SERIKALI YA ZANZIBAR IMEAMUA KUIFANYIA MATENGENEZO MAKUBWA MELI YA MV MAPINDUZI II

#zbctvonline #zbczanzibar

Пікірлер: 17

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 Жыл бұрын

    naipenda sna hii meli kuliko yale mapantoni ya azam na sea star

  • @nawratmzenj3062
    @nawratmzenj3062 Жыл бұрын

    Eehh bwana eehh la kuvunda hilo,halikuwi abadan mulishaziharibu kod zetu na ufisad wenu uliokithir hali chombo ndo kifanye kaz thubutu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Meli ya juzi leo haifanyi kazii dahh

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Жыл бұрын

    Isije kuja kuzima nungwi.

  • @musachande7300
    @musachande7300 Жыл бұрын

    Siimulusema nimpya

  • @rashidsuleiman1531
    @rashidsuleiman1531 Жыл бұрын

    Dhulma haidumu

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h9 ай бұрын

    Mel bovu ilo tafuten jengin

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Жыл бұрын

    watu wanaiba serekali kufanya biashara ni hasara labda waikodishe vyenginevyo hakuna kitakachokua

  • @seifmsellem
    @seifmsellem Жыл бұрын

    Nanyie munapanda meli hizi? au ni sie tu?

  • @alyumar4657
    @alyumar4657 Жыл бұрын

    Sasa munatengeneza mabat t na vp kuhusu mashine..

  • @nassorseif404
    @nassorseif404 Жыл бұрын

    Ni bora ingeuzwa ikanunuliwa nyengine kuliko kuitengeneza ili iendelee kututia hasara

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Жыл бұрын

    Nassor,hakuna mteja ila ikiwa kama ni scrape. Iko imani inaeeza kutengenezeka lakini suali kubwa ni jee baada ya hayo matengenezo wataishughulikia ipasavyoo?

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 Жыл бұрын

    Nyinyi si mliambiwa mapema iyo meli mbovu, kwa kua walisema wapinzani hamkujali sasa mnaona meli imekua kama jini kila siku linapewa chano

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    Жыл бұрын

    😆😆😆

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Жыл бұрын

    Na bado,ngoma iko uwanjani

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    sasa meli mpya inatemgenezwa nini?

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    Жыл бұрын

    Yahya,mbinu hizo