MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU Mhe OTHMAN MASOUD OTHMAN MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR.

Kutoka ALFATAH TV ONLINE
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​.
#ALFATAHCHARITABLEASSOCIATION​​​​​.

Пікірлер: 65

  • @khamisjuma5481
    @khamisjuma54813 жыл бұрын

    Mungu mbariki mh othman masoud othman sharrif pamoja na wazanzibar wote aaaamin

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @mfungwahuru
    @mfungwahuru3 жыл бұрын

    Mmefanya jambo zuri mno Al Fatah..Allah akulipeni kheri

  • @aishaaisharagp9381

    @aishaaisharagp9381

    3 жыл бұрын

    Hatana mm pia nimemkubali nanimempokea kwsmikpno miwili

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53403 жыл бұрын

    Allah amfanyie wepesi zaidi na zaidi yarab 👐👐👐Allah amrehem Maalim Seif sharif Hamad😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira32093 жыл бұрын

    Mimi niko Bara ila nawapenda sana ndugu zangu wa Zanzibari. Naumia sana Mzanzibari kukosa Khaki na nchi yake. Allah amrehemu Maalim Seif Sharif. Na pia Allah ampe nguvu Makamu wa kwanza wa Rais awe na uchungu na Wazanzibari na Waislam kwa ujumla. Ameen

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Tunashukuru, audio na video 1st class. ZBC waje kusoma kwenu.

  • @AllyHilal
    @AllyHilal3 жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka yangu, Ustadh Rashid Salim.

  • @mohammedjumakhamis8151

    @mohammedjumakhamis8151

    3 жыл бұрын

    Tupo pamoja Maalim wangu Ali Hilal

  • @danielkahambo207
    @danielkahambo2073 жыл бұрын

    i think alfatah is a tv channel that has professionals, i'm the person who loves his works, they have better quality, i really love

  • @khalidfadhil9488
    @khalidfadhil94883 жыл бұрын

    Nyie Alfatah si muende mukawafundishe na ZBC

  • @jumafaki1697
    @jumafaki16973 жыл бұрын

    Nimependa Ubunifu wenu Alfattah tv

  • @rahmaabdallah5114
    @rahmaabdallah51143 жыл бұрын

    Manshaallah kazi nzuri alfatah ebu mtuonesheni wapiga picha wenu nama editors wenu tuwajue mana mna wanafanya kazi nzuri sana Everyday.

  • @masoudsaid4629

    @masoudsaid4629

    3 жыл бұрын

    "Amin amin kwa bashasha na shawq ya furaha na matumaini mema na ya kiwango kizuri ktk kumchambua na kuzidi kueleweka.. Umahiri na weledi wke Mhe. Othman Masoud.. Allah akupeni tawfiyq na qabul ya maelezo yenu.. naishallah ajalie izidi husnidhan yake ktk juhudi ya mashirikiano mema na ufanisi kwa Viongozi wnzake na kwa mustaqbal wa neema na rehma na amani ya Kisiwa pmja na watu wake.. amin"

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial41193 жыл бұрын

    Maashaallah.. "Alfatah tv"Mungu akulipeni kila Kheri Mnazo fanya Inshaallah!

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid79103 жыл бұрын

    Ma sha Allah mtangazaji studio anasauti nzuri. Anamustakbal nzuri

  • @ammaryassir8662
    @ammaryassir86623 жыл бұрын

    Othman ni mtu hodari sana lkn maalim is a different story no body can fit like maalim allah amrehem maalim seif

  • @alkhuzairytune

    @alkhuzairytune

    3 жыл бұрын

    Hakuna mashindani. Lazima nafasi ya Maalim ichukuliwe. Na yeye mwenyewe Othman kasema hawezi kuvaa viatu vya Maalim

  • @ZanzibarKamiliTV

    @ZanzibarKamiliTV

    3 жыл бұрын

    @@alkhuzairytune umesema sahihi kabisa. Kila mara akizungumza huwa anasema amejifunza kwa Maalim Seif. Na anasema yeye hawezi kuvaa viatu vya Maalim lakini atajaribu kuziendeleza ndoto za Kiongozi wake. Tumuunge mkono tu.

  • @ZanzibarKamiliTV

    @ZanzibarKamiliTV

    3 жыл бұрын

    Wala Othman hasemi kuwa yeye ndo Maalim mpya. Siku zote anasifu uwezo na karama za Maalim alizopewa na Allah. Tusiseme maneno ya kukatisha tamaa. Ni maoni yangu tu lakini🙏

  • @alirashid3239
    @alirashid32392 жыл бұрын

    Wallahi hii historia raha mpaka ninalia kwa kutokwa na machozi dah! Huu mwamba aiseee maalim Allah akurehemu huko uliko.kiukweli hapa huja poteza maalim.

  • @aminahaji7084
    @aminahaji70843 жыл бұрын

    Congratulation alfatah TV

  • @rashidkhalfan7556
    @rashidkhalfan75563 жыл бұрын

    Endeleeni ivoivo alfatah muko no 1 znz km si tz nzima

  • @burhansijaliiddi9132

    @burhansijaliiddi9132

    3 жыл бұрын

    Umesahau kama kuna millard ayo

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11063 жыл бұрын

    Dr. Hussein.... Wananchi, Wananchi..Wananchi.

  • @nassorchollo4708
    @nassorchollo47083 жыл бұрын

    Masha Allah m mungu akilipeni kheri

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11063 жыл бұрын

    Mungu akuhifadhi Makamo wa Kwanza wa Rais.

  • @swalehhamad8947
    @swalehhamad89473 жыл бұрын

    Hongera kaka mbwana aly mtangazaji ninae kukubali

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena1143 жыл бұрын

    Asante karashid mmetufanya kuona kila kitu kwa uwazi kabisa

  • @mohammedsuleiman5066
    @mohammedsuleiman50663 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @kudrahalfan5767
    @kudrahalfan57673 жыл бұрын

    Kazi nzuriii...

  • @saumsaum1660
    @saumsaum16603 жыл бұрын

    Mwalim wangu said Masoud chechei

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    💜💜💜💜💜💜❤❤❤

  • @zahoralkharusi727
    @zahoralkharusi7273 жыл бұрын

    Assalaam alaykum Picha muliyotoa ya Maalim Seif akiwa na Mh.Ismail Jussa ni Hamad Mmanga sio Mh. Masud Othman.

  • @osmanha6915

    @osmanha6915

    3 жыл бұрын

    Hakika picha wanayotumia sio Othman ni Hamad mmanga.

  • @sudaissoud3670

    @sudaissoud3670

    3 жыл бұрын

    Ndo nashangaa maana Maalim hakuwai kupiga pc na Othman

  • @user-ht4cu7ht8g
    @user-ht4cu7ht8g3 ай бұрын

    Nikwl nikongozi bora

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid95343 жыл бұрын

    Ah mwalim binkungawee umeongy kweli tupu

  • @talibsaid8081
    @talibsaid80813 жыл бұрын

    Lakini Ile picha no jamaa anaitwa hamadi mmanga hapo mmechanganya madawa

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk3 жыл бұрын

    Kuna makosa mengi... hiyo picha ni jussa, maalim seif na hamad mmanga.

  • @bindawood978

    @bindawood978

    3 жыл бұрын

    Mambo ya mitandao hayo!

  • @ahmedjuma2674
    @ahmedjuma26743 жыл бұрын

    Naona kikitia kipemba shemge

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani71943 жыл бұрын

    Wanafanana hata kuongea

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza26513 жыл бұрын

    Miti-ulaya shule yangu mmeimiss

  • @bindawood978

    @bindawood978

    3 жыл бұрын

    Skuli yako.

  • @mamafaiza2651

    @mamafaiza2651

    3 жыл бұрын

    Yp nilifeli f4 2012

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    p

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Shukraan sana Al fatah

  • @alfatahcharitableassociati18

    @alfatahcharitableassociati18

    3 жыл бұрын

    Tuna shukuru sana kwa ushirikiano wenu.

  • @samohazakwani6899

    @samohazakwani6899

    3 жыл бұрын

    Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Allah amuwezeshe na ampe nguvu, amthibitishe kwenye haki na uadilifu. Allah humnyanyua amtakae na humshusha amtakae, hakika yeye juu ya kila kitu ni muweza. Mheshimiwa alijitahidi na Allah akamsaidia. Historia yake ni fundisho kwa vijana wetu. Allah ambaarik na amuhifadhi. Shkrn alfatah tumefurahia kuona kijiji chetu PANDANI.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Hatutaki porojo la sifa au majigambo sie tunataka maendeleo .viwanda na majengo ya kisasa na mji ungare na majengo ya michenzan pamoja na mji mkongwe na majengo ya mjeruman muyapake japo chokaa yote na muyakarabat . Mana sifa za mtu sio maneno ni vitendo visivyo kera . Matendo ndio tunayataka afayanye .Acheni upuuzi

  • @FreedomOfSpeechToAll

    @FreedomOfSpeechToAll

    3 жыл бұрын

    Miaka mingapi mupo CCM mbona hamukuyafanya hayo unayoyataka. Bahati ni kuja na Dr Hussain Mwinyi Na kaona kuwa sitoweza kuendelea ama kuendesha nchi bila ACT Kwa hiyo subiri uangalie.

  • @khalidfadhil9488

    @khalidfadhil9488

    3 жыл бұрын

    Punguza choyo

  • @mimiapa8436

    @mimiapa8436

    3 жыл бұрын

    Punguza hasad

  • @hajiabdalla5772

    @hajiabdalla5772

    3 жыл бұрын

    Nyote mumezaliwa 1995

  • @hajiabdalla5772

    @hajiabdalla5772

    3 жыл бұрын

    @@FreedomOfSpeechToAll kwani huyo MWINYI si mzanzibar et au mumesaha . Akili za kuku . Au ndio ubauguz sasa munaumbuka