TAHADHARI ! MAKOSA HAYA YATAKUFUNGISHA KATIKA SERIKALI YA AWAMU HII YA 8 ZNZ

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 19

  • @abdumodest5898
    @abdumodest58983 жыл бұрын

    Sio kwel mpaka leo uhur wa kujielez haupo kwa wanahabar

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    FREEDOM OF SPEECH .

  • @makamekhamis8215
    @makamekhamis82153 жыл бұрын

    Miminawauliza kuchukuliwa video zangu bila ya rizayangu ikasambaza mitandaon bilaya makubaliano sifaidiki na chochote na waomba munisaidie na wapi niazie nipate msaada wenu

  • @hudhud2022
    @hudhud20223 жыл бұрын

    Hebu wakisoweni hao wanawake wanaotuninsha vichwa kama hivyo waliivaa baadhi yao mtapata Radhi za Allah

  • @asfarsham9037
    @asfarsham90373 жыл бұрын

    Mmh Mheshimiwa Rais una kazi ngumu bado na watu hawa.chuki zipo kumbe bado.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Porojo to pumbav kweli

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker20623 жыл бұрын

    Uharo kwenda mbele .

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy37253 жыл бұрын

    Hata mtufunge sote ukweli haujifichi

  • @hudhud2022
    @hudhud20223 жыл бұрын

    Uwongo mtupu msitutishe

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif57853 жыл бұрын

    Watu wakikosa akili utawajua tu. Sasa jiulizeni nini kinasumbua ikiwa mtu au kikundi fulani kitatoa habari tena tuseme ya uongo. Hakuna athari yoyote itakayoletwa iwapo ukweli upo. Basi nyie wapumbavu mnachojua ni vitisho na manyanyaso kwa raia wema. Aibu tupi

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    Kila mtu anahaki yake katika dunia hii hakuna FIRAUNI au DICTATORSHIP

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee33743 жыл бұрын

    🤐🤐🤐🚑🚑

  • @nassormohammed1743
    @nassormohammed17433 жыл бұрын

    upuuzi mtupu mpo kisiasa zaidi

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 Kwanza wajifunze lugha ya kiswahili

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    3 жыл бұрын

    @@nailamohd7693 mh

  • @abdumodest5898

    @abdumodest5898

    3 жыл бұрын

    @@nailamohd7693 kweli asaa hawajui ata kuongea upuuz t

  • @khulayfnassor6938

    @khulayfnassor6938

    3 жыл бұрын

    Mau ah ukereketwa naona

  • @husseynhamad9790
    @husseynhamad97903 жыл бұрын

    Chochote hakuna

  • @massoudmohd609
    @massoudmohd6093 жыл бұрын

    Acha kujidanganya unasema bila radio au gazeti tungeishije wewe vp kwani sisi ni watu wa kwanza kuishi hapa duniani sisi tunaishi bila ya tv na radio we homa nini

Келесі