Soka Kijiweni: Khelfin Hamdoon 'Mo Salah', nyota mpya wa Azam FC kutoka Zanzibar

Спорт

Пікірлер: 107

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson23624 жыл бұрын

    hiki kipindi nakiangalia leo Trh 06/02/2020 kwa mara ya kwanza lakn nasubcribe hii channel na ninaanza kuifuatilia....nmependa hiki kipindi na huyu mtangazaji kwakwel anakitendea haki....🙌🏽🙌🏽 thumbs up!!!

  • @al-aminally4370
    @al-aminally43706 ай бұрын

    Apo wote wachezaji haooo mamaeee big up

  • @atd1583
    @atd15834 жыл бұрын

    Fini braza hatariiiiii eyyy kaka umenshinda tabia big up 🔥🔥🔥

  • @hamedmohammed8912
    @hamedmohammed89124 жыл бұрын

    Zanzibar Kila m2 star. Unakubali like.

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    Tunakubali

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    Mpewa hapokonyekii hata wawe na chukiiii ila ki mpira hawatuweziii unguja

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24104 жыл бұрын

    Zanzibar beautiful Island of Africa... ...

  • @aryfaryfinho2164
    @aryfaryfinho21644 жыл бұрын

    Uyo alovaa nguo nyekundu anaitwa bai ni magical of football

  • @zezezeze8408
    @zezezeze84084 жыл бұрын

    love for realy ...my zanzibar😘

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan892 жыл бұрын

    Love you my ZANZIBAR 🌴🌴

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70474 жыл бұрын

    Ah! Kama utoto unaweza kurudi. Ningerudisha wangu. Nikacheza mpira.

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib46782 жыл бұрын

    Kweliii. Mwananguu. Uko

  • @shirazmunawar4433
    @shirazmunawar44334 жыл бұрын

    people start from humble beginings brother..talent is there but character woulf take you far.

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 Жыл бұрын

    Nice one

  • @jumahamis227
    @jumahamis2274 жыл бұрын

    Wazanzibari sifa nyingi ila mara nyingi ukweli huwa wana viungo wazuri kwenye soka 😆.

  • @peterwanna1594

    @peterwanna1594

    3 жыл бұрын

    umeongea ukwel bro

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa2974 жыл бұрын

    Huko zenji kuna vijana kibao wenye vipaji.....makocha hawajastuka tu...wasingekua wanahangaika kwenda sijui Uganda.

  • @ahmeidyoung2410

    @ahmeidyoung2410

    4 жыл бұрын

    Kweli bana

  • @yassirhaji4612
    @yassirhaji46124 жыл бұрын

    Huyu ni maestro mild field

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf6 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @kingss6709
    @kingss67094 жыл бұрын

    zanzibar home sweet home nmepamiss sanaa

  • @awadhtevez2918
    @awadhtevez29184 жыл бұрын

    Dahh! sometimes naamka na stress nyingi ila nikiangalia vipindi km hivi stress zote zinaondoka kipindi kipo sawa sana mtangazaji yupo kakiweza kipindi halaf nawakubal sana jamaa zangu asili haipotei urojo in sembe out km kawaida yetu please mtangazaji nakuomba ufike na kule juu kidogo Amani ukamtembelee kijana mmoja anaitwa Ibrahim Hilika damu yangu mwanangu wafaida please I will be glad if one day I will see his interview with you brother Dodi

  • @salehsports6372
    @salehsports63724 жыл бұрын

    27:48 😂😂😂 Kila mtu "znz anajua" jamaniii? Umenichekesha sana dodi

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49804 жыл бұрын

    Wewe howo ni new Generestion Vijana wenyewe tumekimbia nchi sababu ya maisha. Inaumiza sana. Halafu unemtaja dula zungu. Yaani tunatamani hapo tungekuwepo. Kama tungekuwa nchi yetu iko huru basi ungetusikiya real Madrid

  • @stonetown578
    @stonetown5784 жыл бұрын

    Umeonaa eee raha za stone town 😀

  • @ibrahimshehuna527
    @ibrahimshehuna5274 жыл бұрын

    Zanzibar mpira kipaji🔥🔥🔥

  • @mohamedamaan6264

    @mohamedamaan6264

    4 жыл бұрын

    tuendelee tu kujazana ujinga mpira kipaji

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry4 жыл бұрын

    Zanzibar kwel ni Brazili

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75894 жыл бұрын

    Zazibar raha ssna

  • @mussajoseph3949
    @mussajoseph39494 жыл бұрын

    Jamaa ana shangaa kila mtu fundi wa mpira 😀😀😀😂🤣😂

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6qАй бұрын

    Yanga imchukue fini

  • @harounali9057
    @harounali90574 жыл бұрын

    Kwa ulaya itakuwa kazi sana kukuchukuwa kama hupigi miguu yoe miwili, vidio clip zote zilizo tiwa hapo ni mguu wa kushoto, jiongeze zaidi na mguu wa kulia ka unaitaka ulaya . Mwisho nakutakia mafanikio mema katika micheo.

  • @azidijumaa5064
    @azidijumaa50644 жыл бұрын

    Azam tv. Toeni hiyo logo yenu katikati iwekeni hata apo juu pembeni

  • @abdallahkambangwa1400
    @abdallahkambangwa14003 жыл бұрын

    Mm nakubali wachezaji wa nd an hawalipwi

  • @boywithdream20
    @boywithdream204 жыл бұрын

    "Zanzibar freestyle" Fata youtube yangu

  • @mukrimchumhaji587
    @mukrimchumhaji5872 жыл бұрын

    Aliovaa kofia nyeusi na flana ya njano ustadhi wangu Abeid pale forodhani

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7034 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 aaah wazanzibary shenzi zenu... mnabeza ugali wa sembe wakati hamjaonja udaga.".... jamaa anasema 'unapikaje maji na unga' daaaah

  • @ibrahimhaji2029
    @ibrahimhaji20294 жыл бұрын

    Fundi uyo dogo

  • @wahidmohamedomar2065
    @wahidmohamedomar20654 жыл бұрын

    👊

  • @abdallahyunus8984
    @abdallahyunus89844 жыл бұрын

    Ahsante khelfin hahhahh

  • @mwajejasson6995
    @mwajejasson69954 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji nakukumbuka sana taifa b ulikuwa unavaa viatu vbovu sasa bado unavaa ovyo vaa kisposi usiwe hivyo

  • @simulizi2632
    @simulizi26324 жыл бұрын

    Asishibe sifa tu maaana huu mpira ni mgumu sana. Akishiba sifa atajikuta anakuwa maarufu ila sio mchezaji mzuri tena. Maana umaarufu ndio unawafanya watu wasahau kazi yake.. USISHIBE SIFA FANYA MAZOEZI KWA BIDII MDOGO WETU🙏💪

  • @yudadaniel4867

    @yudadaniel4867

    2 жыл бұрын

    usikalili

  • @simulizi2632

    @simulizi2632

    2 жыл бұрын

    @@yudadaniel4867 after 1year so tell me.. where is he??

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13234 жыл бұрын

    Wazanzibar wabish kinoma hahaha haraf sasa wanapenda kujisifu weee ila mtangazaj kaniua mbav

  • @murudillo572

    @murudillo572

    4 жыл бұрын

    Halafu sio harafu

  • @shebywarranty4531
    @shebywarranty45314 жыл бұрын

    Hahahah Abuy..Lugha 3 mpaka 4

  • @bakarikishaa4889
    @bakarikishaa48894 жыл бұрын

    Dodo arsenal waliwazidi Barcelona mpaka xavi akampa jack welshere Jaz

  • @chachamaheri7785
    @chachamaheri77854 жыл бұрын

    Dah!!! Huyu aliye shika gunzi

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma124 жыл бұрын

    Kwanini wazanzibari wanatumia KISWAHILI cha bara, au ndio mtawala tayari kamaliza kazi.

  • @hassanjuan9811
    @hassanjuan98113 жыл бұрын

    kwelii wewee zanzibarr mpiraa wauju mfano ligii kuu ya tanzania vipajii waviona watokao zanzibaa

  • @redhapple4055
    @redhapple40554 жыл бұрын

    bene Kkkkkkkkkkkkk sio bene bana ni stou bem

  • @othmanmaalim8823
    @othmanmaalim88234 жыл бұрын

    Tanzania.safari

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50834 жыл бұрын

    Ukiambiwa apo brazil utaamini

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    Unguja for real

  • @salimsalum7728
    @salimsalum77284 жыл бұрын

    Kwetu kuna vipaji sana

  • @abdulrahimkhamis8594
    @abdulrahimkhamis85942 жыл бұрын

    Mpira Zanzibar

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24104 жыл бұрын

    Ebwaanaa Zanzibar kawaida sana watu kuongea lugha Zanzibar ya 1 kutokana na mazingira..eti mbona wazungu wengi jamaa comedy sana....

  • @pencelherrera1225
    @pencelherrera12254 жыл бұрын

    😂😂et uwanja akausanifu anavotaka

  • @majuramaingu8306
    @majuramaingu83064 жыл бұрын

    Fin ni fundi balaa

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh2034 жыл бұрын

    Kiwe kirefu kipindi

  • @ahmedalshaibany6690
    @ahmedalshaibany66904 жыл бұрын

    Miaka 19, hehehehhehe. Hapo ndio mnapofeli kushusha miaka. Kiuhalisia not less than 22.

  • @slowmenino7804

    @slowmenino7804

    4 жыл бұрын

    mnafiki

  • @ahmedalshaibany6690

    @ahmedalshaibany6690

    4 жыл бұрын

    Slow menino Umejuaje??

  • @daudhassan1049
    @daudhassan10494 жыл бұрын

    Aisee Zanzibar kiingereza kipo..sio kama dar

  • @seifpepe7029
    @seifpepe70292 жыл бұрын

    akizania kama hutompa 80,000 huyo jamaaa

  • @omarmuhnzi7412
    @omarmuhnzi74124 жыл бұрын

    Fundi Finny!

  • @hamzamohamed9832
    @hamzamohamed98324 жыл бұрын

    Bonjurno directo

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Hahahahaha sweet home Zanzibar ebwana msitupotezee waume bwana mbona tunapika ugali wanawake wa zanzibar hahahahaha

  • @mustaphahassan589

    @mustaphahassan589

    4 жыл бұрын

    Aisha Said nipikie jaman

  • @davidcurtis8556

    @davidcurtis8556

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa!

  • @salimkassim6020

    @salimkassim6020

    4 жыл бұрын

    Unaweza kupika ugali kweli??

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya83584 жыл бұрын

    Mnanivunja mbavu nyie wazanzibar 😂😂😂😂

  • @maulidhamad740
    @maulidhamad7404 жыл бұрын

    dah hilo kweli watoto wa kike wa zanzibar ugali hajui kabisa kupika

  • @mussakheir6792
    @mussakheir67924 жыл бұрын

    Dodi nenda kwa vigema

  • @albassamjjamali7730
    @albassamjjamali77304 жыл бұрын

    Fundi fini wakatiwako huu

  • @mustaphamsumary2303
    @mustaphamsumary23034 жыл бұрын

    Mwamba akaze azam cyo Pemba

  • @saymarsaymar4654

    @saymarsaymar4654

    4 жыл бұрын

    Kuna nn Azam

  • @mustaphamsumary2303

    @mustaphamsumary2303

    4 жыл бұрын

    @@saymarsaymar4654 I mean alipotok alkuw anapat namb hvy hat hpo alipo akaze ili kupat no

  • @ommytamir2783
    @ommytamir27834 жыл бұрын

    Umesinguwa sasa hatuna lugha vp

  • @kijalushinge6815
    @kijalushinge68154 жыл бұрын

    namkubali xn huy dg wa zg

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Dunia ya zenji haswa .... Mimi nilijua Barca hawez kuwatoa Liverpool ..... Kama niliamini Hilo peke yangu nafikiri ...maana niliposema hiyo kauli kijiweni kwetu pande za amana ilala washkaji waliniona nimepagawa.....hahahahahaaaaaaa muda ukaongea

  • @harounali9057
    @harounali90574 жыл бұрын

    Tungule ni neno linalotokana na tomato

  • @babaajnaty8629
    @babaajnaty86294 жыл бұрын

    Kun mtu anamtongoz mke wak 😂😂😂

  • @hascojr3928
    @hascojr39284 жыл бұрын

    Mbn kipindi hakirushwi youtube siku iz kitambooo sana dodi unafel wapi tuekeee udamwi udamwi

  • @dilipdab3714
    @dilipdab37142 жыл бұрын

    Malipo.bei.ngani

  • @mussachicha9211
    @mussachicha92114 жыл бұрын

    Kijwe kitamu

  • @isackmsanii7752
    @isackmsanii77524 жыл бұрын

    Izimana

  • @aliy3303
    @aliy33034 жыл бұрын

    Aaah nyie wasanii

  • @akuujk6340
    @akuujk63404 жыл бұрын

    Yow don’t get me wrong this kid got talent but the garbage I’m hearing from his mouth, he’s talking about eating chips🙈 come on now..chips! Is he serious about football?

  • @yusufibrahim5371
    @yusufibrahim53714 жыл бұрын

    Wazee wa urojo

  • @jitihadimtindi1774
    @jitihadimtindi17744 жыл бұрын

    Dodi machine

  • @Andre-jr7vq
    @Andre-jr7vq4 жыл бұрын

    Dress well, be smart

  • @salmin3129
    @salmin31294 жыл бұрын

    😂😂 Mnyanya

  • @mudyxhumedmudy5888
    @mudyxhumedmudy58884 жыл бұрын

    Mm huyu mzee ananiuzi kujifanya kijana hapendi uzeee

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif6674 жыл бұрын

    Zanzibar ni katalunyA

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    4 жыл бұрын

    Acheni majigambo Zanzibar hakuna mpira kiasi hicho.nyinyi majigambo sana .

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 mtajua kwa chukii zenuu

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 acheni chukii hamutuwezi

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 hebu njooo uonge watoto wanavo piga boll

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    4 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 si nyinyi na machakachaa yenuuuu

  • @shedrackmwaipopo7253
    @shedrackmwaipopo72534 жыл бұрын

    Warida

  • @pembapemba215
    @pembapemba2154 жыл бұрын

    Rahaha xn hom swet

  • @alisaid2410
    @alisaid24104 жыл бұрын

    huo ni usenge sana

  • @harounsalimsalim7396
    @harounsalimsalim73963 жыл бұрын

    fundi wa mpira

Келесі