Mfuga Komba wa Unguja
'Wewe fuga paka na mbwa na mimi nafuga Komba', unaweza kusema hayo ndiyo maneno ya mzee Abubakari Mohammed wa kisiwani Unguja ambaye amejizolea umaarufu kwa kufuga Komba.
Hii ni jamii ya wanyama wa mwituni wanafanana kidogo na nguchiro.
Wewe unafuga mnyama gani?
Пікірлер: 8
Asanteni sana dw kwa kutembelea mitaa ya kwetu kwa kweli nimefarajika sana na kwa kweli huyu mzee ameipaisha sana znz maana ni jambo kubwa amefanya,sijui kiafya ikoje ila inaonesha uwezo mkubwa
Leo ndio nimeelewa ukiambiwa MACHO KAMA KOMBA...!
Durften ihn heute mit seinen Tieren kennenlernen, ein tolles Erlebnis....und Hut ab was er für die Kleinen süssen Tierchen macht.
Hongera yake 🙏🙏🙏
Mfenesini nje kidogo ya kisiwa cha UNGUJA ni nje kidogo ya jiji la zanzibar kiongozi
babu komba
Sema mtu akikuambia macho kama komba mpige mpaka umuweke arama ata meno mng'oe maana so poa apo hajakunywa pombe akinywa pombe utakimbia na uangue😂😂😂
Tazama kilichotokea muda huu kwa kubofya hapa kzread.info/dash/bejne/aYep1MWvhrTbp84.html