SOKO LA GHOROFA PEMBA LISILOTUMIWA NA WANANCHI, HII NDIO SABABU

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 61

  • @mohdissa8973
    @mohdissa89735 жыл бұрын

    Pemba pambeeeee mpka masoko ya gorofaaa mashallah

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Mtangazaji sadia Rashid Nyc 👍Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema nakupenda bila Idadi

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Maa shaa Allah safi sana

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed10995 жыл бұрын

    mashllh soko pambe,tn hmn vurugu rahaaa

  • @ftoomamh7873
    @ftoomamh78735 жыл бұрын

    Allwaa karimu ishaaalllwa

  • @dahiyakhamis6257
    @dahiyakhamis62575 жыл бұрын

    Muko p sana ktv big up.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64745 жыл бұрын

    Wewe vipi kwani kua gorofa ni tatizo? Hebu pandeni mfanye biashara

  • @yousufharthy6876
    @yousufharthy68765 жыл бұрын

    Ikiwa jumba limewekwa kufanya biashara. Hivyo vibanda nje vya nini

  • @abdulsalim8900
    @abdulsalim89005 жыл бұрын

    Sadia una macho mazuri mashallah

  • @issaabdallaissa1473
    @issaabdallaissa14735 жыл бұрын

    Tatizo wakaaz sio wng hmna mkushanyiko mkubwa

  • @hamidnassor2890
    @hamidnassor28905 жыл бұрын

    Designed for sustainable development... Miaka ya mbeleni watapanda juu adi juu.. InshaAllah

  • @brownjumbe9
    @brownjumbe95 жыл бұрын

    Wow

  • @tonysolomon2841
    @tonysolomon28415 жыл бұрын

    TRA wasiruhusiwe kufanya kazi pemba na unguja

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Huko juu pangeni nguo iwe munauza nguo

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Жыл бұрын

    mtangazaji chechei

  • @abubakaralliy8435
    @abubakaralliy84355 жыл бұрын

    Kishuka co ramazani bn ni ramadhani

  • @maryammct3967
    @maryammct39674 жыл бұрын

    Maskin wanatiya imani maishamagumu sana atapa oman tabu sana maisha magumu kilapahala

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78024 жыл бұрын

    (Halijafeli) vuteni subra kila kitu kinataka subra wateja watazoea tu inshaallah

  • @ibnually7428
    @ibnually74285 жыл бұрын

    Kweli wafanya biashara wanachumia serikali

  • @mohdissa8973
    @mohdissa89735 жыл бұрын

    Kweli upele hupewa aso kuchaaa mana lingekiwepo ungujaa naamin watu wangeangushana huko juuuu

  • @abdulhafidh3229

    @abdulhafidh3229

    5 жыл бұрын

    😃😃

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    4 жыл бұрын

    Boya ww kwakisoko gani aaaa aibu

  • @jumamwadhini6066
    @jumamwadhini60665 жыл бұрын

    baba ndo maendeleo babaa mji unakua babaa

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78024 жыл бұрын

    Chamsingi bidhaa zitakazo kuwepo juu basi zisipatikane chini.

  • @salummkubwa
    @salummkubwa5 жыл бұрын

    Kinachonishangaza mimi ni kuona hao wafanyabiashara wapo nje ya soko na mievuli wanakhiari wapigwe na jua, waroe lakini wasiende ndani!

  • @wazaswazas4009
    @wazaswazas40095 жыл бұрын

    Daaah mtangazaji naomba unipatie namba yako Nina shida binafsi

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    Watu wa unguja washamba soko la ghorofa hawana 🤣🤣🤣😂😂

  • @hasanihusenni6087

    @hasanihusenni6087

    5 жыл бұрын

    Maasha allah msitucheke jamani tuombeeni duwa nasi tupate la gorofa

  • @ahmeidyoung2410

    @ahmeidyoung2410

    5 жыл бұрын

    Hahahha unguja sio Pemba ati Pemba ipo juu

  • @fifo262

    @fifo262

    5 жыл бұрын

    Umenifanya nicheke hhhhh

  • @bakarihamisi5638

    @bakarihamisi5638

    4 жыл бұрын

    Fatma Jumaa hahahahah bas wambiye waje Pemba

  • @bakarihamisi5638

    @bakarihamisi5638

    4 жыл бұрын

    Lakini unguja ndio mama letu sisi wapemba tunazidiwa maendelea ni unguja

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd40955 жыл бұрын

    TRA ZRB zote izo duh tunaumia

  • @allyally9915
    @allyally99155 жыл бұрын

    Hebu wacheni wazimu nyie pandeni juu huko mufunguwe maduka hayo muone kama watu hawajaja huko juu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85185 жыл бұрын

    Mipango mibovu

  • @hashimalsaadat4905
    @hashimalsaadat49055 жыл бұрын

    Hata Mimi nicngepanda Juu kwakufuata Fungu moja la Tungule na Nazi wakati Chini zpo.

  • @mwanaidiramadhan3919

    @mwanaidiramadhan3919

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @suleimanhamdan6434
    @suleimanhamdan64345 жыл бұрын

    Hahhahahahahahahahha 🍅🍅🍅 kwnn zinauzwa kwenye ghorafa . Hizi nyanya zinafnya watu wakatae horofa . Ivi ni kwl

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54005 жыл бұрын

    Wauzamchele maharagwe kunde .n.k wote wapandishwejuu

  • @majidmousa4557

    @majidmousa4557

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75895 жыл бұрын

    Dhu wapemba bhana eti gorofa hawalitaki

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga54005 жыл бұрын

    Tungule na mbogamboga wote wanae chini

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam84175 жыл бұрын

    uyu jamaa vipi nani kasema pemba bado maendeleo

  • @majidmousa4557
    @majidmousa45575 жыл бұрын

    Pandeni juu mkafanye biashara hata Uwe juu ya gorofani riziki ipo t msituzingue

  • @zahormazruiy5635

    @zahormazruiy5635

    5 жыл бұрын

    Hata kama ni mimi sikubali kupanda juu kwanza gharama zitakua kubwa mara 3 ya mtu anaeuzia chini mfano ikiwa gunia la viazi toka garini mpaka hapo chini ni sh 1000 basi kulipandisha juu utaambiwa 3000 huoni kwamba hapo haupati kitu na isitoshe wateja wenyewe hawakubali kwenda juu wakati chini kila kitu kipo

  • @kibalabibisha6778

    @kibalabibisha6778

    2 жыл бұрын

    Swadakta hata mambasa soko la kongowea niliogezwa ghorofa na watu wafanyi biashara pia walalamika wateja hawataki kupanda juu.wanunuliya hukuhuku chini 🇰🇪

  • @salimmohd8279
    @salimmohd82795 жыл бұрын

    Maoni wenge gawa kila apatment na upatikanaji wa bidhaaa yake

  • @yussufdjroo1446
    @yussufdjroo14465 жыл бұрын

    WANTUFANY WAPEMBA WASHAMBA WAGOROFAA ALOO KAKIYE HAMADI

  • @mwanaidiramadhan3919

    @mwanaidiramadhan3919

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam84175 жыл бұрын

    jamani uyu dada nimempenda sana ndani ya moyo wangu kama hana mme naomba tuwasiliane 0774543940

  • @mwanaidiramadhan3919

    @mwanaidiramadhan3919

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 Mambo ya mahaba hayooo

  • @khamisijuma4842
    @khamisijuma48425 жыл бұрын

    Dah tatizo sio soko tatizo ni biashara hamuna halafu hata hilo soko ndani ya vibaraza hamuna watu watu wameweka vibanda nje ya soko

  • @mohdissa8973
    @mohdissa89735 жыл бұрын

    Yaani mko nyuma kweli kwa sababu mngeweka nguo huko juuu wallah lingevutia asaaa na pia watu wangepandaaa kununuwa

  • @khamiskhamis5323

    @khamiskhamis5323

    5 жыл бұрын

    Mohd Issa sio wako nyuma mtaji tatizo baba

  • @yousufharthy6876

    @yousufharthy6876

    5 жыл бұрын

    Mohd Issa. Unaambiwa Soko yaani liko wazi halina maduka hizo nguo wataziweka wapi

  • @fifo262

    @fifo262

    5 жыл бұрын

    Bila shaka huoni wala husikiii hamna milango humooo nguo izo watazieka wapi

  • @fifo262

    @fifo262

    5 жыл бұрын

    Na uo mji huujui ww ndo man alafu ukisikia soko sio jengo soko ni wateja ok

  • @massoudcaptain6790

    @massoudcaptain6790

    5 жыл бұрын

    Nyie K TV mbona hamukuweka majina ya hao wafanya biashara Walio toa maoni yao sasa sasa mchango wao utafikaje kwa walengwa na ilikua muandike majina ili watizqmaji tujuwe hao wanao hojiwa ni kina nani rekebishen hii andikeni majina hapooo