Mfuga Komba wa Unguja

'Wewe fuga paka na mbwa na mimi nafuga Komba', unaweza kusema hayo ndiyo maneno ya mzee Abubakari Mohammed wa kisiwani Unguja ambaye amejizolea umaarufu kwa kufuga Komba.
Hii ni jamii ya wanyama wa mwituni wanafanana kidogo na nguchiro.
Wewe unafuga mnyama gani?

Пікірлер: 8

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul60854 жыл бұрын

    Asanteni sana dw kwa kutembelea mitaa ya kwetu kwa kweli nimefarajika sana na kwa kweli huyu mzee ameipaisha sana znz maana ni jambo kubwa amefanya,sijui kiafya ikoje ila inaonesha uwezo mkubwa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Leo ndio nimeelewa ukiambiwa MACHO KAMA KOMBA...!

  • @youtubeaussandro-9393
    @youtubeaussandro-9393 Жыл бұрын

    Durften ihn heute mit seinen Tieren kennenlernen, ein tolles Erlebnis....und Hut ab was er für die Kleinen süssen Tierchen macht.

  • @swalehayoub4816
    @swalehayoub48164 жыл бұрын

    Hongera yake 🙏🙏🙏

  • @binloufy454
    @binloufy454 Жыл бұрын

    Mfenesini nje kidogo ya kisiwa cha UNGUJA ni nje kidogo ya jiji la zanzibar kiongozi

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Жыл бұрын

    babu komba

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisaАй бұрын

    Sema mtu akikuambia macho kama komba mpige mpaka umuweke arama ata meno mng'oe maana so poa apo hajakunywa pombe akinywa pombe utakimbia na uangue😂😂😂

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini4 жыл бұрын

    Tazama kilichotokea muda huu kwa kubofya hapa kzread.info/dash/bejne/aYep1MWvhrTbp84.html