MWANAMKE "RAIA WA MALAWI" ANASWA ZANZIBAR NA KILO 5 ZA DAWA ZA KULEVYA

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 32

  • @samirahassan3212
    @samirahassan32123 жыл бұрын

    Dagaa kanaswa lakini nyangumi hawapatikani nawakija nazo kamera zinazimwa umeme dakika mbili msituzuge

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90303 жыл бұрын

    🙏🙏🙏hongera kwa bidii ya kuzibiti madawa ya kulevya

  • @allymussa4557
    @allymussa45573 жыл бұрын

    Wazanzibar wengi wastarabu Madawa nauchafu unaletwa nawageni

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya87173 жыл бұрын

    Sasa wanaokamwatwa mbona ni wageni tu au wazanzibar hii biashara hawafanyagi?

  • @ibnually4109

    @ibnually4109

    3 жыл бұрын

    Nyoosha maneno hawakamatwi au hujapata taarifa zao

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    wanakamatwa nchi za uhaibuni

  • @duduvule8124

    @duduvule8124

    3 жыл бұрын

    Ali Mohammed raza ni mmoja anauza madawa na kila mtu anajuwa na wala hafanywi ktu

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu3 жыл бұрын

    Hakuna mzanzibar aliekamatwa na madawa. Kweli mnafanya kazi kwa mashirikiano

  • @ibnually4109

    @ibnually4109

    3 жыл бұрын

    Madawa yanaingizwa ni wageni

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    3 жыл бұрын

    @@ibnually4109 Ahaa kumbe ni hivgo

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi13143 жыл бұрын

    Makunduchi wapo Watumiaji wengi na Sehemu inajulikana Njia ya Mtende Pia Police station ipo Kule Wambieni Waende kuwashika Vijana Wapo hoi Sana ni Rahisi sana Kuwashika Maana Watumiaji ni wengi na ni Ndugu zetu. Hongereni Sana

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64743 жыл бұрын

    Mhhhh haya

  • @abeidaabdallah2450
    @abeidaabdallah24503 жыл бұрын

    Mr Masoud nakutafuta sana

  • @samirahassan3212
    @samirahassan32123 жыл бұрын

    Tatizo lahuyo aliekamatwa hajashilikiana na vizito ila kwamungu simbali tutarejea

  • @luvmo04
    @luvmo043 жыл бұрын

    Drug free we can

  • @amoural-harthy7312
    @amoural-harthy73123 жыл бұрын

    Huyu mama ni nani. Naona yupo sawa

  • @du8284
    @du82843 жыл бұрын

    WA ZANZIBAR NYIE MNALEANA, KWANI NYIE NDIO HAMFANYAGI MAOVU? MBONA WALE MASHOGA MNAWAFUGA? ACHENI UPENDELEO🤔🤔🤔🤔

  • @ibnually4109

    @ibnually4109

    3 жыл бұрын

    Hawataki kuingiziwa madawa ya kulevya

  • @adammjomba7112
    @adammjomba71123 жыл бұрын

    Inamaana mgeni amekuja bila mweneji hiyo sio kweli kunakilocho jificha .kama hao wageni wakiulizwa vizuri watawataja weneji wao wsliowaita njooni huku nzanzibari biashara ipo wao wageni wangeijuaje nzanzibari bila mweneji? Haki itendeke. Au ndio Ile Dunia hakuna Haki haki ipo kwa Ahlla mbinguni?

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    Waheshiwa mwisho wenu oktoba 2020.

  • @abdallahhassani6377
    @abdallahhassani63773 жыл бұрын

    Jeee uwamsho mumewakamata kwa kesi gan,,,,,,?

  • @nasrashaame467

    @nasrashaame467

    3 жыл бұрын

    Kamulize seif sharif

  • @abdallahhassani6377

    @abdallahhassani6377

    3 жыл бұрын

    Ktk watu walio kuwa madhalim bila shaka naww piya umo,

  • @zulfatdidas369

    @zulfatdidas369

    3 жыл бұрын

    Wamesema wamewakamata Kwa kesi ya uchochez ya uvunjifu wa aman

  • @abdallahhassani6377

    @abdallahhassani6377

    3 жыл бұрын

    Marahii innshallah tutafanya fujo nawao hawapo uraiyan.halafu tucheck

  • @abdallahhassani6377

    @abdallahhassani6377

    3 жыл бұрын

    @@zulfatdidas369 ila wajuwe kuwa kuna hakim alie kuwa hapokei rushwa wala hangalii uson wa mtu km atamuoneleya huruma.wajuwe kuwa duniya tunapita to dar,

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen46753 жыл бұрын

    mbona wazanzibar hawamukamati

  • @ibnually4109

    @ibnually4109

    3 жыл бұрын

    Ata ww km utakuwa makini hutokamatwa, au unamjuwa mzanzibar aliyekamatwa na madawa halafu kaachiwa?

  • @hailinhelen4675

    @hailinhelen4675

    3 жыл бұрын

    alaa unamanisha znz inahalalisha madawa ya kulevya kwa anae kuwa makini kumbe awo unowakamata mnawakamata kwa unjinga wao kutowa makini na sio mnafanya kazi zenu kiuzalendo kwa taifa la znz .kama weye ndio ulowekwa kujibu basi make ujuwe la kujibu wewe ndio unowafundisha uwo umakinini wakipita na madawa wasikamatwe

  • @ibnually4109

    @ibnually4109

    3 жыл бұрын

    @@hailinhelen4675 kuwa muelewa kwa maana km unahisi kuna wazanzibari wanajihusisha na madawa na hawajakamatwa ujue mbinu zao hazijagundulikana

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Hayo madawa mukiyakamata badae munayauza nyie. Mana mateja hawaishi zanzibar kama munasema munayakamata na ulinzi mkali. Au tuonesheni jins munavyo yachoma moto ila kama gongo na wanzuk na tap tapu munatuonesha na kuyamwaga huko kiboje. Nyie wenyenu ndio munayo sambaza

  • @rajabkisebengo9406
    @rajabkisebengo94063 жыл бұрын

    Kesho utaskia mtu kajitosa baharini watu wanatililika mitandaoni na mitaani ili wazubae