PEMBA YAZIDI KUIWEKEA ZANZIBAR RIKODI DUNIANI.

usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube chanal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490

Пікірлер: 127

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla21704 жыл бұрын

    Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲

  • @talibmuhsin5221
    @talibmuhsin52212 жыл бұрын

    Nalipenda sana jina Pemba namshukuru Allah kunifanya nizaliwe Pemba so Pemba is very beautiful place in east Africa

  • @habibumohamed1543

    @habibumohamed1543

    2 жыл бұрын

    Pemba yetuu, hakika najivunia Allah atupe kheri yake na idumu daima Pemba yetu

  • @tecnof1232
    @tecnof12324 жыл бұрын

    Pemba safi hata maadili ya ki zanzibari sasa yapo Pemba, Mola tuzidishiekheri na imani inayoondoka, Alwa bless Zanzibar Aamin!

  • @rehemamati5904

    @rehemamati5904

    4 жыл бұрын

    Tecno F123 mashaalla

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    Allah ayihifadhi Pemba yetu isijekuingiwa na maovu kwakila wanapo ingia watalii

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi92884 жыл бұрын

    Al Fatah tv online mnafanya vizuri video zenu zina viwango vzr kongole kwenu

  • @hafidhalijuma7189
    @hafidhalijuma71894 жыл бұрын

    Najivunia Pemba yetu

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny12074 жыл бұрын

    Allah ailinde pemba

  • @jannatferdaus7251

    @jannatferdaus7251

    4 жыл бұрын

    Amin yaa 🙏

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis46294 жыл бұрын

    Maashaallah ewe mola izidishie nuru al_ fatah

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @peacetvdrcongo7068

    @peacetvdrcongo7068

    4 жыл бұрын

    Salha Khamis Amin kwa sote

  • @user-ts8im2us1s
    @user-ts8im2us1s4 жыл бұрын

    Mashaallah neema izo Shukran AlFatah

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid89414 жыл бұрын

    pemba yetu kijani kibichi ni ishara ya neema lkn cctunamkosea Allah sana ndio mana akatubadilishia tunatakiwa tuache tofauti zetu tumeejee Mola wetu

  • @aliymaulid8941

    @aliymaulid8941

    4 жыл бұрын

    tumrejee Mola wetu

  • @hajihaji4112

    @hajihaji4112

    4 жыл бұрын

    Nani tunawashinda kwa mabaya acha kutunyanyapaa wewe km sio utu wa watu wa PBA hiki kisiwa kingesha potea.Asalaam aleykum

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal46084 жыл бұрын

    Home sweet home; Mashallah. Al Fatah for a good article. Please give us more attractive articles to broadcast our Island.

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi60704 жыл бұрын

    Dah ! sijui wanahisabiwa vip.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75894 жыл бұрын

    Home sweet home love you Pemba

  • @damtudullah3212

    @damtudullah3212

    4 жыл бұрын

    Gooood

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын

    الحمد لله

  • @samirnaty8774
    @samirnaty87744 жыл бұрын

    Love my pemba

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama8884 жыл бұрын

    Tutunze rasilimali zetu kwani ndio hazina yetu wana Tz na Africa kwa pamoja

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @hamzamario9661
    @hamzamario96614 жыл бұрын

    maskini Pemba imebakiwa na popo tu sasa. ndio kivutio chenyewe

  • @seifsaleh6655
    @seifsaleh66554 жыл бұрын

    Naipend pemba pureeeee

  • @fahadfaraj1263
    @fahadfaraj12634 жыл бұрын

    Thts ma home

  • @aishaomar4318
    @aishaomar43184 жыл бұрын

    Popo mtam 😁natamani nimuonje sijawahi kumla nilikua sijui kama analiwa.😘

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336

    @abdullaabdullahmpakanjia2336

    4 жыл бұрын

    Karib pemba

  • @rehema2018
    @rehema20184 жыл бұрын

    Pemba Home sweet home ❤️❤️

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana99904 жыл бұрын

    Mungu wamajabu

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81804 жыл бұрын

    Fakhariyetu ni taohidi na sio popo Wala kama wa jozani

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24364 жыл бұрын

    PEMBE LILIWALO NDIO WORLD RECORD...na haitovunjwa till doom day

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk74824 жыл бұрын

    mi sione cha maana hapa

  • @PEMBANKWETU7
    @PEMBANKWETU74 жыл бұрын

    Muwaongo siewapemba hamujui idadi ya popo

  • @abdallahsuleimani7416

    @abdallahsuleimani7416

    2 жыл бұрын

    Ndugu yangu mbona kichwa kizito unaambiwa idadi ya hao wanatunzwa

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny12074 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @aliuali4690

    @aliuali4690

    4 жыл бұрын

    Mudy elneny

  • @aliuali4690

    @aliuali4690

    4 жыл бұрын

    Mudy elneny

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar60974 жыл бұрын

    Rikodi ya njaa!!au lioi jengine?

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын

    تحتي لكم اهل الجزيرة الخضراء

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59574 жыл бұрын

    Huku kumejaaliwa hakuna utekaji wala mtekwaji.wala hakuna watu wasio julikana. Allah azidi kuwajaalia Tuseme Ameen inshaallah 🙏

  • @ashmaahmed1296
    @ashmaahmed12964 жыл бұрын

    #فتبارک الله احسن الخالقین#Ametukuka Mwenyezimungu Mbora Wa kuumba#

  • @hajimohamed7007
    @hajimohamed70074 жыл бұрын

    hongera sana alfatah kwa kuipasha pemba na vivutio vyake ni jambo la faraja sana mimi binafsi nilipokua mdogo nmesha.wahi kula popo wetu wapemba

  • @hemedsalim7788
    @hemedsalim77884 жыл бұрын

    Ahsanteni sana kwa makala haya yenye kuvutia.

  • @MyDisma
    @MyDisma4 жыл бұрын

    Wawoo editing nzuri Sana big up

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla33194 жыл бұрын

    Nikweli nilibahatika kufika Kijiji cha MAKOMBENI Pemba,na niliwaona POPO wengi mno,tunajivunia neema hiyo alhamdulillah

  • @emamuharamain4552
    @emamuharamain45524 жыл бұрын

    Unajua sana kutangaza broo...Allaah awafikishe mbali na tv yenu..isipokua mtangaze habari zenye kumpendeza allaah baasi.

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia23364 жыл бұрын

    Pemba peremba ukijanajoho utarud nakilemba wale Wamtambwe wenzang tujuane

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын

    الله يبارك جزيرة الخضراء و اهلها

  • @maidasaid9449
    @maidasaid94494 жыл бұрын

    alfatah hongeren chin ya uongoz wa sh.Rashid Salim...kwa kutupa elimu hii...mumeimprove sana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6234 жыл бұрын

    Asanteni sana picha na mandhari yote kwenye hii video ni nzuri na ya kuvutia sana.

  • @ommymaconcept6420
    @ommymaconcept64204 жыл бұрын

    Hongera mzee Ali Hamad umemuelezea vzuri popo.hongera sana

  • @mr.vegass6197
    @mr.vegass61974 жыл бұрын

    Safi sn kazi mzuri sana mashallah

  • @Amneamne-qi2du

    @Amneamne-qi2du

    4 жыл бұрын

    Masha'allah Allah izid nime penda huyu baba anajua kufahamisha uzur

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad6524 жыл бұрын

    I love Pemba my homeland 💖🌺

  • @samirnaty8774

    @samirnaty8774

    4 жыл бұрын

    ❤️

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85184 жыл бұрын

    Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao. Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma. Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.

  • @veronicanditeze425

    @veronicanditeze425

    4 жыл бұрын

    Serikali iwajengee nyumba? Mnapesa ila mnaikimbia pemba

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    4 жыл бұрын

    @@veronicanditeze425 Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili. We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar72804 жыл бұрын

    nimeshakula sana hao wadudu

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind53384 жыл бұрын

    woooow beautiful Place for me

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo20134 жыл бұрын

    Hongera mzee uko vizuri sana!

  • @mrishorashidi4030
    @mrishorashidi40304 жыл бұрын

    Mkoa wa tanga wilaya ya muheza katika hospitol ya augastino Teure wapo popo kamawote tena wakubwa zaid

  • @marafundujenzi4315
    @marafundujenzi43154 жыл бұрын

    Maachallah maachallah pemba nakupenda sana

  • @allymadunda7931
    @allymadunda79314 жыл бұрын

    Jamani nataka mke huko Pemba

  • @danadana6450

    @danadana6450

    4 жыл бұрын

    Ally Madunda komaa ww mtu hatafuti mke kwenye mitandao kwani hukujui pemba ukaja mwenyewe

  • @saidiyathrib2852
    @saidiyathrib28524 жыл бұрын

    MashAllah home sweet home

  • @yassersahin6639

    @yassersahin6639

    4 жыл бұрын

    Saidi Yathrib hao popo hadi Mafia wapo wengi tu sio pemba pekee

  • @saidiyathrib2852

    @saidiyathrib2852

    4 жыл бұрын

    Pemba ndio wamezidi

  • @ashaproudofyoubabahaji8523
    @ashaproudofyoubabahaji85234 жыл бұрын

    Popo oye pemba oyeeeee

  • @abuumo9637
    @abuumo96374 жыл бұрын

    Naiyona pemba yetu ya kijani kibichi

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78024 жыл бұрын

    Nice Island....

  • @rashidomar2475

    @rashidomar2475

    4 жыл бұрын

    Pemba pereeemba ukienda utakupendaaaaaa

  • @arafasalum2259

    @arafasalum2259

    4 жыл бұрын

    Really

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny12074 жыл бұрын

    Sweet Island

  • @hamisihamadi8337
    @hamisihamadi83374 жыл бұрын

    Mash Allah sweat Home sweat

  • @saidabdallah5917
    @saidabdallah59174 жыл бұрын

    Tunajidaii kuipenda kumbeee munainkimbiaaaa kwann tupunguze unafk

  • @ShuraymSuleimanSaid

    @ShuraymSuleimanSaid

    4 жыл бұрын

    Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda. Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai8334 жыл бұрын

    Maashallah

  • @stevelayda8555
    @stevelayda85554 жыл бұрын

    Dola tano ni kidogo angalau mfanye dola kumi

  • @aminamohd604
    @aminamohd6044 жыл бұрын

    mambo ni fireeeeeeeeee

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Niko pande za huku bara, Manyara..ningependa siku moja nitembelee eneo hilo. Hahahaaaa yaan ni pazuri kwelikweli..wowwwww.

  • @mundhirslim5574

    @mundhirslim5574

    4 жыл бұрын

    Welcome

  • @micamathew6433

    @micamathew6433

    4 жыл бұрын

    @@mundhirslim5574 powaaaaaaaaa good.

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany53404 жыл бұрын

    Home stweety home 😍

  • @aliuali4690
    @aliuali46904 жыл бұрын

    kisiwa cha kwetu Pemba ...wale wa konde tujuwani basi

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv19254 жыл бұрын

    Mungu yupo nitatembelea nami huko

  • @muumudy1967
    @muumudy19674 жыл бұрын

    Na unguja pia wapo

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24364 жыл бұрын

    sasa popo watasaidiya nini..watu wana maisha magumu..njaaa ndiyo tunaongoza duniani

  • @greatiq8234
    @greatiq82344 жыл бұрын

    Ebana! Kumbe hao jamaa wanaliwa?!

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62024 жыл бұрын

    Mashaallah..eh kumbe popo wanaliwa ?toba sikuwahi kujua

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    Shamsa Haji nmmi ndo kwanza leo

  • @danadana6450

    @danadana6450

    4 жыл бұрын

    Shamsa Haji tena niwatamu kushinda kuku

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    4 жыл бұрын

    @@danadana6450 kwa kweli najiskia siwezi kula hao lol

  • @fatmaaly9686

    @fatmaaly9686

    4 жыл бұрын

    Watam hatar karibu kisiwani

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    4 жыл бұрын

    Waroho tu hao watu,wanatafuta Ebola bila kujuwa.

  • @aliy3303
    @aliy33034 жыл бұрын

    Mashallah

  • @ablatuny5406
    @ablatuny54064 жыл бұрын

    Mashallah

  • @hajielmi7518
    @hajielmi75184 жыл бұрын

    Dola tano ni kidogo angalau mungefanya 15 dola

  • @danadana6450
    @danadana64504 жыл бұрын

    ALLAH katujaaliya neema lakini pemba tuko nyuma kimaisha hawataki tuendelee kimaisha

  • @alimuhamed1830

    @alimuhamed1830

    4 жыл бұрын

    Ndio manayake ila allah atatunyanyua tu na ipo sku tutaushangaza ulimwengu

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu12004 жыл бұрын

    Mashallah

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka53124 жыл бұрын

    Mtangazaji ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kazi yake. Mie nimepata kupanuwa maarifa yangu kuhusu hawa popo wa pekee wanaopatikana Pemba

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa3214 жыл бұрын

    Nyumbaniii

  • @khamismachano8041

    @khamismachano8041

    4 жыл бұрын

    Popo Unguja wapo mbona

  • @faizasaid8262

    @faizasaid8262

    4 жыл бұрын

    Khamis Machano jmni sikasema nyumbani tu

  • @mohamedkingi2041
    @mohamedkingi20414 жыл бұрын

    Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11664 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mwanahawa2703

    @mwanahawa2703

    4 жыл бұрын

    Tena wapemba mwende kwenu muhame unguja

  • @mussachuo3910
    @mussachuo39104 жыл бұрын

    Zanzibar au Unguja

  • @ibrahimrihan8683
    @ibrahimrihan86834 жыл бұрын

    I miss home

  • @mohdnyambura6859
    @mohdnyambura68594 жыл бұрын

    pemba nyumbani

  • @alikhamis6033
    @alikhamis60334 жыл бұрын

    Micheweni hio nilifika hapo hhh

  • @mohamedmnemba4986
    @mohamedmnemba49864 жыл бұрын

    Pemba inamchango mkubw ktk taifa lkn imeekwa nyuma kimaendeleo ni mtazamo tu

  • @fatmaaly9686

    @fatmaaly9686

    4 жыл бұрын

    Hakika pemba kila kisiwa kila neema yake ya kuitilia fedha serekali

  • @mbaroukhmza2892
    @mbaroukhmza28924 жыл бұрын

    Majacr wate wa pemba wanafuga majini.

  • @alimuhamed1830

    @alimuhamed1830

    4 жыл бұрын

    Acha propaganda zakijinga izo kaka badlika

  • @mbaroukhmza2892

    @mbaroukhmza2892

    4 жыл бұрын

    Wee huijui pemba. Unaitetea nini.?

  • @arafasalum2259

    @arafasalum2259

    4 жыл бұрын

    Unachuki na wapemba ww nini imekuuma pemba kusifiwa

  • @user-if4ie3cc1z

    @user-if4ie3cc1z

    2 ай бұрын

    Yye mwenywe jin

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24364 жыл бұрын

    Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..

  • @RashidAli-fx6ud
    @RashidAli-fx6ud4 жыл бұрын

    kwani Pemba sio Zanzibar?

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    4 жыл бұрын

    Sio

  • @user-if4ie3cc1z

    @user-if4ie3cc1z

    2 ай бұрын

    Jibu zur 😂

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын

    هكذا سميت بمبا بالجزيرة الخضراء