TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan leo August 08 ametembelea banda la Asas Dairies kwenye Kilele Cha Maadhimisho Sikukuu ya kimataifa ya Wakulima Nanenane yaliyofanyika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya ambapo ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na kampuni hiyo katika kuinua sekta ya Ufugaji.
Akiwa kwenye Banda Hilo, Mhe. Rais Samia amepokea Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asas Ahmed Salim ambapo ametembezwa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa.
Aidha Mhe. Samia amepongeza uamuzi wa Kampuni ya Asas Dairies kuipatia Serikali Ng'ombe Mmoja wa kisasa wa mbegu kwaajili ya Mradi wa Vijana kupitia programu ya wa Build Better Tomorrow, Mbuzi 110 wa nyama na maziwa.

Пікірлер: 55

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck634811 ай бұрын

    MAMA SAMIA SHE IS UNDERSTANDING,LISTEN HOW SHE RESPONDING WHILE AHMED ASAS EXPLAIN ABOUT THOSE TYPES OF COWS AND GOATS.....SAMIA SULUHU HASSAN OEE......

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere54919 ай бұрын

    napenda kazi hiyi toka BURUNDI👌👌🙏🙏❤❤💯

  • @Dunia129
    @Dunia12911 ай бұрын

    nani amenotice mkurugenz anavotumia maneno ya kitalam mama anaitikia tu mm mmm mm mmmm😅😅😅

  • @frankfaraja4767
    @frankfaraja476711 ай бұрын

    Ulega umeiona hiyo..... Nimeiona mama😂😂😂

  • @TheElly1976
    @TheElly19764 ай бұрын

    Well explained hiyo ni mbegu gani tena

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj11 ай бұрын

    Safi sana

  • @erickmalamsha6938
    @erickmalamsha693810 ай бұрын

    Good work ASAS

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki206611 ай бұрын

    Mama anapenda ufugaji😊😊

  • @PriscaKasmil
    @PriscaKasmil21 күн бұрын

    A K MIHAMBO

  • @binuqaasha675
    @binuqaasha675Ай бұрын

    Milard ayo.. wanapatikana wapi hawa nataka nikanunue mbegu za boer

  • @user-di5jr3wz2n
    @user-di5jr3wz2n8 ай бұрын

    Hongera mama Kwa kutoa fursa Kwa watanzania wenye uhitaji wa kufuga. Nami sijui nitapataje hiyo mbengu ya Hawa mbizi wa gall

  • @HamisHamza-uf6uz
    @HamisHamza-uf6uz2 ай бұрын

    Hongera Kwa maziwa ,,Ila kwenye upande wa Ku care maderva wako ni asilimia 0 kwa ukumbuke bila maderva pia kz zako haziwezi zikaenda jirekebishe broo

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA11 ай бұрын

    😂😂😂😂 mama tupe story za salim kikeke

  • @athumanially712
    @athumanially7122 ай бұрын

    Tatizo Boer goats hapa nchini kwetu ni ngumu kuwapata em milad ayo waulize mimi naitaji.je?nikija kwao nauziwa pair ? Na ni bei gani?!! Nipo Kagera kwa sasa

  • @KaijageEvodius
    @KaijageEvodiusАй бұрын

    safisan

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno25810 ай бұрын

    😂😂Majike 30 mpaka 40....noma

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza65172 ай бұрын

    mm namtaka huyo boer goat

  • @godsonandwele5265
    @godsonandwele526511 ай бұрын

    Unaulizia mifuta tuu!😂

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson504511 ай бұрын

    GMO

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi959211 ай бұрын

    Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa kuna watu kazi yao nikutukana tuu hivi unadhani haya matusi yatapita hivi hivi ?.....kila kitu kiandikwa na utasimamisha mbele ya Allah acha kutukana bora kukaa kimya

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako855111 ай бұрын

    Apo kwenye majike 30 hadi 50 mother kaguna😅

  • @ga6866

    @ga6866

    4 күн бұрын

    Ya shangaa sana😅😅

  • @josephmbena611
    @josephmbena61111 ай бұрын

    Boer goat's ni mbuzi bora na wenyefaida

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk11 ай бұрын

    Mama ntakuja unipe story za Salim .Mama Leo hii nimejua hobby yako

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani642311 ай бұрын

    Jamani humu kuna watu wanatukana matusi mazito ! Afande muliro upo! Wakamateni kimya kimya muashuhulikie !!! Uhuru gani huu wakumtukana kiongozi wa nchi matusi mazito namna hiii!!! Jamani cyber crime wapo wapi! Au serikali imelalaa

  • @winfordmwangonda5375

    @winfordmwangonda5375

    11 ай бұрын

    Polisi wajiongeze ,hawa watu wakiwataka ni dakika 5 tu, Haiwezekani umtukane raisi ,tena mama tusi kama " kuma' ,yaani ata kama hukubaliani naye toa maoni mbadala ili tujifunze kutoka kwako .

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza777911 ай бұрын

    Mama mafuta yamepanda petrol diesel mama pagumu wanao tunapita punguza mafuta angalau hata mwenye vtz aweze kumudu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif621611 ай бұрын

    Tutapata vp hz mbegu ??

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do11 ай бұрын

    Kila ndiyo raisi Gani huyu

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala667711 ай бұрын

    Eti anaweza akapanda majike thelathini adi amsini 😂 apo rais kanunu tu uuumh😅

  • @mosseslazaro610

    @mosseslazaro610

    11 ай бұрын

    Vijana wa hovyo mmechukua hiyo tu😂

  • @josephmbena611

    @josephmbena611

    11 ай бұрын

    Yap nikwer broo kwaupande wangu tumechanganya mbuzi mmoja kwa majike arobaini

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson504511 ай бұрын

    Rais nakupenda ilaa GMO achana nayo

  • @bongo39
    @bongo3911 ай бұрын

    Safibsana hivi ndio tunavyotaka kupeana ushirikiano sio kubwaka tuu kama mbwa mtapata maradhi ya makoo kwa kusema uongo na kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu140311 ай бұрын

    Kila Mtu Mama Kila Mtu Mama Sasa Inamana Chini Yake Viongozi C Wapo Na Wao Ndio Wako Kalibu Na Watu Wa Kila Kundi Raisi Kila Akienda Mabodigadi Sasa Shida Zote Atazijua Vipi Ndio Mana Amechagua Viongozi Wa Chini Yake Hao Ndio Wanapaswa Wapigane Zaidi Kwa Watu Wote

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do11 ай бұрын

    Mama muza bandari huyo

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    HUYO MMBWA TU C RAIS WALA NINI KIBARAKA WA MABEBERU SERIKALI MNAJIVUNJIA HESHIMA KWA KUMLINDA HUYO KIBARAKA

  • @muhammedwakif6216

    @muhammedwakif6216

    11 ай бұрын

    Kuwa na heshma kaka hata ww una mama akitwa hv utafurahi

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    11 ай бұрын

    Laa! Wakati mwingine hata Mimi Mama huwa simuelewi ila mwenzetu umeenda mbali sana hayo Matusi hata kama una stress ya maisha la! Kumbuka una mama, Shangazi, Dada! Matusi na chuki haziwezi kukupa nafuu ya maisha Mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia!

  • @asalkhan9168

    @asalkhan9168

    11 ай бұрын

    Ok ushatukana je tatizo lako lomeondoka? Bado unaendelea nalo matusi hayasaidii kitu

  • @SAM_163

    @SAM_163

    11 ай бұрын

    HUNA ADABU MSHENZI WEWE UWE NA ADABU NA RAISI WETU. Huyo unayejitoa ufaham kumtusi si rais tu Bali pia Ni Mama yetu . NINGEWEZA NINGEKUFUNGIA HIYO ACCOUNT YAKO MAAANA UNAKICHAA WEWE

  • @mohamedsuleiman2785

    @mohamedsuleiman2785

    10 ай бұрын

    Mbwaaa mwenyeooo na nguruwewee

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo880310 ай бұрын

    Bandari zetu

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee231011 ай бұрын

    ETI MWESHIMIWA KUMA KIBARAKA ANAWAPA MALI ZA WATANZANIA WAARABU NA ANAJENGA KWAO NYINYI MNALINDA MSHENZI TU

  • @bongo39

    @bongo39

    11 ай бұрын

    Hayo matusi unayo tukana yatakufikisha sehemu mbaya sana jee mama yako angekuwa nafasi hiyo jee ungekubali unajiamini sana

  • @asalkhan9168

    @asalkhan9168

    11 ай бұрын

    Ndugu sio ustaarabu huo kutukana matusi, zungumza jambo lako usitoe matusi

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf11 ай бұрын

    Sasa kamer man mbon mshamb san unamchu rais t chukua n mifug tuione

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do11 ай бұрын

    Majambazi wanakupa SoMo situka wote hao wapigaji

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    11 ай бұрын

    wamemuibia baba yako?! chuki tu.

  • @coj7920
    @coj792011 ай бұрын

    Msiangalie tu faida ya kuuza, wa kienyeji ndio salama kwa afya ya watanzania. No to GMOs

  • @joesimba

    @joesimba

    11 ай бұрын

    Huwezi kukwepa GMO kwenye dunia ya leo mdogo angu, hizi zama sio 1940s wakati dunia bado ilikua na population ya billion 2 tu.

  • @ME-kb8rk

    @ME-kb8rk

    11 ай бұрын

    Shukuru kwanza!!! Mengine baadae..... ASAS angalalau wana moyo wa kutoa, wapo wangapi mbona hawatoi?

  • @coj7920

    @coj7920

    11 ай бұрын

    @@ME-kb8rk kuna faida gani yakushukuru poison. The issue sio asas tu, kuna wengine wengi tu.

  • @KEVINPHANUEL
    @KEVINPHANUEL11 ай бұрын

    Tuko vijana tunapenda mifugo tusaidie tufunge

Келесі