DW Kiswahili

DW Kiswahili

Deutsche Welle ni Shirika la Kimataifa la Utangazaji la Ujerumani, linaloandaa vipindi vya Televisheni, Radio na Mtandao wa Intaneti kwa ajili yako katika lugha 30 - popote ulipo ulimwenguni.

Tafadhali tusaidie kuyafanya majadiliano katika kituo hiki kuwa safi na ya kukubalika na jiepushe kutumia lugha ya kibaguzi au uchafu pamoja na matusi ya kibinafsi.

Kwa taarifa zaidi tafadhali bonyeza link ya "DW Netiquette" hapo chini.

www.dw.com/en/dws-netiquette-policy/a-5300954

Ulimwengu wamuenzi Nelson Mandela

Ulimwengu wamuenzi Nelson Mandela

Merkel atimiza umri wa miaka 70!

Merkel atimiza umri wa miaka 70!

Maandamano yaitikisa tena Kenya

Maandamano yaitikisa tena Kenya

Mahojiano na Kundi la M23 la DRC

Mahojiano na Kundi la M23 la DRC

Пікірлер

  • @SalumSalim-ss5me
    @SalumSalim-ss5me43 минут бұрын

    Mkn

  • @geoffreynyakunga6606
    @geoffreynyakunga6606Сағат бұрын

    Maandamano yazuiliwe Kenya ili kulinda raia wasiuawe tena maana tumeshuhudia RAIA hamsini wamesha fariki, hatupendi kuona raia wakipoteza kwa kisingizio cha demokrasia

  • @Faya884
    @Faya884Сағат бұрын

    Live

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiameСағат бұрын

    Trump atapita kwa kishindo

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571Сағат бұрын

    hakuna wa kumzuia trump kwenye njia yake,

  • @mussanchimwa9283
    @mussanchimwa928316 сағат бұрын

    Many days I'm not been notified by the news insipite of submission

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm17 сағат бұрын

    Hatukatai kwamba mashoga wapo hata hapa TZ.Hoja ni kwamba kwa Israel kwa mujibu wa sheria zao zinaruhusu ushoga na kuna hata viongozi wakubwa tu wangazi za juu wa serikali ya Israel ni Mashoga.Kwa taifa mnalolinasibisha na utukufu/uteule ni aibu.Halafu kwani Israel wamewahi pigana na nchi kubwa ipi? Mfano:Urusi,Uchina,India, Ufaransa,Uingereza,Uturuki,Korea kaskazini/kusini n.k.Kama vikundi kama HAMAS vinawatoa jasho pamoja na misaada ya askari na zana za kijeshi anazopewa hajafikia malengo ataiweza Iran?

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi23 сағат бұрын

    Msigwa juuuuu juuuuuu juuuuuu zaidi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933Күн бұрын

    Helo

  • @Kiswahili
    @KiswahiliСағат бұрын

    karibu kwenye matangazo yetu

  • @ShabaniFumbaa-ev1je
    @ShabaniFumbaa-ev1jeКүн бұрын

    Np tanga nazipata vp

  • @AlphonceNganzi
    @AlphonceNganziКүн бұрын

    Asante mungu😅

  • @AlphonceNganzi
    @AlphonceNganziКүн бұрын

    Asante mungu😅

  • @AlphonceNganzi
    @AlphonceNganziКүн бұрын

    Mungu ni mwema alimuokoa mtu wake

  • @user-ow5zk5vp1x
    @user-ow5zk5vp1xКүн бұрын

    Malipo yapoje

  • @user-sy4ku4xm7q
    @user-sy4ku4xm7q2 күн бұрын

    Mtu anayefanya ujitafakari ndo mzuri,watu walikua wamejisau sana Trump piga kazi watu wanyooke

  • @Kiswahili
    @KiswahiliСағат бұрын

    Ila Trump ndio mwanzo anawania kuingia afisini

  • @user-sy4ku4xm7q
    @user-sy4ku4xm7q2 күн бұрын

    Mna uoga gani kwani huko ni kwenu,kila mtu arudi kwao hayo hayatuhusu huu ni muda sasa wa kuona wazungu wakiwa wakimbizi barani afrika. Tusubiri muda utaongea

  • @Kiswahili
    @KiswahiliСағат бұрын

    asante sana kwa kufuatilia taarifa zetu

  • @JuliusWerema
    @JuliusWerema2 күн бұрын

    Hongere d,w kioo na mwanga wa dunia,

  • @panadomadola3064
    @panadomadola30642 күн бұрын

    Huyo anae sema Israel anapiga mabom ovyo,akili yake imechanganyika na mavi, sababu Hamas ni waoga wanajikinga na raia, ndiyo maana Israel imashambulia maeneo ya raia ili kuwalenga wapiganaji wa Hamas

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole2 күн бұрын

    Good

  • @Kiswahili
    @KiswahiliСағат бұрын

    asante sana kwa kutusikiliza mchana huu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын

    EeTelaviv kupigw Israel ajipange Telaviv kupigw c kitoto Israel, hatoboi, kukarir kutaiponza, Israel,sisi tunaamini mitume yote n wa islaam,na Jerusalem n mskiti Alaqasa Jerusalem n mji mtakatifu,ila netanyahu,n muuaji Ghaza, ila wapo wayahudi waislaan c wote wa baya hilo halina shaka, ingieni kwenye google uliza how religion in Israel ujue

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles43852 күн бұрын

    Jifunze kuandika kwanza.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni96762 күн бұрын

    Nina wapata barabara

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz2 күн бұрын

    Ahsante dw kwa habari motomoto

  • @HanceBarinaba
    @HanceBarinaba2 күн бұрын

    Naitaji kujiunga na marasita

  • @SudanSudan-iw2fr
    @SudanSudan-iw2fr2 күн бұрын

    Mbona hapo live

  • @DAVIDDAVIDDENISNDOMONDO
    @DAVIDDAVIDDENISNDOMONDO2 күн бұрын

    😊

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k3 күн бұрын

    HONGERENI DW KWAKUTUJUZA MENGII

  • @MagangaMwagala
    @MagangaMwagala3 күн бұрын

    The world is at the end of the age BELIEVE IN JESUS.

  • @user-gu7mw8zs6c
    @user-gu7mw8zs6c3 күн бұрын

    Samahan dada Ninaomba namba yako

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84563 күн бұрын

    Israel waogopa Palestinians wakiwa taifa huru watakuwa na jeshi na mwisho watapigwa kwa sababu wanajeshi wake wengi ni mashoga

  • @jameschivatsi1168
    @jameschivatsi11683 күн бұрын

    Please am from Kenya naomba niunganishe na huyu khadija please

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22323 күн бұрын

    Safi

  • @ombenimalasi8765
    @ombenimalasi87653 күн бұрын

    Akika tuna vuma kwakishindo

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi8463 күн бұрын

    Naam hakika tunavuma kwa kishindo

  • @user-og5xq1is1i
    @user-og5xq1is1i3 күн бұрын

    Kweli

  • @humphreyngowi3745
    @humphreyngowi37454 күн бұрын

    Mkatavi TV wao wachambua taarifa ya habari wakati sisi tunataka kusikiliza taarifa ya habari sio uchambuzi wa taarifa ya habari

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz3 күн бұрын

    Umeongea vizuri sana ,hata mimi wananikera sana hao Mkatavi TV.

  • @humphreyngowi3745
    @humphreyngowi37454 күн бұрын

    Mbana asubuhi mnatuletea mkatavi badala ya kutusomea taarifa ya habari wao wanachambua

  • @DanjeseGaaray
    @DanjeseGaaray4 күн бұрын

    Nilikuwa sijui kama rais wa umoja wa ulaya ni mwanamke🤔🤔🤔

  • @NzingulaSonda-lo1qc
    @NzingulaSonda-lo1qc4 күн бұрын

    Pamoja sana dw nawapata vizuri nikiwa hapa border ya zambia na Tanzania online

  • @MaximilianKiria-rt2eq
    @MaximilianKiria-rt2eq4 күн бұрын

    naomba namba zenu plc namoyo wa utowaji sana

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely84764 күн бұрын

    Fisi mlafi,anayechinja bila utaratibu kisa yumo zizini.huyo ndiye naiwr wenu

  • @abdallahsalehe6510
    @abdallahsalehe65104 күн бұрын

    Lplp

  • @KeziaEnnos
    @KeziaEnnos4 күн бұрын

    Doctor mm nime kutana na mwenza wangu gafla nikanywa vidonge vya kuzuia mimba lakin mpaka sasa tumbo lina niuma ila na miezi miwili sioni siku zangu Bada ya kutoa njit

  • @Emanuelfrankasei
    @Emanuelfrankasei5 күн бұрын

    Tupo pamoja kwa kupata habari bora

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj5 күн бұрын

    Kenya hii wajitafakari wamefanya mirango ya kuwepo makundi nyemelezi ya waasi bila kujuwa na siku vurugu zikiisha nchi ikatulia wataona mapya ndani ya nchiyao

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi15884 күн бұрын

    Wala hiyo maandamano sio kwa ajili ya budget ya serekali Kuna lingine limejificha sana fanyeni upelelezi mtajuta haiwezekani hata!!!!!!!!!!!!!

  • @AminaDaud
    @AminaDaud5 күн бұрын

    hivi kuna pasi za sola za kunyooshea nguo? naomba nijulishe kama zinapatikana

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely84765 күн бұрын

    Nawe,aache upumbavu.hiyo ni kodi yetu.siyo yenu,mnafanya madudu tuwaache tu.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni96765 күн бұрын

    Leo mmechelewa kutuwekea habari, tafadhali muwe mnatuwekea habari chapchapu

  • @GharibJoseph
    @GharibJoseph6 күн бұрын

    Wa Boko beach DSM tz 🇹🇿 ivi wewe trump ni kipi ulichokisahau Whait house!!? Mpaka unataka kufia Majukwaan

  • @MusaNdonje
    @MusaNdonje5 күн бұрын

    Acha ujinga wew

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz5 күн бұрын

    Ni haki yake kikatiba japo mimi namuunga mkono Joe Biden.Ninachompendea Trump ni sera yake ya kupinga ushoga.

  • @SumailiHamisi-hx7gg
    @SumailiHamisi-hx7gg6 күн бұрын

    Israel 🎉🎉

  • @djumasuleimanisuleimani2724
    @djumasuleimanisuleimani27246 күн бұрын

    Napenda sana poutine