SIRI KUBWA USIYOIJUA KUHUSU MELI MPYA YA MAFUTA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, ametimiza ahadi yake aliyowaahidi wananchi kwa kununua meli mpya ya mafuta.
Ahadi hiyo imekamilika leo Agosti 7, 2019, mara baada ya meli hiyo kuwasili katika bandari ya Zanziba ikitokea Shanghai nchini China.
Meli ya MT MKOMBOZI II iliyotengenezwa na Kampuni ya Damen Shipyard ya nchini Uholanzi, imewasili rasmi katika Bandari ya Malindi Zanzibar majira ya asubuhi na kupata mapokezi ya aina yake.
Meli hiyo ilianzwa kutengenezwa Julai 2018 na kumalizika mwezi April 2019 na imegharimu kiasi cha shilingi bilioni 36.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
cc: Hairath Haroub
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 53
Kuna watu hawaeleweki, hata kushukuru kwa kidgo kinachopatikana Lkn mtu kila kitu unaponda na kudharau, binadamu bwana kweli ni shida, hata kama mtu humpendi akifanya jambo kama huwezi kumsifia kaa kimya tu ni bora kuliko kuongea vitu visivyofaa.
@josej9888
5 жыл бұрын
Ndio maana vitu vingine Shein hafanyi kwasababu anaju, watu wenyewe hawana shukran hata uwafanyie nn.
Shein kajitahidi, hata akistaafu atapumzika kwa amani nakwakujivunia.
Mngelinunuwa matishali ingekuwa bora sana kushinda kupoteza pesa zote hizo.
Na ile Mv Mapinduzi mpya iliishia wapi? Tuliambiwa imecost kama Dolla milione 30 alafu baada ya Nusu Mwaka tu mbovu, kwanini Viongozi wa Ki Africa wanakua hawana Imani na wanaowaongoza? inauma sana tena sana mbaka Wazungu wanatucheka Wizi, Ubabe, Uhongo, mnakua wazuri kwa Raia kipindi cha Campaign tu. Kumbukeni kuna kufa na Kuna Moto hizo Mali mnazowazulumu walokupijieni Kura mtaziwacha hapa hapa Duniani
Hongera Na asante Dr. Ali Mohammed shen
Hongera baba Allah atakulipa kwakila unapojitolea
Jamani Jamani, Mbona munawadanganya watu Sana, Yaani pesa izo zilizotajwa alafu kwa kimeli icho Daaa, mujue kunamaisha baada YA Zanzibar, kaeni mkijua wapo wanaofaham Haya Mambo kuliko nyinyi, musiwadanganye watu, it's shame for government, looooo
Haya tunasubiri tuione upya wake maana heeeee kuna usemi usemao bora kuwa nacho kuliko kukikosa kabisa huo sio usemi wangu ni wahenga hao
Congratulations 👏👏
Good job 👏👏👍🏼
safi sana smz
Maashaallah
Safi sanaa kwa hiii mpyaa ukombozii 1 ilishakuwa boti
Mashallah
Hujakosea wewe lakini!! Bilioni 36 ???🤕🤢🤯😬😩😱🧐
MUDA SI MREFU ITAKWENDA KENYA KWA MATENGENEZO. MAANA MAPINDUZI MPYA MLOSEMA KAMA HIVYO MAJAMBAZI WAKUBWA MYIE.
Ufisad tu hamna lolote wtu wanateseka na njaa na magonjwa eti meli wajinga wakubwa nyie
@fahadfaraj1263
5 жыл бұрын
duu
@hasanihusenni6087
5 жыл бұрын
We kiboko
@worldtechnology492
4 жыл бұрын
We mama ni elimu huna ujui kwamba io meli inaleta mapatao ya nchi kuleta io elimu na afya bora sa unazani io pesa ya maisha mazuri yanatoka waapi bila biashara nzur yakukuza uchumi rudi shule
Hongera mh Rais
Jamani Hii melisio mpyaa, musitudanganye tunaelewa na tunafaham, shame shame shame it's shame for government
Tunataka bna Barbara za kisasa
Jengeni barabara ingependeza zaidi 😎
Tena za juu
Mashallah kitu kinaonesha kimyaaaa kabisaaaaa
Alafu kirahisitu unasema euro 14milion daaaaa, yaani kwa tones elf 3 hamuoni Haya asaa kutamka hadhari ufisadi uooo,
Sasa hayo majina ya ajabu saana eti ukombozi nisemetu hongera ila jina nibayaa
Kwani tatizo nini apoo
🙄🙄🙄🙄 atekeleze na mengine pia🤔🤔🤔🤔
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
👍👍👍
Sio double hull, ni double bottom
What about hungryyyy
@rajabmsinzia1715
5 жыл бұрын
hahahahah
Sihaba, bado kijitawala tu
@alihaji7201
5 жыл бұрын
Hahahahahaha
Mwiyi fagio.lachuma lipite
Yapakeni japo chokaa majumba ya michenzani kwanza na belt ajaib na mji mkongwe ndio muhimu mana majumbo mabovu washenzi nyie mungekuwa munahamu ya mafuta mungechimba hayo yaliokuwepo zanzibar nyie wahadimu wa kishamba hamujielewi nini munachofanya na yote hayo ni ukosefu wa elimu na kujielewa pumbavu kweli kazi yenu dhulma to
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣👍👍👍
kila la kheri ila msiseme meli imenunuliwa na hela ya serikali hio ni hela ya wa Tanzania wte wanao lpa kodi
@romeoromeo4125
5 жыл бұрын
Ndio Serikali yenyewe
Bovuuuuuuu ilooooooooooo
@kibojewee2710
5 жыл бұрын
Bibi wee, mpyaaa aah
Ukombozi mumejikomboa na kitu gani nyinyi mbona hujielewi bado tu muko nyuma nyuma
@fahadfaraj1263
5 жыл бұрын
dah
Baada ya kujenga mashule na mohospital mnapoteza peza et uro milion 14...si mchezo
@salamahajji3678
5 жыл бұрын
ajenge na bara bara za juuuu Zanzibar
@mgogomgogo7266
5 жыл бұрын
@@salamahajji3678 katika hiyo uro milion 14 usishangae wameiba kidogo
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@khamiskidiko3827
5 жыл бұрын
Hamna meli mpya njee majizi tu, hamuoni hta hya
Siri kubwa zipi sasa?
@salhaak.amgeni8908
4 жыл бұрын
Milion 14 urop ndio siri