Wakaazi wa Pemba waja juu ugawaji vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi
Wakaazi wa wilaya ya Wete kisiwani Pemba wamekusanyika kwenye Ofisi ya Vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi kushinikiza ugawanywaji vitambulisho hivyo uzingatie maeneo vilikoandikishwa ili kuepuka kuwanyima watu wengi vitambulisho vyao kama ilivyotokea wilaya ya Michewezi ambako kati ya watu 24,000 walioandikishwa ni 6,000 tu waliopewa.
Пікірлер: 10
Wazanzibari tunamuomba Allah swt awanusuru na kila mwenye nia mbaya
Hao ni wehu ccm hawana akili maana wamechanganyikiwa sasa muda huu hawajui hata Wafanye nn in sha Allah Kwa uwezo wa Allah mara hii ndio mwisho wao madhaalim hao
M paka kieleweke. CCM ni marazi
In sha Allah
good
Pemba never ccm people true story
Ccm mushaishiwa hamuna lenu jambo wubir kifo tu 2020 tuichukuwe nchi na tunakwambien mutasahau kuipata tena
Yote ayo ni maagizo ya balozi mkaazi wa tanganyika Baloteli
Nishida kwelikweli
good