TUJIKUMBUSHE: Kama ulikuwa humjui huyu ndie Othman Masoud Othman na msimamo wake kwa ZANZIBAR.

Пікірлер: 53

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын

    Wa kweli prof Othman shujaa hafilisiki mwenye kuacha jambo kwa ajili ya Allah basi Allah humpa kubwa na bora kuliko hilo

  • @kassimharoub9075
    @kassimharoub90753 жыл бұрын

    Ama kweli ukitetea haki lazima allah atukuweka juu tu. Alizomewa leo anapigiwa saluti na hao walio mzomea . Chapa kazi mheshimwa othman

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69562 ай бұрын

    Kafuata Nyayo Wolfgang Dourado, Mwanasheria Mkuu wa Rais Abeid Karume🙏👍

  • @mirajiali3926
    @mirajiali39263 жыл бұрын

    Hao waliosema hafai hawapo leo na wanajuta mwenzao apigiwa salute ccm Zanzíbar wao walikuwa bora tumbo hawatizami maslahi ya nchi na vizazi vijavyo

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim94232 жыл бұрын

    Hili lina mikoti na kofia hana hata Cha kusema. Safi sana Othman Masoud.Mungu atakulinda na Allah atakupa nguvu uepukane na unafiki.

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena1143 жыл бұрын

    Hongera mh othman👍👍💪💪💪💪💞💞💞💞💃💃💃💃💃👌👌👌👌

  • @kassimmussa7814
    @kassimmussa78143 жыл бұрын

    Mulitegemea nayeye awemo ili mutuzamishe wazanzibar yeye katumilia elimu kaikataa katiba haifai nyinyi munatumilia chama🤣🤣🤣🤣

  • @abrahmanamour8223
    @abrahmanamour8223 Жыл бұрын

    Sijawah kijitia katika siasa tokea nizaliwe ila baada ya kuona clip hii nasimama na OMO inshallah Tunahitaj viongozi km hawa

  • @msabahaali758
    @msabahaali7582 жыл бұрын

    Siku hii OMO kwa uwezo wa Alla aliinusuru Zanzibar dhidi ya maadui wa Zanzibar

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena1143 жыл бұрын

    Duh kumbe ni wanafik wote waliozidi kushangiria hawakujielewa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi mungu akulaze mahali pema peponi

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice86862 жыл бұрын

    Wazanzinar ndio waliharibu katiba mpya hawakukujua Kama OMO alikuwa sahihi

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 Жыл бұрын

    Maadui wakubwa wa Zanzibar ni viongozi wa CCM Zanzibar

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis7910 Жыл бұрын

    Namkubali sana mh.OMO

  • @user-sc5fz4gy5s
    @user-sc5fz4gy5s3 ай бұрын

    Huyo yahaya nimzee mjinga nahajui uwamuzi wamtu zanzibar 1

  • @amohammed3390
    @amohammed33902 жыл бұрын

    Huyu Kassim ndio typically wazanzibari walivyo. Hawajui wanachokitafuta. Wanatafuta Tonge. Nchi inaibiwa wao wanapiga makofi. Hatari sana.

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari286710 ай бұрын

    Huyo ni mzanzibar halisi .. nyinyi mlifikiri kuwa na pandikiz la Tanganyika..mumenowa😂😂😂😂😂

  • @ismailsaidsalim296
    @ismailsaidsalim2963 жыл бұрын

    Mashallah

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Жыл бұрын

    Wa Tanzania ni waoga sana. Othman anajiamini.

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88713 жыл бұрын

    Wewe mzee kenge mwenye miwani mbaya kama Makalio ya mama yako umeshakataliwa UROA na sasa unauza mwani UROA.

  • @almarwazyalhaythamiy5554

    @almarwazyalhaythamiy5554

    3 жыл бұрын

    Ukitukana mama za watu na wako atatukanwa tu

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    2 жыл бұрын

    @@almarwazyalhaythamiy5554 tukana tu

  • @MAPETEE
    @MAPETEE2 жыл бұрын

    Tuna mpenda sanaaa othman Masud

  • @adamabui6121
    @adamabui61212 жыл бұрын

    Othman Masud ulipo tupo mwanzo mwisho hatuutakiiii. Mzeee mwanga weweee

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma91122 жыл бұрын

    Tunasimama na othman wakati wwte na popote akiendeleza msimamo wake tunahitaji viongozi kama othman masoud zanzibar hatutaki mijitu isiokuwa na imani na vizazi vyao na tutapambanao inshallah mpaka tone la mwisho la damu yetu inshallah

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena1143 жыл бұрын

    Sasa wamemuelewa

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88883 жыл бұрын

    We wanna to make this nation great again

  • @alishaib9004

    @alishaib9004

    3 жыл бұрын

    Anatufaa sanaaaa

  • @MohamedAli-en9xh
    @MohamedAli-en9xh3 жыл бұрын

    Haya majamaa ni ma zuzu hayajui yatendalo na hivo ndivo ilvo kuwa hata kwa maalim seif Amepgania hak na maslah ya majitu haya haya lkn yalikuwa yaki mbeza na kumkashifu na matusi ya kla aina et leo ni marehemu ndo wana mcfia shenzi sana

  • @aishakhamis9438

    @aishakhamis9438

    3 жыл бұрын

    Nashangaa et mpaka kitab

  • @alirashid5025

    @alirashid5025

    3 жыл бұрын

    Haki itabaki kuwa haki

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88747 ай бұрын

    Wazanzibari ni binadamu wanafiki

  • @aliyaliya1995
    @aliyaliya19952 жыл бұрын

    Tatizo la znz kuna mapandikizi mengisana ndio yanayopata nyazifa za juu znz waznz wenye uchungu na nchiyao hawapati nafas odhman pekeake ndio kaonesha misimamo hao wapuuzi hawana uchungu na kwao

  • @bellissimainstitution
    @bellissimainstitution2 жыл бұрын

    Yaani watu wote wana comment vizuri kuhusu upinzani sasa hawa CCM wapo wapi

  • @alinassor391
    @alinassor3912 жыл бұрын

    Yeye katizama maslahi ya wananchi wa zanzibar sio maslahi ya ccm

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97652 жыл бұрын

    Chezea mpemba we

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum7862 жыл бұрын

    Asili y wazanzibar san unguja n ujinga 2

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything5 ай бұрын

    👊👍✌.

  • @salimhamad-ms6qo
    @salimhamad-ms6qo11 ай бұрын

    Othman masoud alikosea wapi yeye ?

  • @mahmoudmahfudh7568
    @mahmoudmahfudh75683 жыл бұрын

    Bon cine

  • @mwinjumamwinyi2042
    @mwinjumamwinyi2042 Жыл бұрын

    Waliompinga huyu tatizo wamesoma ila hawakufahamu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Hamna kitu,,,

  • @hamadkhamis6572
    @hamadkhamis65722 жыл бұрын

    Ndio matatizo ya kumchukuwa mtu kwenye kibanda cha karata, anakuwa ni maskini wa msupa wake wa akili unapitia tumboni.

  • @ukusihaji3049
    @ukusihaji30492 жыл бұрын

    Mei mossi

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Жыл бұрын

    Wee babu mwehu nini? Hata kama nchi inazama akubali tu?

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Жыл бұрын

    Kitwana mashuzi yamemshika

  • @asrashseif6532
    @asrashseif65323 жыл бұрын

    Hivi nauliza kwanini babu sheni alimfukuza kazi

  • @sulymansalymaly3859

    @sulymansalymaly3859

    2 жыл бұрын

    Shein mwenyewe hamna kitu huyu Othman ni mzalendo wa kweli na anaipenda nchi yake leo yuko wp huyo mbunge wa Chwaka aliembeza kwa kuitetea nchi yake

  • @hamadkhamis6572

    @hamadkhamis6572

    2 жыл бұрын

    Hakumfukuza yeye ni bwana zake waliomuweka

  • @AhmedSaleh-ex1xc
    @AhmedSaleh-ex1xc2 жыл бұрын

    Wapinzan musijione kwamb nyiny ndo mnauchung w nchi.endepo kiongoz kakosea niwajibu wake kukosokewa.kw hili ndugu Masoud alikosea n alipaswa kuwemo katika kujadil ay mamb lkn alijitoa.alktakiw ashirik atoe hoja zake.cuf,ccm wote nao ni wazanzibar km nyiny iv hawana akili ety kuangamiz nchi Yao.

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar91242 жыл бұрын

    Wabongo wacheka wakistia mapono yajinyonga yenyewe

Келесі