TAHADHARI ! MAKOSA HAYA YATAKUFUNGISHA KATIKA SERIKALI YA AWAMU HII YA 8 ZNZ
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 19
Sio kwel mpaka leo uhur wa kujielez haupo kwa wanahabar
FREEDOM OF SPEECH .
Miminawauliza kuchukuliwa video zangu bila ya rizayangu ikasambaza mitandaon bilaya makubaliano sifaidiki na chochote na waomba munisaidie na wapi niazie nipate msaada wenu
Hebu wakisoweni hao wanawake wanaotuninsha vichwa kama hivyo waliivaa baadhi yao mtapata Radhi za Allah
Mmh Mheshimiwa Rais una kazi ngumu bado na watu hawa.chuki zipo kumbe bado.
Porojo to pumbav kweli
Uharo kwenda mbele .
Hata mtufunge sote ukweli haujifichi
Uwongo mtupu msitutishe
Watu wakikosa akili utawajua tu. Sasa jiulizeni nini kinasumbua ikiwa mtu au kikundi fulani kitatoa habari tena tuseme ya uongo. Hakuna athari yoyote itakayoletwa iwapo ukweli upo. Basi nyie wapumbavu mnachojua ni vitisho na manyanyaso kwa raia wema. Aibu tupi
Kila mtu anahaki yake katika dunia hii hakuna FIRAUNI au DICTATORSHIP
🤐🤐🤐🚑🚑
upuuzi mtupu mpo kisiasa zaidi
@nailamohd7693
3 жыл бұрын
😂😂😂 Kwanza wajifunze lugha ya kiswahili
@ismailjuma3692
3 жыл бұрын
@@nailamohd7693 mh
@abdumodest5898
3 жыл бұрын
@@nailamohd7693 kweli asaa hawajui ata kuongea upuuz t
@khulayfnassor6938
3 жыл бұрын
Mau ah ukereketwa naona
Chochote hakuna
Acha kujidanganya unasema bila radio au gazeti tungeishije wewe vp kwani sisi ni watu wa kwanza kuishi hapa duniani sisi tunaishi bila ya tv na radio we homa nini