SERIKALI YA ZANZIBAR IMEAMUA KUIFANYIA MATENGENEZO MAKUBWA MELI YA MV MAPINDUZI II
#zbctvonline #zbczanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 17
@XPOSED255 Жыл бұрын
naipenda sna hii meli kuliko yale mapantoni ya azam na sea star
@nawratmzenj3062 Жыл бұрын
Eehh bwana eehh la kuvunda hilo,halikuwi abadan mulishaziharibu kod zetu na ufisad wenu uliokithir hali chombo ndo kifanye kaz thubutu
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Meli ya juzi leo haifanyi kazii dahh
@noffalsalim Жыл бұрын
Isije kuja kuzima nungwi.
@musachande7300 Жыл бұрын
Siimulusema nimpya
@rashidsuleiman1531 Жыл бұрын
Dhulma haidumu
@user-vh6hh6ul2h9 ай бұрын
Mel bovu ilo tafuten jengin
@msabahaali758 Жыл бұрын
watu wanaiba serekali kufanya biashara ni hasara labda waikodishe vyenginevyo hakuna kitakachokua
@seifmsellem Жыл бұрын
Nanyie munapanda meli hizi? au ni sie tu?
@alyumar4657 Жыл бұрын
Sasa munatengeneza mabat t na vp kuhusu mashine..
@nassorseif404 Жыл бұрын
Ni bora ingeuzwa ikanunuliwa nyengine kuliko kuitengeneza ili iendelee kututia hasara
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Nassor,hakuna mteja ila ikiwa kama ni scrape. Iko imani inaeeza kutengenezeka lakini suali kubwa ni jee baada ya hayo matengenezo wataishughulikia ipasavyoo?
@nassirali7499 Жыл бұрын
Nyinyi si mliambiwa mapema iyo meli mbovu, kwa kua walisema wapinzani hamkujali sasa mnaona meli imekua kama jini kila siku linapewa chano
Пікірлер: 17
naipenda sna hii meli kuliko yale mapantoni ya azam na sea star
Eehh bwana eehh la kuvunda hilo,halikuwi abadan mulishaziharibu kod zetu na ufisad wenu uliokithir hali chombo ndo kifanye kaz thubutu
Meli ya juzi leo haifanyi kazii dahh
Isije kuja kuzima nungwi.
Siimulusema nimpya
Dhulma haidumu
Mel bovu ilo tafuten jengin
watu wanaiba serekali kufanya biashara ni hasara labda waikodishe vyenginevyo hakuna kitakachokua
Nanyie munapanda meli hizi? au ni sie tu?
Sasa munatengeneza mabat t na vp kuhusu mashine..
Ni bora ingeuzwa ikanunuliwa nyengine kuliko kuitengeneza ili iendelee kututia hasara
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Nassor,hakuna mteja ila ikiwa kama ni scrape. Iko imani inaeeza kutengenezeka lakini suali kubwa ni jee baada ya hayo matengenezo wataishughulikia ipasavyoo?
Nyinyi si mliambiwa mapema iyo meli mbovu, kwa kua walisema wapinzani hamkujali sasa mnaona meli imekua kama jini kila siku linapewa chano
@alawiali3475
Жыл бұрын
😆😆😆
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Na bado,ngoma iko uwanjani
sasa meli mpya inatemgenezwa nini?
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Yahya,mbinu hizo