kwakweli

  • @godfreyissa6231
    @godfreyissa623110 ай бұрын

    Hiii mifumoo mpaka hospital

  • @demicratia4071
    @demicratia407110 ай бұрын

    @ Abdala hawasaidiwi ni haki yao hao hakuna msaada walarushwa si watimuliwe tuu wanaombaomba pesa iwapo wenzao wako seriously kikazi zao Walipwe wiki moja kukwamishwa hapo ndio vitu vya kijinga jinga vinawakwamisha kuondoka

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go10 ай бұрын

    Wahuni hao

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd13209 ай бұрын

    UJINGA MTUPU VIONGOZI WA TZ.... WANAFANYA KUSUDI ILI WALE RUSHWA

  • @isayarevelian9698
    @isayarevelian969810 ай бұрын

    Kitu o chá waja iringa hakina alama kifutwe

  • @bushirihamisi3819
    @bushirihamisi381910 ай бұрын

    Shida ya watumishi wa maliasli ni kero kubwa sana rushwa ndio kipaumbele chai akuna lolote hapo

  • @jellyyatta7597
    @jellyyatta759710 ай бұрын

    Mkinga huyo

  • @liannsambu7264
    @liannsambu726410 ай бұрын

    Hilo ni swali niliuliza kwa waziri wa kilimo na naibu waziri wake miez michache ilopita kwenye mkutano wa Exporters , Pesa nying za serikali wanatumia Bilions of money kutengeneza mifumo lakini ni mibovu haifai ,hata kukata leseni tu kunamuda unazungushwa weeee shida tupu unajiuliza , hizo mifumo ipo hata ya kawaida tu ya oesa ndogo haisumbui ila ya serikali weee inazingua hiyo wakati ndiyo inayotumia mabilion ya walipakodi , NAONA WAPIGAJI WANASINGIZIA MIFUMO WAO WALE RUSHWA ,

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    10 ай бұрын

    Sio watu wanaisitisha maksud ili wapate kitu mm ilinitokea nikaambiwa mfumo niliposimama imar mfumo ulifunguka mda huohuo.

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn10 ай бұрын

    Sema nilichogundua huyu mother anaeongea ana pesa amini kwambaa😂😂😂

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    10 ай бұрын

    C umeona shngoo ilivo nona

  • @JK-uq1tv

    @JK-uq1tv

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @josephkulija293
    @josephkulija29310 ай бұрын

    Mfumo unarejea baada ya kusikia Mkuu wa Mkoa anakuja? Nakukubali sana Mkuu wa Mkoa ktk utendaji wako Mungu akubariki sana

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh393910 ай бұрын

    VITUO VYANINI UPIGAJI TU

  • @user-mz4ry1sl8l
    @user-mz4ry1sl8l10 ай бұрын

    Hyu mkuu wa mkoa hajawai kuwa fala fala na chawa wa mtu,anakupga za uso papo papo hna masihara!😂

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    10 ай бұрын

    😀😀😀😀

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    10 ай бұрын

    Uyuuu jamaa namkumbkq tangu yupoo dodomq ni mtuu wa misimamo sanaa

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i10 ай бұрын

    Takukuru chunguzeni ukweri

  • @Jal210
    @Jal21010 ай бұрын

    Rais bure umemwondoa mchengerwa

  • @bulunjamalimikulwa4876
    @bulunjamalimikulwa487610 ай бұрын

    Tutamshauri mama aturudishie Mtaka mkoa wa simiyu, mchapakazi huyu. Kongole kwake

  • @deograsiamgeni5716

    @deograsiamgeni5716

    10 ай бұрын

    Pole saa hii zamu ya Njombe

  • @salymkitumbika8644

    @salymkitumbika8644

    10 ай бұрын

    Na sisi wa Dodoma hatujamfaidi alituonjesha2 akahamishwa ni KIONGOZI bora sana

  • @mtegamelkior5193
    @mtegamelkior519310 ай бұрын

    Rc Mtaka ni moja ya majembe ya kutengemewa. Njb itabadilika kuwa ya maendeleo zaidi, mchumi mzuri huyo.

Келесі