Othman Masoud: Hofu ya wa Zanzibar kuhusu katiba mpya sio ya bure ni hofu halali ni hofu ya haki

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema tayari imedhihirika kuwa suala la Katiba mpya ya Tanzania ni lazima hivyo linalohitajika sasa ni kuamua namna ya kutekeleza hitaji la watanzania lililobainishwa katika ripoti mbalimbali.
.
Katika mahojiano maalum na na mwandishi wetu Roncliffe Odit kuwa tayari watanzania wamejifunza masuala mengi yanayohitaji muongozo madhubuti wa Katiba mpya.
.
.
.
#zanzibar #siasa #katibampya

Пікірлер: 107

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 Жыл бұрын

    chini ya kudra ya mungu. itawezekana ishaalla.

  • @mohamedhassan8937
    @mohamedhassan89372 жыл бұрын

    Nadhani kwa kutegemea chama tawsla na serikali yake kwa kupata katiba mpya inaweza kuwa ndoto

  • @allychale2885
    @allychale2885 Жыл бұрын

    Apo chamsingi uvunjwe muungano Tanganyika kwake Zanzibar kwake muungano siyo lazima

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    7 ай бұрын

    Nakubaliana na wewe 100% lakini muungano wa nchi sio kama ngoma kwamba ukiacha tu kuipiga inanyamaza hapo hapo. Hata muungano wa ndoa una eda, hii maana yangu ipi hatma ya wenye mali zao upande wa pili, vipi hatma ya ajira zao na zaidi malipo ya Wastaafu. Kwa sababu ulipovunjika muungano wa Afrika Mashariki Wafanyakazi hawakulipwa na hapakuwepo wa kudaiwa wakafa masikini wa kutupwa. Hii maana yangu Mzanzibar au Mtanganyika ambae ni Mstaafu wa Serikali ya Muungano, muungano ukivunjika akadai wapi? Hili jambo ni hatari sana pia linahitaji busara sana lakini kiukweli suluhisho ni kuvunja Muungano tujadili tu kivipi.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 күн бұрын

    👍✌️👊.

  • @TunauzaSimu-fn2ff
    @TunauzaSimu-fn2ff4 ай бұрын

    Baadhi ya wazanzibar wenyewe ndio wanafik hawaelewi nini uzalendo. Waamuzi ni wazanzibar wenyewe na wengi hatujui nini uzanzibari tupo 2 atahatujui tofauti ya mkaazi na mzanzibari. Waamuzi ni wazanzibar wenyewe. Viongozi unadhani watatuamualia wakati wao yanawaendea. Tuache kujiweka ujingani.

  • @allysharifu8120
    @allysharifu8120 Жыл бұрын

    Thanks

  • @mr.sunshine496
    @mr.sunshine4962 жыл бұрын

    President Of state of Zanzibar 2025..

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    Hapati hata Kwa dawa!!

  • @abuubakar7594

    @abuubakar7594

    Жыл бұрын

    Akiwa hajapata nakupa laki1 😊

  • @mr.sunshine496

    @mr.sunshine496

    Жыл бұрын

    Mm nampa laki 5

  • @fahadabdalla8194

    @fahadabdalla8194

    3 ай бұрын

    Mm milioni moja😂

  • @kizaconstantino311
    @kizaconstantino311 Жыл бұрын

    Siasa za uongo na udanganyifu zimetuchosha maisha ni magumu mtaani.

  • @SalehRashid-zz7dc
    @SalehRashid-zz7dc2 ай бұрын

    Apo kwenye katiba Apo Apo wazanzibari tuwe makini

  • @SalehRashid-zz7dc
    @SalehRashid-zz7dc2 ай бұрын

    kila kitu kipo juu wazanzibari njaa tupu

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    One day free Zanzibar insha Allah

  • @mosesjacksonkarashani2642

    @mosesjacksonkarashani2642

    2 жыл бұрын

    What is that holding you? Unafikiri watanganyika wananufaika na nini kuwa na Zanzibar?! Pathetic

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    2 жыл бұрын

    @@mosesjacksonkarashani2642 Umesahau marehemu Magufuli alisema ataulinda muungano kwa hali yeyote ile.Sasa leo wewe unasema Tanganyika inafaidika nini na Zanzibar? Faida kubwa zipo na ndio maana Tanganyika inahakikisha wanawaweka watawala Zanzibar wale ambao wanaamini kuwa watafuata amri zao.Usisahau nguvu za jeshi zilivotumika kuvuruga uchaguzi wa 2015 na hata huu wa 2020.wananchi wengi wamepoteza maisha,wamepewa vilema,wameibiwa na kunyanyaswa

  • @mahamoudduchi3318

    @mahamoudduchi3318

    2 жыл бұрын

    @@ahmedalbalooshi8518 mwambie uyo kama alikua hajui bs ndo ajue ukweli ndo upo hivyo yaani

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    Sultan will not be back in Zanzibar,,,

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    2 жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 unaijua Zanzibar?

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 Жыл бұрын

    hiyo ni lazima katiba mpya kwani hakuna liwalo tumechoka

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13193 ай бұрын

    Has the vision on CT wazalendo case is the ground force is it going to be according CT wazalendo plan leader

  • @kizaconstantino311
    @kizaconstantino311 Жыл бұрын

    January makamba arudishe fedha Kisha aachiwe ,hii ni kumpigia Dom light atajifunza

  • @zaidybakar6865
    @zaidybakar6865 Жыл бұрын

    Zanzibar haiwezwekan kwa 7bu wote Walafi.

  • @juliussantiyalazier8967
    @juliussantiyalazier8967 Жыл бұрын

    Nikweli kabiza

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali20102 жыл бұрын

    Awa ccm niwatuzaifu sana awanajema msilizike kwakukubali katiba mpya awani ngulumbili

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Жыл бұрын

    hakuna atakae iweka katiba mpya

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 Жыл бұрын

    piya tumechoka na muafaka usio kuwa namaana yoyote kwa wazanzibari

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Жыл бұрын

    kumbe chama cha act ni chama ila mm zito wenu simwelewi anatukana ad wafu

  • @kizaconstantino311
    @kizaconstantino311 Жыл бұрын

    Wezi wengine wafuatiliwe isije ikawa chuki ya kisiasa,rais awe Makini kwani mzee makamba ni mpiganaji wa chama tawala,Ila twataka ili kumuunga mkono samia,anaye tafuta fedha,walioiba Mali za imma wote wafilisiwe au warejeshe serikalini hawana adabu tusilipe visasi nchi yetu isonge mbele ,hao wezi wa chadema walio takes na cag warudishe fedha ya imma serikalini mbona wao hawajisemi walikula ruzuku

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja79922 жыл бұрын

    Huyu anatuchosha kila siku katiba mpya na nchi ya Zanzibar kujitenga. Haongeleagi maendeleo hata na hata watu walivyo na njaa Hanoi ila katiba tuu. Sasa katiba ya nini wakati watu wana njaa.

  • @oscarezekiel1826

    @oscarezekiel1826

    2 жыл бұрын

    Njaa ndio ilokuchosha sio yeye, na akili inakupotea wewe sio sisi.

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    2 жыл бұрын

    Wewe anakuchosha unatka iyondoke njaa wakati watawala wanafanya dhulma kwa hiyo katiba ilokuwepo n dhulma hailetii maendeleo

  • @djfunk255

    @djfunk255

    2 жыл бұрын

    Cyo kosa lako kusema Ivo kosa kua hujui unaongea Nini

  • @gangmore9091

    @gangmore9091

    2 жыл бұрын

    @@djfunk255 nakubaliana na wewe ukimuliza history y Makamo kabla kua Makamo haijuwi ubaya hamfatili ndio mana hajawahi kusikia hayo maendeleo anayoyasema

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    2 жыл бұрын

    @@oscarezekiel1826 😅😅😅

  • @kizaconstantino311
    @kizaconstantino311 Жыл бұрын

    Katiba mpya kwa watanzània Mimi so kipaumbele iliyopo inafaa kwani imetuvusha kuwa na amani tele Hadi Leo twahitaji kukuza uchumi,ajira,ustawi wa taifa na maendeleo makubwa katika mapinduzi ya sayansi,kuendekeza siasa uchwara zisizo na tija hushusha uchumi,kwani sayansi huzalisha Mali Ila utawala hufilisi nchi,kwani mtawala hazalishi Ila huhitaji mafungu na rushwa no-no,katiba iliyopo inatufaa Sana,isimamiwe bila mchezo tuu,

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    Жыл бұрын

    Kwani kuna katiba inayoleta fujo? Uchumi gani unataka kukuza? Miaka 50 iliyopita mulikuza nn? Usiongee utumbo ww tz tunahitaji katiba ambayo itawashughulikia watawala sisi tunahitaji viongozi sio watawala

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Exactly

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@suleimansalym7537 siku ukiwa mtawala utaikumbuka katiba ya 1977

  • @suleimansalym7537

    @suleimansalym7537

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Akili zako ni tope tu mm wala huwa sibishani na ww shobo zako tu maana najua ww ni pumba watu wanaenda na wakati nchi nyingi zimebadilisha katiba zao kulingana na wakat. Enzi za Nyerere hakukua na wala rushwa la mafisadi sasa unataka tutumie katiba hiyo hiyo na saiv kuna mafisadi bila Shaka ww ni mnufaika wa katiba hii So tusibishane mm na ww maana huna hoja hata moja

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@suleimansalym7537 najua kuwa akili yako haina akili,,,kwahiyo huwezi kujua!!

  • @allymansur8155
    @allymansur81552 жыл бұрын

    Acheni Kero ileteni lakini hakuna katiba ya binaadamu iliokamilika, na hio pia baada ya muda mfupi itakuwa haifai haswa ikiwa haitowaingiza uongozini.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    Exactly!!

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Жыл бұрын

    Mnaweza ona muungano ni tatizo ila wenye kujielewa hatuon hivyo tunajua umoja n nguvu.kwan hujaona kitu ambacho Zanzibar imenufaika na muungano mpk ukaona tu madhaifu ya muungano

  • @aishaaisharagp9381

    @aishaaisharagp9381

    Жыл бұрын

    Nataka uniambie Zanzibar imenufaika na nn nahuo muungano balaya kunyonywa Tu hiozanzibar

  • @aishaaisharagp9381

    @aishaaisharagp9381

    Жыл бұрын

    Zanzibar ciomaskini ilamuungano ndio unaotitia umasikini maanapesa yazanzibar yote unakuja dar mbona hizozadar haziji zenji tukanufaika nao

  • @williamkeita1519

    @williamkeita1519

    Жыл бұрын

    Haipo hivyo Aisha mbona kuna wazanzibar kibao wameajiriwa huku wanafanya biashara dar ni faida kuna maendeleo kibao zenji yanajengwa kwa pesa za muungano ukiona Bara tunakunyonya muungano ukivunjika utaona unguja inakunyonya mi ninaona kila mmoja atafute pesa zake hizi serikali tuziache ivyo tu.kuna ndugu zako kibao nipo nao hapa

  • @williamkeita1519

    @williamkeita1519

    Жыл бұрын

    Ipitishwe sheria hakuna kujiita mbara wa mzazibar ibaki tunajiita watanzania maana baadae wanetu watagombana siye tukiwa mbele za khaki,

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g Жыл бұрын

    Sasa nyie mnaochoshwa na katiba mpya nakupeni taarifa ... SHAKA HAMDU SAHAKA ANATAKA KATIBA MPYA ... Mtafuteni akuchosheni ... katiba mpya ni agenda rasmin ya CCM HAMENI BASI MWENDE JAHAZI ASILIA MORDEN TAARAB

  • @abuuimraanazenjibar2490

    @abuuimraanazenjibar2490

    Жыл бұрын

    Ukhty

  • @SalehRashid-zz7dc

    @SalehRashid-zz7dc

    2 ай бұрын

    Acha khabari zako hizo muungano gani huu unaonyonya upande mmoja km kunguni?

  • @talibsaid8096
    @talibsaid8096 Жыл бұрын

    Baba wacha hizo piga kazi wacha domo kaya

  • @abedomar5183

    @abedomar5183

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa afanye kazi

Келесі