SOKO LA GHOROFA PEMBA LISILOTUMIWA NA WANANCHI, HII NDIO SABABU
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 61
Pemba pambeeeee mpka masoko ya gorofaaa mashallah
Mtangazaji sadia Rashid Nyc 👍Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema nakupenda bila Idadi
Maa shaa Allah safi sana
mashllh soko pambe,tn hmn vurugu rahaaa
Allwaa karimu ishaaalllwa
Muko p sana ktv big up.
Wewe vipi kwani kua gorofa ni tatizo? Hebu pandeni mfanye biashara
Ikiwa jumba limewekwa kufanya biashara. Hivyo vibanda nje vya nini
Sadia una macho mazuri mashallah
Tatizo wakaaz sio wng hmna mkushanyiko mkubwa
Designed for sustainable development... Miaka ya mbeleni watapanda juu adi juu.. InshaAllah
Wow
TRA wasiruhusiwe kufanya kazi pemba na unguja
Huko juu pangeni nguo iwe munauza nguo
mtangazaji chechei
Kishuka co ramazani bn ni ramadhani
Maskin wanatiya imani maishamagumu sana atapa oman tabu sana maisha magumu kilapahala
(Halijafeli) vuteni subra kila kitu kinataka subra wateja watazoea tu inshaallah
Kweli wafanya biashara wanachumia serikali
Kweli upele hupewa aso kuchaaa mana lingekiwepo ungujaa naamin watu wangeangushana huko juuuu
@abdulhafidh3229
5 жыл бұрын
😃😃
@officialwawa4370
4 жыл бұрын
Boya ww kwakisoko gani aaaa aibu
baba ndo maendeleo babaa mji unakua babaa
Chamsingi bidhaa zitakazo kuwepo juu basi zisipatikane chini.
Kinachonishangaza mimi ni kuona hao wafanyabiashara wapo nje ya soko na mievuli wanakhiari wapigwe na jua, waroe lakini wasiende ndani!
Daaah mtangazaji naomba unipatie namba yako Nina shida binafsi
Watu wa unguja washamba soko la ghorofa hawana 🤣🤣🤣😂😂
@hasanihusenni6087
5 жыл бұрын
Maasha allah msitucheke jamani tuombeeni duwa nasi tupate la gorofa
@ahmeidyoung2410
5 жыл бұрын
Hahahha unguja sio Pemba ati Pemba ipo juu
@fifo262
5 жыл бұрын
Umenifanya nicheke hhhhh
@bakarihamisi5638
4 жыл бұрын
Fatma Jumaa hahahahah bas wambiye waje Pemba
@bakarihamisi5638
4 жыл бұрын
Lakini unguja ndio mama letu sisi wapemba tunazidiwa maendelea ni unguja
TRA ZRB zote izo duh tunaumia
Hebu wacheni wazimu nyie pandeni juu huko mufunguwe maduka hayo muone kama watu hawajaja huko juu
Mipango mibovu
Hata Mimi nicngepanda Juu kwakufuata Fungu moja la Tungule na Nazi wakati Chini zpo.
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahhahahahahahahahha 🍅🍅🍅 kwnn zinauzwa kwenye ghorafa . Hizi nyanya zinafnya watu wakatae horofa . Ivi ni kwl
Wauzamchele maharagwe kunde .n.k wote wapandishwejuu
@majidmousa4557
5 жыл бұрын
Kweli
Dhu wapemba bhana eti gorofa hawalitaki
Tungule na mbogamboga wote wanae chini
uyu jamaa vipi nani kasema pemba bado maendeleo
Pandeni juu mkafanye biashara hata Uwe juu ya gorofani riziki ipo t msituzingue
@zahormazruiy5635
5 жыл бұрын
Hata kama ni mimi sikubali kupanda juu kwanza gharama zitakua kubwa mara 3 ya mtu anaeuzia chini mfano ikiwa gunia la viazi toka garini mpaka hapo chini ni sh 1000 basi kulipandisha juu utaambiwa 3000 huoni kwamba hapo haupati kitu na isitoshe wateja wenyewe hawakubali kwenda juu wakati chini kila kitu kipo
@kibalabibisha6778
2 жыл бұрын
Swadakta hata mambasa soko la kongowea niliogezwa ghorofa na watu wafanyi biashara pia walalamika wateja hawataki kupanda juu.wanunuliya hukuhuku chini 🇰🇪
Maoni wenge gawa kila apatment na upatikanaji wa bidhaaa yake
WANTUFANY WAPEMBA WASHAMBA WAGOROFAA ALOO KAKIYE HAMADI
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
jamani uyu dada nimempenda sana ndani ya moyo wangu kama hana mme naomba tuwasiliane 0774543940
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Mambo ya mahaba hayooo
Dah tatizo sio soko tatizo ni biashara hamuna halafu hata hilo soko ndani ya vibaraza hamuna watu watu wameweka vibanda nje ya soko
Yaani mko nyuma kweli kwa sababu mngeweka nguo huko juuu wallah lingevutia asaaa na pia watu wangepandaaa kununuwa
@khamiskhamis5323
5 жыл бұрын
Mohd Issa sio wako nyuma mtaji tatizo baba
@yousufharthy6876
5 жыл бұрын
Mohd Issa. Unaambiwa Soko yaani liko wazi halina maduka hizo nguo wataziweka wapi
@fifo262
5 жыл бұрын
Bila shaka huoni wala husikiii hamna milango humooo nguo izo watazieka wapi
@fifo262
5 жыл бұрын
Na uo mji huujui ww ndo man alafu ukisikia soko sio jengo soko ni wateja ok
@massoudcaptain6790
5 жыл бұрын
Nyie K TV mbona hamukuweka majina ya hao wafanya biashara Walio toa maoni yao sasa sasa mchango wao utafikaje kwa walengwa na ilikua muandike majina ili watizqmaji tujuwe hao wanao hojiwa ni kina nani rekebishen hii andikeni majina hapooo