Hapo ndug utajiri wa Messi na Ronaldo ni utajiri wa kupambana wao binafisi katika soka maana hata historia zao na familia zao hawakuwa matajiri,ila huyo jamaa utajiri alionao ni wa familia tu maan umesema hata mshahara wake wa soka ulikuwa mdogo sna kwahiyo Bado Ronaldo na Messi watabaki kuwa matajiri tu katika maisha ya soka
@Aysha_ally Жыл бұрын
😂😂😂😂wamwanzoooooo leo like zinihusuuuu😂😂😂😂
@user-ft2cu8co5k Жыл бұрын
Sasa hata kama hela karisi lakini ni zake au za kwenu na hapo jastin shed hajataja tuzo kataja mafanikio ya pesa tyu mbona wabongo mna wivu hadi kwa watu msio wajuwa
@user-po1cq9so9h6 ай бұрын
Yeah huyo ndie mchezaji tajiri duniani kuliko wote
@samwelingasa1638 Жыл бұрын
Ningependa uweke makala William granham
@coolbz133 Жыл бұрын
Huyo utajiri wake ni wa familiar sio wa mpira muelewe hilo ashawahi kushinda tuzo gani player bora wa ulimwengu
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Kwan wameongelea mchezaj mweny hela nyng ztokanazo na mpira?? Ama mchezaj tajiri zaid kwan ameongelea tuzo?? Halafu mbona kuelewa ni kitu chepes tuafanye mamb kua magum
@coolbz133
Жыл бұрын
Messi na Ronaldo hawakuzaliwa kwa utajiri pesa yao ni jasho lao nikweli huyo dogo ni mchezaji ila hategemei pesa ya football tayari kwao hela ipo kwahivo huwezi kumueka na wenye kupigania hela huyo ball acheza ni kama hobby yake.
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Ni kweli sijakataa me nilikua tu nakuweka sawa uelewe kinachoongelewa maana ni kama ulimbeza msimuliaji wakat yeye hakuongelea kiwango cha mchezaji wala chanzo cha mapato ila tu mtu anayecheza mpira na ana pesa mingi kuliko tunaowajua
@richardmagasa4900
Жыл бұрын
Unafeli hapo,,,ishu ni utajiri sio zilitafutwa na nani,Mfano Mo anaesifiwa kwa utajiri Tz amezikuta zipo na akaendeleza tu
@princegerard4704
Жыл бұрын
@@enockjoel2429 Ni sawa Umshindanishe Mo Dewji & Bhakhresa ni mambo mawili tofauti 😂😂😂
@KasminaCreation Жыл бұрын
Ubarikiwe sana😎
@user-po1cq9so9h6 ай бұрын
Mfalme tajiri duniani sie huyo mfalme wa Saudi ndie Mfalme tajiri duniani na ndie anaelipwa mshahara mkubwa duniani
@zaraally2295 Жыл бұрын
Naomba namba zake huyo mtoto wa 15 nataka tuongee jambo😊🤣🤣🤣🤣
@elijahchegere4974
Жыл бұрын
Njoo getoni kwangu utamuona
@kajalamaganga1913 Жыл бұрын
Sasa mnalinganishaje mtu kazaliwa kwenye hela nawatu wanaojitafutia😞
@babudingi-gd7pz Жыл бұрын
Pesa za urisi izo bwana mesi ronado uwanjani mzee
@eliuskamwelwe1018 Жыл бұрын
Huyo karisi Mali Ronaldo na Messi wamesotea pesa zao wao wenyewe
@UtufyoPangachini-ru3yg
Жыл бұрын
😂nawewe lisi kama kulisi kama kulisi ni rahisi
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
EPL mbona sijawh muon au mbovu wa macho au huy pesa yeye anachot huwez linganish na Messi vs Ronaldo
@liberatusjackson5045
Жыл бұрын
Mwenye hera ndoo mwenyekula ki2 ata anaweza kknyanganya hata mkeo
@genius-3 Жыл бұрын
Safi🎉
@nawafbawazir8065 Жыл бұрын
First
@arafatyhussein Жыл бұрын
❤
@King_Of_Everything Жыл бұрын
👊👍✌️.
@vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын
😂😂😂😂Zakwake kalisi wengine wame pambana wenyewe
@elvisernest3280
Жыл бұрын
Atakama ila si zake
@thomazmedia7342 Жыл бұрын
Huyo ata hajatafuta pesa Mali ya fimilia🤣🤣🤣😂😂💔
@mohammedkidody5618 Жыл бұрын
Alaf ilo Leicester umekosea kulitamka kk😂
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Lugha za watu ndugu yangu.Nitakua makini next time.
@suleimanbadru819 Жыл бұрын
Sasa unatuambia anatumia magari ya kifahari lkn pia unasema anaishi maisha ya kawaida sasa tushike lipi
@jacksonhaggai6771
Жыл бұрын
😂😂😂 aiseee
@feisalfarsy6562
Жыл бұрын
Shika unalona linakipaumbele ktk akili yako
@JELSONMAUKI
28 күн бұрын
Hahahahaha hacha tu ww waandishi wetu umiza kichwa 😅😅😅😅😅😅
@user-il8ir1uj3y11 ай бұрын
Tumekuelewa ila utajiri wake ni WA kulithi
@nasibuahmedy2438 Жыл бұрын
SASA TWENDE KAZIIIIII
@othumanomari1589 Жыл бұрын
Sasamtu katokea blue nay unashangaa nini
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
MSICHANGANYE HAPO,,,KUNA ZAKO,,KUNA ZA BABA,,ZILE ZAKO NDO ZIKUPAMBANISHE NA WATU.
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Hizo ni zake sio za baba, licha ya kuwa karithi izo ni zake. Kila mtu ana njia yake ya kupata utajiri, wengine wanarithi na maisha yanaenda.
Пікірлер: 50
Ndo kwanza leo,nimjue huyo dogo!😱👍🏻😊
Hapo ndug utajiri wa Messi na Ronaldo ni utajiri wa kupambana wao binafisi katika soka maana hata historia zao na familia zao hawakuwa matajiri,ila huyo jamaa utajiri alionao ni wa familia tu maan umesema hata mshahara wake wa soka ulikuwa mdogo sna kwahiyo Bado Ronaldo na Messi watabaki kuwa matajiri tu katika maisha ya soka
😂😂😂😂wamwanzoooooo leo like zinihusuuuu😂😂😂😂
Sasa hata kama hela karisi lakini ni zake au za kwenu na hapo jastin shed hajataja tuzo kataja mafanikio ya pesa tyu mbona wabongo mna wivu hadi kwa watu msio wajuwa
Yeah huyo ndie mchezaji tajiri duniani kuliko wote
Ningependa uweke makala William granham
Huyo utajiri wake ni wa familiar sio wa mpira muelewe hilo ashawahi kushinda tuzo gani player bora wa ulimwengu
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Kwan wameongelea mchezaj mweny hela nyng ztokanazo na mpira?? Ama mchezaj tajiri zaid kwan ameongelea tuzo?? Halafu mbona kuelewa ni kitu chepes tuafanye mamb kua magum
@coolbz133
Жыл бұрын
Messi na Ronaldo hawakuzaliwa kwa utajiri pesa yao ni jasho lao nikweli huyo dogo ni mchezaji ila hategemei pesa ya football tayari kwao hela ipo kwahivo huwezi kumueka na wenye kupigania hela huyo ball acheza ni kama hobby yake.
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Ni kweli sijakataa me nilikua tu nakuweka sawa uelewe kinachoongelewa maana ni kama ulimbeza msimuliaji wakat yeye hakuongelea kiwango cha mchezaji wala chanzo cha mapato ila tu mtu anayecheza mpira na ana pesa mingi kuliko tunaowajua
@richardmagasa4900
Жыл бұрын
Unafeli hapo,,,ishu ni utajiri sio zilitafutwa na nani,Mfano Mo anaesifiwa kwa utajiri Tz amezikuta zipo na akaendeleza tu
@princegerard4704
Жыл бұрын
@@enockjoel2429 Ni sawa Umshindanishe Mo Dewji & Bhakhresa ni mambo mawili tofauti 😂😂😂
Ubarikiwe sana😎
Mfalme tajiri duniani sie huyo mfalme wa Saudi ndie Mfalme tajiri duniani na ndie anaelipwa mshahara mkubwa duniani
Naomba namba zake huyo mtoto wa 15 nataka tuongee jambo😊🤣🤣🤣🤣
@elijahchegere4974
Жыл бұрын
Njoo getoni kwangu utamuona
Sasa mnalinganishaje mtu kazaliwa kwenye hela nawatu wanaojitafutia😞
Pesa za urisi izo bwana mesi ronado uwanjani mzee
Huyo karisi Mali Ronaldo na Messi wamesotea pesa zao wao wenyewe
@UtufyoPangachini-ru3yg
Жыл бұрын
😂nawewe lisi kama kulisi kama kulisi ni rahisi
EPL mbona sijawh muon au mbovu wa macho au huy pesa yeye anachot huwez linganish na Messi vs Ronaldo
@liberatusjackson5045
Жыл бұрын
Mwenye hera ndoo mwenyekula ki2 ata anaweza kknyanganya hata mkeo
Safi🎉
First
❤
👊👍✌️.
😂😂😂😂Zakwake kalisi wengine wame pambana wenyewe
@elvisernest3280
Жыл бұрын
Atakama ila si zake
Huyo ata hajatafuta pesa Mali ya fimilia🤣🤣🤣😂😂💔
Alaf ilo Leicester umekosea kulitamka kk😂
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Lugha za watu ndugu yangu.Nitakua makini next time.
Sasa unatuambia anatumia magari ya kifahari lkn pia unasema anaishi maisha ya kawaida sasa tushike lipi
@jacksonhaggai6771
Жыл бұрын
😂😂😂 aiseee
@feisalfarsy6562
Жыл бұрын
Shika unalona linakipaumbele ktk akili yako
@JELSONMAUKI
28 күн бұрын
Hahahahaha hacha tu ww waandishi wetu umiza kichwa 😅😅😅😅😅😅
Tumekuelewa ila utajiri wake ni WA kulithi
SASA TWENDE KAZIIIIII
Sasamtu katokea blue nay unashangaa nini
MSICHANGANYE HAPO,,,KUNA ZAKO,,KUNA ZA BABA,,ZILE ZAKO NDO ZIKUPAMBANISHE NA WATU.
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Hizo ni zake sio za baba, licha ya kuwa karithi izo ni zake. Kila mtu ana njia yake ya kupata utajiri, wengine wanarithi na maisha yanaenda.
Sasa si utajiri wa kurithi, Acha mboyoyo
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Hiyo inabadili kwamba yeye ni tajiri?
😂😂
Mh
Anatunzo gani saxa
Huyu hela kazichota
Muongo mkubwa wewe
😂😂