FAIQ BOLKIAH MWANASOKA TAJIRI ZAIDI YA RONALDO NA MESI,NI BWANA MDOGO WA MIAKA 25 TU

Фильм және анимация

Пікірлер: 50

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 Жыл бұрын

    Ndo kwanza leo,nimjue huyo dogo!😱👍🏻😊

  • @user-cx6qw6ol1s
    @user-cx6qw6ol1s4 ай бұрын

    Hapo ndug utajiri wa Messi na Ronaldo ni utajiri wa kupambana wao binafisi katika soka maana hata historia zao na familia zao hawakuwa matajiri,ila huyo jamaa utajiri alionao ni wa familia tu maan umesema hata mshahara wake wa soka ulikuwa mdogo sna kwahiyo Bado Ronaldo na Messi watabaki kuwa matajiri tu katika maisha ya soka

  • @Aysha_ally
    @Aysha_ally Жыл бұрын

    😂😂😂😂wamwanzoooooo leo like zinihusuuuu😂😂😂😂

  • @user-ft2cu8co5k
    @user-ft2cu8co5k Жыл бұрын

    Sasa hata kama hela karisi lakini ni zake au za kwenu na hapo jastin shed hajataja tuzo kataja mafanikio ya pesa tyu mbona wabongo mna wivu hadi kwa watu msio wajuwa

  • @user-po1cq9so9h
    @user-po1cq9so9h6 ай бұрын

    Yeah huyo ndie mchezaji tajiri duniani kuliko wote

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Жыл бұрын

    Ningependa uweke makala William granham

  • @coolbz133
    @coolbz133 Жыл бұрын

    Huyo utajiri wake ni wa familiar sio wa mpira muelewe hilo ashawahi kushinda tuzo gani player bora wa ulimwengu

  • @enockjoel2429

    @enockjoel2429

    Жыл бұрын

    Kwan wameongelea mchezaj mweny hela nyng ztokanazo na mpira?? Ama mchezaj tajiri zaid kwan ameongelea tuzo?? Halafu mbona kuelewa ni kitu chepes tuafanye mamb kua magum

  • @coolbz133

    @coolbz133

    Жыл бұрын

    Messi na Ronaldo hawakuzaliwa kwa utajiri pesa yao ni jasho lao nikweli huyo dogo ni mchezaji ila hategemei pesa ya football tayari kwao hela ipo kwahivo huwezi kumueka na wenye kupigania hela huyo ball acheza ni kama hobby yake.

  • @enockjoel2429

    @enockjoel2429

    Жыл бұрын

    Ni kweli sijakataa me nilikua tu nakuweka sawa uelewe kinachoongelewa maana ni kama ulimbeza msimuliaji wakat yeye hakuongelea kiwango cha mchezaji wala chanzo cha mapato ila tu mtu anayecheza mpira na ana pesa mingi kuliko tunaowajua

  • @richardmagasa4900

    @richardmagasa4900

    Жыл бұрын

    Unafeli hapo,,,ishu ni utajiri sio zilitafutwa na nani,Mfano Mo anaesifiwa kwa utajiri Tz amezikuta zipo na akaendeleza tu

  • @princegerard4704

    @princegerard4704

    Жыл бұрын

    ​@@enockjoel2429 Ni sawa Umshindanishe Mo Dewji & Bhakhresa ni mambo mawili tofauti 😂😂😂

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana😎

  • @user-po1cq9so9h
    @user-po1cq9so9h6 ай бұрын

    Mfalme tajiri duniani sie huyo mfalme wa Saudi ndie Mfalme tajiri duniani na ndie anaelipwa mshahara mkubwa duniani

  • @zaraally2295
    @zaraally2295 Жыл бұрын

    Naomba namba zake huyo mtoto wa 15 nataka tuongee jambo😊🤣🤣🤣🤣

  • @elijahchegere4974

    @elijahchegere4974

    Жыл бұрын

    Njoo getoni kwangu utamuona

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga1913 Жыл бұрын

    Sasa mnalinganishaje mtu kazaliwa kwenye hela nawatu wanaojitafutia😞

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Жыл бұрын

    Pesa za urisi izo bwana mesi ronado uwanjani mzee

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Жыл бұрын

    Huyo karisi Mali Ronaldo na Messi wamesotea pesa zao wao wenyewe

  • @UtufyoPangachini-ru3yg

    @UtufyoPangachini-ru3yg

    Жыл бұрын

    😂nawewe lisi kama kulisi kama kulisi ni rahisi

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Жыл бұрын

    EPL mbona sijawh muon au mbovu wa macho au huy pesa yeye anachot huwez linganish na Messi vs Ronaldo

  • @liberatusjackson5045

    @liberatusjackson5045

    Жыл бұрын

    Mwenye hera ndoo mwenyekula ki2 ata anaweza kknyanganya hata mkeo

  • @genius-3
    @genius-3 Жыл бұрын

    Safi🎉

  • @nawafbawazir8065
    @nawafbawazir8065 Жыл бұрын

    First

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Жыл бұрын

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    👊👍✌️.

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Жыл бұрын

    😂😂😂😂Zakwake kalisi wengine wame pambana wenyewe

  • @elvisernest3280

    @elvisernest3280

    Жыл бұрын

    Atakama ila si zake

  • @thomazmedia7342
    @thomazmedia7342 Жыл бұрын

    Huyo ata hajatafuta pesa Mali ya fimilia🤣🤣🤣😂😂💔

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Жыл бұрын

    Alaf ilo Leicester umekosea kulitamka kk😂

  • @BONGOFASTA

    @BONGOFASTA

    Жыл бұрын

    Lugha za watu ndugu yangu.Nitakua makini next time.

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Жыл бұрын

    Sasa unatuambia anatumia magari ya kifahari lkn pia unasema anaishi maisha ya kawaida sasa tushike lipi

  • @jacksonhaggai6771

    @jacksonhaggai6771

    Жыл бұрын

    😂😂😂 aiseee

  • @feisalfarsy6562

    @feisalfarsy6562

    Жыл бұрын

    Shika unalona linakipaumbele ktk akili yako

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    28 күн бұрын

    Hahahahaha hacha tu ww waandishi wetu umiza kichwa 😅😅😅😅😅😅

  • @user-il8ir1uj3y
    @user-il8ir1uj3y11 ай бұрын

    Tumekuelewa ila utajiri wake ni WA kulithi

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Жыл бұрын

    SASA TWENDE KAZIIIIII

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Жыл бұрын

    Sasamtu katokea blue nay unashangaa nini

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    MSICHANGANYE HAPO,,,KUNA ZAKO,,KUNA ZA BABA,,ZILE ZAKO NDO ZIKUPAMBANISHE NA WATU.

  • @BONGOFASTA

    @BONGOFASTA

    Жыл бұрын

    Hizo ni zake sio za baba, licha ya kuwa karithi izo ni zake. Kila mtu ana njia yake ya kupata utajiri, wengine wanarithi na maisha yanaenda.

  • @nakali79
    @nakali79 Жыл бұрын

    Sasa si utajiri wa kurithi, Acha mboyoyo

  • @BONGOFASTA

    @BONGOFASTA

    Жыл бұрын

    Hiyo inabadili kwamba yeye ni tajiri?

  • @user-ft2cu8co5k
    @user-ft2cu8co5k Жыл бұрын

    😂😂

  • @KavellaMalla-rz6sd
    @KavellaMalla-rz6sd5 ай бұрын

    Mh

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele3038 Жыл бұрын

    Anatunzo gani saxa

  • @user-cs7hi1sp6h
    @user-cs7hi1sp6h Жыл бұрын

    Huyu hela kazichota

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole929310 ай бұрын

    Muongo mkubwa wewe

  • @user-ft2cu8co5k
    @user-ft2cu8co5k Жыл бұрын

    😂😂

Келесі