SIKUJUA _Full Movie 2021/ Mwinyi Mpeku I Dongo I Naomba I Kidecha
Комедия
usikose kuangalia filamu hii yenye kuelimisha,kuburudisha iliyochezwa na wasanii mahiri kutoka kisiwani Pemba akiwemo MWINYI MPEKU,KISWABI,DONGO,BI KIDECHA na wengine wengi.
Screen play : Eddy Best
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors:Eddy Best/Said Negro
Directed by EddyBest
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#Jufefilm
Пікірлер: 293
Naona dongo wataka uletewe mke mzuri ndani mzee akiondoka ujikabidhi ,si watoto ni skia lako Kama umeskia Jani la mkungu ni ambayo ni elfu kumi gonga like twende sawa
Mashaallah movie nzuri Sana,, nampenda Sana bikidecha anajua kuelimisha,, wote wamejua kuekti Safi Sana
@jokhasimbazoezinizuriilabi8
3 жыл бұрын
Masha llaah bi kijecha nimuigizaji mzr ana mafundisho ya kidini
Mm nkiona jufe 2 nahawa viumbe humu ndan bas mm njifurahya tu mana hawajawah kukoseya Pemba ndo home 💓
Yan hii move cjaimalz kuichizama ila nimesha like na kusabuscrib nice move
Hakuna Kazi ya Mwinyi Na Team yake IKAWA MBAYA.....!! MASHALLAH, NAWAPA BIG UP.....!!
Hata sijaangalia ila najua tuu movie itakuwa mzuri 🔥🔥.
@nassorbacho6149
3 жыл бұрын
Wewe Ni KAMA mm, Nkiona Movie ya Mwinyi.....!!
@anipaesleiman6135
3 жыл бұрын
Sio vizuri kumalizia nakifo kwa kujitundika inaharibu mawazo na filkra vijana wengine wakipata matatizo kama hayo wanaweza kuchukua hatua hizo :. Kwa muvi no nzri
@baimarrajahbuayan6237
3 жыл бұрын
Nzur
@aliali-hx1nx
3 жыл бұрын
ila vizur uwangakiye kwanza
Kama umesikia www hapo kupitia miujira unaweza kurejeshwa mtoto mchanga tukakuvishaa nepi. Like twende sawa
Jufee good mko pouw sana endeleen kukaza kamba pigeni kazi bs ushaur mdogo tu ninao ninge penda niongee dongo mwinyi na hao wengine wko vzr ila natoa mchango wa maneno mushirikiane na mushikamane pmoja sabb umoj ni nguvu tunajuw kun pengo limeondok ila limezibika kwa dongo na huyo goro hv waache kuskiliza maneno ya w2 bye life is silent
@eddybest5216
3 жыл бұрын
Asante kwa ushauri InshaAllah tunaufanyia kazi "umoja ni💪"
Dongo mwinyi na tim yenu muko vizuri ila cjamuona kachara humu..mungu awaongoze mfanye mazuri km hili inapndeza xana'
Huwa simuangalii filamu za kiswahili Ila hii nimeangalia hongereni kwailo ❣️❣️❣️♥️
Wow hii movie ni nzuri sanaa
Njia c waijuwa. Utakwenda fundi kwa miguu😀😀
Utakwenda fundo kwamiguu😁😁😁🙌🙌
Mashalla kaz njema kiukwel jufe ni chaguo Lang nawakubal Sana aisee mwinyi ,dongo, na wenzie
@eddybest5216
3 жыл бұрын
Shukran kwa sapot yako
Haya nimafunzo mazuri sana ukumbusho wenu umefika bwana mwinyi na timu yake hongereni sana
Nimechekaa🥳😂😆mm jomon movie kali hatar
Ujumbe mzuri hongereni sana... 🤝🏻 Allah awabarik inshallah... 🤝🏻
Wa3 naombeni like zenu jmn
Tumbili haachi mke hv ni kwel km kwel gonga like hapa
Mchezo mzuri sana nimefurah zaidi mulipo nitajia nyumbani finya
nimeipenda hiyo ukiitwa waitika ukienda watikatika hahaaaaa asanten jaman
Move safi sana inaelimisha na kufrahisha👍👍👍big up
Nakubali sana mwenetu jufe flm
Mm ni mbara ila nakiri wa zanzibar wanajua kuigiza
Aki mimi nawapenda sana move zenu 👍👍👍👍👍💖💖💖💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍😍👍👍👍👍👍
@JufeFilmCompany
3 жыл бұрын
Shukran Aki
Dah nimeiangalia hii filam sijaona kosa hata moja, kwa bahati mbaya sina uwezo ila ningkuwa nao wallah hawa ningewapa kipindi tv za huku tanganyika au kuzicheza hizi tamthilia zao
@fatumamuiya6089
3 жыл бұрын
Ni nzuri sana
Hongera sana kwa washiriki hkika tumejifunza ma kufurahia story mzuri Masha Allah tunasubr No 2
Nampenda sana Naomba Kwa Ajili ya Allah Anajuwa Uzuri Kuigiza MashaAllah
E bwana nakubali kazi
Dah !!!! Simchezo tuliwamis sana siku nyingi afadhali leo
Good 3×3 at miez 9 tn watt watatu . Tumeiyelewa na tumeelimika Hongereni @jufefilmproduction
Yni mtu anaweza kuwatia fitna za kila aina anaweza ili kuwachawanisha ila pigen kazi na mushirikiane na mungu atawasaidia
Manundu utasema ngmia...wavaaji wahelpimii isipe bila ku like
Hongeren sana washiriki kwa kiasi kikubwa mumeelimisha jamii
kachukua maamuzi magumu masikini . Allah atuhifadhi na vizazi vyetu .
Muko vizuri sana nyinyi muna juwa
Daah Naomba karbia nilie😢😢 ila kak kiswabi hongera san umenfurahsha huna mbaya 😂😂
Dah Hadi Raya domo pia ! Ah yule nafunika gunia tu. Nimecheka sanaaaaa. Hawa jamaa noma.
Movie nzuri sana.mafunzo na vichekesho Asanteni sana.
Nimeipenda ❤️ Hongereni washiriki wote❤️❤️❤️
Ntu nzima mbea nmecheka Sana wallah
@twahirkassim7362
3 жыл бұрын
Mhh ww
@alidslv9883
3 жыл бұрын
HuJambo bibie
Hahahha ati bonge la baby....nikirudi bungeni nisimkute ndilo nisemalo habari za nguo hazikuhusu
yes yes yes yessss... #Naomba..☑️...hakika hii character umeitendea haki sana..sikutegemea Kama ungeweza kuwa jasiri wa ku_act scene ngumu Kama hyo... #dongo$makunde...hongeren kwa kubeba ujasir wa kua majambaz ambao mumejificha bila mzee #Mwinyi kujua,, hakika mulistahil pongezi.. #Bikidecha...ohhhh...what a big scene you have played...umeionesh dunia kua pamoja na ukongwe wako lakin hakika unawez kucheza vizur na ukaeleweka...hongera sanaa☑️... narudi kwako #dongo❌...ulionesha ukatili wa hali ya juu baada ya #Naomba kujifungua na ukaamua kumtelekeza,, ulitakiwa kumfikiria...ingawaje scene ilitakiwa kua hvyo kwa #Naomba ili kuonesha kua 'asiefunzwa na mama yake ulimwengu humpa funzo'.. narudi kwenye title..."#sikujua"...sijasikia hili neno lilitumika wapi, kwa haraka sana nilitegemea wakati #Naomba alipojifungua #MzeeMwinyi akasema hajui mtoto amwite jina gani...kwa nin asingesimamisha hili jina ili tujue kua movie imeendan na jina...? Kwa uhalisia siwez kumaliza #characters wote kuwapa sifa zao lakin binafsi nakiri kua hii movie ilikua poa Sanaa...
@ibrahimmaulah81
2 жыл бұрын
Hongern
Yaan safi sannnnnna
❤❤tumewasubir sanaa dduh asanten
Hongereni Sana kwa filam mzur zenye mafunzo.
😂 😂 😂 😂 Mbegu ndogo
Mashaallah muv nzur sna yeny mafundisho
Mashallah ujumbe mzuri akhlaqi ziwe nzuri ndivo utaepukana na mengi mabaya tujirekebishe
Nice filam✓✓ujumbe mzuri
Mwanakulitafuta mwanakulpata niulze wako kweli watu wa aina hyo
Kazi kazi Kuna mtu humu amesubiri meli uwanja wa ndege
Good move najisikia furaha sana nikiona watu wa nyumbani wanafanya vizul
Makunde umeniliza.shogare nimekuona mama Habiba.
Kiswabi mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhh!!! Namkubalije eti nikirudi BUNGENI hahaha!!
@gannonben2554
3 жыл бұрын
pro trick : watch series on flixzone. Been using them for watching lots of of movies during the lockdown.
@deankorbin5640
3 жыл бұрын
@Gannon Ben Definitely, been using flixzone for months myself :)
@remyalvin6603
3 жыл бұрын
@Gannon Ben Yup, I've been using flixzone for months myself =)
Iko vizuri ina maana kubwa sana hongereni Allah awabarik
Move Kali Sana Mukiwezeshw munaweza siku zote move ikuwe na chanzo kizuri na kumalizia kuwe kuzuri nipoa Sana mumeweza mashr mbali iko na madili na imeweza kabisa
@Zindumovies
3 жыл бұрын
Hahaha napenda kucheka
hebu ambao washafika miez miwili hawajapokea mshahara wagonge like hebu niwajuwe. ha ha ha ha
@paqchatygaga7276
3 жыл бұрын
hahaha mm apa 😃😃
pesa zihukuuu. uku shii uku, haha nmecheka had najiogopa. hongereni
Hii mzur Sana
Mulijaribu kuibana Sana movie, labda hii ni kutokana na kukata matukio Kama vile ni wapi @Goro aliishia, na hatua gani za kisheria zilichukuliw dhidi ya #Dongo... kusave muda..☑️...sawa...lakin wakati #Naomba ashajitundika, je yule kijana alomuona na akakurupuka mbio alienda kuripoti kwa Nan...? mtoto alimpataje #Bikidecha...? je, kulikua na ubaya gani wa muendelezo wa "sehemu ya pili' ambae ingekua na dakika chache zisizozidi wala kupungua #30mns...? By the way...big up sanaaa kwa hili...💪💪💪💪...Nina imani tutaona meng mazur Zaid ya hili ndani ya mda muafaka....!
@muhamadali2348
3 жыл бұрын
safiii san. mafunzooo kama yoyote. hogereni. jufee
Nimepnd hii movie mashallah allah awakuzie kipaji chenu
Wallai mko sawa jufe
Wazazi .mambo hayo mwishowe ni khasara tujitahudini sana katika malezi na mungu atatusaiya inshaallah
Dah! Kiukwli ni film fupi sana kulinganisha na mafunzo yaliopo ndani yke kw lengo na nia y kuelimisha jamii tulonayo sasa visiwani na Bara kw ujumla. Kw kwli Dongo amecheza nafasi yke vzur sana sana. Pia Naomba nae ni hodari zaid kw maana naeza sema ndio kinara wa hii film kiukwli mnajua kuelimisha na upo uwezekano mkubwa kupitia kazi yenu jamii ikakaa sawa kw mchango wenu, mzee mwinyi pongezi sana kw subra ya malezi lkn zaid kw maamuzi magumi yny ujacri km mzazi.
@JufeFilmCompany
3 жыл бұрын
Shukran
Kiswabiiii eti bonge la bebi
Safi Sana best moh,d
@eddybest5216
3 жыл бұрын
Shukran
kiswabi kumbe una mke mzuri hivi jamani DAH HATARII
Ndio ukaona unakuta mtu anamtupa mtoto au anajiuwa yeye na mwanawe kwa uzembe wao wanawake na tamaa au ukosefu wa kujielewa na elimu na kutosikiliza wazee
Tatizo jufe mwakaa sanaa ila twawapenda iviv
Tafadhali msisahau ku' SUBSCRIBE channel yetu...Pia COMMENT kwa ushauri ili tuendelee kufanya vizuri zaid.
@rehemasalim4590
3 жыл бұрын
Mzee wa kuoa nakuacha kapatikana mara hii thezea huba😂😂
Good live from Zimbabwe nice massage
Movie ni ya kuhuzunisha sana na funzo kubwa la kimaisha kwa vijana wa leo.
Heeeee hata chakula hakupewa dah Mwinyi so mtu mzuri
Kazi mzuli
Maashaallah movie ni nzuri na inafundisha sana
Ahsanteni sana mzuri sana
Bi kidecha. Kuogeleya maji ni sio simama. Ww ogeleya tuu😀😀
@idrissaabassabdi3748
3 жыл бұрын
Asalamu alykum
Mmetufunza hongereni
Si njia wazijua 😂😂😂😂😂
Dah... gongeleee bonge la movie hadi nimetoa chozi
Hongeren sana mchezo unafunza
Uyu mma jaman Mashaallah 🤣🤣nampenda mie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nichekee2 maan Wanavitukooo
Shooow shoow
Mashallah movie tamu
Bonge la movie lenye somo ndani yake tuna omba musikae sana muwalete tena awa awa time naipenda III makofi kwenu jufe
@eddybest5216
3 жыл бұрын
Shukran tutafanya hvyo InshaAllah
@abdulkadirally8569
3 жыл бұрын
@@eddybest5216 shuqran na nyinyi pia
Munakaa sana mbna
Hadith hadith alikuwepo mtu na mwanawe baba mtu akaowa nahadithi ika ishia hapo msimulizi hajui nini chaendelea hahaahahahaha
@zanmbarouk7464
2 жыл бұрын
kake huyu si ndo yuleee
Nzuri sana
Usafir nnao lkin wa dau hhhh pba pndn
Somo zito👍👍👍
Jitihada wajada nice one dongo umeeeleweka
Ata like moja sijawah pata 😒
Utajifanyaje mwizi kwenye nyumba y majambaziii 😁😁😁
Muvi kali sana
Mashaallah ongereni
Kipindi kirefu mulikuwa kimwa ila kazi nzuri
Duh nzuriy sana
Maasha allah masha allah