MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024
Ойын-сауық
MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
Subscribe to Top5Tz: / top5tz
Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
Tutajibu maswali yako yote kama:
nani tajiri namba moja tanzania?
nani msanii mkubwa tanzania?
msanii gani tajiri tanzania?
wasanii matajiri tanzania forbes?
wasanii matajiri duniani?
nani tajiri namba moja tanzania?
wasanii matajiri tanzania 2022?
wasanii matajiri tanzania 2023?
Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
Wasanii na magari yao
• TOP 5 WASANII WENYE MA...
• Listi ya magari ya bei...
• WASANII MATAJIRI TANZA...
Angalia video zetu zingine hapa:
VIpengele vyetu
0:15 Number 5
0:58 Number 4
1:37 Number 3
2:11 Number 2
2:58 Number 1
4:10 Like comment and subscribe
#Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
#wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri
Пікірлер: 139
Mungu awahifadhi yarab amen 🙏
We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua
Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi
@ramahaji2395
13 күн бұрын
Ingia google nawe acha ubishi
na mimi taingia soon kwenye hii orodha
Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿
Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin
Bless
Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍
miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote
Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah
We muongo na takwimu zakoooo.
Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.
Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀
Nme ipenda
Wee bado sana
😂😂😂 tatzoo la KZread waongooo sana yaan daaahh 😊
@JacobNikolaus-oy2ld
2 ай бұрын
Ko tufanyaje
Mafuruki kashafariki
Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana
Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa
Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa
Wizi tuuu
Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?
Msanii gani anaongoza utajili Tanzania
@aediayumgo8546
24 күн бұрын
Rich mavoko
Liongo kweli ilo
Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)
We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom
Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.
Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe
Matajili
N I utajiri cash, auvitu
Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus
acheni ukuma wenu
Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?
Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi
@Chettymlambalipsi-lb9km
7 ай бұрын
😮😮😂😂😂😂
@davisfidelis4149
5 ай бұрын
Ana zaidi ya 100
Tunaomb na list ya maskini watano TZ
@swedywamba5535
5 ай бұрын
Lazima watatoka dodoma wote wa5
@EnocyDaud-xt8vj
5 ай бұрын
Wa kwanza ni wewe
@mohamedimiraji5495
5 ай бұрын
@@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅
@bakaribakari6444
2 ай бұрын
@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn
Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa
Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?
Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa
@frankngoloka5416
6 ай бұрын
Huyu fala Bado kabisa Rudi shule
Mo hawezi kuwa na hiyo hela
Ally Mafuruki alifariki 2019
@kassimjakaya6991
4 ай бұрын
Ndiomana nikamuliza
We n fala kiazi ww
Mayele 0:23
Gsm vp 😮😮
@gibsonjosephat6352
5 ай бұрын
GSM anatengeneza magodoro
Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji
GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?
Ww muogo😊
Takwimu zako za kifala
Kumanyoko
Ana asili ya Uajemi,Iran
Gsm anashika nafasiyangapa ndugu
Hii list katoa mkundu kwake
Hujui lolote angalia unachojua
we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee
Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid
Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe Afu ali mfuruki ni marehemu
@kassimjakaya6991
4 ай бұрын
Nashangaa
Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu
Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu
1 uyo ndio 2 kaka acha zako
Waongo asas na abud
Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe
@davisfidelis4149
5 ай бұрын
Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!
Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir
Mailing au mzima mfuruki
Tajir ni Mungu pekee yake.
@alencleophace2182
6 ай бұрын
Stop your poverty mentality brother
@KulwaKisansa
5 ай бұрын
Upewe ulinzi kaka
Mhhh.....mjomba, uongo umezid
Uyu boya anakalili
duh acha uongo bro😂
Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini
Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu
We huyo ali mafuruki mbn ashafariki
Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?
Basi 30 unaakili matakoni😂😂😂
Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo
E
Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo
@hamzamfyagidzi6344
2 ай бұрын
Et utajiri wa mo trion4 cash Sasa wewe huoni kama anakwambia Usiku wakati jua lina waka Amiliki trion5 cash Amekuwa banck
Msenge kwli muongo
@Chettymlambalipsi-lb9km
7 ай бұрын
😂😂😂🎉
Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye
ivi we jamaa unaakili kweli
@salehkhamiss2449
5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako
Kwendraaaaa acha kutudanganya ww
Achane uongo
Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..
Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr
Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India
@victorombay6625
3 ай бұрын
Rostam ni Mlebanon
@victorombay6625
3 ай бұрын
Ni Mtanzania mwenye asili ya Lebanon
Siokweri wengine umechapia
@starkidwamoro8775-n5e
4 ай бұрын
km nani amechapia hapo
Oya acha uwongo mo anamzidi baresa
Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?
Tupate kuona malizake
We mjingaa kweli
@Chettymlambalipsi-lb9km
7 ай бұрын
😂😂😂
et huyu ni ngozi nyeusi mavi yako
Jinga xna.
Kweli jamaa ni Muongo ros
Muongo
We jamaa acha usenge basi,sasa ndio uongo gani huu!?
@gibsonjosephat6352
5 ай бұрын
Hao ndio matajiri hata ukiwabadilisha badilisha utakuta ni haohao.
Mm hamjaniweka iyo takwimu ni fake
Mh! Chanzo cha taarifa? Manake hadi kucululate utajiri wa mtu in monetary terms ni kazi aisee,na sidhani kama tushafika huko!
We msenge acha kupotosha watu Mafuruki alishafariki,alaf et Abood anagar 30 we umezaliwa jana ?? Abood anagar zaid ya 100
@nasirmohamed1589
7 ай бұрын
Hata mm nimeshangaa aboud tangu miaka ya 90 ana basi 30 tu huyu fala kweli
@rayisadesigns2646
7 ай бұрын
Sio hayo tu pia ana malori kibao
Taarifa nyingi c kamilifu.....
Acha uongo. Mbwa wewe
Mfuruki mbona alishatangulia mbele ya haki
wewe ni muongo sana eti bakheresa anautajiri wa usd1400 amekuwa namba mbili na mo deuji anatajiri wa usd 1300 amekuwa namba 1 moja wewe ni kivuluge kweli naona unapigwa mbata