MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024

Ойын-сауық

MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
Subscribe to Top5Tz: / top5tz
Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
Tutajibu maswali yako yote kama:
nani tajiri namba moja tanzania?
nani msanii mkubwa tanzania?
msanii gani tajiri tanzania?
wasanii matajiri tanzania forbes?
wasanii matajiri duniani?
nani tajiri namba moja tanzania?
wasanii matajiri tanzania 2022?
wasanii matajiri tanzania 2023?
Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
Wasanii na magari yao
• TOP 5 WASANII WENYE MA...
• Listi ya magari ya bei...
• WASANII MATAJIRI TANZA...
Angalia video zetu zingine hapa:
VIpengele vyetu
0:15 Number 5
0:58 Number 4
1:37 Number 3
2:11 Number 2
2:58 Number 1
4:10 Like comment and subscribe
#Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
#wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri

Пікірлер: 139

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82932 ай бұрын

    Mungu awahifadhi yarab amen 🙏

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9svАй бұрын

    We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz6 ай бұрын

    Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi

  • @ramahaji2395

    @ramahaji2395

    13 күн бұрын

    Ingia google nawe acha ubishi

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz4 ай бұрын

    na mimi taingia soon kwenye hii orodha

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs20 күн бұрын

    Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz6 ай бұрын

    Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin

  • @CynthiaEsekon-s6u
    @CynthiaEsekon-s6u5 күн бұрын

    Bless

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim7642 ай бұрын

    Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍

  • @henrynuhu2557
    @henrynuhu25576 ай бұрын

    miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada67974 ай бұрын

    We muongo na takwimu zakoooo.

  • @user-th9ut7ro8p
    @user-th9ut7ro8p4 ай бұрын

    Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.

  • @theplateboy-ym9xz
    @theplateboy-ym9xz3 ай бұрын

    Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀

  • @samiboybb
    @samiboybb7 күн бұрын

    Nme ipenda

  • @user-ql6fg3bs8y
    @user-ql6fg3bs8y3 ай бұрын

    Wee bado sana

  • @JaphetyLubasha-vw5hr
    @JaphetyLubasha-vw5hr6 ай бұрын

    😂😂😂 tatzoo la KZread waongooo sana yaan daaahh 😊

  • @JacobNikolaus-oy2ld

    @JacobNikolaus-oy2ld

    2 ай бұрын

    Ko tufanyaje

  • @AdiliLadislaus
    @AdiliLadislaus3 ай бұрын

    Mafuruki kashafariki

  • @frankmajila7632
    @frankmajila76326 ай бұрын

    Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana

  • @khalfanseif8027
    @khalfanseif802713 күн бұрын

    Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa

  • @KINGSAGENCYCOMPANYLTD
    @KINGSAGENCYCOMPANYLTDАй бұрын

    Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8937 ай бұрын

    Wizi tuuu

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka34136 ай бұрын

    Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?

  • @user-cj7oo7mi1x
    @user-cj7oo7mi1xАй бұрын

    Msanii gani anaongoza utajili Tanzania

  • @aediayumgo8546

    @aediayumgo8546

    24 күн бұрын

    Rich mavoko

  • @user-so5jf8nf3e
    @user-so5jf8nf3e7 ай бұрын

    Liongo kweli ilo

  • @iddkaoneka7485
    @iddkaoneka74853 ай бұрын

    Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)

  • @noeljacob9644
    @noeljacob964424 күн бұрын

    We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom

  • @aaroneu07
    @aaroneu073 ай бұрын

    Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4iАй бұрын

    Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe

  • @mr.jcubic1554
    @mr.jcubic155414 күн бұрын

    Matajili

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x6 ай бұрын

    N I utajiri cash, auvitu

  • @SimionMajaliwa-wg8xi
    @SimionMajaliwa-wg8xi2 ай бұрын

    Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s6 ай бұрын

    acheni ukuma wenu

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim57143 күн бұрын

    Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe98157 ай бұрын

    Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    7 ай бұрын

    😮😮😂😂😂😂

  • @davisfidelis4149

    @davisfidelis4149

    5 ай бұрын

    Ana zaidi ya 100

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji54956 ай бұрын

    Tunaomb na list ya maskini watano TZ

  • @swedywamba5535

    @swedywamba5535

    5 ай бұрын

    Lazima watatoka dodoma wote wa5

  • @EnocyDaud-xt8vj

    @EnocyDaud-xt8vj

    5 ай бұрын

    Wa kwanza ni wewe

  • @mohamedimiraji5495

    @mohamedimiraji5495

    5 ай бұрын

    @@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅

  • @bakaribakari6444

    @bakaribakari6444

    2 ай бұрын

    ​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn

  • @SaidMaganga-yi4ez
    @SaidMaganga-yi4ezАй бұрын

    Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q3 ай бұрын

    Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns26467 ай бұрын

    Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa

  • @frankngoloka5416

    @frankngoloka5416

    6 ай бұрын

    Huyu fala Bado kabisa Rudi shule

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri45862 ай бұрын

    Mo hawezi kuwa na hiyo hela

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75837 ай бұрын

    Ally Mafuruki alifariki 2019

  • @kassimjakaya6991

    @kassimjakaya6991

    4 ай бұрын

    Ndiomana nikamuliza

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi27 күн бұрын

    We n fala kiazi ww

  • @MwandosyaMajele
    @MwandosyaMajele3 ай бұрын

    Mayele 0:23

  • @babaabro8847
    @babaabro88477 ай бұрын

    Gsm vp 😮😮

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    5 ай бұрын

    GSM anatengeneza magodoro

  • @danielmweta8716
    @danielmweta87166 ай бұрын

    Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji

  • @MayanziBubinza
    @MayanziBubinza6 күн бұрын

    GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?

  • @alisalimo2861
    @alisalimo28616 ай бұрын

    Ww muogo😊

  • @habibrizzyone
    @habibrizzyoneАй бұрын

    Takwimu zako za kifala

  • @user-lg7yl8zr1o
    @user-lg7yl8zr1o6 ай бұрын

    Kumanyoko

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis41495 ай бұрын

    Ana asili ya Uajemi,Iran

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti3 ай бұрын

    Gsm anashika nafasiyangapa ndugu

  • @KilimanjaroBand
    @KilimanjaroBand2 ай бұрын

    Hii list katoa mkundu kwake

  • @talalballeth4330
    @talalballeth43302 ай бұрын

    Hujui lolote angalia unachojua

  • @salehkhamiss2449
    @salehkhamiss24495 ай бұрын

    we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee

  • @user-br1fc9xn2u
    @user-br1fc9xn2u3 ай бұрын

    Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45816 ай бұрын

    Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe Afu ali mfuruki ni marehemu

  • @kassimjakaya6991

    @kassimjakaya6991

    4 ай бұрын

    Nashangaa

  • @AginesKihoo-zw3yf
    @AginesKihoo-zw3yf5 ай бұрын

    Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu

  • @Marjeby
    @MarjebyАй бұрын

    Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu

  • @exaudyjm5170
    @exaudyjm51705 ай бұрын

    1 uyo ndio 2 kaka acha zako

  • @user-fo5bg6tv5s
    @user-fo5bg6tv5s5 ай бұрын

    Waongo asas na abud

  • @angelsulle7177
    @angelsulle71775 ай бұрын

    Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe

  • @davisfidelis4149

    @davisfidelis4149

    5 ай бұрын

    Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bgАй бұрын

    Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v6 ай бұрын

    Mailing au mzima mfuruki

  • @OfficialMsamiboy-zh4tu
    @OfficialMsamiboy-zh4tu6 ай бұрын

    Tajir ni Mungu pekee yake.

  • @alencleophace2182

    @alencleophace2182

    6 ай бұрын

    Stop your poverty mentality brother

  • @KulwaKisansa

    @KulwaKisansa

    5 ай бұрын

    Upewe ulinzi kaka

  • @erodasterrichard1535
    @erodasterrichard15355 ай бұрын

    Mhhh.....mjomba, uongo umezid

  • @hashimmwipallo120
    @hashimmwipallo1207 ай бұрын

    Uyu boya anakalili

  • @SNIPER_ZOMBIE
    @SNIPER_ZOMBIE4 ай бұрын

    duh acha uongo bro😂

  • @Meky-of9vy
    @Meky-of9vy2 ай бұрын

    Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini

  • @dinamossy5149
    @dinamossy51496 ай бұрын

    Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu

  • @mndewaog990
    @mndewaog99020 күн бұрын

    We huyo ali mafuruki mbn ashafariki

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya69914 ай бұрын

    Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?

  • @kismarthashvan
    @kismarthashvan6 ай бұрын

    Basi 30 unaakili matakoni😂😂😂

  • @kamamussa6792
    @kamamussa67924 ай бұрын

    Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo

  • @user-se2xp8vv4h
    @user-se2xp8vv4h6 ай бұрын

    E

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary70836 ай бұрын

    Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo

  • @hamzamfyagidzi6344

    @hamzamfyagidzi6344

    2 ай бұрын

    Et utajiri wa mo trion4 cash Sasa wewe huoni kama anakwambia Usiku wakati jua lina waka Amiliki trion5 cash Amekuwa banck

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc7 ай бұрын

    Msenge kwli muongo

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    7 ай бұрын

    😂😂😂🎉

  • @user-ok9ls1qs7x
    @user-ok9ls1qs7x5 ай бұрын

    Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye

  • @hamadhamis9763
    @hamadhamis97637 ай бұрын

    ivi we jamaa unaakili kweli

  • @salehkhamiss2449

    @salehkhamiss2449

    5 ай бұрын

    uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @salehkhamiss2449

    @salehkhamiss2449

    5 ай бұрын

    uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @salehkhamiss2449

    @salehkhamiss2449

    5 ай бұрын

    uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @salehkhamiss2449

    @salehkhamiss2449

    5 ай бұрын

    uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @salehkhamiss2449

    @salehkhamiss2449

    5 ай бұрын

    uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @Jumapili-ws5em
    @Jumapili-ws5emАй бұрын

    Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako

  • @user-du1ls3zf4s
    @user-du1ls3zf4s5 ай бұрын

    Kwendraaaaa acha kutudanganya ww

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya69914 ай бұрын

    Achane uongo

  • @user-ls6bd6ft4v
    @user-ls6bd6ft4v5 ай бұрын

    Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..

  • @user-ce8qf3nc3s
    @user-ce8qf3nc3s6 ай бұрын

    Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa46084 ай бұрын

    Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India

  • @victorombay6625

    @victorombay6625

    3 ай бұрын

    Rostam ni Mlebanon

  • @victorombay6625

    @victorombay6625

    3 ай бұрын

    Ni Mtanzania mwenye asili ya Lebanon

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w6 ай бұрын

    Siokweri wengine umechapia

  • @starkidwamoro8775-n5e

    @starkidwamoro8775-n5e

    4 ай бұрын

    km nani amechapia hapo

  • @user-th5ji7wh5q
    @user-th5ji7wh5q6 ай бұрын

    Oya acha uwongo mo anamzidi baresa

  • @RichardKatani
    @RichardKatani3 ай бұрын

    Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?

  • @WilsonLuvinga
    @WilsonLuvinga2 ай бұрын

    Tupate kuona malizake

  • @majaliwamajaliwa4407
    @majaliwamajaliwa44077 ай бұрын

    We mjingaa kweli

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-lw8uk6xw2h
    @user-lw8uk6xw2hАй бұрын

    et huyu ni ngozi nyeusi mavi yako

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk6 ай бұрын

    Jinga xna.

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola39837 ай бұрын

    Kweli jamaa ni Muongo ros

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g3 ай бұрын

    Muongo

  • @jumaally8387
    @jumaally83876 ай бұрын

    We jamaa acha usenge basi,sasa ndio uongo gani huu!?

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    5 ай бұрын

    Hao ndio matajiri hata ukiwabadilisha badilisha utakuta ni haohao.

  • @ChescoMsigwa
    @ChescoMsigwa21 күн бұрын

    Mm hamjaniweka iyo takwimu ni fake

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis41495 ай бұрын

    Mh! Chanzo cha taarifa? Manake hadi kucululate utajiri wa mtu in monetary terms ni kazi aisee,na sidhani kama tushafika huko!

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os7 ай бұрын

    We msenge acha kupotosha watu Mafuruki alishafariki,alaf et Abood anagar 30 we umezaliwa jana ?? Abood anagar zaid ya 100

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    7 ай бұрын

    Hata mm nimeshangaa aboud tangu miaka ya 90 ana basi 30 tu huyu fala kweli

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    7 ай бұрын

    Sio hayo tu pia ana malori kibao

  • @qariuzzamaantanzania7074
    @qariuzzamaantanzania7074Ай бұрын

    Taarifa nyingi c kamilifu.....

  • @user-rh2ul6hb8i
    @user-rh2ul6hb8i6 ай бұрын

    Acha uongo. Mbwa wewe

  • @samsonwaanda7568
    @samsonwaanda75686 ай бұрын

    Mfuruki mbona alishatangulia mbele ya haki

  • @shabanisaid3972
    @shabanisaid39726 ай бұрын

    wewe ni muongo sana eti bakheresa anautajiri wa usd1400 amekuwa namba mbili na mo deuji anatajiri wa usd 1300 amekuwa namba 1 moja wewe ni kivuluge kweli naona unapigwa mbata

Келесі