usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube chanal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490
Жүктеу.....
Пікірлер: 127
@shariffaabdalla21704 жыл бұрын
Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Nalipenda sana jina Pemba namshukuru Allah kunifanya nizaliwe Pemba so Pemba is very beautiful place in east Africa
@habibumohamed1543
2 жыл бұрын
Pemba yetuu, hakika najivunia Allah atupe kheri yake na idumu daima Pemba yetu
@tecnof12324 жыл бұрын
Pemba safi hata maadili ya ki zanzibari sasa yapo Pemba, Mola tuzidishiekheri na imani inayoondoka, Alwa bless Zanzibar Aamin!
@rehemamati5904
4 жыл бұрын
Tecno F123 mashaalla
@bakarihamisi56384 жыл бұрын
Allah ayihifadhi Pemba yetu isijekuingiwa na maovu kwakila wanapo ingia watalii
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Al Fatah tv online mnafanya vizuri video zenu zina viwango vzr kongole kwenu
@hafidhalijuma71894 жыл бұрын
Najivunia Pemba yetu
@mudyelneny12074 жыл бұрын
Allah ailinde pemba
@jannatferdaus7251
4 жыл бұрын
Amin yaa 🙏
@salhakhamis46294 жыл бұрын
Maashaallah ewe mola izidishie nuru al_ fatah
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Ameen
@peacetvdrcongo7068
4 жыл бұрын
Salha Khamis Amin kwa sote
@user-ts8im2us1s4 жыл бұрын
Mashaallah neema izo Shukran AlFatah
@aliymaulid89414 жыл бұрын
pemba yetu kijani kibichi ni ishara ya neema lkn cctunamkosea Allah sana ndio mana akatubadilishia tunatakiwa tuache tofauti zetu tumeejee Mola wetu
@aliymaulid8941
4 жыл бұрын
tumrejee Mola wetu
@hajihaji4112
4 жыл бұрын
Nani tunawashinda kwa mabaya acha kutunyanyapaa wewe km sio utu wa watu wa PBA hiki kisiwa kingesha potea.Asalaam aleykum
@handhalhandhal46084 жыл бұрын
Home sweet home; Mashallah. Al Fatah for a good article. Please give us more attractive articles to broadcast our Island.
@salehhamadi60704 жыл бұрын
Dah ! sijui wanahisabiwa vip.
@kassimomar75894 жыл бұрын
Home sweet home love you Pemba
@damtudullah3212
4 жыл бұрын
Gooood
@user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын
الحمد لله
@samirnaty87744 жыл бұрын
Love my pemba
@hassanmchwakachangama8884 жыл бұрын
Tutunze rasilimali zetu kwani ndio hazina yetu wana Tz na Africa kwa pamoja
@aishasaid57024 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@hamzamario96614 жыл бұрын
maskini Pemba imebakiwa na popo tu sasa. ndio kivutio chenyewe
@seifsaleh66554 жыл бұрын
Naipend pemba pureeeee
@fahadfaraj12634 жыл бұрын
Thts ma home
@aishaomar43184 жыл бұрын
Popo mtam 😁natamani nimuonje sijawahi kumla nilikua sijui kama analiwa.😘
@abdullaabdullahmpakanjia2336
4 жыл бұрын
Karib pemba
@rehema20184 жыл бұрын
Pemba Home sweet home ❤️❤️
@mapenzikatana99904 жыл бұрын
Mungu wamajabu
@muhidinali81804 жыл бұрын
Fakhariyetu ni taohidi na sio popo Wala kama wa jozani
@suleimansuleiman24364 жыл бұрын
PEMBE LILIWALO NDIO WORLD RECORD...na haitovunjwa till doom day
@mohamedmbarouk74824 жыл бұрын
mi sione cha maana hapa
@PEMBANKWETU74 жыл бұрын
Muwaongo siewapemba hamujui idadi ya popo
@abdallahsuleimani7416
2 жыл бұрын
Ndugu yangu mbona kichwa kizito unaambiwa idadi ya hao wanatunzwa
@mudyelneny12074 жыл бұрын
Mashaallah
@aliuali4690
4 жыл бұрын
Mudy elneny
@aliuali4690
4 жыл бұрын
Mudy elneny
@suleimanbakar60974 жыл бұрын
Rikodi ya njaa!!au lioi jengine?
@user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын
تحتي لكم اهل الجزيرة الخضراء
@khalidballeth59574 жыл бұрын
Huku kumejaaliwa hakuna utekaji wala mtekwaji.wala hakuna watu wasio julikana. Allah azidi kuwajaalia Tuseme Ameen inshaallah 🙏
@ashmaahmed12964 жыл бұрын
#فتبارک الله احسن الخالقین#Ametukuka Mwenyezimungu Mbora Wa kuumba#
@hajimohamed70074 жыл бұрын
hongera sana alfatah kwa kuipasha pemba na vivutio vyake ni jambo la faraja sana mimi binafsi nilipokua mdogo nmesha.wahi kula popo wetu wapemba
@hemedsalim77884 жыл бұрын
Ahsanteni sana kwa makala haya yenye kuvutia.
@MyDisma4 жыл бұрын
Wawoo editing nzuri Sana big up
@johariabdalla33194 жыл бұрын
Nikweli nilibahatika kufika Kijiji cha MAKOMBENI Pemba,na niliwaona POPO wengi mno,tunajivunia neema hiyo alhamdulillah
@emamuharamain45524 жыл бұрын
Unajua sana kutangaza broo...Allaah awafikishe mbali na tv yenu..isipokua mtangaze habari zenye kumpendeza allaah baasi.
alfatah hongeren chin ya uongoz wa sh.Rashid Salim...kwa kutupa elimu hii...mumeimprove sana
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Asanteni sana picha na mandhari yote kwenye hii video ni nzuri na ya kuvutia sana.
@ommymaconcept64204 жыл бұрын
Hongera mzee Ali Hamad umemuelezea vzuri popo.hongera sana
@mr.vegass61974 жыл бұрын
Safi sn kazi mzuri sana mashallah
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Masha'allah Allah izid nime penda huyu baba anajua kufahamisha uzur
@ysherahmad6524 жыл бұрын
I love Pemba my homeland 💖🌺
@samirnaty8774
4 жыл бұрын
❤️
@ahmedalbalooshi85184 жыл бұрын
Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao. Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma. Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.
@veronicanditeze425
4 жыл бұрын
Serikali iwajengee nyumba? Mnapesa ila mnaikimbia pemba
@ahmedalbalooshi8518
4 жыл бұрын
@@veronicanditeze425 Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili. We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.
@mohammedomar72804 жыл бұрын
nimeshakula sana hao wadudu
@saidal-hind53384 жыл бұрын
woooow beautiful Place for me
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Hongera mzee uko vizuri sana!
@mrishorashidi40304 жыл бұрын
Mkoa wa tanga wilaya ya muheza katika hospitol ya augastino Teure wapo popo kamawote tena wakubwa zaid
@marafundujenzi43154 жыл бұрын
Maachallah maachallah pemba nakupenda sana
@allymadunda79314 жыл бұрын
Jamani nataka mke huko Pemba
@danadana6450
4 жыл бұрын
Ally Madunda komaa ww mtu hatafuti mke kwenye mitandao kwani hukujui pemba ukaja mwenyewe
@saidiyathrib28524 жыл бұрын
MashAllah home sweet home
@yassersahin6639
4 жыл бұрын
Saidi Yathrib hao popo hadi Mafia wapo wengi tu sio pemba pekee
Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda. Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru
@salmaelhinai8334 жыл бұрын
Maashallah
@stevelayda85554 жыл бұрын
Dola tano ni kidogo angalau mfanye dola kumi
@aminamohd6044 жыл бұрын
mambo ni fireeeeeeeeee
@micamathew64334 жыл бұрын
Niko pande za huku bara, Manyara..ningependa siku moja nitembelee eneo hilo. Hahahaaaa yaan ni pazuri kwelikweli..wowwwww.
@mundhirslim5574
4 жыл бұрын
Welcome
@micamathew6433
4 жыл бұрын
@@mundhirslim5574 powaaaaaaaaa good.
@bintsalimalbimany53404 жыл бұрын
Home stweety home 😍
@aliuali46904 жыл бұрын
kisiwa cha kwetu Pemba ...wale wa konde tujuwani basi
@onlinemateustv19254 жыл бұрын
Mungu yupo nitatembelea nami huko
@muumudy19674 жыл бұрын
Na unguja pia wapo
@suleimansuleiman24364 жыл бұрын
sasa popo watasaidiya nini..watu wana maisha magumu..njaaa ndiyo tunaongoza duniani
@@danadana6450 kwa kweli najiskia siwezi kula hao lol
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Watam hatar karibu kisiwani
@uledimtumwa2406
4 жыл бұрын
Waroho tu hao watu,wanatafuta Ebola bila kujuwa.
@aliy33034 жыл бұрын
Mashallah
@ablatuny54064 жыл бұрын
Mashallah
@hajielmi75184 жыл бұрын
Dola tano ni kidogo angalau mungefanya 15 dola
@danadana64504 жыл бұрын
ALLAH katujaaliya neema lakini pemba tuko nyuma kimaisha hawataki tuendelee kimaisha
@alimuhamed1830
4 жыл бұрын
Ndio manayake ila allah atatunyanyua tu na ipo sku tutaushangaza ulimwengu
@halimanasihu12004 жыл бұрын
Mashallah
@rumesibarka53124 жыл бұрын
Mtangazaji ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kazi yake. Mie nimepata kupanuwa maarifa yangu kuhusu hawa popo wa pekee wanaopatikana Pemba
@mamawa3mamawa3214 жыл бұрын
Nyumbaniii
@khamismachano8041
4 жыл бұрын
Popo Unguja wapo mbona
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Khamis Machano jmni sikasema nyumbani tu
@mohamedkingi20414 жыл бұрын
Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.
@mariamfaki11664 жыл бұрын
Mashallah
@mwanahawa2703
4 жыл бұрын
Tena wapemba mwende kwenu muhame unguja
@mussachuo39104 жыл бұрын
Zanzibar au Unguja
@ibrahimrihan86834 жыл бұрын
I miss home
@mohdnyambura68594 жыл бұрын
pemba nyumbani
@alikhamis60334 жыл бұрын
Micheweni hio nilifika hapo hhh
@mohamedmnemba49864 жыл бұрын
Pemba inamchango mkubw ktk taifa lkn imeekwa nyuma kimaendeleo ni mtazamo tu
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Hakika pemba kila kisiwa kila neema yake ya kuitilia fedha serekali
@mbaroukhmza28924 жыл бұрын
Majacr wate wa pemba wanafuga majini.
@alimuhamed1830
4 жыл бұрын
Acha propaganda zakijinga izo kaka badlika
@mbaroukhmza2892
4 жыл бұрын
Wee huijui pemba. Unaitetea nini.?
@arafasalum2259
4 жыл бұрын
Unachuki na wapemba ww nini imekuuma pemba kusifiwa
@user-if4ie3cc1z
2 ай бұрын
Yye mwenywe jin
@suleimansuleiman24364 жыл бұрын
Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..
Пікірлер: 127
Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲
Nalipenda sana jina Pemba namshukuru Allah kunifanya nizaliwe Pemba so Pemba is very beautiful place in east Africa
@habibumohamed1543
2 жыл бұрын
Pemba yetuu, hakika najivunia Allah atupe kheri yake na idumu daima Pemba yetu
Pemba safi hata maadili ya ki zanzibari sasa yapo Pemba, Mola tuzidishiekheri na imani inayoondoka, Alwa bless Zanzibar Aamin!
@rehemamati5904
4 жыл бұрын
Tecno F123 mashaalla
Allah ayihifadhi Pemba yetu isijekuingiwa na maovu kwakila wanapo ingia watalii
Al Fatah tv online mnafanya vizuri video zenu zina viwango vzr kongole kwenu
Najivunia Pemba yetu
Allah ailinde pemba
@jannatferdaus7251
4 жыл бұрын
Amin yaa 🙏
Maashaallah ewe mola izidishie nuru al_ fatah
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Ameen
@peacetvdrcongo7068
4 жыл бұрын
Salha Khamis Amin kwa sote
Mashaallah neema izo Shukran AlFatah
pemba yetu kijani kibichi ni ishara ya neema lkn cctunamkosea Allah sana ndio mana akatubadilishia tunatakiwa tuache tofauti zetu tumeejee Mola wetu
@aliymaulid8941
4 жыл бұрын
tumrejee Mola wetu
@hajihaji4112
4 жыл бұрын
Nani tunawashinda kwa mabaya acha kutunyanyapaa wewe km sio utu wa watu wa PBA hiki kisiwa kingesha potea.Asalaam aleykum
Home sweet home; Mashallah. Al Fatah for a good article. Please give us more attractive articles to broadcast our Island.
Dah ! sijui wanahisabiwa vip.
Home sweet home love you Pemba
@damtudullah3212
4 жыл бұрын
Gooood
الحمد لله
Love my pemba
Tutunze rasilimali zetu kwani ndio hazina yetu wana Tz na Africa kwa pamoja
Maa shaa Allah
maskini Pemba imebakiwa na popo tu sasa. ndio kivutio chenyewe
Naipend pemba pureeeee
Thts ma home
Popo mtam 😁natamani nimuonje sijawahi kumla nilikua sijui kama analiwa.😘
@abdullaabdullahmpakanjia2336
4 жыл бұрын
Karib pemba
Pemba Home sweet home ❤️❤️
Mungu wamajabu
Fakhariyetu ni taohidi na sio popo Wala kama wa jozani
PEMBE LILIWALO NDIO WORLD RECORD...na haitovunjwa till doom day
mi sione cha maana hapa
Muwaongo siewapemba hamujui idadi ya popo
@abdallahsuleimani7416
2 жыл бұрын
Ndugu yangu mbona kichwa kizito unaambiwa idadi ya hao wanatunzwa
Mashaallah
@aliuali4690
4 жыл бұрын
Mudy elneny
@aliuali4690
4 жыл бұрын
Mudy elneny
Rikodi ya njaa!!au lioi jengine?
تحتي لكم اهل الجزيرة الخضراء
Huku kumejaaliwa hakuna utekaji wala mtekwaji.wala hakuna watu wasio julikana. Allah azidi kuwajaalia Tuseme Ameen inshaallah 🙏
#فتبارک الله احسن الخالقین#Ametukuka Mwenyezimungu Mbora Wa kuumba#
hongera sana alfatah kwa kuipasha pemba na vivutio vyake ni jambo la faraja sana mimi binafsi nilipokua mdogo nmesha.wahi kula popo wetu wapemba
Ahsanteni sana kwa makala haya yenye kuvutia.
Wawoo editing nzuri Sana big up
Nikweli nilibahatika kufika Kijiji cha MAKOMBENI Pemba,na niliwaona POPO wengi mno,tunajivunia neema hiyo alhamdulillah
Unajua sana kutangaza broo...Allaah awafikishe mbali na tv yenu..isipokua mtangaze habari zenye kumpendeza allaah baasi.
Pemba peremba ukijanajoho utarud nakilemba wale Wamtambwe wenzang tujuane
الله يبارك جزيرة الخضراء و اهلها
alfatah hongeren chin ya uongoz wa sh.Rashid Salim...kwa kutupa elimu hii...mumeimprove sana
Asanteni sana picha na mandhari yote kwenye hii video ni nzuri na ya kuvutia sana.
Hongera mzee Ali Hamad umemuelezea vzuri popo.hongera sana
Safi sn kazi mzuri sana mashallah
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Masha'allah Allah izid nime penda huyu baba anajua kufahamisha uzur
I love Pemba my homeland 💖🌺
@samirnaty8774
4 жыл бұрын
❤️
Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao. Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma. Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.
@veronicanditeze425
4 жыл бұрын
Serikali iwajengee nyumba? Mnapesa ila mnaikimbia pemba
@ahmedalbalooshi8518
4 жыл бұрын
@@veronicanditeze425 Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili. We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.
nimeshakula sana hao wadudu
woooow beautiful Place for me
Hongera mzee uko vizuri sana!
Mkoa wa tanga wilaya ya muheza katika hospitol ya augastino Teure wapo popo kamawote tena wakubwa zaid
Maachallah maachallah pemba nakupenda sana
Jamani nataka mke huko Pemba
@danadana6450
4 жыл бұрын
Ally Madunda komaa ww mtu hatafuti mke kwenye mitandao kwani hukujui pemba ukaja mwenyewe
MashAllah home sweet home
@yassersahin6639
4 жыл бұрын
Saidi Yathrib hao popo hadi Mafia wapo wengi tu sio pemba pekee
@saidiyathrib2852
4 жыл бұрын
Pemba ndio wamezidi
Popo oye pemba oyeeeee
Naiyona pemba yetu ya kijani kibichi
Nice Island....
@rashidomar2475
4 жыл бұрын
Pemba pereeemba ukienda utakupendaaaaaa
@arafasalum2259
4 жыл бұрын
Really
Sweet Island
Mash Allah sweat Home sweat
Tunajidaii kuipenda kumbeee munainkimbiaaaa kwann tupunguze unafk
@ShuraymSuleimanSaid
4 жыл бұрын
Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda. Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru
Maashallah
Dola tano ni kidogo angalau mfanye dola kumi
mambo ni fireeeeeeeeee
Niko pande za huku bara, Manyara..ningependa siku moja nitembelee eneo hilo. Hahahaaaa yaan ni pazuri kwelikweli..wowwwww.
@mundhirslim5574
4 жыл бұрын
Welcome
@micamathew6433
4 жыл бұрын
@@mundhirslim5574 powaaaaaaaaa good.
Home stweety home 😍
kisiwa cha kwetu Pemba ...wale wa konde tujuwani basi
Mungu yupo nitatembelea nami huko
Na unguja pia wapo
sasa popo watasaidiya nini..watu wana maisha magumu..njaaa ndiyo tunaongoza duniani
Ebana! Kumbe hao jamaa wanaliwa?!
Mashaallah..eh kumbe popo wanaliwa ?toba sikuwahi kujua
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Shamsa Haji nmmi ndo kwanza leo
@danadana6450
4 жыл бұрын
Shamsa Haji tena niwatamu kushinda kuku
@shamsahaji6202
4 жыл бұрын
@@danadana6450 kwa kweli najiskia siwezi kula hao lol
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Watam hatar karibu kisiwani
@uledimtumwa2406
4 жыл бұрын
Waroho tu hao watu,wanatafuta Ebola bila kujuwa.
Mashallah
Mashallah
Dola tano ni kidogo angalau mungefanya 15 dola
ALLAH katujaaliya neema lakini pemba tuko nyuma kimaisha hawataki tuendelee kimaisha
@alimuhamed1830
4 жыл бұрын
Ndio manayake ila allah atatunyanyua tu na ipo sku tutaushangaza ulimwengu
Mashallah
Mtangazaji ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kazi yake. Mie nimepata kupanuwa maarifa yangu kuhusu hawa popo wa pekee wanaopatikana Pemba
Nyumbaniii
@khamismachano8041
4 жыл бұрын
Popo Unguja wapo mbona
@faizasaid8262
4 жыл бұрын
Khamis Machano jmni sikasema nyumbani tu
Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.
Mashallah
@mwanahawa2703
4 жыл бұрын
Tena wapemba mwende kwenu muhame unguja
Zanzibar au Unguja
I miss home
pemba nyumbani
Micheweni hio nilifika hapo hhh
Pemba inamchango mkubw ktk taifa lkn imeekwa nyuma kimaendeleo ni mtazamo tu
@fatmaaly9686
4 жыл бұрын
Hakika pemba kila kisiwa kila neema yake ya kuitilia fedha serekali
Majacr wate wa pemba wanafuga majini.
@alimuhamed1830
4 жыл бұрын
Acha propaganda zakijinga izo kaka badlika
@mbaroukhmza2892
4 жыл бұрын
Wee huijui pemba. Unaitetea nini.?
@arafasalum2259
4 жыл бұрын
Unachuki na wapemba ww nini imekuuma pemba kusifiwa
@user-if4ie3cc1z
2 ай бұрын
Yye mwenywe jin
Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..
kwani Pemba sio Zanzibar?
@uledimtumwa2406
4 жыл бұрын
Sio
@user-if4ie3cc1z
2 ай бұрын
Jibu zur 😂
هكذا سميت بمبا بالجزيرة الخضراء