MAZITO YAIBUKA BARABARA INAYOJENGWA KWA ZEGE NJOMBE, WABUNGE WAFIKA, WAKUTA HAYA

MAZITO YAIBUKA BARABARA INAYOJENGWA KWA ZEGE NJOMBE, WABUNGE WAFIKA, WAKUTA HAYA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 13

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana22152 жыл бұрын

    Inshallah mwenyezi mungu awafanyie wepesi kazi iwe nzuri na bora zaidi 💪🇹🇿🇦🇪

  • @gasparkamiliusbutama6487
    @gasparkamiliusbutama64872 жыл бұрын

    Tuna vyanzo vingi Sana Sana vya fedha, tatizo waliopewa mamlaka ni kukimbizana na bakuli tu nchi za wenzetu wakidhani ndio njia pekee ya kuinufaisha nchi

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing2 жыл бұрын

    Zambia hawajafanikiwa lolote copper yote inaibwa kujenga Marekani, Canada na ulaya. Zambia ni mashimo tu na makanisa mengi. Bora huo mlima unafanya vizuri ili iwe vigumu kuiba madini yetu mpaka tutakapopata serikali ya watu sio mafisadi. Vinginevyo kama siyo huo mlima mikataba ile ya wizi ingekuwa ishafika na kuanza kuiba. Hatutaki mikata ya wizi inayoacha mashimo tu

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70742 жыл бұрын

    Kazi nzuri👍👍👍

  • @johnmalambo9571
    @johnmalambo95712 жыл бұрын

    Nikopa aina gani unayolinganisha na ya zambia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Niambie kama ikijwngwa hivyo ndo itakuwa ama wanachezea zege tu😳😳

  • @atuwenehaule4540
    @atuwenehaule45402 жыл бұрын

    Kamonga jitahidi kakangu

  • @mustafachihepo5343
    @mustafachihepo53432 жыл бұрын

    Mbona tupo kimya hatumpongezi mama!!au mnasubili kulaumu tu?

  • @bajagihaji8923

    @bajagihaji8923

    2 жыл бұрын

    Brother sema ukweli iipo siku watampongeza mama anafanya vizuri sana hongera kwa kuliona hilo

  • @martinlouis9618
    @martinlouis96182 жыл бұрын

    Amkaa ya mawe Tani shiringi ngapi

  • @theohermana5220
    @theohermana52202 жыл бұрын

    Toboeni

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76372 жыл бұрын

    Halafu waziri wa fedha anakimbizana na miamala. Hivi Biteko yupo?

Келесі