NINI KIPYA KATIKA BOTI MPYA YA BAKHRESA ZANZIBAR?

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 159

  • @zainabali2041
    @zainabali20414 жыл бұрын

    Mashaallah Allah amlipe Kila la kher amzidishie neema yakee mashaallah mashaallah mashaallah 👏🙌 Shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu 🙏

  • @khairundaud9774
    @khairundaud97744 жыл бұрын

    Mungu atamlipa said salum bakhresa

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman4 жыл бұрын

    Usafiri Pemba - Unguja to Dar wekeni speed boat, sealink zinachosha ukipata dharura wakat mwengine unashindwa kusafiri.. Wengine ndege uwezo hawana kusafiria lkn kwa boat uwezo ni rahic, pia kuwekwa usafiri wa uhakika kutarahisisha mzunguko wa fedha na kuchangamka kwa usafiri wa daladala Pemba, na tuvute picha kipindi cha nyuma zilipokuwa boat zinafanya kazi na meli zengine, abiria wanapatikana, na wenye dala dala pia wananufaika.

  • @josej9888

    @josej9888

    4 жыл бұрын

    Pemba boat haiwezi kwenda kwasababu mkondo wamaji nimrefu sana.

  • @jbmorus7339
    @jbmorus73394 жыл бұрын

    KTvtz online hakika nyinyie ni fakhari yetu. Safi sana presenter wetu.

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Mashaallah Allah mzidishie mazuri Bakharesa fidunia wali akhera. Nikipanda naweka 4 hatakama na 500 mfukoni👌🙌

  • @ahmedyussuf5883

    @ahmedyussuf5883

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @zainabali2041

    @zainabali2041

    4 жыл бұрын

    Zayy umenoa dada yang😙😂😂😂😂🤣👍

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Allah aibarik znz yetu Allah amzidishie umri na afya njema mzee wetu Baharesa kwa uwezo wake alojaaliwa na Allah nakuimarisha vzr znz yetu

  • @stonybowy7513

    @stonybowy7513

    4 жыл бұрын

    Sasa wewe umechanganyikiwa mtu anaboresha maslahi yake mwenyewe

  • @samsungjsevenprime5717

    @samsungjsevenprime5717

    4 жыл бұрын

    @@stonybowy7513 hiyo inajulikana vzr lkn pia anasaidia znz maana bila biashara nchi itakuwa vp na mfanya biashara ni yeye umewahi kuona boti gani ikawa imezaminiwa na mtu mwengine zote bort za dar ni yeye

  • @ntandumathayo8327
    @ntandumathayo83274 жыл бұрын

    One of the best indigenous best investor I the country. Big up

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan894 жыл бұрын

    Masha Allah Allah ajaalie boti zote za bakhressa na matajiri wengine ziwe na kheir na sisi na zidumu kwa muda mrefu insha Allah amiin 🙏🙏

  • @sulymansalymaly3859
    @sulymansalymaly38594 жыл бұрын

    Bakhresa hongera ila unazingua basi tafuta speed boat upeleke na Pemba au hata meli lkn iwe ya maana unapeleka mapantoni hayana hata ndani ikinyesha mvua watu wanaroa maji dahhh acheni dharau bhana na sisi ni watu pia😐😐😐😐

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    4 жыл бұрын

    waseee hao wanatuona kama sisi farasi au ng' ombe

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Жыл бұрын

    Watanzania mtatimiza mengi sana yenye manufaa kwa wananchi wake kama viongozi wakiwa wazalendo na kuacha ubinafsi na wizi. R.I.P mwamba Magufuli.

  • @anniyahfacebeat8937
    @anniyahfacebeat89374 жыл бұрын

    masha allah, allah amzidishie

  • @stonetown578
    @stonetown5784 жыл бұрын

    Masha'Allah

  • @ayshamahadhi1566
    @ayshamahadhi15664 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @safianassir3843
    @safianassir38434 жыл бұрын

    Allah awabarik. Mashaallah Sana nzuri

  • @hussainomar1849
    @hussainomar18494 жыл бұрын

    Mashaallah kwa hatua alizofikia.

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81804 жыл бұрын

    Mmejitahidi boresheni angalau t usafiri kwa dakika Aroubaini kama ilivokua bata Flay

  • @hanifbahajaj9039

    @hanifbahajaj9039

    4 жыл бұрын

    Bei yake inakuwa ghali

  • @hamednassor792
    @hamednassor7924 жыл бұрын

    In sha allah na mm ipo cku ntamiliki za kwangu.

  • @hemed4064

    @hemed4064

    4 жыл бұрын

    In Sha Allah

  • @arqamibnarqam.7185

    @arqamibnarqam.7185

    4 жыл бұрын

    Amiina yaa rabby

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99054 жыл бұрын

    Ningefurahi sana kama ningelisikia ...nauli imepungua kidogo,,,,,,

  • @stonybowy7513

    @stonybowy7513

    4 жыл бұрын

    Hhaaahhaaahh hahha daahhhh nauli kupungua mwenzako anawaza kuongeza maana yuko pekeyake baharini

  • @hanifbahajaj9039

    @hanifbahajaj9039

    4 жыл бұрын

    Sea star yupo mbona

  • @tolumnyama3935

    @tolumnyama3935

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha we sahau kuhusiana na hilo nauli si zani kama inaweza kupunguzwa hata kdogo.

  • @maalimrajabu1634
    @maalimrajabu16344 жыл бұрын

    Maa shaa allaah

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    Bakharesa nauli hiyo hiyo nikupa 50000 chenji usinirudishie 🙌

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis4474 жыл бұрын

    Mashallah

  • @yassirhamdoun7274
    @yassirhamdoun72744 жыл бұрын

    Allah atubariki.

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24104 жыл бұрын

    Nice

  • @abdkhalidi6625
    @abdkhalidi66254 жыл бұрын

    Daaah nice

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50464 жыл бұрын

    Message from USA zanzibar and baharesa king est African 👍🇺🇸

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima14554 жыл бұрын

    Hongera sana mzee

  • @salhinahassan4899
    @salhinahassan48994 жыл бұрын

    Dah mzigo mpyaaaaaa tumeletewa kazi nikwetu abiria

  • @tumabhay4463
    @tumabhay44634 жыл бұрын

    Asantenii.inshaallah kheri na wasafiri tupo.

  • @miracleslike3299
    @miracleslike32994 жыл бұрын

    Nakukubali sana kaka

  • @mamaally6134
    @mamaally61344 жыл бұрын

    jamani mpka raha huyu ndie tajiri bwana hama mawaa wala kujisifu ni vitendo tu Allah amjaliie maisha marefu

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    Hakika

  • @suleymanialawi2208
    @suleymanialawi22084 жыл бұрын

    MM NINGELIMUOMBA BAKHRESAH AWEKE SEHEMU MAALUM NDANI YA BOTY JAPO YA WAUMINI SABA YA KUSALIA SIO ETY MPAKA IONDOKE MELI TUNASALI KTK NJIA YA WAPITA WATU.

  • @bobbobby7787
    @bobbobby77874 жыл бұрын

    Hongera zanzibar

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo88114 жыл бұрын

    Yaani nyumbani swala la safety hakuna kabisa yani wewe mtangazaji sio uvae life jacket eti unavaa helment aisee mnafeli na uwongozi wa bandari haupo makini kabisa hee

  • @eyeonnature4022

    @eyeonnature4022

    4 жыл бұрын

    Hahaha. Ilidid nirudie kuangalia tena baada ya comment yako.

  • @abdulkhanyraashid7887
    @abdulkhanyraashid78874 жыл бұрын

    Naomba nikukosowe ndugu mtangazaji botiizo zabakhresa zinafanya safari yakwenda Unguja na Daresalam tupekeyake nasiyo Zanzibar na Daresalam ukisema zanzibar inamaana Unguja napemba navisiwa vidogodogo viliyomo ndaniyake kwamaana katiyaboti izo hapanahatamoja iliyonaruti yakuenda pemba kwaiyo samahani sana kaka mtangazaji ukamilifuwake nikusema zinafanya safari katiya Unguja na Daresalam .lakini samahani sana

  • @valentineevarist5628
    @valentineevarist56284 жыл бұрын

    kusema kwel mi sja wahi panda royal class na nahisi naweza ata kufa sja wahi panda

  • @jayproducts5871
    @jayproducts58714 жыл бұрын

    SAFIIII

  • @binghulaam2685
    @binghulaam26854 жыл бұрын

    Nitafurahi zaidi kuona amepeleka huduma ya usafiri (boat) kutoka Pemba kuja Unguja

  • @shariffaabdalla2170

    @shariffaabdalla2170

    4 жыл бұрын

    Bot zaman nilikuwepo kwenda pemba ila mawimbi makali nungwi vibot vyepes snaa kwa usalam zaidi ndo kaamua kuweka meli tu kwa vile kubwa na ata wasafir wap3mba na mizigo yetu inayuyosha mana tunasafir kikeri kizimaa cha zawad za pemba

  • @binghulaam2685

    @binghulaam2685

    4 жыл бұрын

    @@shariffaabdalla2170 kiukweli imeniuma sana kuona unakaa baharini muda mrefu hali ya kuwa uwezo wa kupeleka boat upo lkn one day yes Inshallah

  • @shariffaabdalla2170

    @shariffaabdalla2170

    4 жыл бұрын

    @@binghulaam2685 uwezo upo ila wanaogopa kuhatarisha maisha ya watu km spice mana siku nyengine iyo sealink siku za upepo au siku abiria wakiwa kdg ktk meli inakuwa inayumba utasema hatufik safari yetu Mtazamo wangu ni uwo mana bot zaman zilikuwepo kwa siku boti3 zinakuja pemba na kurud ata baada ya kuzama spice ila wameina wsipelek tena bot mana siju zongine ilikuw zinafika njiani zunarud kwa mawimbi makali

  • @al-bsaidykhalef6897

    @al-bsaidykhalef6897

    4 жыл бұрын

    @@shariffaabdalla2170 mimi nitapeleka Hio boti musilumbane sana. Naomba namba zenu itakapo fika niwatafute kwa kuwapa zawadi ya USHAURI mzuri

  • @shariffaabdalla2170

    @shariffaabdalla2170

    4 жыл бұрын

    @@al-bsaidykhalef6897 🤣🤣🤣🤣 Sante Mm nipo America Now

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51924 жыл бұрын

    Hongera azam lakin nauli mpunguze kidogo

  • @luqmankhalid2219
    @luqmankhalid22194 жыл бұрын

    Bakhresa on 🔥fire

  • @issaally5361
    @issaally53614 жыл бұрын

    Dah! Hl bot zur had linakera

  • @sulesaidrashid8032
    @sulesaidrashid80324 жыл бұрын

    Obviously that's a good news for people of Tanzania. But tungelipendekeza kwa upande wa Pemba pia tupatiwe Speed boat Kwani Usually tunakaa muda mrefu baharini. So tuliangalie Hili kiundani zaidi feries

  • @abdulykhalim
    @abdulykhalim Жыл бұрын

    Baharesa husadii maskini toroli saivi unachaji 200000 badala 100000 kiukwel unatuvunja moyo pemba hupeleki boto watu unawanya Hali moja royali ikienda Pemba umeiharibu

  • @harithwhite589
    @harithwhite5894 жыл бұрын

    Lakini hujazungumzia chochote kuhusu life jacket

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99054 жыл бұрын

    Bakhresa shkamoo.....

  • @anwarbabubabu8887
    @anwarbabubabu88874 жыл бұрын

    Haziko kuwasaidia Wana chi bei zenu ni kubwa sana mko kimaslahi zaidi

  • @alisaid2410
    @alisaid24104 жыл бұрын

    hamna kipya wafanyakazi waache kujiskia mbwa wale wanajiona wanakata tiketi za ndge kumbe mtumbwi tu

  • @daprince7545
    @daprince75454 жыл бұрын

    Mashaallah karibuni nitatembea kuona mazingira ya darsalamu na Zanzibar ishaallah

  • @robinajohanssen697
    @robinajohanssen6974 жыл бұрын

    Bakhresa baba lao 🤗

  • @rashidiharuna694
    @rashidiharuna6944 жыл бұрын

    nimeipeda sana

  • @hajishaibu8295
    @hajishaibu82953 жыл бұрын

    Wew kwajirani kumenoga

  • @FoumHaji-zr1ph
    @FoumHaji-zr1ph Жыл бұрын

    Hizoboti na pemba unguja kwa ninihamtuekei kwasababugani

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын

    Kama umeipenda ngonga like hapa

  • @user-eg1dr6so4c

    @user-eg1dr6so4c

    4 жыл бұрын

    Tuko pamoja

  • @parasuminazi4403
    @parasuminazi44034 жыл бұрын

    Kwakweli Azammarine munaisahau sana PBA hivikweli munashindwa kupata Speedboat yakufanyasafari Dar to PBA kamailivyokua sepeedeh tunateseka hebufanyeni lhsani

  • @ibrahimfrancophone229
    @ibrahimfrancophone2294 жыл бұрын

    Maneno hayajapangiliwa anazungumza lakin hatusikii

  • @allykutenga2862

    @allykutenga2862

    4 жыл бұрын

    Ibrahim Abduly;Mackio yako yatakuwa na proplem c bure!!.

  • @abdallahkh.hassan6429
    @abdallahkh.hassan64294 жыл бұрын

    huyo captain na engineer wake hawawezi hat kujieleza sisi watu wa marine watuelezee vzr sio kuchukua abiria kipnd cha sikukuu

  • @alibakar3707
    @alibakar37074 жыл бұрын

    Double ``S´´kwanini hamumshauri mzee bakhresa akaelekeza mkono wake kule PBA kukatengenezwa bandari itakayo wafanya abiria wajiskie furaha wakati wa kusubiria safari? .by {ALBIY}Class mate wako

  • @saadam_seifali3163

    @saadam_seifali3163

    4 жыл бұрын

    Ali Bakar hilo lipo njiani inshaallah nadhani mzee yupo nalo na anawashauri wengi so watakuwa wameshamfikishia tyr

  • @ibrahimfrancophone229
    @ibrahimfrancophone2294 жыл бұрын

    Hatumfaham

  • @hamedamour2634
    @hamedamour2634 Жыл бұрын

    Hebu mtangazaji hapo unaposema inayosatirisha watu kutoka Zanzibar kwenda dar-es-salaam na Kutoka dar-es-salaam kuja Zanzibar....Hebu fafanua vizuri hili neno Zanzibar....maana wengi wetu tunakuka Zanzibar ni nchi yenye visiwa viwili navyo ni pemba na unguja sasa vp unatwambia inakuja Zanzibar wakati hiyo inaishia unguja tu Pia kwa Zanzibar tutasema usafiri hassa bado haujapatikana .... Hivi kweli tupo safiri wa kutoka unguja kuelekea pemba unachukua zaidi ya masaa 4 mpaka 6..... sometime eti usafiri unakesha kwenye bahari nusu siku nzima? ....... Dar unaweza kwenda na ukafanya shughuli zako na ukawahi kurudi.....kwanini usafiri wa pemba unashundikana .... Kwa kua watu wanajali biashara zao na pesa ... Hawawajali wasafiri ..... Kama kweli hassa wazanzibari tuweze kutoa pongezi kwa macompany mbali mbali ya usafiri basi walete meli ya kisasa na ya haraka ya kwenda pemba na kurudi na wananchi wakafurahia safari sio hizi zilizopo za kukusanya pesa kwa kisingizio Cha biashara huku wananchi wakiwa wamo kwenye idhlali na kukesha kwenye bahari

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle7954 жыл бұрын

    Nikirudi nyumbani insha Allah nitaenda zanzibar

  • @allykutenga2862

    @allykutenga2862

    4 жыл бұрын

    tausi beauty tausi beauty:Kwani sasahv up wp?!...

  • @abasishabani8314
    @abasishabani83144 жыл бұрын

    Bando ndege mzee tushindane na air Tanzania

  • @saldo_jr1138
    @saldo_jr11384 жыл бұрын

    Mtoto anashushwa kwenye maji taratiiibu

  • @alihaji7201
    @alihaji72014 жыл бұрын

    Mara jaamaa watasema mbona namkuishushia huku hatuiruhus haina vigezo

  • @aminamohd9460
    @aminamohd94604 жыл бұрын

    Mtujali na pemba pia mnatusahau tunahitaji usafiri wa haraka pia

  • @adillhabib2006
    @adillhabib20064 жыл бұрын

    Punguza naliiiii mzeee bakhresa

  • @ibrahimfrancophone229
    @ibrahimfrancophone2294 жыл бұрын

    Na daladala mpya pia zinanunuliwa muende mkazitaje na kutolea maelezo

  • @stonybowy7513

    @stonybowy7513

    4 жыл бұрын

    Hhaaahhaaahaha umeeonaaa eeeee!!!!!!!!

  • @amoor-km8tq

    @amoor-km8tq

    4 жыл бұрын

    Mugu akuzidishe baraka 👏

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur60324 жыл бұрын

    Wafanyikazi wa ticket waache utapeli na uzembe

  • @hajielmi7518
    @hajielmi75184 жыл бұрын

    Walete meli za pemba

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari34604 жыл бұрын

    sni vyema ila wangetufikiria nass wasafiri wapemba kwann hawatupelekei japo boti moja ya express

  • @abhambomihambo6754

    @abhambomihambo6754

    4 жыл бұрын

    Uko Pemba nisubirini mm Seif mpka nipewe nchi mtafurahi.

  • @donseifbashraf5559

    @donseifbashraf5559

    4 жыл бұрын

    Pemba ikija Kama hiyo mkono.mmoja tu boti chali

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    4 жыл бұрын

    Aaaaaaa pandeni hayohayo yanawatosha

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc4 жыл бұрын

    Not 38 ! Massive

  • @2pacshakur912
    @2pacshakur9124 жыл бұрын

    Li saa limoja bado mbali dah angalau ingekuwa nusu saa au dakika 25 tu

  • @khalfankhamis6346

    @khalfankhamis6346

    4 жыл бұрын

    2pac shakur mauti ayo utakayo ww 😂😂

  • @BontamLee
    @BontamLee4 жыл бұрын

    Tajeni na nauli zake,wengine awajuhi.

  • @hussainomar1849

    @hussainomar1849

    4 жыл бұрын

    Bei wamesema zitabaki zile zile

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    30,000

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi4084 жыл бұрын

    Kikubwa ni suala zima la nidham kwa crew wenu .nahis wanahitaji kusomeshwa khs Customer care maana Hawana nidham ata kdq kwa abiria Viburi vimewajaa wanajiona km crew cabin wa emirates. Kumbe wamajahazi ya chuma 🚶‍♂️🚶‍♂️

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    Crew yao ni ya wazanzibar. Si unajuwa wazanzibar walivyo na zarau.. wanamueshim maalim sef tu

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66904 жыл бұрын

    Sisi tunamtaka turki saiv bakharesa bei

  • @allykutenga2862

    @allykutenga2862

    4 жыл бұрын

    Asry Mohd;Yule sio turky ni zakaria turky mpambe 2uuuu..

  • @saidsoud5967
    @saidsoud59674 жыл бұрын

    Sema na boti za watu wengine msizipige ndumba ziacheni zifanye kazi nazo

  • @uweismohammed6959

    @uweismohammed6959

    4 жыл бұрын

    Duh

  • @kassimsalim5642

    @kassimsalim5642

    4 жыл бұрын

    Hakika baadh ya dhana Ni dhamb

  • @saidsoud5967

    @saidsoud5967

    4 жыл бұрын

    Hakuna dhana ndo hali halisi.weye ushaona boti ya mtu pale ikadumu..jiulize

  • @abdallahsalimabdallah334
    @abdallahsalimabdallah3344 жыл бұрын

    Tatizo hataki kupeleka pemba speed boat.. akitokea mtu mwengine kupeleka wanaanza fitna na ushindani wa kukomoana

  • @ausihaji2398

    @ausihaji2398

    4 жыл бұрын

    Dhana mbaya

  • @ummunaaleicester4337

    @ummunaaleicester4337

    4 жыл бұрын

    👍👍

  • @hajivuai3454

    @hajivuai3454

    4 жыл бұрын

    hapo umesema,fitna tupu

  • @nassorjuma6030
    @nassorjuma60304 жыл бұрын

    Hiii boat munatk kunambia kubw km ndege abir 515 co kuwana hiii mucfny mac har jaman

  • @hanifbahajaj9039

    @hanifbahajaj9039

    4 жыл бұрын

    Kuna inayochukua abiria 600 ,na ishafanya kazi miaka 5 na inaendelea kufanya kazi

  • @nassorjuma6030

    @nassorjuma6030

    4 жыл бұрын

    Unachosema nakubali lkn anagalia na boat yewew kaka

  • @albait5227
    @albait52274 жыл бұрын

    Kwa hiyo znz ni unguja pemba sio znz mbona pemba munakutenga

  • @hussainomar1849

    @hussainomar1849

    4 жыл бұрын

    Mkondo wa pemba Ni mkubwa sana wakipeleka vyombo vinaharibika

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    Wazungu wakitoka ulaya wanasema wanakuja zanzibar na sio pemba

  • @fatmasaid5864

    @fatmasaid5864

    4 жыл бұрын

    Pemba kumekosa bahati na wapemba pia

  • @albait5227

    @albait5227

    4 жыл бұрын

    Pemba kumejuwa kama kijij hakuna maendeleo yoyote

  • @fatmasaid5864

    @fatmasaid5864

    4 жыл бұрын

    @@albait5227 pemba maendeleo yako lakini kumetupwa

  • @vertex8605
    @vertex86054 жыл бұрын

    Peleken na pemba

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    4 жыл бұрын

    Hatuleti

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58644 жыл бұрын

    Kutoka Unguja mpaka dar muda wa masaa mangapi

  • @fatmasaid5864

    @fatmasaid5864

    4 жыл бұрын

    @Juma Haji imepakiwa ndio

  • @fahiraaliy6939

    @fahiraaliy6939

    4 жыл бұрын

    Tuna taka unguja kwenda Pemba bot sing isha tuchosha

  • @officialwawa4370

    @officialwawa4370

    4 жыл бұрын

    Dada angu unguja to Dar ni saa 1na dakika 40 kwa kilimanjaro kwa zanzibar 1 na 2 za turky ni saa1 na dakika 10-15

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70474 жыл бұрын

    Bakharesa!Katika biashsra zenu mnasadaka basi toweni sadaka.(Mtume wetu S.A.W) Punguza bei za ticket hada kwa wanyoge.

  • @hussainomar1849

    @hussainomar1849

    4 жыл бұрын

    Mi naamini swadaqa anatoa na anajitahidi kujenga misikiti na Mambo mengine

  • @celebratingunited4064
    @celebratingunited40644 жыл бұрын

    mambo moto sijawai panda mel hivy naul bei ngan dar to zanzibar

  • @aishaally4864

    @aishaally4864

    4 жыл бұрын

    Inategemea na which class kuna elfu thalathini na hamsini to zanzibar

  • @celebratingunited4064

    @celebratingunited4064

    4 жыл бұрын

    @@aishaally4864 asante

  • @allykutenga2862

    @allykutenga2862

    4 жыл бұрын

    Hapana hiyo;kuna 25,000-35,000 na 50,000 bei hiyo kwa mtanzania tu lakn kwa wageni inapanda zaidi tena analipa kwa madollar ya USA.

  • @celebratingunited4064

    @celebratingunited4064

    4 жыл бұрын

    @@allykutenga2862 thanks

  • @allykutenga2862

    @allykutenga2862

    4 жыл бұрын

    celebrating United;Karb ZNZ,,Znz ni njema na atakae ajeeeee..

  • @mohamedel-mindhir7990
    @mohamedel-mindhir79904 жыл бұрын

    Munajaza miboti haina maan ipelekeni na pemba bas au kwakuw watu hawana samani

  • @ummunaaleicester4337

    @ummunaaleicester4337

    4 жыл бұрын

    Bora atufikirie na sisi wapemba

  • @stonybowy7513

    @stonybowy7513

    4 жыл бұрын

    Sasa nyinyi wapemba munazo silink eee mapinduzi mmmmmhhh mupewe nn tena