Iyo Kaz naamin so yke kawezeshwa na mzungu huyo , na pia huyo ni Rasta man Hana dini au mlevi tu
@khadijamzee7718
Жыл бұрын
Etoo anasali sala tano, na halewi kilevi chochote wl bange ni mtu mzur mm nimemjua kupitia paka wangu nllikwenda kufata kupandishia, ni mtu mzur huezi amini nilimkuta anatoka masjid alaasir, huez amin cover yake na yy tofaut
@ameirdarueshi2593 Жыл бұрын
Na Mimi nimechota mchanga Sana Apo nilikua nauza debe 5 Apo Apo kwerekwe
@binsaidkar-zai87622 жыл бұрын
Kawaida paka tunawaona hupandiwa na zaidi ya paka mmoja
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Kwaio huw unawachungulia....
@edijuma2426
Жыл бұрын
@@hannafal-handro9792 😂
@rosejoely4518 Жыл бұрын
Wazur hamani
@ahmedmohd46442 жыл бұрын
mwite bela itapendzeza zaidi
@rastapeace96162 жыл бұрын
Baba na mimi karibu nikakukaribia
@fundibombazanzbar5717 Жыл бұрын
Assalaam alykm tunahtaj nambazake
@AbdulRahman-ct9hd2 жыл бұрын
mazowea hujenga tabia🔊🔊🔊
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Kabisa
@mohamedfaris30002 жыл бұрын
Eto'o
@salumkhamis8495 Жыл бұрын
Muandish huna ishu
@abdulkarimomar6541 Жыл бұрын
Asalaam nataka contact za huyu mfugaji wa paka
@hajihaji86642 жыл бұрын
Og
@jumannemuhajiri4185
2 жыл бұрын
Naitaji paka naomba namba ya uyo mfugaji
@najashrk37382 жыл бұрын
Upo Kwerekwe maeneo gani naitaji paka
@nassorkhamis2237
2 жыл бұрын
Yupo kwerekwe Shel mpya
@_Fide__1v992 жыл бұрын
Number ya muuzaj natak order mmoja
@jumbemtyama7797 ай бұрын
Nahitaji namba za huyo mfugaji
@rastapeace96162 жыл бұрын
Prinss yuko sawa simba ssa ana mimba
@alimahmoud358
Жыл бұрын
Hujakosea kufuga paka nd yangu.kulikuwa na swahaba anaitwa abuuhurayra alikuwa anafuga paka sana
@blvjuma962211 ай бұрын
Number zake hujatoa
@deborahmollel7289 Жыл бұрын
Mi nnao wanne nawagawa bure jamani kwa anaehitaji
@EdnaAbyud-bs6mp
9 ай бұрын
M naitaji dad na lazima nikupe ela ila naitaji mweupe saan asie na doa
@deborahmollel7289
9 ай бұрын
Sina mweupe kabisa dear
@maalimthauratjuma7746
2 ай бұрын
As.alayikum habari zahuko ulipo mm nahitaji uyo paka
@jinalangu93482 жыл бұрын
Labda pia
@zindunaray532
Жыл бұрын
Namba zake
@annievibes87942 жыл бұрын
Kuuza paka ni haram
@user-ps5yv4nr9l
Ай бұрын
Kitabu Gani kimeandika
@annievibes8794
Ай бұрын
@@user-ps5yv4nr9l Sina uhakika ni kitabu gani ila ni haramu ila watu wengi wanauza
Пікірлер: 63
Me siwapendi paka ila siwachukii na sipendi kukaa nao ndani
We Mwandishi huna utulivu,umeuliza swali hajajibu unaingilia
Muandishi unapandishia maswali ila hongera mana napenda Paka. was interesting
Wazuri 🥰🥳👍
Good .. Golden mtiro
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Thanks
Unaweza San journalist
Baba nambie ras hongera sana
Very good
Bien ❤❤❤
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Ochan
Interview nzuri sana
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Asante sana
Huyu muandishi 😂😂 kituko hana utulivu hajuwi hata maswali
Muandishi hongera kla jiongeze ktk ufanisi wa kazi
Paka wamitaani wanakula mpaka tosi na boflo 🤣🤣🤣
Respect
Nice
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Asnte
Kweli PAka wanabei sana sana sana ata Omani piya
nice
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Asante bata
Nimekubal kaz
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Asante
Nataka mweupe
Napenda paka sana
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
MashaAllahKwakuwapenda.minapendaniwapeChakulatunamajiNawaekeaI.ilakuwashikaNawaogopasaanatena
andaaa makala ya sungura zanzibar
Iyo Kaz naamin so yke kawezeshwa na mzungu huyo , na pia huyo ni Rasta man Hana dini au mlevi tu
@khadijamzee7718
Жыл бұрын
Etoo anasali sala tano, na halewi kilevi chochote wl bange ni mtu mzur mm nimemjua kupitia paka wangu nllikwenda kufata kupandishia, ni mtu mzur huezi amini nilimkuta anatoka masjid alaasir, huez amin cover yake na yy tofaut
Na Mimi nimechota mchanga Sana Apo nilikua nauza debe 5 Apo Apo kwerekwe
Kawaida paka tunawaona hupandiwa na zaidi ya paka mmoja
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Kwaio huw unawachungulia....
@edijuma2426
Жыл бұрын
@@hannafal-handro9792 😂
Wazur hamani
mwite bela itapendzeza zaidi
Baba na mimi karibu nikakukaribia
Assalaam alykm tunahtaj nambazake
mazowea hujenga tabia🔊🔊🔊
@hannafal-handro9792
2 жыл бұрын
Kabisa
Eto'o
Muandish huna ishu
Asalaam nataka contact za huyu mfugaji wa paka
Og
@jumannemuhajiri4185
2 жыл бұрын
Naitaji paka naomba namba ya uyo mfugaji
Upo Kwerekwe maeneo gani naitaji paka
@nassorkhamis2237
2 жыл бұрын
Yupo kwerekwe Shel mpya
Number ya muuzaj natak order mmoja
Nahitaji namba za huyo mfugaji
Prinss yuko sawa simba ssa ana mimba
@alimahmoud358
Жыл бұрын
Hujakosea kufuga paka nd yangu.kulikuwa na swahaba anaitwa abuuhurayra alikuwa anafuga paka sana
Number zake hujatoa
Mi nnao wanne nawagawa bure jamani kwa anaehitaji
@EdnaAbyud-bs6mp
9 ай бұрын
M naitaji dad na lazima nikupe ela ila naitaji mweupe saan asie na doa
@deborahmollel7289
9 ай бұрын
Sina mweupe kabisa dear
@maalimthauratjuma7746
2 ай бұрын
As.alayikum habari zahuko ulipo mm nahitaji uyo paka
Labda pia
@zindunaray532
Жыл бұрын
Namba zake
Kuuza paka ni haram
@user-ps5yv4nr9l
Ай бұрын
Kitabu Gani kimeandika
@annievibes8794
Ай бұрын
@@user-ps5yv4nr9l Sina uhakika ni kitabu gani ila ni haramu ila watu wengi wanauza
Naomba unisadie number za uyo mfugaji plz
Tupe number zake