RC AVAMIA DISKO ZANZIBAR, AKUTA MTOTO wa MIAKA 15 AKISEREBUKA, AMBANA MMILIKI

Ойын-сауық

RC AVAMIA DISKO ZANZIBAR, AKUTA MTOTO wa MIAKA 15 AKISEREBUKA, AMBANA MMILIKI

Пікірлер: 294

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi4082 жыл бұрын

    Kwendenu zenu uko hakuna kisicho na maana apa,sheria na suala zima la maadil na ustawi bora uzinqatiwe,miziki open km ivo hapo kuna majiran,waqonjwa na watu waliopumzika wanashindwa kupata utulivu. Ata uko ulaya mambo haya yanazibitiwa ipasavyo na hatua zikikiukwa hatua zinachukuliwa. Biq up Mheshimiwa Ayoub,Wazanzibar asilimia 100 tunathamin na kukuelewa sana kwa uwajibikaji wako.

  • @donedaddy4561

    @donedaddy4561

    2 жыл бұрын

    N kweli

  • @mirajmaloca425

    @mirajmaloca425

    2 жыл бұрын

    Kutokana na location hili eneo pande zote nne limezungukwa na hotel za kitalii

  • @hamadabdullahkhamis977
    @hamadabdullahkhamis9772 жыл бұрын

    Kama unavyo sema Muheshimiwa...wanazarau sana seriksli hao wanao fanya watu wasilale usiku.. hongera Muheshimiwa kazi nzuri na ngumu ya kuwafanya wananchi walale kwa utulivu.... Sasa umetoa fundisho zuri kwa mkoa wetu....

  • @abdulbongekapunye

    @abdulbongekapunye

    2 жыл бұрын

    kumbuka na kuna watu wameajiriwa hapo ndugu

  • @hamadabdullahkhamis977

    @hamadabdullahkhamis977

    2 жыл бұрын

    @@abdulbongekapunye cha kuzingatia ni sheria ya nchi inasemaje... Au na wale wanao taka kulala pia wakate kibali cha usingizi...na Kama huna biashara ya kulaza wageni basi utaona kila anae piga mziki ameonewa... Utalii hauwendi hivi.. Raisi wetu anapanda ndege kwenda kuutangaza utalii Zanzibar kisha wanakuja wachache na kuharibu.... Bia tamu hata kama hakuna mziki..

  • @mxofmfk8406

    @mxofmfk8406

    2 жыл бұрын

    @@abdulbongekapunye kama wameajiri watu ndio wavunje sheria!! That's stupid thinking

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah63282 жыл бұрын

    Mhhm mboba mambooo au alikua na hamu ya disco mzee baba akaona azuge kumbe flava zinamuingia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rasvuaimarley4049
    @rasvuaimarley40492 жыл бұрын

    RC ufanye mazoezi kitumbo hicho si cha kawaida Mhe.

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman90182 жыл бұрын

    Mzee wangu bora wafungie wahuni hao wanatumalizia jamii tupo nyuma yako tunakuombea usiogope mtu muogope Allah

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68802 жыл бұрын

    Nchi yetu usenge sn, ivi mmb km aya ya mda wa mziki yana faida gn wakati disko limefungiwa ndani halitoi sauti ya kukera watu, me nadhani mmb ya mcngi apa n maisha magumu

  • @hamidmweusiii35

    @hamidmweusiii35

    2 жыл бұрын

    Watu wanataka wale Hela apo

  • @patrickmukundichalamila3038

    @patrickmukundichalamila3038

    2 жыл бұрын

    Mabilion yakiibiwa kimyaaa 😡

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Wee unaliona dogo hilo lakini hilo disko ndio linazalisha wahalifu wote

  • @hamidmweusiii35

    @hamidmweusiii35

    2 жыл бұрын

    @@hilalalhabsi2047 lizalishe tu izo Kaz za kufny zipo Kwan angalau uko disko tunakonga nyoyoo

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone9722 жыл бұрын

    Kazi mzuri Sana... Maana waarabu wanasema asili ya moto ni cheche ndogo tu.. Kwa maana ukiacha machafu hata kama bado yako kidogo basi ujuwe itafika Siku yatakuwa mengi na mkubwa mnoo hata yanaweza yakakushinda kuyadhibiti tena.. Kwa hio Kazi ya RC ni mzuri iwapo ataendeleya kuyadhibiti huu uchafu kabla ya kuenea..

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3362 жыл бұрын

    Hongera Rc unafanya kazi kubwa sana mungu akulipe🙏🙏

  • @muukwacha6018

    @muukwacha6018

    2 жыл бұрын

    Kwa mungu Hana kitu mungu haji vurugu

  • @muhamedsalum140
    @muhamedsalum1402 жыл бұрын

    Ukihisi mziki na kujazana mabaa ndo kumpenda mungu wako basi endelea laa ukigunduwa ni njia ya upotevu basi acha mungu. Anasamehe ila kifo huja hafla hasa zama hizi za mwisho usiseme nitatubu kesho kwavile bado natuta tubu mapema kabla ya kesho maana iyo kesho unayoisubiri huna hakika nayo

  • @dj.ino.official
    @dj.ino.official2 жыл бұрын

    mi nilichosikia uko ni majoo monalisa 😅😅😅 Asante DJ

  • @marryg4235

    @marryg4235

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @mosesayubu5012

    @mosesayubu5012

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @curtisloy2343
    @curtisloy23432 жыл бұрын

    dah hii sio sawa kabisa.....

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa5932 жыл бұрын

    Fanyeni kazi za muhimu sio hiyo tembelea hospitali basi kawape chochote

  • @thomasraiton7760

    @thomasraiton7760

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa anaulizwa hadi d j kasajiliwa ? Mmmh

  • @salumsalim7564

    @salumsalim7564

    2 жыл бұрын

    Kwa cc wazanzibar ni kitu kizur maan watt wadogo wanaaga makwao wanaenda tuition kumbe wanaishia maklabu so km kwa ww mtu wa kigoma haipendez bc kausha ya zenj ww hayakuhusu

  • @comrademlewaisavile336

    @comrademlewaisavile336

    2 жыл бұрын

    @@salumsalim7564 fact

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew92732 жыл бұрын

    Hapo kwenye 15 years mtoto kuwa kwa club yes ni kosa hata huku dubai unafungiwa place. But kwa nchi yetu kuna vtu vingi sana vya kufanya na kufatilia mkuu

  • @ondiektorongongo6106

    @ondiektorongongo6106

    Жыл бұрын

    Nancy

  • @libetztanzania-kiswahilina2845

    @libetztanzania-kiswahilina2845

    11 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h5p_s5WHoq6ydZM.html

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed7272 жыл бұрын

    SUBHANA LLAH hivi sasa wamiliki wa club/madisco ni waislamu!!!

  • @MuhammadALI-uc4jg

    @MuhammadALI-uc4jg

    2 жыл бұрын

    Sio sasa muda mwingi waislam sisi ndio wamiliki wa kumbi za disco .kwa huu ni msiba nawanatu aibisha

  • @zaibonge7867
    @zaibonge78672 жыл бұрын

    Cocobello nungwi moja hiyoo😂😂😂nyie hebu acheni fatuma.kiduku apate raha 💃💃💃💃😂😂😂..

  • @abdallaaboud3818
    @abdallaaboud38182 жыл бұрын

    Tunakuomba urudimjini Unaijua kaziyako mungu akusaidie

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Subhannallah, mtihani kwakweli

  • @munnaomar328
    @munnaomar3282 жыл бұрын

    Hongera mkuu wa mkowa,fukuza wote hao wakafanye uchafu wako kwao bara huko

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    2 жыл бұрын

    Mama fikiria kabla hujanena inamaana kila mtt uko zanzbar akiwa na mamb mabaya ni bara me nimeolew zanzbar naona naona mashemej zangu walivyo eti mtt anamwita mamake oya Hadi nashtuka asa uyo anavyoongea ni mkojan kabisaa 😁

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    @@machetebogota4218 kaiga kwenu bara filamu CHAFU mnazotuletea zanzibar

  • @Mamkubwa

    @Mamkubwa

    2 жыл бұрын

    tusipate dhambi kuwasingizia wabara buree.... kizazi cha sasa na walezi wote ni mtihani. Nkwape mfano msiojua, mambo ya unga huku ndio yanaongoza basi kushinda bara. Au mnasema vya kuiga huzidi?

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    2 жыл бұрын

    @@hilalalhabsi2047 bila shak vya kuiga huzid. Hebu tumuogopen mungu bas tukiw km waislam tujitahd kulea watt vzur na c kucngizia watu fulan kila kitu

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    @@Mamkubwa weeee 😂. Nini. Unga mpaka barabarani bara hujaenda nini 🤣. Ulevi wote ni kutoka bara. Wazanzibari labda Ulevi wa mapapai mabovu😂. Unafkiri inakuja meli au ndege ulaya NA Ulevi au?. Mie nilishuhudia mla unga anayumba kuliko mlevi wa pombe. Mimi jirani zangu walikua znz, walipofika Dar tu kutafuta kazi 😂kila mmoja mlevi ajabu karudi NA danga limekua kaokota danga hata hawajaoa. Wanalala ulevini.

  • @jhecfoundationtanzania2891
    @jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын

    Yaaan Kuna watoto wengi mtaani hawana hili Wala lile baadaa serikali iwaandalie mazingira mnaenda kupambana na mtoto mmoja wa bar

  • @nimrodsigulu6249

    @nimrodsigulu6249

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @siloomar7699
    @siloomar76992 жыл бұрын

    Dah haya ndo Mambo yanaotupoteza wazanzbar

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    2 жыл бұрын

    Tayari tushapotea,sasa iliobaki ni adhabu kutoka kwa Allah

  • @allanandy2424
    @allanandy24242 жыл бұрын

    Hizi job description za hawa wakuu zibadilishwe....mkuu wa mkoa kufatilia disco is a waste of resources....

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa51792 жыл бұрын

    Rc fala sasa maswala ya kulala mtu siana lala kwake

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha85362 жыл бұрын

    TANZANIA bwana yani mkuu wa mkoa ana deal na mambo ya disco akati hospitali hazina dawa, mashine za XRAY hakuna barabara mbovu yeye haoni daah TUMELOGWA

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Anahofu ya Mungu 👍👍👍

  • @Mamkubwa

    @Mamkubwa

    2 жыл бұрын

    hakika... jamaa yangu ililazwa mnazi mmoja, hana damu. wameelekezwa wakanunue private. dadake kauziwa damu imetiwa ndani ya gloves! Eeh Mungu tuamshe sisi na viongozi wetu wazidumishe huduma zoote za afya.

  • @afropanorama4730

    @afropanorama4730

    2 жыл бұрын

    Zanzibar kuna taratibu zake,starehe za wachache isiwe kero kwa wengine

  • @Bntv-4928

    @Bntv-4928

    2 жыл бұрын

    Kiki tu hzo

  • @stellandosi9806

    @stellandosi9806

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @shadiaally2217
    @shadiaally22172 жыл бұрын

    Huo uonev kabisa Disco mwisho saa sita hilo ni disco toto sasa saa sita ndio mambo fireeeee

  • @africanwildcatsexpeditions9862

    @africanwildcatsexpeditions9862

    2 жыл бұрын

    Saa 6 chuga ndo tunajianda

  • @mcback4384
    @mcback43842 жыл бұрын

    Mimi huyo Dada ondoka ndipo nilipo mpaka saivi! 😅😅😅😅

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani74162 жыл бұрын

    Mimi nafikiri baada ya miaka kumi zanzibar tutakuwa na wasagaji wengi ! Walawiti wengi ! Mashoga wengi na wasenge wengi! Hasa maeneo ya kusini unguja utafiti unaonyesha wenyeji wengi wanapoteza maeneo yao Kwa kuwauzia wageni ambao wanaazisha biashara ambazo hazina maadili ???

  • @yasalaam590
    @yasalaam5902 жыл бұрын

    Subhanallah hao wafungiwe kabisaa kwasababu wanaharibu jamii hao huyo mtoto alikuwa mida awejipumzishe na ilinaamke alfajiri ajidurusie masomo yake lakini wapi ndio kwanza anajimwaga huko nje subhanallah yaallah waongoe watoto aetu amiin

  • @user-vk4mv8vs7c
    @user-vk4mv8vs7c8 ай бұрын

    Ayoub Hafai hata kuwa diwani Visiwa ni sehemu starehe SMZ haina dini Bora ajiunge na madrasa

  • @sazanahussen6715
    @sazanahussen67152 жыл бұрын

    Hahahaha veep kuhusu gest tembeleen na huko hapo mmekata stimu wateja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber71692 жыл бұрын

    Kweli Africa sijui karne gani wataamka hivi Disco mwisho saa sita mliona wapi wakati watu wanaingia Disco muda huo .Disco toto au party za watoto muda wake ndio huo hapo unalipaje rent wakati mnafanya sehemu ya starehe kama sehemu ya ibada. Ndio maana maendeleo mtayasikia na kuyaona kwenye nchi za wenzetu kwa kupitia Tv

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72462 жыл бұрын

    Mh Waziri Mungu Akulipe Kheri Umesimamia Sheria ulizoapa kuzitetea

  • @hdggu6792
    @hdggu67922 жыл бұрын

    Zanzibar oyeeee urawti juuuuu tumeelewana au niongeze 😂😂😂😂sauti Bora mziki naulevi kuliko hayo yanayo endeleea kila siku

  • @TeamKRX
    @TeamKRX2 жыл бұрын

    Nyie nyote mnaokomment hamna watoto mungu awalani

  • @zuwenafakih3345

    @zuwenafakih3345

    2 жыл бұрын

    Nikweli hawana watoto hao.alafu mtoto akishaanza kutombwa anakamatwa mtu anaambiwa kabakwa .acheni kumponda RC .anajaribu kueka sawa maadel ya vizazi nyenu wapuuzi nyie

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand67232 жыл бұрын

    Kazy zinafanyika kwa Kiki Kwan kibali Cha umiliki si kinaonyesha mda wa bar pub club casino nk....

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche99532 жыл бұрын

    Zipo kazi viongozi kafanyeni kazi manake wanalipa Kodi,afu muwapangie muda,acheni wenye uwezo hata wakeshe

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd89412 жыл бұрын

    alafu uyu dogo anazingua sana ivi anajielewa kweli dah mungu tusaidie

  • @siloomar7699
    @siloomar76992 жыл бұрын

    Huyo ndo Ayubu Muhammed Mahmoud

  • @yusufmzeeyusuf262
    @yusufmzeeyusuf2622 жыл бұрын

    Baaada ya kushuhulikia mambo yao ya serekalini

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    2 жыл бұрын

    Na ss hy serikali hatuipendi ila kwa hili yupo sawa Zbzar imeharibika sana haina Mana waachiwe tu umalaya pia hausemeki

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd89412 жыл бұрын

    Tom muombe mungu madogo sana hayo kuna kitu anataka2 kuamakini nao

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack16692 жыл бұрын

    Biashara ingepangwa tu kuwe na lounge uwe mziki hautoki inje,iwe mpaka usubuh

  • @ditomgaya7932
    @ditomgaya79322 жыл бұрын

    Unashindwa kutembelea Hospital,yatima na kufanya mambo ya maendeleo

  • @walkali8357

    @walkali8357

    2 жыл бұрын

    Ilo pia sio jambo dogo

  • @mashamasha2854

    @mashamasha2854

    2 жыл бұрын

    ʜɪᴠɪ ʙɪɴᴀᴀᴅᴀᴍᴜ ʜᴀᴍᴋᴏsɪ ʟᴀ ᴋᴜᴏɴɢᴇᴀ ᴍᴘᴀᴋᴀ sɪᴋᴜ ᴜᴋɪᴛᴏᴋᴀ ʀᴏʜᴏ. ʜᴀᴍᴡɪsʜɪ ᴋᴜʟᴀʟᴀᴍɪᴋᴀ ᴋɪʟᴀ ᴋɪᴛᴜ ᴋᴡᴇɴᴜ ᴋᴏsᴀ

  • @khamismohdkhamis4680

    @khamismohdkhamis4680

    2 жыл бұрын

    Hili jambo kubwa saana

  • @najmaulaya2261

    @najmaulaya2261

    2 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️💊

  • @magrethelias6712
    @magrethelias67122 жыл бұрын

    Alikuwa amemisi kwenda mziki uyo kwanini asiende hospital kutemberea wangonjwa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22212 жыл бұрын

    Kijana ni mrefu kuliko RC mwenye kiherehere😂😂😂😂zanzibar bhana, si muungane na oman tu 😂😂😂

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Unaijuwa oman bro oman mpaka alfajir na walev km wote bro

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    @@binaljabirmshihirzanzibar8369 achana NA propa wewe.

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    😂😂😂Dogo anasema leo mwanzo NA mwisho🤣 hata hajaulizwa huyoo

  • @jointjoint4507

    @jointjoint4507

    2 жыл бұрын

    😆😅😅😅

  • @najmaulaya2261

    @najmaulaya2261

    2 жыл бұрын

    @@binaljabirmshihirzanzibar8369 halafu ndio huko wanajiita arab dini tele misikiti kibao lakini kila mtu nastarehe zake 😂😂 Astaghafirullah sas usiombe upite maeneo fulani huku oman huko mjini utalia 😂😂😂

  • @muukwacha6018
    @muukwacha60182 жыл бұрын

    Mie langu ilikua tusimshirikishe mungu kwenye hili Mana hakuna dini yeyote inao taka hili Ila tuangalie sifa atazo pata kwa serekali Mana iyo Haina dini Tena tn tusichanganye mambo

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso68182 жыл бұрын

    Mbona pigo za Kike kwahyo ndo kaz iendelee kihivyo

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania55772 жыл бұрын

    Fatiliyeni mambo ya mana hangaikeni muangaliya ungumu wa nchi yetu tunakosey wapi kwanini uchumi umekuwa mngum munatafuta vitu vakipumbavu

  • @salimusalim3610

    @salimusalim3610

    2 жыл бұрын

    Hayo ndoyanayoleta ugumu kamari riba ukahaba

  • @najmaulaya2261

    @najmaulaya2261

    2 жыл бұрын

    Sana tu ❤️

  • @jumakapola419
    @jumakapola4192 жыл бұрын

    Mkuu kama amekosea apigwe faini tu maisha yaendelee ndio inchi zingine ndio utalatibu sio kumfungia mtu kumbukeni uyo mtu ana family kama wewe

  • @peninashungu6633
    @peninashungu66332 жыл бұрын

    Achen udwanz mda huu ata we ulitakiwa uwe umelala

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso68182 жыл бұрын

    Hawa ndo wakutumbuliwa kabsaa

  • @bantuboytz3980
    @bantuboytz39802 жыл бұрын

    Uyo dogo mwendawazimuu mamae yup la 4

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice86862 жыл бұрын

    Nimegundua kwa Comment za hapo Juu wengi ni wadau wa Anasa si watu wa kiimani ukwl Zanzibar yetu inaangamizwa na wageni na wenyeji wajinga wasioona Mbele

  • @ireneassey9943

    @ireneassey9943

    2 жыл бұрын

    Kwani alie wapaaa kibali nani kama si serikali

  • @makoyejohn9560

    @makoyejohn9560

    2 жыл бұрын

    ?

  • @najmaulaya2261

    @najmaulaya2261

    2 жыл бұрын

    Ety wageni haww wote wazenji wanaoiliki I disco sas nawageni wafanyaje

  • @zanzibarspice8686

    @zanzibarspice8686

    2 жыл бұрын

    @@najmaulaya2261 mimesema wageni na wenyeji ni mjumuisho

  • @najmaulaya2261

    @najmaulaya2261

    2 жыл бұрын

    @@zanzibarspice8686 haya tumekwisha sas

  • @shufaaattass1920
    @shufaaattass19202 жыл бұрын

    Tena kazeni zanzibar msiwachkee hao

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary27042 жыл бұрын

    Majoo Monalisa na You Want Bamba 😆😆😆😆😆

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah94074 ай бұрын

    Inaskitisha wallah na utalii huu .. hyo anaemtetea hana adabu n hyo mwnye baa hana heshma .. n wote wnastahiki bakora

  • @minaali3733
    @minaali3733 Жыл бұрын

    Muheshimiwa umekuwa na huruma sana na huruma ikizidi inaharibu. Huyo dada kinyago aliyekuja mbele yako nusu uchi tena kwa pupa akitaka huyo kijana aondoke naya hapo mbele yako ndiye wa kwanza ungemshughulikia. Amekukosea adabu .Muheshimiwa

  • @shandushady354
    @shandushady3542 жыл бұрын

    kuhusu muda wangefanya angalao mpaka saa nane na nusu.na huyo mtoto ni uzembe wa wazazi maana wao ndo walinzi na walezi amewezaje kutoka nyumbani mpaka kufika disko mwenye disko hana kosb kwa hilo .

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    Haa mhmm si bora mpaka asubuhi

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Kwaio unataka mtoto ata wa miaka 9 akitoka nyumbani kwenda kununua pombe apewe tu au vipi?.

  • @catherinemuhagama7338

    @catherinemuhagama7338

    2 жыл бұрын

    @@sabihaibrahim143 tunaopenda kukesha tunapendekeza mpaka majogoo

  • @hanankhalifa8309
    @hanankhalifa83092 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂DAH KAJA TIZAMA TU SI YAKUCHEKA HAYA ILA DAH Allah amuhid amuhifadh atuhifadhie na vizaz vyetu ameen

  • @asiakheir8684
    @asiakheir86842 жыл бұрын

    Safi ramadhani tulivu

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia38772 жыл бұрын

    Kwani znz April itakua ramadhani kunapigwa disco?I mean music🎵

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    2 жыл бұрын

    Ramadhani hawaruhusu disco.wala kuuza chakula mchana

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro22102 жыл бұрын

    Kufunga biashara si hasara Kwa wote include Serikali in tax return.

  • @crecknerz5661
    @crecknerz56612 жыл бұрын

    Kitumbo kimejaa minyoo

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif18922 жыл бұрын

    Miziki inaruhusiwa Sasa inafuatiliwa ya nini

  • @seifabdulwahid4579

    @seifabdulwahid4579

    2 жыл бұрын

    Acheni kushadidia maovu Zbar lzm ilindwe maasi yamezidi

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig46312 жыл бұрын

    Munaacha kufatilia vitu vya msingi watu muna haribia watu biashara zao Sasa umesimamisha mwez 1 watu walikuwa wameajiriwa watanya Kaz gan hiv nyinyi wakuu mbona munatuletea useng serikal ajira hakuna watu wakijitutumua wajiajir wenyewe wapate miambili Mia 3 munawafungia Sasa mnataka watu wefe njaa ndo furaha yenu

  • @abdulmajiddhamirramadhan2364
    @abdulmajiddhamirramadhan23642 жыл бұрын

    Sasa Ramadhani kikawaida kunakuwa hakupigwi mziki,acheni hizo hapo kama unafungia ww fungia tu hadi Novemba huko

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu62492 жыл бұрын

    Africa bwana...swala la mtu binafsi ndio kipaumbele cha serikali ila swala umma ni kipaumbele cha wachache ..

  • @yusufmzeeyusuf262
    @yusufmzeeyusuf2622 жыл бұрын

    Wanashuhulika na mambo ya watu serikali bwanaaa

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 жыл бұрын

    Ndio wataulizwa mbele ya Allah

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Kumbe ulitaka washuhulike NA mambo ya mbuzi au😂

  • @aishaamwalimu2887

    @aishaamwalimu2887

    2 жыл бұрын

    @@hilalalhabsi2047 😂😂😂

  • @aishaamwalimu2887

    @aishaamwalimu2887

    2 жыл бұрын

    @@hilalalhabsi2047 😂😂😂

  • @yusufmzeeyusuf262

    @yusufmzeeyusuf262

    2 жыл бұрын

    @@sabihaibrahim143 na kuzulumu watu pia wataulizwa

  • @mathewdeus9978
    @mathewdeus99782 жыл бұрын

    Undeni elimu kwa watu ambao hawana mitaji watu huku mtaani hawaelewi somo fanyeni mambo yaende tuutokomeze umaskini acheni hayo maigizo

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji3552 жыл бұрын

    Hatua kwa hatua wazanzibar mtapoteza utamaduni wenu, Imani yenu mtakumbatia ulevi ,ushoga kutembea uchi,kwani Ni mpango uliopangwa vzr ,subirini tu mtaona.mkicheka na nyani mtavuna mabua.

  • @abdallahsuleimani7416

    @abdallahsuleimani7416

    2 жыл бұрын

    Kweli ndugu baada ya miaka kumi tutakuwa na mashoga wengi wasagaji walawiti na walevi wavuta dawa za kulevya huo ndio mpango ulio pangwa

  • @sangulorashoo4116
    @sangulorashoo41162 жыл бұрын

    Et mkuu wa mkoa🤣🤣🤣

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi2742 жыл бұрын

    Wanavyoongea duh, shikamoo nzinzibere

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy52772 жыл бұрын

    Raha ya mziki ni mpaka chee 💃💃💃

  • @africanwildcatsexpeditions9862

    @africanwildcatsexpeditions9862

    2 жыл бұрын

    🤣mpaka tuone jua

  • @victoriadaizy5277

    @victoriadaizy5277

    2 жыл бұрын

    @@africanwildcatsexpeditions9862 sindio yani nilipe hela yangu kisha niondoke usiku mpaka jua lichomoze 😂😂

  • @aishahusseni3352
    @aishahusseni33522 жыл бұрын

    Acha watu wale Raha maisha yenyewe mafupi kisemo Cha marioo ushauri fatilieni mitaani kuna mambo mengi watu Awana pakusemea

  • @comrademlewaisavile336

    @comrademlewaisavile336

    2 жыл бұрын

    Muogope mungu ndg. Ww n muislam alaf unashabkia haya badala ya kupongeza mtihan huu😥

  • @hamidpaku1196
    @hamidpaku11962 жыл бұрын

    sasa ndio kamfungia nini?April yote inaishia na Ramadhan kikawaida all zanzibar hakuna mziki

  • @stellamtaku749
    @stellamtaku7492 жыл бұрын

    Pole Kaka tomas

  • @williamkeita1519
    @williamkeita15192 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa umewasaidia kuepusha na dhambi la Ramadhan may tutakua tumefungua

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil94422 жыл бұрын

    Serikali sio chombo cha dharau

  • @rajabuomy487
    @rajabuomy4872 жыл бұрын

    Dogo mwenyew ndimu

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame43822 жыл бұрын

    Cmuzifunge baa zote ? Hiyo haifai haifi2 hata wakipga mda gani..,achani ujinga. Naww mkuu wa mkoa unaacha kufanya mambo ya mana unafanya mambo yakipuuz

  • @roseneilally7919
    @roseneilally79192 жыл бұрын

    Ss apo kosa nn watu wanainjoi jmn. Maisha enyew hayasomek watu wanatoa stress.

  • @muhamedsalum140

    @muhamedsalum140

    2 жыл бұрын

    Watowe tu stress ila siku wakihumiwa kwa hili waseme ilikuwa tunatowa stress

  • @bernadethakahemele4609
    @bernadethakahemele46092 жыл бұрын

    Mbona na yye anaonekana kalewa jaman?🤣🤣🤣

  • @johnjohn4063
    @johnjohn40632 жыл бұрын

    Zanzibar imejaa rushwa tu

  • @aishambondo8923
    @aishambondo89232 жыл бұрын

    Piano limemfanyaa dijei kasahau

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah94074 ай бұрын

    Hakuna kitu nachukia kama mabaa znz

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili30532 жыл бұрын

    Huu ni ujinga wa aina gani .....wahukumiwe vikali hao....

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Huyo kijana walahi siyo mtoto ati darasa la 4 akimaliza chuo aitwe babu hakuna namna

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Жыл бұрын

    Cinaja tenaa yuuu

  • @hdggu6792
    @hdggu67922 жыл бұрын

    Yani hiii vita ya mziki sio vita ulawitiiii

  • @frankthegreat2427
    @frankthegreat24272 жыл бұрын

    Mkuu WA mkoa umekosa kazi ya kufanya

  • @jointjoint4507

    @jointjoint4507

    2 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂😂😂

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice86862 жыл бұрын

    Madisko ni machaka ya malaya, mashoga, mabasha, na sehemu ya uharibifu hebu tujiulize ikiwa Zanzibar Hakuna disko hakuna pombe na hakuna Magesti wabaya watafanya mabaya yao wapi?????? Ukwel Zanzibar is gone to death by it self and not otherwise ukweli..... Anasa ni jinamizi zanzibar

  • @zaibonge7867

    @zaibonge7867

    2 жыл бұрын

    Fungeni na mahotel mbona wazungu mashoga tele 😏😏...

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah63282 жыл бұрын

    Anasogea sogea kama akimbie dogo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @manahiljamal834
    @manahiljamal834 Жыл бұрын

    😆Leo niacheni sija tena

  • @mascage1144
    @mascage11442 жыл бұрын

    Dunia inaenda mbele zanzibar I narudi nyuma duuh

  • @othmanali7408
    @othmanali74082 жыл бұрын

    watu kaskazini wamekulalamikia shekhe katatue shida zao umebadilika muheshimiwa ..

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid84282 жыл бұрын

    kumbe AC nae hua anacheza mziki

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc2 жыл бұрын

    Vitu vingne vya ajabu c mkawala. Wazaz wake huko

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 жыл бұрын

    Kwaio una uhakika wa kumlinda mwanao pekeako?

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    Wahamiaji mnatakiwa mchukue tahadhari ramadhani inaingia iyo

  • @kudoja_fish_shop9592
    @kudoja_fish_shop95922 жыл бұрын

    Hana lolote anataka rushwahuyooo sheakamkataaa

  • @peninashungu6633
    @peninashungu66332 жыл бұрын

    Ametumwa uyo kuaribu iyo kiraabu

  • @kingmicky1002
    @kingmicky10022 жыл бұрын

    Zanzibar wanaulizana kwa kubembelezana hivyo ,,hahahaha

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani57602 жыл бұрын

    Uyu mkuu wa mkoa sio mchicha mwimba uyu?

Келесі