Huyu Kassim ndio typically wazanzibari walivyo. Hawajui wanachokitafuta. Wanatafuta Tonge. Nchi inaibiwa wao wanapiga makofi. Hatari sana.
@muhammedbakari286710 ай бұрын
Huyo ni mzanzibar halisi .. nyinyi mlifikiri kuwa na pandikiz la Tanganyika..mumenowa😂😂😂😂😂
@ismailsaidsalim2963 жыл бұрын
Mashallah
@wakwetu2444 Жыл бұрын
Wa Tanzania ni waoga sana. Othman anajiamini.
@mohamedturanardan88713 жыл бұрын
Wewe mzee kenge mwenye miwani mbaya kama Makalio ya mama yako umeshakataliwa UROA na sasa unauza mwani UROA.
@almarwazyalhaythamiy5554
3 жыл бұрын
Ukitukana mama za watu na wako atatukanwa tu
@mohamedturanardan8871
2 жыл бұрын
@@almarwazyalhaythamiy5554 tukana tu
@MAPETEE2 жыл бұрын
Tuna mpenda sanaaa othman Masud
@adamabui61212 жыл бұрын
Othman Masud ulipo tupo mwanzo mwisho hatuutakiiii. Mzeee mwanga weweee
@abdulhakimjuma91122 жыл бұрын
Tunasimama na othman wakati wwte na popote akiendeleza msimamo wake tunahitaji viongozi kama othman masoud zanzibar hatutaki mijitu isiokuwa na imani na vizazi vyao na tutapambanao inshallah mpaka tone la mwisho la damu yetu inshallah
@zuwena1zuwena1143 жыл бұрын
Sasa wamemuelewa
@Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын
We wanna to make this nation great again
@alishaib9004
3 жыл бұрын
Anatufaa sanaaaa
@MohamedAli-en9xh3 жыл бұрын
Haya majamaa ni ma zuzu hayajui yatendalo na hivo ndivo ilvo kuwa hata kwa maalim seif Amepgania hak na maslah ya majitu haya haya lkn yalikuwa yaki mbeza na kumkashifu na matusi ya kla aina et leo ni marehemu ndo wana mcfia shenzi sana
@aishakhamis9438
3 жыл бұрын
Nashangaa et mpaka kitab
@alirashid5025
3 жыл бұрын
Haki itabaki kuwa haki
@yusufmohamed88747 ай бұрын
Wazanzibari ni binadamu wanafiki
@aliyaliya19952 жыл бұрын
Tatizo la znz kuna mapandikizi mengisana ndio yanayopata nyazifa za juu znz waznz wenye uchungu na nchiyao hawapati nafas odhman pekeake ndio kaonesha misimamo hao wapuuzi hawana uchungu na kwao
@bellissimainstitution2 жыл бұрын
Yaani watu wote wana comment vizuri kuhusu upinzani sasa hawa CCM wapo wapi
@alinassor3912 жыл бұрын
Yeye katizama maslahi ya wananchi wa zanzibar sio maslahi ya ccm
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Chezea mpemba we
@youssouphsalum7862 жыл бұрын
Asili y wazanzibar san unguja n ujinga 2
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👊👍✌.
@salimhamad-ms6qo11 ай бұрын
Othman masoud alikosea wapi yeye ?
@mahmoudmahfudh75683 жыл бұрын
Bon cine
@mwinjumamwinyi2042 Жыл бұрын
Waliompinga huyu tatizo wamesoma ila hawakufahamu
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Hamna kitu,,,
@hamadkhamis65722 жыл бұрын
Ndio matatizo ya kumchukuwa mtu kwenye kibanda cha karata, anakuwa ni maskini wa msupa wake wa akili unapitia tumboni.
@ukusihaji30492 жыл бұрын
Mei mossi
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Wee babu mwehu nini? Hata kama nchi inazama akubali tu?
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Kitwana mashuzi yamemshika
@asrashseif65323 жыл бұрын
Hivi nauliza kwanini babu sheni alimfukuza kazi
@sulymansalymaly3859
2 жыл бұрын
Shein mwenyewe hamna kitu huyu Othman ni mzalendo wa kweli na anaipenda nchi yake leo yuko wp huyo mbunge wa Chwaka aliembeza kwa kuitetea nchi yake
@hamadkhamis6572
2 жыл бұрын
Hakumfukuza yeye ni bwana zake waliomuweka
@AhmedSaleh-ex1xc2 жыл бұрын
Wapinzan musijione kwamb nyiny ndo mnauchung w nchi.endepo kiongoz kakosea niwajibu wake kukosokewa.kw hili ndugu Masoud alikosea n alipaswa kuwemo katika kujadil ay mamb lkn alijitoa.alktakiw ashirik atoe hoja zake.cuf,ccm wote nao ni wazanzibar km nyiny iv hawana akili ety kuangamiz nchi Yao.
Пікірлер: 53
Wa kweli prof Othman shujaa hafilisiki mwenye kuacha jambo kwa ajili ya Allah basi Allah humpa kubwa na bora kuliko hilo
Ama kweli ukitetea haki lazima allah atukuweka juu tu. Alizomewa leo anapigiwa saluti na hao walio mzomea . Chapa kazi mheshimwa othman
Kafuata Nyayo Wolfgang Dourado, Mwanasheria Mkuu wa Rais Abeid Karume🙏👍
Hao waliosema hafai hawapo leo na wanajuta mwenzao apigiwa salute ccm Zanzíbar wao walikuwa bora tumbo hawatizami maslahi ya nchi na vizazi vijavyo
Hili lina mikoti na kofia hana hata Cha kusema. Safi sana Othman Masoud.Mungu atakulinda na Allah atakupa nguvu uepukane na unafiki.
Hongera mh othman👍👍💪💪💪💪💞💞💞💞💃💃💃💃💃👌👌👌👌
Mulitegemea nayeye awemo ili mutuzamishe wazanzibar yeye katumilia elimu kaikataa katiba haifai nyinyi munatumilia chama🤣🤣🤣🤣
Sijawah kijitia katika siasa tokea nizaliwe ila baada ya kuona clip hii nasimama na OMO inshallah Tunahitaj viongozi km hawa
Siku hii OMO kwa uwezo wa Alla aliinusuru Zanzibar dhidi ya maadui wa Zanzibar
Duh kumbe ni wanafik wote waliozidi kushangiria hawakujielewa
Mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi mungu akulaze mahali pema peponi
Wazanzinar ndio waliharibu katiba mpya hawakukujua Kama OMO alikuwa sahihi
Maadui wakubwa wa Zanzibar ni viongozi wa CCM Zanzibar
Namkubali sana mh.OMO
Huyo yahaya nimzee mjinga nahajui uwamuzi wamtu zanzibar 1
Huyu Kassim ndio typically wazanzibari walivyo. Hawajui wanachokitafuta. Wanatafuta Tonge. Nchi inaibiwa wao wanapiga makofi. Hatari sana.
Huyo ni mzanzibar halisi .. nyinyi mlifikiri kuwa na pandikiz la Tanganyika..mumenowa😂😂😂😂😂
Mashallah
Wa Tanzania ni waoga sana. Othman anajiamini.
Wewe mzee kenge mwenye miwani mbaya kama Makalio ya mama yako umeshakataliwa UROA na sasa unauza mwani UROA.
@almarwazyalhaythamiy5554
3 жыл бұрын
Ukitukana mama za watu na wako atatukanwa tu
@mohamedturanardan8871
2 жыл бұрын
@@almarwazyalhaythamiy5554 tukana tu
Tuna mpenda sanaaa othman Masud
Othman Masud ulipo tupo mwanzo mwisho hatuutakiiii. Mzeee mwanga weweee
Tunasimama na othman wakati wwte na popote akiendeleza msimamo wake tunahitaji viongozi kama othman masoud zanzibar hatutaki mijitu isiokuwa na imani na vizazi vyao na tutapambanao inshallah mpaka tone la mwisho la damu yetu inshallah
Sasa wamemuelewa
We wanna to make this nation great again
@alishaib9004
3 жыл бұрын
Anatufaa sanaaaa
Haya majamaa ni ma zuzu hayajui yatendalo na hivo ndivo ilvo kuwa hata kwa maalim seif Amepgania hak na maslah ya majitu haya haya lkn yalikuwa yaki mbeza na kumkashifu na matusi ya kla aina et leo ni marehemu ndo wana mcfia shenzi sana
@aishakhamis9438
3 жыл бұрын
Nashangaa et mpaka kitab
@alirashid5025
3 жыл бұрын
Haki itabaki kuwa haki
Wazanzibari ni binadamu wanafiki
Tatizo la znz kuna mapandikizi mengisana ndio yanayopata nyazifa za juu znz waznz wenye uchungu na nchiyao hawapati nafas odhman pekeake ndio kaonesha misimamo hao wapuuzi hawana uchungu na kwao
Yaani watu wote wana comment vizuri kuhusu upinzani sasa hawa CCM wapo wapi
Yeye katizama maslahi ya wananchi wa zanzibar sio maslahi ya ccm
Chezea mpemba we
Asili y wazanzibar san unguja n ujinga 2
👊👍✌.
Othman masoud alikosea wapi yeye ?
Bon cine
Waliompinga huyu tatizo wamesoma ila hawakufahamu
Hamna kitu,,,
Ndio matatizo ya kumchukuwa mtu kwenye kibanda cha karata, anakuwa ni maskini wa msupa wake wa akili unapitia tumboni.
Mei mossi
Wee babu mwehu nini? Hata kama nchi inazama akubali tu?
Kitwana mashuzi yamemshika
Hivi nauliza kwanini babu sheni alimfukuza kazi
@sulymansalymaly3859
2 жыл бұрын
Shein mwenyewe hamna kitu huyu Othman ni mzalendo wa kweli na anaipenda nchi yake leo yuko wp huyo mbunge wa Chwaka aliembeza kwa kuitetea nchi yake
@hamadkhamis6572
2 жыл бұрын
Hakumfukuza yeye ni bwana zake waliomuweka
Wapinzan musijione kwamb nyiny ndo mnauchung w nchi.endepo kiongoz kakosea niwajibu wake kukosokewa.kw hili ndugu Masoud alikosea n alipaswa kuwemo katika kujadil ay mamb lkn alijitoa.alktakiw ashirik atoe hoja zake.cuf,ccm wote nao ni wazanzibar km nyiny iv hawana akili ety kuangamiz nchi Yao.
Wabongo wacheka wakistia mapono yajinyonga yenyewe