MWANAMKE "RAIA WA MALAWI" ANASWA ZANZIBAR NA KILO 5 ZA DAWA ZA KULEVYA
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 32
Dagaa kanaswa lakini nyangumi hawapatikani nawakija nazo kamera zinazimwa umeme dakika mbili msituzuge
🙏🙏🙏hongera kwa bidii ya kuzibiti madawa ya kulevya
Wazanzibar wengi wastarabu Madawa nauchafu unaletwa nawageni
Sasa wanaokamwatwa mbona ni wageni tu au wazanzibar hii biashara hawafanyagi?
@ibnually4109
3 жыл бұрын
Nyoosha maneno hawakamatwi au hujapata taarifa zao
@zuleikhakhamis3303
3 жыл бұрын
wanakamatwa nchi za uhaibuni
@duduvule8124
3 жыл бұрын
Ali Mohammed raza ni mmoja anauza madawa na kila mtu anajuwa na wala hafanywi ktu
Hakuna mzanzibar aliekamatwa na madawa. Kweli mnafanya kazi kwa mashirikiano
@ibnually4109
3 жыл бұрын
Madawa yanaingizwa ni wageni
@MrKhatibu
3 жыл бұрын
@@ibnually4109 Ahaa kumbe ni hivgo
Makunduchi wapo Watumiaji wengi na Sehemu inajulikana Njia ya Mtende Pia Police station ipo Kule Wambieni Waende kuwashika Vijana Wapo hoi Sana ni Rahisi sana Kuwashika Maana Watumiaji ni wengi na ni Ndugu zetu. Hongereni Sana
Mhhhh haya
Mr Masoud nakutafuta sana
Tatizo lahuyo aliekamatwa hajashilikiana na vizito ila kwamungu simbali tutarejea
Drug free we can
Huyu mama ni nani. Naona yupo sawa
WA ZANZIBAR NYIE MNALEANA, KWANI NYIE NDIO HAMFANYAGI MAOVU? MBONA WALE MASHOGA MNAWAFUGA? ACHENI UPENDELEO🤔🤔🤔🤔
@ibnually4109
3 жыл бұрын
Hawataki kuingiziwa madawa ya kulevya
Inamaana mgeni amekuja bila mweneji hiyo sio kweli kunakilocho jificha .kama hao wageni wakiulizwa vizuri watawataja weneji wao wsliowaita njooni huku nzanzibari biashara ipo wao wageni wangeijuaje nzanzibari bila mweneji? Haki itendeke. Au ndio Ile Dunia hakuna Haki haki ipo kwa Ahlla mbinguni?
Waheshiwa mwisho wenu oktoba 2020.
Jeee uwamsho mumewakamata kwa kesi gan,,,,,,?
@nasrashaame467
3 жыл бұрын
Kamulize seif sharif
@abdallahhassani6377
3 жыл бұрын
Ktk watu walio kuwa madhalim bila shaka naww piya umo,
@zulfatdidas369
3 жыл бұрын
Wamesema wamewakamata Kwa kesi ya uchochez ya uvunjifu wa aman
@abdallahhassani6377
3 жыл бұрын
Marahii innshallah tutafanya fujo nawao hawapo uraiyan.halafu tucheck
@abdallahhassani6377
3 жыл бұрын
@@zulfatdidas369 ila wajuwe kuwa kuna hakim alie kuwa hapokei rushwa wala hangalii uson wa mtu km atamuoneleya huruma.wajuwe kuwa duniya tunapita to dar,
mbona wazanzibar hawamukamati
@ibnually4109
3 жыл бұрын
Ata ww km utakuwa makini hutokamatwa, au unamjuwa mzanzibar aliyekamatwa na madawa halafu kaachiwa?
@hailinhelen4675
3 жыл бұрын
alaa unamanisha znz inahalalisha madawa ya kulevya kwa anae kuwa makini kumbe awo unowakamata mnawakamata kwa unjinga wao kutowa makini na sio mnafanya kazi zenu kiuzalendo kwa taifa la znz .kama weye ndio ulowekwa kujibu basi make ujuwe la kujibu wewe ndio unowafundisha uwo umakinini wakipita na madawa wasikamatwe
@ibnually4109
3 жыл бұрын
@@hailinhelen4675 kuwa muelewa kwa maana km unahisi kuna wazanzibari wanajihusisha na madawa na hawajakamatwa ujue mbinu zao hazijagundulikana
Hayo madawa mukiyakamata badae munayauza nyie. Mana mateja hawaishi zanzibar kama munasema munayakamata na ulinzi mkali. Au tuonesheni jins munavyo yachoma moto ila kama gongo na wanzuk na tap tapu munatuonesha na kuyamwaga huko kiboje. Nyie wenyenu ndio munayo sambaza
Kesho utaskia mtu kajitosa baharini watu wanatililika mitandaoni na mitaani ili wazubae