hiki kipindi nakiangalia leo Trh 06/02/2020 kwa mara ya kwanza lakn nasubcribe hii channel na ninaanza kuifuatilia....nmependa hiki kipindi na huyu mtangazaji kwakwel anakitendea haki....🙌🏽🙌🏽 thumbs up!!!
@al-aminally43706 ай бұрын
Apo wote wachezaji haooo mamaeee big up
@atd15834 жыл бұрын
Fini braza hatariiiiii eyyy kaka umenshinda tabia big up 🔥🔥🔥
@hamedmohammed89124 жыл бұрын
Zanzibar Kila m2 star. Unakubali like.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Tunakubali
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Mpewa hapokonyekii hata wawe na chukiiii ila ki mpira hawatuweziii unguja
@ahmeidyoung24104 жыл бұрын
Zanzibar beautiful Island of Africa... ...
@aryfaryfinho21644 жыл бұрын
Uyo alovaa nguo nyekundu anaitwa bai ni magical of football
@zezezeze84084 жыл бұрын
love for realy ...my zanzibar😘
@alhajrahassan892 жыл бұрын
Love you my ZANZIBAR 🌴🌴
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Ah! Kama utoto unaweza kurudi. Ningerudisha wangu. Nikacheza mpira.
@daudkhatib46782 жыл бұрын
Kweliii. Mwananguu. Uko
@shirazmunawar44334 жыл бұрын
people start from humble beginings brother..talent is there but character woulf take you far.
@hamadrajab8042 Жыл бұрын
Nice one
@jumahamis2274 жыл бұрын
Wazanzibari sifa nyingi ila mara nyingi ukweli huwa wana viungo wazuri kwenye soka 😆.
@peterwanna1594
3 жыл бұрын
umeongea ukwel bro
@clausemsemwa2974 жыл бұрын
Huko zenji kuna vijana kibao wenye vipaji.....makocha hawajastuka tu...wasingekua wanahangaika kwenda sijui Uganda.
@ahmeidyoung2410
4 жыл бұрын
Kweli bana
@yassirhaji46124 жыл бұрын
Huyu ni maestro mild field
@RabsonSalmon-ys7bf6 ай бұрын
❤❤❤❤
@kingss67094 жыл бұрын
zanzibar home sweet home nmepamiss sanaa
@awadhtevez29184 жыл бұрын
Dahh! sometimes naamka na stress nyingi ila nikiangalia vipindi km hivi stress zote zinaondoka kipindi kipo sawa sana mtangazaji yupo kakiweza kipindi halaf nawakubal sana jamaa zangu asili haipotei urojo in sembe out km kawaida yetu please mtangazaji nakuomba ufike na kule juu kidogo Amani ukamtembelee kijana mmoja anaitwa Ibrahim Hilika damu yangu mwanangu wafaida please I will be glad if one day I will see his interview with you brother Dodi
@salehsports63724 жыл бұрын
27:48 😂😂😂 Kila mtu "znz anajua" jamaniii? Umenichekesha sana dodi
@saidabdala49804 жыл бұрын
Wewe howo ni new Generestion Vijana wenyewe tumekimbia nchi sababu ya maisha. Inaumiza sana. Halafu unemtaja dula zungu. Yaani tunatamani hapo tungekuwepo. Kama tungekuwa nchi yetu iko huru basi ungetusikiya real Madrid
@stonetown5784 жыл бұрын
Umeonaa eee raha za stone town 😀
@ibrahimshehuna5274 жыл бұрын
Zanzibar mpira kipaji🔥🔥🔥
@mohamedamaan6264
4 жыл бұрын
tuendelee tu kujazana ujinga mpira kipaji
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Zanzibar kwel ni Brazili
@kassimomar75894 жыл бұрын
Zazibar raha ssna
@mussajoseph39494 жыл бұрын
Jamaa ana shangaa kila mtu fundi wa mpira 😀😀😀😂🤣😂
@user-yk7ff9ks6qАй бұрын
Yanga imchukue fini
@harounali90574 жыл бұрын
Kwa ulaya itakuwa kazi sana kukuchukuwa kama hupigi miguu yoe miwili, vidio clip zote zilizo tiwa hapo ni mguu wa kushoto, jiongeze zaidi na mguu wa kulia ka unaitaka ulaya . Mwisho nakutakia mafanikio mema katika micheo.
@azidijumaa50644 жыл бұрын
Azam tv. Toeni hiyo logo yenu katikati iwekeni hata apo juu pembeni
@abdallahkambangwa14003 жыл бұрын
Mm nakubali wachezaji wa nd an hawalipwi
@boywithdream204 жыл бұрын
"Zanzibar freestyle" Fata youtube yangu
@mukrimchumhaji5872 жыл бұрын
Aliovaa kofia nyeusi na flana ya njano ustadhi wangu Abeid pale forodhani
@abdulaziz7034 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 aaah wazanzibary shenzi zenu... mnabeza ugali wa sembe wakati hamjaonja udaga.".... jamaa anasema 'unapikaje maji na unga' daaaah
@ibrahimhaji20294 жыл бұрын
Fundi uyo dogo
@wahidmohamedomar20654 жыл бұрын
👊
@abdallahyunus89844 жыл бұрын
Ahsante khelfin hahhahh
@mwajejasson69954 жыл бұрын
Wewe mtangazaji nakukumbuka sana taifa b ulikuwa unavaa viatu vbovu sasa bado unavaa ovyo vaa kisposi usiwe hivyo
@simulizi26324 жыл бұрын
Asishibe sifa tu maaana huu mpira ni mgumu sana. Akishiba sifa atajikuta anakuwa maarufu ila sio mchezaji mzuri tena. Maana umaarufu ndio unawafanya watu wasahau kazi yake.. USISHIBE SIFA FANYA MAZOEZI KWA BIDII MDOGO WETU🙏💪
@yudadaniel4867
2 жыл бұрын
usikalili
@simulizi2632
2 жыл бұрын
@@yudadaniel4867 after 1year so tell me.. where is he??
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Wazanzibar wabish kinoma hahaha haraf sasa wanapenda kujisifu weee ila mtangazaj kaniua mbav
@murudillo572
4 жыл бұрын
Halafu sio harafu
@shebywarranty45314 жыл бұрын
Hahahah Abuy..Lugha 3 mpaka 4
@bakarikishaa48894 жыл бұрын
Dodo arsenal waliwazidi Barcelona mpaka xavi akampa jack welshere Jaz
@chachamaheri77854 жыл бұрын
Dah!!! Huyu aliye shika gunzi
@farhatfatma124 жыл бұрын
Kwanini wazanzibari wanatumia KISWAHILI cha bara, au ndio mtawala tayari kamaliza kazi.
@hassanjuan98113 жыл бұрын
kwelii wewee zanzibarr mpiraa wauju mfano ligii kuu ya tanzania vipajii waviona watokao zanzibaa
@redhapple40554 жыл бұрын
bene Kkkkkkkkkkkkk sio bene bana ni stou bem
@othmanmaalim88234 жыл бұрын
Tanzania.safari
@khamisrubea50834 жыл бұрын
Ukiambiwa apo brazil utaamini
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Unguja for real
@salimsalum77284 жыл бұрын
Kwetu kuna vipaji sana
@abdulrahimkhamis85942 жыл бұрын
Mpira Zanzibar
@ahmeidyoung24104 жыл бұрын
Ebwaanaa Zanzibar kawaida sana watu kuongea lugha Zanzibar ya 1 kutokana na mazingira..eti mbona wazungu wengi jamaa comedy sana....
@pencelherrera12254 жыл бұрын
😂😂et uwanja akausanifu anavotaka
@majuramaingu83064 жыл бұрын
Fin ni fundi balaa
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Kiwe kirefu kipindi
@ahmedalshaibany66904 жыл бұрын
Miaka 19, hehehehhehe. Hapo ndio mnapofeli kushusha miaka. Kiuhalisia not less than 22.
@slowmenino7804
4 жыл бұрын
mnafiki
@ahmedalshaibany6690
4 жыл бұрын
Slow menino Umejuaje??
@daudhassan10494 жыл бұрын
Aisee Zanzibar kiingereza kipo..sio kama dar
@seifpepe70292 жыл бұрын
akizania kama hutompa 80,000 huyo jamaaa
@omarmuhnzi74124 жыл бұрын
Fundi Finny!
@hamzamohamed98324 жыл бұрын
Bonjurno directo
@aishasaid57024 жыл бұрын
Hahahahaha sweet home Zanzibar ebwana msitupotezee waume bwana mbona tunapika ugali wanawake wa zanzibar hahahahaha
@mustaphahassan589
4 жыл бұрын
Aisha Said nipikie jaman
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hahahaaaa!
@salimkassim6020
4 жыл бұрын
Unaweza kupika ugali kweli??
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Mnanivunja mbavu nyie wazanzibar 😂😂😂😂
@maulidhamad7404 жыл бұрын
dah hilo kweli watoto wa kike wa zanzibar ugali hajui kabisa kupika
@mussakheir67924 жыл бұрын
Dodi nenda kwa vigema
@albassamjjamali77304 жыл бұрын
Fundi fini wakatiwako huu
@mustaphamsumary23034 жыл бұрын
Mwamba akaze azam cyo Pemba
@saymarsaymar4654
4 жыл бұрын
Kuna nn Azam
@mustaphamsumary2303
4 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 I mean alipotok alkuw anapat namb hvy hat hpo alipo akaze ili kupat no
@ommytamir27834 жыл бұрын
Umesinguwa sasa hatuna lugha vp
@kijalushinge68154 жыл бұрын
namkubali xn huy dg wa zg
@loner_wolf4 жыл бұрын
Dunia ya zenji haswa .... Mimi nilijua Barca hawez kuwatoa Liverpool ..... Kama niliamini Hilo peke yangu nafikiri ...maana niliposema hiyo kauli kijiweni kwetu pande za amana ilala washkaji waliniona nimepagawa.....hahahahahaaaaaaa muda ukaongea
@harounali90574 жыл бұрын
Tungule ni neno linalotokana na tomato
@babaajnaty86294 жыл бұрын
Kun mtu anamtongoz mke wak 😂😂😂
@hascojr39284 жыл бұрын
Mbn kipindi hakirushwi youtube siku iz kitambooo sana dodi unafel wapi tuekeee udamwi udamwi
@dilipdab37142 жыл бұрын
Malipo.bei.ngani
@mussachicha92114 жыл бұрын
Kijwe kitamu
@isackmsanii77524 жыл бұрын
Izimana
@aliy33034 жыл бұрын
Aaah nyie wasanii
@akuujk63404 жыл бұрын
Yow don’t get me wrong this kid got talent but the garbage I’m hearing from his mouth, he’s talking about eating chips🙈 come on now..chips! Is he serious about football?
@yusufibrahim53714 жыл бұрын
Wazee wa urojo
@jitihadimtindi17744 жыл бұрын
Dodi machine
@Andre-jr7vq4 жыл бұрын
Dress well, be smart
@salmin31294 жыл бұрын
😂😂 Mnyanya
@mudyxhumedmudy58884 жыл бұрын
Mm huyu mzee ananiuzi kujifanya kijana hapendi uzeee
@abdulkareemseif6674 жыл бұрын
Zanzibar ni katalunyA
@jumamohamed3168
4 жыл бұрын
Acheni majigambo Zanzibar hakuna mpira kiasi hicho.nyinyi majigambo sana .
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 mtajua kwa chukii zenuu
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 acheni chukii hamutuwezi
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 hebu njooo uonge watoto wanavo piga boll
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 si nyinyi na machakachaa yenuuuu
Пікірлер: 107
hiki kipindi nakiangalia leo Trh 06/02/2020 kwa mara ya kwanza lakn nasubcribe hii channel na ninaanza kuifuatilia....nmependa hiki kipindi na huyu mtangazaji kwakwel anakitendea haki....🙌🏽🙌🏽 thumbs up!!!
Apo wote wachezaji haooo mamaeee big up
Fini braza hatariiiiii eyyy kaka umenshinda tabia big up 🔥🔥🔥
Zanzibar Kila m2 star. Unakubali like.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Tunakubali
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Mpewa hapokonyekii hata wawe na chukiiii ila ki mpira hawatuweziii unguja
Zanzibar beautiful Island of Africa... ...
Uyo alovaa nguo nyekundu anaitwa bai ni magical of football
love for realy ...my zanzibar😘
Love you my ZANZIBAR 🌴🌴
Ah! Kama utoto unaweza kurudi. Ningerudisha wangu. Nikacheza mpira.
Kweliii. Mwananguu. Uko
people start from humble beginings brother..talent is there but character woulf take you far.
Nice one
Wazanzibari sifa nyingi ila mara nyingi ukweli huwa wana viungo wazuri kwenye soka 😆.
@peterwanna1594
3 жыл бұрын
umeongea ukwel bro
Huko zenji kuna vijana kibao wenye vipaji.....makocha hawajastuka tu...wasingekua wanahangaika kwenda sijui Uganda.
@ahmeidyoung2410
4 жыл бұрын
Kweli bana
Huyu ni maestro mild field
❤❤❤❤
zanzibar home sweet home nmepamiss sanaa
Dahh! sometimes naamka na stress nyingi ila nikiangalia vipindi km hivi stress zote zinaondoka kipindi kipo sawa sana mtangazaji yupo kakiweza kipindi halaf nawakubal sana jamaa zangu asili haipotei urojo in sembe out km kawaida yetu please mtangazaji nakuomba ufike na kule juu kidogo Amani ukamtembelee kijana mmoja anaitwa Ibrahim Hilika damu yangu mwanangu wafaida please I will be glad if one day I will see his interview with you brother Dodi
27:48 😂😂😂 Kila mtu "znz anajua" jamaniii? Umenichekesha sana dodi
Wewe howo ni new Generestion Vijana wenyewe tumekimbia nchi sababu ya maisha. Inaumiza sana. Halafu unemtaja dula zungu. Yaani tunatamani hapo tungekuwepo. Kama tungekuwa nchi yetu iko huru basi ungetusikiya real Madrid
Umeonaa eee raha za stone town 😀
Zanzibar mpira kipaji🔥🔥🔥
@mohamedamaan6264
4 жыл бұрын
tuendelee tu kujazana ujinga mpira kipaji
Zanzibar kwel ni Brazili
Zazibar raha ssna
Jamaa ana shangaa kila mtu fundi wa mpira 😀😀😀😂🤣😂
Yanga imchukue fini
Kwa ulaya itakuwa kazi sana kukuchukuwa kama hupigi miguu yoe miwili, vidio clip zote zilizo tiwa hapo ni mguu wa kushoto, jiongeze zaidi na mguu wa kulia ka unaitaka ulaya . Mwisho nakutakia mafanikio mema katika micheo.
Azam tv. Toeni hiyo logo yenu katikati iwekeni hata apo juu pembeni
Mm nakubali wachezaji wa nd an hawalipwi
"Zanzibar freestyle" Fata youtube yangu
Aliovaa kofia nyeusi na flana ya njano ustadhi wangu Abeid pale forodhani
🤣🤣🤣🤣 aaah wazanzibary shenzi zenu... mnabeza ugali wa sembe wakati hamjaonja udaga.".... jamaa anasema 'unapikaje maji na unga' daaaah
Fundi uyo dogo
👊
Ahsante khelfin hahhahh
Wewe mtangazaji nakukumbuka sana taifa b ulikuwa unavaa viatu vbovu sasa bado unavaa ovyo vaa kisposi usiwe hivyo
Asishibe sifa tu maaana huu mpira ni mgumu sana. Akishiba sifa atajikuta anakuwa maarufu ila sio mchezaji mzuri tena. Maana umaarufu ndio unawafanya watu wasahau kazi yake.. USISHIBE SIFA FANYA MAZOEZI KWA BIDII MDOGO WETU🙏💪
@yudadaniel4867
2 жыл бұрын
usikalili
@simulizi2632
2 жыл бұрын
@@yudadaniel4867 after 1year so tell me.. where is he??
Wazanzibar wabish kinoma hahaha haraf sasa wanapenda kujisifu weee ila mtangazaj kaniua mbav
@murudillo572
4 жыл бұрын
Halafu sio harafu
Hahahah Abuy..Lugha 3 mpaka 4
Dodo arsenal waliwazidi Barcelona mpaka xavi akampa jack welshere Jaz
Dah!!! Huyu aliye shika gunzi
Kwanini wazanzibari wanatumia KISWAHILI cha bara, au ndio mtawala tayari kamaliza kazi.
kwelii wewee zanzibarr mpiraa wauju mfano ligii kuu ya tanzania vipajii waviona watokao zanzibaa
bene Kkkkkkkkkkkkk sio bene bana ni stou bem
Tanzania.safari
Ukiambiwa apo brazil utaamini
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Unguja for real
Kwetu kuna vipaji sana
Mpira Zanzibar
Ebwaanaa Zanzibar kawaida sana watu kuongea lugha Zanzibar ya 1 kutokana na mazingira..eti mbona wazungu wengi jamaa comedy sana....
😂😂et uwanja akausanifu anavotaka
Fin ni fundi balaa
Kiwe kirefu kipindi
Miaka 19, hehehehhehe. Hapo ndio mnapofeli kushusha miaka. Kiuhalisia not less than 22.
@slowmenino7804
4 жыл бұрын
mnafiki
@ahmedalshaibany6690
4 жыл бұрын
Slow menino Umejuaje??
Aisee Zanzibar kiingereza kipo..sio kama dar
akizania kama hutompa 80,000 huyo jamaaa
Fundi Finny!
Bonjurno directo
Hahahahaha sweet home Zanzibar ebwana msitupotezee waume bwana mbona tunapika ugali wanawake wa zanzibar hahahahaha
@mustaphahassan589
4 жыл бұрын
Aisha Said nipikie jaman
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hahahaaaa!
@salimkassim6020
4 жыл бұрын
Unaweza kupika ugali kweli??
Mnanivunja mbavu nyie wazanzibar 😂😂😂😂
dah hilo kweli watoto wa kike wa zanzibar ugali hajui kabisa kupika
Dodi nenda kwa vigema
Fundi fini wakatiwako huu
Mwamba akaze azam cyo Pemba
@saymarsaymar4654
4 жыл бұрын
Kuna nn Azam
@mustaphamsumary2303
4 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 I mean alipotok alkuw anapat namb hvy hat hpo alipo akaze ili kupat no
Umesinguwa sasa hatuna lugha vp
namkubali xn huy dg wa zg
Dunia ya zenji haswa .... Mimi nilijua Barca hawez kuwatoa Liverpool ..... Kama niliamini Hilo peke yangu nafikiri ...maana niliposema hiyo kauli kijiweni kwetu pande za amana ilala washkaji waliniona nimepagawa.....hahahahahaaaaaaa muda ukaongea
Tungule ni neno linalotokana na tomato
Kun mtu anamtongoz mke wak 😂😂😂
Mbn kipindi hakirushwi youtube siku iz kitambooo sana dodi unafel wapi tuekeee udamwi udamwi
Malipo.bei.ngani
Kijwe kitamu
Izimana
Aaah nyie wasanii
Yow don’t get me wrong this kid got talent but the garbage I’m hearing from his mouth, he’s talking about eating chips🙈 come on now..chips! Is he serious about football?
Wazee wa urojo
Dodi machine
Dress well, be smart
😂😂 Mnyanya
Mm huyu mzee ananiuzi kujifanya kijana hapendi uzeee
Zanzibar ni katalunyA
@jumamohamed3168
4 жыл бұрын
Acheni majigambo Zanzibar hakuna mpira kiasi hicho.nyinyi majigambo sana .
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 mtajua kwa chukii zenuu
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 acheni chukii hamutuwezi
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 hebu njooo uonge watoto wanavo piga boll
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 si nyinyi na machakachaa yenuuuu
Warida
Rahaha xn hom swet
huo ni usenge sana
fundi wa mpira