SAKINA SI BIBI HARUSI _ FULL MOVIE 2021_Mwinyi Mpeku / Dongo / Bi Kidecha / Kiswabi
Комедия
Usikose kuangalia filamu hii yenye kuelimisha,kuburudisha iliyochezwa na wasanii mahiri kutoka kisiwani Pemba akiwemo MWINYI MPEKU,KISWABI,DONGO,BI KIDECHA na wengine wengi.
Screenplay : Eddy Best
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors:Eddy Best/Said Negro
Directed by EddyBest
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
# • SIKUJUA _Full Movie 2...
Пікірлер: 241
filam kama hizi za kuelimisha jamii nfizo zinazo hitajika kat jamii yetu hongereni sana
Baba kama hawa ndio wasiotaka kusapoti watoto wao wakike hakika filamu nzuri na yenye mafunzo pia
Filamu nzuri yenye mafunzo na ujumbe kwa jamii. Ingependeza zaidi kumuona Dongo, baba yake na Mwinyi Mpeku wakipanda kuzimbani kupokea malipo ya waliyoyatenda 👍👍👍
Tunawakubali sana ipo siku kwa uwez wa Allah mtafik mlipo kusudia
Jufe mupo vizuri saana filamu zenu zinaakisi moja kwa moja jamii endeleeni kutoa burudani, ujumbe katika Jamii.
Dahhh mchezo mzr mashallha
Bigap Sana boss Faridi
Mwinyi mpeku wapekulaungo mtu mmoja matata mnoo pemba nzimaaaa fundi
Nimependa sanaaa nzur nainamafundisho mazur sana nyie mmewashinda bongomov
🤣🤣🤣🤣dongo kampatikan ..lakin unafunzaa haswaa nimependaa hongereni sn
Michezo ya heshima sana..siomichezo ya bongo uchi mtupu hazina heshima huwexi kukaa na mzee ukangalia
nzuri sana mashallah.na ubora wa video ni mkubwa sana.
Pemba rahasana tumeendelea Masha Allah
Mzee mwinyi tamaa zako za pesa zimekuponza hizo usijifanye umechagawa. Nawapongeza wote walio shiriki na kutupatia elimu nzuri.
😙Maasha Allah mmekuja na kasi kubwa movie nzuri
Mashaallah filam iko vzr ila alieskia achakulia lia km paka mchanga tucheke wote
@sarapaulo4718
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana filamu ni Nzuri sana
Mungu awabaarik
tunamiss hizi aina ya movie
Kazi mzuri sana sema sauti imelala mtu akiongea kidogo kidogo
Naci👌hongereni
Hongeren san wanapondean
Daah napenda xana maigizo yenu
Mashaallah wandugu igizo zuriii mesege imetufikikaa
Movie nzuri sana
Kazi nzuri tena inaelimisha sana
Asante Amii Farid mung awawezeshe
Maashallah filamu nzuri tena yakufunza..hongereni kwa kazi nzuri
Jamaa kasema mm sheikh,😀😀😀👍
Maa sha Allah hongera jufe.namuona kaka yangu yussuf tora my fellow bajun.
Dah nimefurah tunaomb inayoendelea
mashalla sapot kwa filam hii nzuri nimependa good good
Tengeza yenye viwango tuangalie. Big up Jufey tuko pamoja bega kwa bega anaeponda natengeza ya kwake angalie.
@baimarrajahbuayan6237
3 жыл бұрын
Kama Kuna makosa lzm akosolewe ili ajue anakosea wapi, main, ushaur ndio. Utafanya a pande Zaid
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html
Iko poaaa Sanaa I appreciate
Nicr hongereni sana sana
Hongereni sn Jufe
Hahaa juma vip umekula nyama au naona mdomo waufinya tuu
Mashallh film inatufunza
Safi sana mama hongera hukuwa na tamaa yamapesa haki ya mtoto ndiyo mpango mzima nimefurahi sana mama mungu akuzidishiye imani yakibinaadam
what a fantastic movie✍️✍️ #Bikidecha...kadiri siku zinavyo songa mbele unazidi kimarika katika tasnia ya sanaa...napenda san kusikiliza maongezi, ni yenye kufarahisha lakin pia yananiongezea kitu katika maisha...what a performance...movie nyingi ninazo ziangalia ukiwepo hua unaakisi maisha halisi ya umaskini...unatenda haki katika sector hyo.. #Sakina...hakika umebeba vazi la ujasiri...kivipi...? ulikubali maneno yatupwe dhidi yako kua umebakwa wakati kiuhalisia haipo hvyo...jamii inawez kukufikiria ulikua mzembe,, hapana...ulikutana tu na masaibu ambayo ni ngumu kuyaepuka..hongera kwa kucheza nafasi hyo na nathubutu kusema kua wew ni :#womanofthemovie'...✍️✍️ #Mwinyimpeku..movie nyingi unazocheza hauoneshi tabia ya upole..unakua mkaidi na mwenye kujua kila kitu na maamuzi ambayo hutak yaingiliwe.....pengine n character ambayo inakupenda zaidi...☑️ pili...tukiachana na kuigiza, inaonesha dhahiri kua #Mzeemwinyi anapenda pesa hata akiwa mazingira ya nje😁😁...kivipi..? nimejaribu kuangalia video nyingi alizo cheza huaga anaekwa kwenye kipande kinacho husisha hela😆😆... #Dongo...una sifa ya kua jambazi kwa mazingira fulani,,,, tulitegemea wakati unaelekea #Unguja ungalivaa nguo ambazo zime-cover mwili wote ili usijuilikane kutokan na kua tukio lenyew ilikua ni siri..(kutoroshwa) Umaliziaji...video hii ilihusisha ukiukwaji wa sheria na matumiz ya sheria...kivipi...? Mzee mwinyi na ulanda baada ya tatzo hawakutak kuenda katika vyombo vya sheria na walihitaji kumaliz tatizo kienyeji tu,, kwa upande mwengine @Bikidecha alitaka sheria ichukue mkondo wake... alobakwa ni mwanafunzi,,, mwishi hatukuona adhabu ya muhusika mkuu wa tukio (Dongo) kwa mujibu wa sheria,...mzee mwinyi alivishwa pingu tu, na ulanda akawa hana hatia..hii inekaaje...? kwa haraka haraka tungeliona wahusika wote wa tukio wanachukuliwa hatua kwa 'Kusukumwa ndaniii"...! yote kwa yote hongeren sana...💪💪 tunasubir movie ya kichawi na za kijambazi sasa kutoka kwenu..!
@shafiikhamis2336
3 жыл бұрын
note: fanyien kazi #sound, #video kwa upana wake na #camera...
@JufeFilmCompany
3 жыл бұрын
Shukran sana kk tunakuelewa sana@uchambuzi wako maoni yako tunayafanyia kazi
@shafiikhamis2336
3 жыл бұрын
@@JufeFilmCompany tuko pamoja sana...hatuwez kuwaacha mkono... ila pia napendekeza tupate #movie flani ambayo inahusisha #uchawi...wapo wasanii ambao wanawex kucheza hizo characters
@zahra9912
Жыл бұрын
@@JufeFilmCompany mwenge tuwekea group mashabiki zenu
@ugasmanbile1970
6 ай бұрын
8
Inaelimisha mambo yakumalizana vichochoroni yamepitwa nawakati raisi mwinyi hoyeerr shughulikia sana hawa wabakaji sheria ichukuliwe kwaharaka huenda mungu akajaaliya akaliondosha balaa hili la ubakaji amiin .
Kazi nzuri sna
Mashallah Kazi mzuri
Mashaallah Mashaallah Mashaallah inamafunzo sana sana wanawake tunapitia changamoto nyingi sana
mzigo uko poa 👏 dindho
Mashallah this one my mum 👏👏👏👏👍💕
Pesa akanunue dira, duuuh Allah sw atunusuru n wazee kama hao
Safi sana
Allah atuzidishie vipaji
@JufeFilmCompany
3 жыл бұрын
Amin shukran
Maa shaa Allah nzuri hongereni
Mashaallah Allah awazidishie jamani mbona kipindi kizuri saNAA ♥️♥️♥️👌
Mhuuuuuuuuu
Nmefurah sana mp vzr
mm nishampenda sakina so nikija pemba tukutanishe wazee tukubaliane kuhuhusu mahari tuunge familia
@ysherahmad652
2 жыл бұрын
Hhahaha
@Emedroadtocanada
2 жыл бұрын
hahaha haya mzee bba
Mashallah heluwa
Nzuri inafunza
Saf Sana
Mm nimekubali stara ya biharuc pemba ooyee
@jamilasalim1872
2 жыл бұрын
Oyeeeee ndio jadi yetu wapembaaaa
God kazi kkk jufe tunaweza
Maashallah ujumbe mzuri
Nzuri sana tunaombeni mwendelezo
Dongo mm nakukubali sn sn. Uko juuu😀😀😀Mika 30
@asyadula1836
3 жыл бұрын
Mashallh
Ivi ndio vitu vya kuangalia na ukalizika
@yahyafernandez4382
3 жыл бұрын
Hii nimeipenda 😘
Tafadhali msisahau ku' SUBSCRIBE channel yetu...Pia COMMENT kwa ushauri ili tuendelee kufanya vizuri zaid.
@zahra9912
Жыл бұрын
Tuwekeeni group ili muweze kuskiliza ushauri wetu shabiki zenu
Jamani munakaa sana leteni vitu✌️✌️😊
Mzuri sana na mkubali sana kake simba kwenye kusaport ili alipwe deni lake
Wete Pemba moja iyo Maashaallah big up movie
Swaf sanaaaaaa
Message sent very very good job 🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Hongereni sana jufe kwakazimzurisana
Mungu ailaze roho ya marehemu.Bi kidecha peponi aaneen🙏🙏
Jamani murekebishe sauti maana mara kubwa mara ndogo hamyeleweki kbsaa
@issamuhsin4308
3 жыл бұрын
Kwl sauti inaboa
Movie iko mahali yake kabisa Yaan nimeipenda sana Mko vizur hongereni sana
Mashaaallh
Jamani acheni zarau hii filamu nzur nimeipenda ina mafunzo mazur
Tunaomba iendelee ili tuelemike zaidi juu ya hayo
MashaAllah 💕
Filamu nzuri sana hongereni kwa kazi nzuri
Mwanangwa wa nzee mwinyi kanabakwa
Jama nawapend kuliko kutoka oman
Mawazo yangu kwanin kazi zenu musi wauzie azam tv au dctv
Wonderfull movie big up Jufe Production hamtuangushi✌️
Dongoo bye bye kiswabi tisha mbaya
🔥🔥
Jmn mbn kiswabi mmekuja kumuonyesha mwisho tena dah
@fahamnitwahir9249
3 жыл бұрын
Sijui kwann kiswabi hawampi scene nyingi
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nicheka km fala😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sana
Hongera sana nyote kwa kazi yenyu nzuri 👏👏👏 👊 muko sawA sana
Mzee ulanda nafurah sana akiwa na hasira wallah 🤣🤣🤣
Mashaallah Sakina wajina wangu
Ma Sha Allah bless
@idrissaabassabdi3748
3 жыл бұрын
Asalamu alykum
Wonderful
Hivi ndo tunavoupenda kuonesha mazingira hasa ya kawaida sio kuingiza ki sasa tu
@mrsdeborahurio
3 жыл бұрын
HATA MM hupenda sn movie km hii
INNALILLAHI WA INNA ILAYHI RAJIOUN mungu akulaze mahal pema peponi bikidecha hakika tulikupenda sana ila mungu ndio alikupenda zaidi ulikuwa unaigiza kwa uhalisia wa kipekee hakika nafasi yako ulikuwa unaitendea haki
Dau lao kubwa hujaa madagaaa hhhh m bosico en
Hongereni kwa filam yenye ujumbe mzur ktk kuielimisha jamii endeleeni kuelimisha ila sifa zisije zikawaharibia na mukaanza kutuletea filam za kina kanumba mukapotosha jamii sasa👍👍
Hahahaha mzee Mwinyi
Mashaallah
SAKINAAA ❤️❤️💪🏽💪🏽💪🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
For the first time I watched the full movie via streaming! Big up ma people from my beloved Island. This is so wonderful 😍 😍 endelea kuwakilisha... Bi Kidecha she know at the maximum, I wish angekua one among my family members.
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html
@fatmasadaat4955
2 жыл бұрын
P