Wakaazi wa Pemba waja juu ugawaji vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi

Wakaazi wa wilaya ya Wete kisiwani Pemba wamekusanyika kwenye Ofisi ya Vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi kushinikiza ugawanywaji vitambulisho hivyo uzingatie maeneo vilikoandikishwa ili kuepuka kuwanyima watu wengi vitambulisho vyao kama ilivyotokea wilaya ya Michewezi ambako kati ya watu 24,000 walioandikishwa ni 6,000 tu waliopewa.

Пікірлер: 10

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy56274 жыл бұрын

    Wazanzibari tunamuomba Allah swt awanusuru na kila mwenye nia mbaya

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90414 жыл бұрын

    Hao ni wehu ccm hawana akili maana wamechanganyikiwa sasa muda huu hawajui hata Wafanye nn in sha Allah Kwa uwezo wa Allah mara hii ndio mwisho wao madhaalim hao

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49804 жыл бұрын

    M paka kieleweke. CCM ni marazi

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy90414 жыл бұрын

    In sha Allah

  • @yassirhamad224
    @yassirhamad2244 жыл бұрын

    good

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50464 жыл бұрын

    Pemba never ccm people true story

  • @albahryonlinetv9319
    @albahryonlinetv93194 жыл бұрын

    Ccm mushaishiwa hamuna lenu jambo wubir kifo tu 2020 tuichukuwe nchi na tunakwambien mutasahau kuipata tena

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel18264 жыл бұрын

    Yote ayo ni maagizo ya balozi mkaazi wa tanganyika Baloteli

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90304 жыл бұрын

    Nishida kwelikweli

  • @yassirhamad224
    @yassirhamad2244 жыл бұрын

    good