TAZAMA ENEO HATARI ZAIDI KONA TANO TISHIO DODOMA-ARUSHA "ENEO LENYE AJALI NYINGI"

Пікірлер: 116

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi30432 жыл бұрын

    Kona izo tunazijua sana. Kubwa umakini na kutambua kila eneo uendapo safari. Wenye magari watengeneze magari yao. Ukiwa makini izi kona azina tatizo,napita kila mwezi mara 4 . Mungu mkuu aturehemu sote.AMEN.

  • @zakiaferuz4561
    @zakiaferuz45612 жыл бұрын

    Maeneo hayo sio mazuri Tena afadhali wameweka rami Kwa sasa tunaishukuru serikali 🙏

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki45432 жыл бұрын

    kuna maeneo hatar zaid ya hayo,nyang'olo baada ya kutoka mtera,acheni uwongo tatizo hamtembei

  • @sereriadia6321

    @sereriadia6321

    5 ай бұрын

    Nyangoro ni kona tu lakini hakuna kuteremka wala kupanda tofauti na kolo,kolo ni kilima tena kikali kimesima inawezekana wewe ndo hujatembea kolo ni ya tofauti sana

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    Dah niliwahi pita hizo kona ni hatariiiiiiiiiiii sana

  • @swaumukadidi7124
    @swaumukadidi71242 жыл бұрын

    Kuna Kona Kali Sana hapo Ila Kama hujawahi kufika unaweza ukazarau watu wakifikaga hapo kila mtu na maobi yake wa yesu nayesu wake wa mtume na mtume wake

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @zarriaabushiri661
    @zarriaabushiri6612 жыл бұрын

    bro gari ikipita salama iyo sehem unamshukuru m.mungu

  • @nyangehassan902

    @nyangehassan902

    2 жыл бұрын

    Kona mbaya zaidi zipo Barabara ya Mbinga-Mbamba bay

  • @fumbokhan1913
    @fumbokhan19132 жыл бұрын

    Millard ayo Mmoja ni sawa na Wasafi Tv 200

  • @tinnymarty

    @tinnymarty

    2 жыл бұрын

    .from twitter to youtube 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @elihurumamatowo2872
    @elihurumamatowo28722 жыл бұрын

    Hapo pakawaida sana tena ni mlima na kona za kawaida sana. Dereva anaeshangaa happ huyo bado hajatembea. Kama una gari lako lina breki za kunjunga ndio itakupa shida. Tembelea njia ya kutoka kigali kwenda bugarama ndio utajua milima.

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge24772 жыл бұрын

    Tatizo Ni madreva lakini barabara Ni nzuri sana,Bora uwenatahadhari kuliko kulibuluta gari,kwani ukitembea na gear ndogo kunatatizo gani,

  • @humphreyiddy2986
    @humphreyiddy29862 жыл бұрын

    Am kweli sitaisahau kolo kwenye maisha yangu ni kumshukuru mungu sana nilinusurika sna

  • @SongeaDistrict
    @SongeaDistrict8 ай бұрын

    Barabara nzuri Sana ukilinganisha na zamani

  • @josephlorri431
    @josephlorri4312 жыл бұрын

    Huyu dreva vipi,anaomba bumps na rasta barabarani.. watanue zaidi hii njia

  • @allymsega5639
    @allymsega56392 жыл бұрын

    Hapo pakawaida sana tofauti na zaman kbl hapajawekwa lami kuna barabara mbaya sn hlf rafu rodi ukitoka babati kwenda mbulu kuna mlima magara unakona kibao unapita juu ya mlima huk bonde na huku bonde barabara katkat

  • @willyanastazi9115
    @willyanastazi9115 Жыл бұрын

    Hujawah kuona njoo huku kagera Kama unaelekea Uganda njia ya kuelekea Uganda panaitwa rwabunuka ndo atariiiiiiiiiiiiiii sas Zaid ya hizo

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m7 ай бұрын

    Nendeni Magara huku pande za Mbulu. Ninyi hamuijui hii njia. Ukifanikiwa kupita mara mmoja tu, utasema sitawahi kujaribu kurudia kupita hii njia ya Magara. Ina kona zaidi ya mia mbili 200. Ndo barabara yenye kona mingi zaidi kupita barabara zote hapa Tanzania. Njoeni Mbulu, ukianzia Haydom kwenda Arusha, kupitia hapa Magara.

  • @AllyTingi

    @AllyTingi

    3 ай бұрын

    sio kona mia200 ban

  • @safarimallya4536
    @safarimallya45362 жыл бұрын

    Hivi Mmekosa habari auuuu duh nendeni upareni

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan9022 жыл бұрын

    Kona zipo barabara ya Mbinga- Mbamba bay hizo za Kolo Cha mtoto nazifahamu

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    2 жыл бұрын

    Waambie hawajafika buruma kuelekea chunya mpaka mbaba bay

  • @karyori69
    @karyori692 жыл бұрын

    Mbona njia nzuri na ina extra lanes kuepusha ajali brake ziki-fail! Hapo ajali ikitokea ni sababu ya mwendokasi au ubovu wa gari yaani brakes! Pita kwa mwendokasi wa 30 km/h utavuka salama!

  • @petershedrack4668
    @petershedrack46682 жыл бұрын

    Jamani hebu nendeni Upareni huko Mtaona Mambo ajabu

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist6662 жыл бұрын

    Yaani hapo mara ya kwanza kupita kwenda Arusha kutoka Mbeya du ni noma, pia kizunguzungu lazima ukipate.

  • @christopherdismas4092
    @christopherdismas40922 жыл бұрын

    Kuna maeneo hatari zaidi ya Kolo. Nenda Dabili, Magara, Nenda njia ya kwenda Usangi ukitokea Mwanga, nenda Kitonga,

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    3 ай бұрын

    Kitonga usiseme mi nilipata homa sku ya kurud safari yangu nilipofikiria ile njia .

  • @mrh2812
    @mrh28122 жыл бұрын

    Jaribu kutembelea eneo moja lipo RUKWA eneo muze ile bara bara sio poa mnapita pemben ya mlima kushuka chini sehem ilipopita bonde la ufa

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    2 жыл бұрын

    Kuna sehemu nyingine inaitwa Mbinga Mbamba Bei.Ile barabara kiboko.

  • @shangwehalisi7659
    @shangwehalisi76592 жыл бұрын

    aaah mbona barabara nzuri hiyo nenda Rukwa ukaone

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo81652 жыл бұрын

    Ila hiyo barabara ingepitia Galapo kule hakuna milima

  • @rajabually8659
    @rajabually86592 жыл бұрын

    Hapo mbona pazuri sana njooni mombo soni mjifunze kona zaidi ya kumi njia nyembamba kona nyingi

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv87211 ай бұрын

    We utakufa kwajili ya kuu tembea na gari lako huyu mzee hamuami. Dele wake

  • @johnswai1622
    @johnswai16222 жыл бұрын

    Lakini kuna escape ramp hapo kolo

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti68392 жыл бұрын

    Hiyo kona iyacheni tuu imenipoteslzea watu wagu wakaribu san

  • @amosjuma4536

    @amosjuma4536

    2 жыл бұрын

    Polee Kaka

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    2 жыл бұрын

    Du! Pole sana jamani

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael74942 жыл бұрын

    #Hancinho dos sàntos njoo utoe neno hapa

  • @marylutengano1555
    @marylutengano15552 жыл бұрын

    Jamani Mbona hizo Cha mtoto,miradi ayo nenda kazi angalie kona za kawetere kungia rwanjiro zile ndo kona sasa

  • @vincentmushi1247

    @vincentmushi1247

    2 жыл бұрын

    Hapa umenena dadaangu Tena ile njia ya chunya wakati ule wa miaka ya 80 na 90 ilikuwa ni vumbi tuu Mlima mkali na kona kali na madereva walikuwa wanapanda na kushuka ...na ajali zilikuwa chache...dada Mary mara yangu ya kwanza kupanda roli la mbao toka isanga mpaka kawetere mkojo ulinibana na tumbo la kuhara...sister yaani nawasifu madereva walivyo na roho ngumu...na uso ulikuwa mwendo wa poda... sasa hivi barabara mwake mwake, ila kona ndio usiseme

  • @marylutengano1555

    @marylutengano1555

    2 жыл бұрын

    @@vincentmushi1247 hao niwavivu hawatembelei sehemu tofauti tofauti za nchi kuna barabara ziko milimani mpaka unatamani ushuke utembee maana mkidondoka mmejizika hukohuko.

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Жыл бұрын

    Nenda lushoto mlalo kutokea mkomazi kuna kona 120 na hakuna ajali madereva tuache uzembe

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Жыл бұрын

    Mlima.hatari sana ni mlima magara ukitokea arusha kuelekea haydom

  • @madpusher2036
    @madpusher20362 жыл бұрын

    Katika safar zangu zooote Arusha Dom..Dom Arusha nilinusulka maana nmepta hapa mala nyingi mnooo

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi39802 жыл бұрын

    Swali Nin kifanyike?

  • @johnedward7843
    @johnedward78432 жыл бұрын

    I suggest speed of moving car should be slowed

  • @victorjames3730
    @victorjames37302 жыл бұрын

    Kuna lane Tano hapo na Bado dereva analalamika

  • @arafathussein7910
    @arafathussein79102 жыл бұрын

    Hajatembea uyuu,,anapajua nyang'olo na kitonga

  • @dr.eliasm.chrisant4110
    @dr.eliasm.chrisant41102 жыл бұрын

    Hiyo mbona ni barabara nzuri kabisa…. Nenda sehemu moja inaitwa kaburi wazi.. Ipo sumbawanga barabara ya kuelekea majimoto mpanda kupitia kijiji cha muze kuna kona kali sana zaidi ya kona 12 na njia ni nyembaba

  • @mcback4384
    @mcback43842 жыл бұрын

    Unawauliza maswali magumu watu wasio na uelewa nayo na mbongo hawezi kusema sijui, hilo wala sio jamvi ni zege au concrete kali iliosukwa kwa nondo ndani kama barabara za BRT na ni zege sio lami sababu lami ina kawaida ya kumeguka kwenye kona Tembelea kona zote za lami lazima utakufa mmeguko na maeneo mengine mashimo kabisa sababu lami ni laini ukilinganisha na zege (sababu ya breaks na kukata kona) Pia Tembelea maeneo barabara zenye ubora zilipojengwa utaona kwenye kona au makutano wameweka zege mfano mzuri ni barabara za kuingia na kutoka stendi mpya ya Dodoma

  • @jonasjackson987
    @jonasjackson9872 жыл бұрын

    Kuna kitonga,kuna k9,kuna machinjioni rusumo sasa sijui kama hilo eneo ni hatari kuliko hayo maeneo niliyotaja

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya8462 жыл бұрын

    Ayo tv 📺🤣😂ina watangazaji viraza eti jamvi wakati anaona ni ZEGE 🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @sadikibaruti4733
    @sadikibaruti4733 Жыл бұрын

    Hapo kolo ikiwekwa mabamsi ndio itakua hatari zaidi. Nashauri hatazile zilizopo kule chini zitolewetu.

  • @hichayasin7244
    @hichayasin72442 жыл бұрын

    NENDA MAGARA BASHNET HIYO CHA MTOTO,

  • @frankmare1708

    @frankmare1708

    2 жыл бұрын

    Pale mliman unaiona lake balangida zile ndo kona sasa

  • @agathathobias8690
    @agathathobias86902 жыл бұрын

    Mwenzenu nilipita hapo mwez wa 1 mwaka huu kutokea Arsh to Dom nilifurah kuona hizo kona kumbe ni hatar lkn Barbara zake ni pana za kutosha

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 жыл бұрын

    Tatizo si kona, bali watumiaji wa barabara, madreva wanashindwa kuchukua tahadhari na maoni wanayopewa, hizi kona si kona kama vile Rocky Mountains Marekani ambako hata wakati wa winter barabara zinajaa barafu lakini ajali ni chache sana.

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Жыл бұрын

    Tuishukuru selikari ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundo mbinu hasa barabara zetu zinapitika vizuri kipindi cha miaka ya 1990 waulize madereva wa new Arusha Mwanga star Mtei na Tashiriff ndio ambao wanaijua hiyo barabara vizuri na hapo Bonga walikuwa wanamwaga maji wanateka magari tuishukuru serikali ya Rais wetu Mh samia suluhu hasani kwa kuboresha miundo mbinu

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua23702 жыл бұрын

    Oyooo

  • @petersilas4234
    @petersilas42342 жыл бұрын

    Siku nyingine ingefaa utumie drone kupata picha nzuri.

  • @mcback4384
    @mcback43842 жыл бұрын

    Acheni ufala, Serikali ifanyeje tena wakati barabara ni pana sana na ina climbing lane tena 4 lanes, hukueni tahadhari, Huwezi linganisha kitonga na hii barabara, kitonga ina magari mengi sana na barabara ni finyu ninyi mna climbing lanes bado mnalalamika huo ni upumbavu, Mwingine anasema serikali ijenge njia nyingine, sasa kuna uwezekano wa kushuka au kupanda mlima bila kona? Elimu ndogo sana mnayo na akili za madereva kama ndio ndogo hivyo ajali haikwepeki hapo.

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    2 жыл бұрын

    Kweli Madereva hawajitambui sasa kama breki ndy zinafeli serikali inahusikaje hapo.

  • @manish-fp1fb

    @manish-fp1fb

    2 жыл бұрын

    Hiyo barabara huwa najiachia tu... haiko busy kabisa na ni pana

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    @@barakakusa7606 labda wanataka serikali ishike hizo breki 🤣

  • @frankmare1708
    @frankmare17082 жыл бұрын

    Kwa Babati nafikiri njia ya Dabil to Dongobesh hapo kwenye kimlima ndo mtihani

  • @billgussy6099
    @billgussy60999 ай бұрын

    Kabla ya kuwekwa lami ndo zilikua hatari sana

  • @maryberege3093
    @maryberege30932 жыл бұрын

    M8lad ayo ukitaka kujua bara bara yenye kona hatari na bara bara nyembamba nenda mgeta morogoro huko naona uzajifunza mengi na utapaaza sauti yako. Najua hujatrmbelea huko karibu uone milima ya uluguru ila usije piga kelele kwa uoga

  • @zanzibar.
    @zanzibar.2 жыл бұрын

    Hii mbon iko pouw tu

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge24772 жыл бұрын

    Huyu hajfika wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera,kama anaogopa hapo tuu duuuuh,tembeeni muone kunasehemu gari likianguka ata ukiwambia watu wakakate sikelepa hawaendi,ruyenze nendeni mkapaone😛😛😛😛

  • @mariamelia3906
    @mariamelia39062 жыл бұрын

    Kona ya hara Kona ya kolo ni balaa

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko29652 жыл бұрын

    Hapo hapafai kuweka bamsi itakua hatari zaidi

  • @daudpius130
    @daudpius1302 жыл бұрын

    Njoo kuruya ukiwa unatoka tarime uone kona hatali

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Жыл бұрын

    Corner kawaida sana kuna k9 ngara chiweta milima hio cha mtoto tu

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y8 ай бұрын

    I'miis kolo ndo kwetu 🌹🌹🌹🌸🪷🪷🪷🇹🇿🌺🌺🌺🌺

  • @SavegEfx
    @SavegEfx3 ай бұрын

    KOLO ni hom

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 Жыл бұрын

    Madereva wenu wazembe nende mombo kupandi Soni lushoto ndio utajua madeleva wapo tofauti Tena mwaka unaisha hakujatokea ajali

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard31539 ай бұрын

    "Escape Rane Lamp" ni wangapi wanaelewa maelekezo haya kwa nini isiwekwe na kwenye lugha inayoeleweka hasa kiswahili?

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha34222 жыл бұрын

    Pesa zinatafunwa na safari za Samia na mafisadi wenzake.

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo13022 жыл бұрын

    Njooni barabara ya chunya ndiyo mtajua kuna kona kali kuliko hizo

  • @Sengakarera
    @Sengakarera3 ай бұрын

    Hatari sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Pitia Marangu mtoni uje Rombo ndo utafurahi hizi kona za Dodoma bora hata unaiona gari inakotoka kona zingine unashtukia mmekutana tu paap

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine73172 жыл бұрын

    Kona Kali zipo Kiruka Kijiji cha Duma wilaya Same Kilimanjaro hizi mbona tambarare kabisa

  • @komudibwe866
    @komudibwe8662 жыл бұрын

    Sasa serikali sasa ifanye nini mbona hueleweki

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72954 ай бұрын

    Kolowasi Kondoa

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha58042 жыл бұрын

    Jamani kasimu nimekuona . ..

  • @frenkjacob9841
    @frenkjacob98412 жыл бұрын

    Nenda ziwarukwa kunakona15 afu sokamaizo panaitwa kaburi wazi

  • @bjzee1981
    @bjzee19812 жыл бұрын

    Hiyo njia nilipita nili soma dua njia nzima. Ukipita eneo la Bonga tu unakutana na ma corner ya ajabu. Pamoja nakua barabara ni pana na ni lami bado inatisha. Sijui wakati wa barabara za vumbi hali ilikua vipi

  • @frankmare1708

    @frankmare1708

    2 жыл бұрын

    Pa kawaida sana tembea uone

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi28542 жыл бұрын

    Hv ninyi mnao Sema pakawaida hapo mliwah pita? Ss ambao Wa Arusha Sngd tunapaelewa Sn achen ushabig wanao ongea wanahakil timam

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip89452 жыл бұрын

    Unaifahamu Magara???〰️〰️

  • @ayoubmbwambo4441
    @ayoubmbwambo44412 жыл бұрын

    Mmmmmhhh

  • @francosemmy
    @francosemmy2 жыл бұрын

    Mbona Pako vzr kikubwa madreva wafate Sheria za barabaran pia wahakikishe vyombo vyao vya usafiri vinakuwa na service ya kutosha tii Sheria bila shuruti usalama ni jukum letu sote.

  • @ireneassey9943
    @ireneassey99432 жыл бұрын

    Punguza mwendo si mmeambiwa

  • @josephmpunta1669
    @josephmpunta16692 жыл бұрын

    Kasimu idowa

  • @heyumi2340
    @heyumi23402 жыл бұрын

    kwa dino kolo hiyo ukitokea babati kuja kondoa

  • @frans_dede
    @frans_dede2 жыл бұрын

    interview nzur kam hzi ndo znatakiw cyo kilack umbea

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 Жыл бұрын

    Waende India wakasome

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael74942 жыл бұрын

    @Hancinho Dos Sàntos njoo utupe uzoefu

  • @realheartomary2972
    @realheartomary29722 жыл бұрын

    Hapo kweli bro

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99442 жыл бұрын

    Mjenzi alitakiwa aweke kingo za chuma kwenye curbs.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94892 жыл бұрын

    Kwani madereva wa Tanzania hawajui kuendesha magari kwenye kona? Ujinga gani huo? Tena shida kubwa ni kuendesha magari mabovu

  • @ireneassey9943
    @ireneassey99432 жыл бұрын

    Kama chunya mbeyaa

  • @drmussa1220
    @drmussa12202 жыл бұрын

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA .*#..*# kzread.info/dash/bejne/jJuapNmAca3SorQ.html

  • @Fundi12345
    @Fundi123452 жыл бұрын

    Hakuna hito dreva anakijuwa huko tu kuna kona mburu huko kona hatai na metelemuko hatali 120 utasema nini wewe!

  • @user-qe8jj2cl8q

    @user-qe8jj2cl8q

    2 жыл бұрын

    Umesoma hadi darasa LA ngap wewe?

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom99442 жыл бұрын

    Usipitwe na hii kzread.info/dash/bejne/X2aXl9uBo6nbprg.html

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino43052 жыл бұрын

    Msinikumbushe maana hata maumivu hayajaisha ilokuwa nusu kila mtu alishikilia roho.

  • @shedracksteven3183

    @shedracksteven3183

    2 жыл бұрын

    Wew ndo unaye jikumbusha kwan kuna alye kuomba uingie huku kuchek😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @franciscaaugustino4305

    @franciscaaugustino4305

    2 жыл бұрын

    @@shedracksteven3183 acha shobo dera litakuhusu

  • @ip_header
    @ip_header2 жыл бұрын

    Kumbe Kolo ni jina maarufu

  • @brenthylland2507
    @brenthylland25072 жыл бұрын

    Unaongea kwakurudia sana improve kuongea

  • @djtiffa9664
    @djtiffa96642 жыл бұрын

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA .*#.*# kzread.info/dash/bejne/jJuapNmAca3SorQ.html

  • @drmussa1220
    @drmussa12202 жыл бұрын

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA .*#..*# kzread.info/dash/bejne/jJuapNmAca3SorQ.html

Келесі