MAKEKE YA BIBI SHARIFA WA ZANZIBAR; ANAZUNGUKA NA WATALII, LAKINI HADAI MALIPO YOYOTE
Ойын-сауық
MAKEKE YA BIBI SHARIFA WA ZANZIBAR; ANAZUNGUKA NA WATALII, LAKINI HADAI MALIPO YOYOTE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 28
Poleni waZanzibari mulijidunga mwiba (Muungano) wenyewe.....mutalia hadi kiyama !!!!! UDHALILI MTUPU !!!
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Wala hatunyamazi tumekufa bado kuzikwa
Hongera mama endelea hivyohivyo na uzalendo wa kweli sio wengine wanajiita wazalendo wakinafik mie mzalendo uzalendo gani kila kukicha mtoaji kasoro wa viongozi wako nchi yako kila rais anavyojitahid kuleta maendeleo mabadiliko ya nchi weee ndio wa kwanza kumkosoa halafu eti mie mzalendo mama ,mwinyi fanyeni kazi zenu tunawapebda sana❤🇹🇿
Shikamoo Bi. Sharifa nimependa unavyotema yai, Safi sana
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Hahahaaa
Mashallah
Huyo mume wa huyu bibi vipi anamruhusu mke wake aende kukaa na W/ume vigengeni au huko ndio kupendana?
This woman speaks fluent English. Better than our leaders - should be Minister for Education
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
She should be a minister simply because she is fluent in english?
@suleimanmosooud9405
Жыл бұрын
Kasomeshwa wakati Zanzibar Yao wewe je umewahi kiaa Marhem muali Abudu Jumbe au mulim Ali Hasn Mwinyi wana vosema kuliko bi Sharifa .ukweli hamu.abiwi.
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@@suleimanmosooud9405 kweli
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
She is good in speaking & confidence. But amesema amefika darasa la 3 akaondoka nchini. Inaonyesha kiengereza ni cha kuongea amepata kwa practice na hao wageni na watu tofauti.
Ww bibi kaa na Wana wake wenzio wanaume Hao
Bi Sharifa ushauri wangu fungua cooking class. Don't hesitate :)
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
🤣
@chinaboyzanzibar5328
Жыл бұрын
DONT DONT SAY BAD WORDS ABOUT MAMA SHARIFA EVERYTHING SHE IS ABSULTE TRUE MASHALLAH SUBANALLAH MY ALLAH ALWAYS MAKE HER HAPPY WITH HER LOVELY FAMILY ❤❤❤❤❤❤❤
Zanzibar.itabaki..kuwa..zanzibar..hata..mfanye.nn
Usiache pesa bwana bi sharifa, chukua saidia wengine
Wehauijii nchi unashinfa polini
Kwanini mtu ukiulizwa kuhusu ZANZIBAR. Huwa unashindwa kusema ukweli. .. tusijaribu kuwogopa mbele ya kamera. Ongeeni ukweli wa mambo ulivo .kama alivo ongeya LUKUVI KULE KANISANI. .tusidanganyane. ZANZIBAR si ZANZIBAR tena tupo tu na mahangaiko ya MAISHA. Origineel ZANZIBAR ilikuwa 11januwar 1964i kabla ya ASUBUHI ya januwari 12. 1964 Haya yote munayoyaona ni vivuli tu va MAISHA. Kabla ya MUNGANO zenji kwa PASPORT baada ya MUNGANO zenji kwa VIBOTI. MAREHEM shekh ILUNGA . Alisema ZANZIBAR ilikuwa MADINA al elmu. . ZANZIBAR ilikuwa most power nation
@adaboychibu1659
Жыл бұрын
Hacha kauli zako za kibaguzi ww!dunia hubadilika maisha yanaendelea tuyaonayo leo si ya miaka ya nyuma na hayawezi rudi!hii dunia huru huwezi kuishi peke yako kama upo ndani ya chupa kila mtu ana haki ya kwenda kuishi apendapo!Muungano umewanufaisha mengi mana usingekuwepo inawezakana hiko kingekuwa kisiwa cha wachawi na asinge thubutu mtu kutia mguu wake huko!mana hapo tu mlisha rithishwa roho chafu!hii dunia ni Mungu wee subiri ufe ukaishi peke yako kaburini
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Sasa ishu ni nini yani
@suleimanmosooud9405
Жыл бұрын
Hakika wanaogopa kusema kweli,walisema ukweli watapata pogo kama alopata shamte.
@user-qv3rf9mc7g
3 ай бұрын
Ahsante kaka ww unajua
@mohammedmbarouk1129
Ай бұрын
Umeongea point akhuy
UNAPIGA GITAA
Acha unafiki ww bibi tunapendana gani sie labda kurogana
Tunajivunia wewe bi sharifa