Deutsche Welle ni Shirika la Kimataifa la Utangazaji la Ujerumani, linaloandaa vipindi vya Televisheni, Radio na Mtandao wa Intaneti kwa ajili yako katika lugha 30 - popote ulipo ulimwenguni.
Tafadhali tusaidie kuyafanya majadiliano katika kituo hiki kuwa safi na ya kukubalika na jiepushe kutumia lugha ya kibaguzi au uchafu pamoja na matusi ya kibinafsi.
Kwa taarifa zaidi tafadhali bonyeza link ya "DW Netiquette" hapo chini.
www.dw.com/en/dws-netiquette-policy/a-5300954
Пікірлер
Mkn
Maandamano yazuiliwe Kenya ili kulinda raia wasiuawe tena maana tumeshuhudia RAIA hamsini wamesha fariki, hatupendi kuona raia wakipoteza kwa kisingizio cha demokrasia
Live
Trump atapita kwa kishindo
hakuna wa kumzuia trump kwenye njia yake,
Many days I'm not been notified by the news insipite of submission
Hatukatai kwamba mashoga wapo hata hapa TZ.Hoja ni kwamba kwa Israel kwa mujibu wa sheria zao zinaruhusu ushoga na kuna hata viongozi wakubwa tu wangazi za juu wa serikali ya Israel ni Mashoga.Kwa taifa mnalolinasibisha na utukufu/uteule ni aibu.Halafu kwani Israel wamewahi pigana na nchi kubwa ipi? Mfano:Urusi,Uchina,India, Ufaransa,Uingereza,Uturuki,Korea kaskazini/kusini n.k.Kama vikundi kama HAMAS vinawatoa jasho pamoja na misaada ya askari na zana za kijeshi anazopewa hajafikia malengo ataiweza Iran?
Msigwa juuuuu juuuuuu juuuuuu zaidi 😂😂😂😂😂😂😂
Helo
karibu kwenye matangazo yetu
Np tanga nazipata vp
Asante mungu😅
Asante mungu😅
Mungu ni mwema alimuokoa mtu wake
Malipo yapoje
Mtu anayefanya ujitafakari ndo mzuri,watu walikua wamejisau sana Trump piga kazi watu wanyooke
Ila Trump ndio mwanzo anawania kuingia afisini
Mna uoga gani kwani huko ni kwenu,kila mtu arudi kwao hayo hayatuhusu huu ni muda sasa wa kuona wazungu wakiwa wakimbizi barani afrika. Tusubiri muda utaongea
asante sana kwa kufuatilia taarifa zetu
Hongere d,w kioo na mwanga wa dunia,
Huyo anae sema Israel anapiga mabom ovyo,akili yake imechanganyika na mavi, sababu Hamas ni waoga wanajikinga na raia, ndiyo maana Israel imashambulia maeneo ya raia ili kuwalenga wapiganaji wa Hamas
Good
asante sana kwa kutusikiliza mchana huu
EeTelaviv kupigw Israel ajipange Telaviv kupigw c kitoto Israel, hatoboi, kukarir kutaiponza, Israel,sisi tunaamini mitume yote n wa islaam,na Jerusalem n mskiti Alaqasa Jerusalem n mji mtakatifu,ila netanyahu,n muuaji Ghaza, ila wapo wayahudi waislaan c wote wa baya hilo halina shaka, ingieni kwenye google uliza how religion in Israel ujue
Jifunze kuandika kwanza.
Nina wapata barabara
Ahsante dw kwa habari motomoto
Naitaji kujiunga na marasita
Mbona hapo live
😊
HONGERENI DW KWAKUTUJUZA MENGII
The world is at the end of the age BELIEVE IN JESUS.
Samahan dada Ninaomba namba yako
Israel waogopa Palestinians wakiwa taifa huru watakuwa na jeshi na mwisho watapigwa kwa sababu wanajeshi wake wengi ni mashoga
Please am from Kenya naomba niunganishe na huyu khadija please
Safi
Akika tuna vuma kwakishindo
Naam hakika tunavuma kwa kishindo
Kweli
Mkatavi TV wao wachambua taarifa ya habari wakati sisi tunataka kusikiliza taarifa ya habari sio uchambuzi wa taarifa ya habari
Umeongea vizuri sana ,hata mimi wananikera sana hao Mkatavi TV.
Mbana asubuhi mnatuletea mkatavi badala ya kutusomea taarifa ya habari wao wanachambua
Nilikuwa sijui kama rais wa umoja wa ulaya ni mwanamke🤔🤔🤔
Pamoja sana dw nawapata vizuri nikiwa hapa border ya zambia na Tanzania online
naomba namba zenu plc namoyo wa utowaji sana
Fisi mlafi,anayechinja bila utaratibu kisa yumo zizini.huyo ndiye naiwr wenu
Lplp
Doctor mm nime kutana na mwenza wangu gafla nikanywa vidonge vya kuzuia mimba lakin mpaka sasa tumbo lina niuma ila na miezi miwili sioni siku zangu Bada ya kutoa njit
Tupo pamoja kwa kupata habari bora
Kenya hii wajitafakari wamefanya mirango ya kuwepo makundi nyemelezi ya waasi bila kujuwa na siku vurugu zikiisha nchi ikatulia wataona mapya ndani ya nchiyao
Wala hiyo maandamano sio kwa ajili ya budget ya serekali Kuna lingine limejificha sana fanyeni upelelezi mtajuta haiwezekani hata!!!!!!!!!!!!!
hivi kuna pasi za sola za kunyooshea nguo? naomba nijulishe kama zinapatikana
Nawe,aache upumbavu.hiyo ni kodi yetu.siyo yenu,mnafanya madudu tuwaache tu.
Leo mmechelewa kutuwekea habari, tafadhali muwe mnatuwekea habari chapchapu
Wa Boko beach DSM tz 🇹🇿 ivi wewe trump ni kipi ulichokisahau Whait house!!? Mpaka unataka kufia Majukwaan
Acha ujinga wew
Ni haki yake kikatiba japo mimi namuunga mkono Joe Biden.Ninachompendea Trump ni sera yake ya kupinga ushoga.
Israel 🎉🎉
Napenda sana poutine