SAKINA SI BIBI HARUSI _ FULL MOVIE 2021_Mwinyi Mpeku / Dongo / Bi Kidecha / Kiswabi

Комедия

Usikose kuangalia filamu hii yenye kuelimisha,kuburudisha iliyochezwa na wasanii mahiri kutoka kisiwani Pemba akiwemo MWINYI MPEKU,KISWABI,DONGO,BI KIDECHA na wengine wengi.
Screenplay : Eddy Best
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors:Eddy Best/Said Negro
Directed by EddyBest
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
# • SIKUJUA _Full Movie 2...

Пікірлер: 241

  • @hajimohamed7007
    @hajimohamed70073 жыл бұрын

    filam kama hizi za kuelimisha jamii nfizo zinazo hitajika kat jamii yetu hongereni sana

  • @khayraatkheir9599
    @khayraatkheir95993 жыл бұрын

    Baba kama hawa ndio wasiotaka kusapoti watoto wao wakike hakika filamu nzuri na yenye mafunzo pia

  • @salummkubwa
    @salummkubwa3 жыл бұрын

    Filamu nzuri yenye mafunzo na ujumbe kwa jamii. Ingependeza zaidi kumuona Dongo, baba yake na Mwinyi Mpeku wakipanda kuzimbani kupokea malipo ya waliyoyatenda 👍👍👍

  • @alisudi2779
    @alisudi27793 жыл бұрын

    Tunawakubali sana ipo siku kwa uwez wa Allah mtafik mlipo kusudia

  • @ibrahimnyange5255
    @ibrahimnyange52553 жыл бұрын

    Jufe mupo vizuri saana filamu zenu zinaakisi moja kwa moja jamii endeleeni kutoa burudani, ujumbe katika Jamii.

  • @FatmaAli-vk8je
    @FatmaAli-vk8je3 жыл бұрын

    Dahhh mchezo mzr mashallha

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk84653 жыл бұрын

    Bigap Sana boss Faridi

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын

    Mwinyi mpeku wapekulaungo mtu mmoja matata mnoo pemba nzimaaaa fundi

  • @ashaali1324
    @ashaali13243 жыл бұрын

    Nimependa sanaaa nzur nainamafundisho mazur sana nyie mmewashinda bongomov

  • @khadijaakidakhadijaakida5193
    @khadijaakidakhadijaakida51933 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣dongo kampatikan ..lakin unafunzaa haswaa nimependaa hongereni sn

  • @hafidhrashid7721
    @hafidhrashid77212 жыл бұрын

    Michezo ya heshima sana..siomichezo ya bongo uchi mtupu hazina heshima huwexi kukaa na mzee ukangalia

  • @mzeevuai
    @mzeevuai3 жыл бұрын

    nzuri sana mashallah.na ubora wa video ni mkubwa sana.

  • @seifsaid5319
    @seifsaid53192 жыл бұрын

    Pemba rahasana tumeendelea Masha Allah

  • @abdallasaleh2303
    @abdallasaleh23033 жыл бұрын

    Mzee mwinyi tamaa zako za pesa zimekuponza hizo usijifanye umechagawa. Nawapongeza wote walio shiriki na kutupatia elimu nzuri.

  • @sherrybuda9248
    @sherrybuda92483 жыл бұрын

    😙Maasha Allah mmekuja na kasi kubwa movie nzuri

  • @issamuhsin4308
    @issamuhsin43083 жыл бұрын

    Mashaallah filam iko vzr ila alieskia achakulia lia km paka mchanga tucheke wote

  • @sarapaulo4718

    @sarapaulo4718

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maikosaga3632
    @maikosaga36323 жыл бұрын

    Safi sana filamu ni Nzuri sana

  • @seifsaid5319
    @seifsaid53192 жыл бұрын

    Mungu awabaarik

  • @ulfatis-haq6009
    @ulfatis-haq60093 жыл бұрын

    tunamiss hizi aina ya movie

  • @nuhusaid9723
    @nuhusaid97233 жыл бұрын

    Kazi mzuri sana sema sauti imelala mtu akiongea kidogo kidogo

  • @hidayamashaka9432
    @hidayamashaka94327 ай бұрын

    Naci👌hongereni

  • @salimrashid809
    @salimrashid809 Жыл бұрын

    Hongeren san wanapondean

  • @gagapiano9461
    @gagapiano94613 жыл бұрын

    Daah napenda xana maigizo yenu

  • @samsungnote5664
    @samsungnote56643 жыл бұрын

    Mashaallah wandugu igizo zuriii mesege imetufikikaa

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo30932 жыл бұрын

    Movie nzuri sana

  • @devothamedia5177
    @devothamedia51773 жыл бұрын

    Kazi nzuri tena inaelimisha sana

  • @aliyfaki7502
    @aliyfaki75023 жыл бұрын

    Asante Amii Farid mung awawezeshe

  • @ramadhanabdallah253
    @ramadhanabdallah2533 жыл бұрын

    Maashallah filamu nzuri tena yakufunza..hongereni kwa kazi nzuri

  • @makameibrahim5086
    @makameibrahim50862 жыл бұрын

    Jamaa kasema mm sheikh,😀😀😀👍

  • @yayeissa4128
    @yayeissa41282 жыл бұрын

    Maa sha Allah hongera jufe.namuona kaka yangu yussuf tora my fellow bajun.

  • @nadymhamad2655
    @nadymhamad26553 жыл бұрын

    Dah nimefurah tunaomb inayoendelea

  • @mussaali2440
    @mussaali24402 жыл бұрын

    mashalla sapot kwa filam hii nzuri nimependa good good

  • @suleimanirashid8184
    @suleimanirashid81843 жыл бұрын

    Tengeza yenye viwango tuangalie. Big up Jufey tuko pamoja bega kwa bega anaeponda natengeza ya kwake angalie.

  • @baimarrajahbuayan6237

    @baimarrajahbuayan6237

    3 жыл бұрын

    Kama Kuna makosa lzm akosolewe ili ajue anakosea wapi, main, ushaur ndio. Utafanya a pande Zaid

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html

  • @hamudsaid8589
    @hamudsaid85893 жыл бұрын

    Iko poaaa Sanaa I appreciate

  • @muhammedkhamis6044
    @muhammedkhamis60443 жыл бұрын

    Nicr hongereni sana sana

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib51163 жыл бұрын

    Hongereni sn Jufe

  • @mohdkhamis9170
    @mohdkhamis91703 жыл бұрын

    Hahaa juma vip umekula nyama au naona mdomo waufinya tuu

  • @asyadula1836
    @asyadula18363 жыл бұрын

    Mashallh film inatufunza

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Safi sana mama hongera hukuwa na tamaa yamapesa haki ya mtoto ndiyo mpango mzima nimefurahi sana mama mungu akuzidishiye imani yakibinaadam

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis23363 жыл бұрын

    what a fantastic movie✍️✍️ #Bikidecha...kadiri siku zinavyo songa mbele unazidi kimarika katika tasnia ya sanaa...napenda san kusikiliza maongezi, ni yenye kufarahisha lakin pia yananiongezea kitu katika maisha...what a performance...movie nyingi ninazo ziangalia ukiwepo hua unaakisi maisha halisi ya umaskini...unatenda haki katika sector hyo.. #Sakina...hakika umebeba vazi la ujasiri...kivipi...? ulikubali maneno yatupwe dhidi yako kua umebakwa wakati kiuhalisia haipo hvyo...jamii inawez kukufikiria ulikua mzembe,, hapana...ulikutana tu na masaibu ambayo ni ngumu kuyaepuka..hongera kwa kucheza nafasi hyo na nathubutu kusema kua wew ni :#womanofthemovie'...✍️✍️ #Mwinyimpeku..movie nyingi unazocheza hauoneshi tabia ya upole..unakua mkaidi na mwenye kujua kila kitu na maamuzi ambayo hutak yaingiliwe.....pengine n character ambayo inakupenda zaidi...☑️ pili...tukiachana na kuigiza, inaonesha dhahiri kua #Mzeemwinyi anapenda pesa hata akiwa mazingira ya nje😁😁...kivipi..? nimejaribu kuangalia video nyingi alizo cheza huaga anaekwa kwenye kipande kinacho husisha hela😆😆... #Dongo...una sifa ya kua jambazi kwa mazingira fulani,,,, tulitegemea wakati unaelekea #Unguja ungalivaa nguo ambazo zime-cover mwili wote ili usijuilikane kutokan na kua tukio lenyew ilikua ni siri..(kutoroshwa) Umaliziaji...video hii ilihusisha ukiukwaji wa sheria na matumiz ya sheria...kivipi...? Mzee mwinyi na ulanda baada ya tatzo hawakutak kuenda katika vyombo vya sheria na walihitaji kumaliz tatizo kienyeji tu,, kwa upande mwengine @Bikidecha alitaka sheria ichukue mkondo wake... alobakwa ni mwanafunzi,,, mwishi hatukuona adhabu ya muhusika mkuu wa tukio (Dongo) kwa mujibu wa sheria,...mzee mwinyi alivishwa pingu tu, na ulanda akawa hana hatia..hii inekaaje...? kwa haraka haraka tungeliona wahusika wote wa tukio wanachukuliwa hatua kwa 'Kusukumwa ndaniii"...! yote kwa yote hongeren sana...💪💪 tunasubir movie ya kichawi na za kijambazi sasa kutoka kwenu..!

  • @shafiikhamis2336

    @shafiikhamis2336

    3 жыл бұрын

    note: fanyien kazi #sound, #video kwa upana wake na #camera...

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Shukran sana kk tunakuelewa sana@uchambuzi wako maoni yako tunayafanyia kazi

  • @shafiikhamis2336

    @shafiikhamis2336

    3 жыл бұрын

    @@JufeFilmCompany tuko pamoja sana...hatuwez kuwaacha mkono... ila pia napendekeza tupate #movie flani ambayo inahusisha #uchawi...wapo wasanii ambao wanawex kucheza hizo characters

  • @zahra9912

    @zahra9912

    Жыл бұрын

    @@JufeFilmCompany mwenge tuwekea group mashabiki zenu

  • @ugasmanbile1970

    @ugasmanbile1970

    6 ай бұрын

    8

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Inaelimisha mambo yakumalizana vichochoroni yamepitwa nawakati raisi mwinyi hoyeerr shughulikia sana hawa wabakaji sheria ichukuliwe kwaharaka huenda mungu akajaaliya akaliondosha balaa hili la ubakaji amiin .

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa57763 жыл бұрын

    Kazi nzuri sna

  • @issasaid9656
    @issasaid96563 жыл бұрын

    Mashallah Kazi mzuri

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir88263 жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah inamafunzo sana sana wanawake tunapitia changamoto nyingi sana

  • @sadiqhamad4523
    @sadiqhamad45233 жыл бұрын

    mzigo uko poa 👏 dindho

  • @OmanOman-de6uq
    @OmanOman-de6uq3 жыл бұрын

    Mashallah this one my mum 👏👏👏👏👍💕

  • @fatmaali8838
    @fatmaali8838 Жыл бұрын

    Pesa akanunue dira, duuuh Allah sw atunusuru n wazee kama hao

  • @maryamhamad494
    @maryamhamad4942 жыл бұрын

    Safi sana

  • @faridboatengnaonekwa
    @faridboatengnaonekwa3 жыл бұрын

    Allah atuzidishie vipaji

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Amin shukran

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman35253 жыл бұрын

    Maa shaa Allah nzuri hongereni

  • @hawasshibbyalfalasi8551
    @hawasshibbyalfalasi85513 жыл бұрын

    Mashaallah Allah awazidishie jamani mbona kipindi kizuri saNAA ♥️♥️♥️👌

  • @marrymwashala3096
    @marrymwashala30962 жыл бұрын

    Mhuuuuuuuuu

  • @salimrashid809
    @salimrashid809 Жыл бұрын

    Nmefurah sana mp vzr

  • @abdul-bz1cy
    @abdul-bz1cy3 жыл бұрын

    mm nishampenda sakina so nikija pemba tukutanishe wazee tukubaliane kuhuhusu mahari tuunge familia

  • @ysherahmad652

    @ysherahmad652

    2 жыл бұрын

    Hhahaha

  • @Emedroadtocanada

    @Emedroadtocanada

    2 жыл бұрын

    hahaha haya mzee bba

  • @mwanizejuma5383
    @mwanizejuma53832 жыл бұрын

    Mashallah heluwa

  • @zuhuraomar8849
    @zuhuraomar88493 жыл бұрын

    Nzuri inafunza

  • @ayoubukhamis8464
    @ayoubukhamis84643 жыл бұрын

    Saf Sana

  • @allymohammed7323
    @allymohammed73233 жыл бұрын

    Mm nimekubali stara ya biharuc pemba ooyee

  • @jamilasalim1872

    @jamilasalim1872

    2 жыл бұрын

    Oyeeeee ndio jadi yetu wapembaaaa

  • @derectorg-360grapher5
    @derectorg-360grapher52 жыл бұрын

    God kazi kkk jufe tunaweza

  • @samsungoman5626
    @samsungoman56263 жыл бұрын

    Maashallah ujumbe mzuri

  • @yusuphchakupewa7273
    @yusuphchakupewa72733 жыл бұрын

    Nzuri sana tunaombeni mwendelezo

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf93083 жыл бұрын

    Dongo mm nakukubali sn sn. Uko juuu😀😀😀Mika 30

  • @asyadula1836

    @asyadula1836

    3 жыл бұрын

    Mashallh

  • @bahatijensen2559
    @bahatijensen25593 жыл бұрын

    Ivi ndio vitu vya kuangalia na ukalizika

  • @yahyafernandez4382

    @yahyafernandez4382

    3 жыл бұрын

    Hii nimeipenda 😘

  • @JufeFilmCompany
    @JufeFilmCompany3 жыл бұрын

    Tafadhali msisahau ku' SUBSCRIBE channel yetu...Pia COMMENT kwa ushauri ili tuendelee kufanya vizuri zaid.

  • @zahra9912

    @zahra9912

    Жыл бұрын

    Tuwekeeni group ili muweze kuskiliza ushauri wetu shabiki zenu

  • @zahramussa6674
    @zahramussa66742 жыл бұрын

    Jamani munakaa sana leteni vitu✌️✌️😊

  • @mohdsalim4690
    @mohdsalim46902 жыл бұрын

    Mzuri sana na mkubali sana kake simba kwenye kusaport ili alipwe deni lake

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji26373 жыл бұрын

    Wete Pemba moja iyo Maashaallah big up movie

  • @MAPETEE
    @MAPETEE3 жыл бұрын

    Swaf sanaaaaaa

  • @miracleslike191
    @miracleslike1913 жыл бұрын

    Message sent very very good job 🇩🇪🇩🇪🇩🇪

  • @fundmudy1598
    @fundmudy15983 жыл бұрын

    Hongereni sana jufe kwakazimzurisana

  • @massoudabass1714
    @massoudabass17142 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho ya marehemu.Bi kidecha peponi aaneen🙏🙏

  • @khayraatkheir9599
    @khayraatkheir95993 жыл бұрын

    Jamani murekebishe sauti maana mara kubwa mara ndogo hamyeleweki kbsaa

  • @issamuhsin4308

    @issamuhsin4308

    3 жыл бұрын

    Kwl sauti inaboa

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam89193 жыл бұрын

    Movie iko mahali yake kabisa Yaan nimeipenda sana Mko vizur hongereni sana

  • @zakomone7672
    @zakomone76723 жыл бұрын

    Mashaaallh

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi60702 жыл бұрын

    Jamani acheni zarau hii filamu nzur nimeipenda ina mafunzo mazur

  • @jamalturky9001
    @jamalturky90013 жыл бұрын

    Tunaomba iendelee ili tuelemike zaidi juu ya hayo

  • @bintichausa4744
    @bintichausa47442 жыл бұрын

    MashaAllah 💕

  • @habibarashid8663
    @habibarashid86632 жыл бұрын

    Filamu nzuri sana hongereni kwa kazi nzuri

  • @jamilasalim1872
    @jamilasalim18722 жыл бұрын

    Mwanangwa wa nzee mwinyi kanabakwa

  • @awenasuleiman4519
    @awenasuleiman45193 жыл бұрын

    Jama nawapend kuliko kutoka oman

  • @abdulmalikmassoud2229
    @abdulmalikmassoud22293 жыл бұрын

    Mawazo yangu kwanin kazi zenu musi wauzie azam tv au dctv

  • @mtizman_salimridhwan187
    @mtizman_salimridhwan1873 жыл бұрын

    Wonderfull movie big up Jufe Production hamtuangushi✌️

  • @chamhamadi6379
    @chamhamadi63793 жыл бұрын

    Dongoo bye bye kiswabi tisha mbaya

  • @user-qr5fp1wd3j
    @user-qr5fp1wd3jАй бұрын

    🔥🔥

  • @musaally1447
    @musaally14473 жыл бұрын

    Jmn mbn kiswabi mmekuja kumuonyesha mwisho tena dah

  • @fahamnitwahir9249

    @fahamnitwahir9249

    3 жыл бұрын

    Sijui kwann kiswabi hawampi scene nyingi

  • @teedullah5708
    @teedullah57082 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Nicheka km fala😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @majoritypipo9326
    @majoritypipo93263 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @jamilakombo8184
    @jamilakombo81843 жыл бұрын

    Hongera sana nyote kwa kazi yenyu nzuri 👏👏👏 👊 muko sawA sana

  • @dullysmart2725
    @dullysmart27252 жыл бұрын

    Mzee ulanda nafurah sana akiwa na hasira wallah 🤣🤣🤣

  • @sakinamohamedi2396
    @sakinamohamedi23962 жыл бұрын

    Mashaallah Sakina wajina wangu

  • @ramlamohammed1661
    @ramlamohammed16613 жыл бұрын

    Ma Sha Allah bless

  • @idrissaabassabdi3748

    @idrissaabassabdi3748

    3 жыл бұрын

    Asalamu alykum

  • @abduljecha7779
    @abduljecha77798 ай бұрын

    Wonderful

  • @didapk2529
    @didapk25293 жыл бұрын

    Hivi ndo tunavoupenda kuonesha mazingira hasa ya kawaida sio kuingiza ki sasa tu

  • @mrsdeborahurio

    @mrsdeborahurio

    3 жыл бұрын

    HATA MM hupenda sn movie km hii

  • @fundibeka6664
    @fundibeka66642 жыл бұрын

    INNALILLAHI WA INNA ILAYHI RAJIOUN mungu akulaze mahal pema peponi bikidecha hakika tulikupenda sana ila mungu ndio alikupenda zaidi ulikuwa unaigiza kwa uhalisia wa kipekee hakika nafasi yako ulikuwa unaitendea haki

  • @jamilasalim1872
    @jamilasalim18722 жыл бұрын

    Dau lao kubwa hujaa madagaaa hhhh m bosico en

  • @chidyshllng2254
    @chidyshllng22543 жыл бұрын

    Hongereni kwa filam yenye ujumbe mzur ktk kuielimisha jamii endeleeni kuelimisha ila sifa zisije zikawaharibia na mukaanza kutuletea filam za kina kanumba mukapotosha jamii sasa👍👍

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Hahahaha mzee Mwinyi

  • @nassirmbarouk8020
    @nassirmbarouk80203 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @gyeong5972
    @gyeong59722 жыл бұрын

    SAKINAAA ❤️❤️💪🏽💪🏽💪🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @mpembainc
    @mpembainc3 жыл бұрын

    For the first time I watched the full movie via streaming! Big up ma people from my beloved Island. This is so wonderful 😍 😍 endelea kuwakilisha... Bi Kidecha she know at the maximum, I wish angekua one among my family members.

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html

  • @fatmasadaat4955

    @fatmasadaat4955

    2 жыл бұрын

    P

Келесі