SIKUJUA _Full Movie 2021/ Mwinyi Mpeku I Dongo I Naomba I Kidecha

Комедия

usikose kuangalia filamu hii yenye kuelimisha,kuburudisha iliyochezwa na wasanii mahiri kutoka kisiwani Pemba akiwemo MWINYI MPEKU,KISWABI,DONGO,BI KIDECHA na wengine wengi.
Screen play : Eddy Best
Director of Photography: Said Negro
Boom Swinger: Dinyo JF
Editors:Eddy Best/Said Negro
Directed by EddyBest
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#Jufefilm

Пікірлер: 293

  • @ahmadjuma3816
    @ahmadjuma38163 жыл бұрын

    Naona dongo wataka uletewe mke mzuri ndani mzee akiondoka ujikabidhi ,si watoto ni skia lako Kama umeskia Jani la mkungu ni ambayo ni elfu kumi gonga like twende sawa

  • @omanomqn4345
    @omanomqn43453 жыл бұрын

    Mashaallah movie nzuri Sana,, nampenda Sana bikidecha anajua kuelimisha,, wote wamejua kuekti Safi Sana

  • @jokhasimbazoezinizuriilabi8

    @jokhasimbazoezinizuriilabi8

    3 жыл бұрын

    Masha llaah bi kijecha nimuigizaji mzr ana mafundisho ya kidini

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54723 жыл бұрын

    Mm nkiona jufe 2 nahawa viumbe humu ndan bas mm njifurahya tu mana hawajawah kukoseya Pemba ndo home 💓

  • @abdallahaly1760
    @abdallahaly17603 жыл бұрын

    Yan hii move cjaimalz kuichizama ila nimesha like na kusabuscrib nice move

  • @nassorbacho6149
    @nassorbacho61493 жыл бұрын

    Hakuna Kazi ya Mwinyi Na Team yake IKAWA MBAYA.....!! MASHALLAH, NAWAPA BIG UP.....!!

  • @emmi4319
    @emmi43193 жыл бұрын

    Hata sijaangalia ila najua tuu movie itakuwa mzuri 🔥🔥.

  • @nassorbacho6149

    @nassorbacho6149

    3 жыл бұрын

    Wewe Ni KAMA mm, Nkiona Movie ya Mwinyi.....!!

  • @anipaesleiman6135

    @anipaesleiman6135

    3 жыл бұрын

    Sio vizuri kumalizia nakifo kwa kujitundika inaharibu mawazo na filkra vijana wengine wakipata matatizo kama hayo wanaweza kuchukua hatua hizo :. Kwa muvi no nzri

  • @baimarrajahbuayan6237

    @baimarrajahbuayan6237

    3 жыл бұрын

    Nzur

  • @aliali-hx1nx

    @aliali-hx1nx

    3 жыл бұрын

    ila vizur uwangakiye kwanza

  • @dondallas6683
    @dondallas66833 жыл бұрын

    Kama umesikia www hapo kupitia miujira unaweza kurejeshwa mtoto mchanga tukakuvishaa nepi. Like twende sawa

  • @zanzibar.
    @zanzibar.3 жыл бұрын

    Jufee good mko pouw sana endeleen kukaza kamba pigeni kazi bs ushaur mdogo tu ninao ninge penda niongee dongo mwinyi na hao wengine wko vzr ila natoa mchango wa maneno mushirikiane na mushikamane pmoja sabb umoj ni nguvu tunajuw kun pengo limeondok ila limezibika kwa dongo na huyo goro hv waache kuskiliza maneno ya w2 bye life is silent

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    3 жыл бұрын

    Asante kwa ushauri InshaAllah tunaufanyia kazi "umoja ni💪"

  • @alliabdallah224
    @alliabdallah2243 жыл бұрын

    Dongo mwinyi na tim yenu muko vizuri ila cjamuona kachara humu..mungu awaongoze mfanye mazuri km hili inapndeza xana'

  • @bishaahamad1054
    @bishaahamad10543 жыл бұрын

    Huwa simuangalii filamu za kiswahili Ila hii nimeangalia hongereni kwailo ❣️❣️❣️♥️

  • @bishaahamad1054
    @bishaahamad10543 жыл бұрын

    Wow hii movie ni nzuri sanaa

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf93083 жыл бұрын

    Njia c waijuwa. Utakwenda fundi kwa miguu😀😀

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c3 жыл бұрын

    Utakwenda fundo kwamiguu😁😁😁🙌🙌

  • @aliyfaki7502
    @aliyfaki75023 жыл бұрын

    Mashalla kaz njema kiukwel jufe ni chaguo Lang nawakubal Sana aisee mwinyi ,dongo, na wenzie

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    3 жыл бұрын

    Shukran kwa sapot yako

  • @othmanhajji4700
    @othmanhajji47003 жыл бұрын

    Haya nimafunzo mazuri sana ukumbusho wenu umefika bwana mwinyi na timu yake hongereni sana

  • @awenasuleiman4519
    @awenasuleiman45193 жыл бұрын

    Nimechekaa🥳😂😆mm jomon movie kali hatar

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem83803 жыл бұрын

    Ujumbe mzuri hongereni sana... 🤝🏻 Allah awabarik inshallah... 🤝🏻

  • @omarali5211
    @omarali52113 жыл бұрын

    Wa3 naombeni like zenu jmn

  • @abdallahaly1760
    @abdallahaly17603 жыл бұрын

    Tumbili haachi mke hv ni kwel km kwel gonga like hapa

  • @msabahamour8524
    @msabahamour85243 жыл бұрын

    Mchezo mzuri sana nimefurah zaidi mulipo nitajia nyumbani finya

  • @mwanambarouk2486
    @mwanambarouk24863 жыл бұрын

    nimeipenda hiyo ukiitwa waitika ukienda watikatika hahaaaaa asanten jaman

  • @yasiralkindi5332
    @yasiralkindi53323 жыл бұрын

    Move safi sana inaelimisha na kufrahisha👍👍👍big up

  • @user-jo7kw3jz6e
    @user-jo7kw3jz6e5 ай бұрын

    Nakubali sana mwenetu jufe flm

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir92493 жыл бұрын

    Mm ni mbara ila nakiri wa zanzibar wanajua kuigiza

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын

    Aki mimi nawapenda sana move zenu 👍👍👍👍👍💖💖💖💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍😍👍👍👍👍👍

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Shukran Aki

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir92493 жыл бұрын

    Dah nimeiangalia hii filam sijaona kosa hata moja, kwa bahati mbaya sina uwezo ila ningkuwa nao wallah hawa ningewapa kipindi tv za huku tanganyika au kuzicheza hizi tamthilia zao

  • @fatumamuiya6089

    @fatumamuiya6089

    3 жыл бұрын

    Ni nzuri sana

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad27363 жыл бұрын

    Hongera sana kwa washiriki hkika tumejifunza ma kufurahia story mzuri Masha Allah tunasubr No 2

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan36249 ай бұрын

    Nampenda sana Naomba Kwa Ajili ya Allah Anajuwa Uzuri Kuigiza MashaAllah

  • @ahadiahadi1724
    @ahadiahadi17243 жыл бұрын

    E bwana nakubali kazi

  • @jumamngwali2836
    @jumamngwali28363 жыл бұрын

    Dah !!!! Simchezo tuliwamis sana siku nyingi afadhali leo

  • @alleymau6998
    @alleymau69983 жыл бұрын

    Good 3×3 at miez 9 tn watt watatu . Tumeiyelewa na tumeelimika Hongereni @jufefilmproduction

  • @zanzibar.
    @zanzibar.3 жыл бұрын

    Yni mtu anaweza kuwatia fitna za kila aina anaweza ili kuwachawanisha ila pigen kazi na mushirikiane na mungu atawasaidia

  • @saabafaraji7781
    @saabafaraji77813 жыл бұрын

    Manundu utasema ngmia...wavaaji wahelpimii isipe bila ku like

  • @abeidramadhan167
    @abeidramadhan1673 жыл бұрын

    Hongeren sana washiriki kwa kiasi kikubwa mumeelimisha jamii

  • @kiri5807
    @kiri58073 жыл бұрын

    kachukua maamuzi magumu masikini . Allah atuhifadhi na vizazi vyetu .

  • @user-db7rj4wy9o
    @user-db7rj4wy9o3 жыл бұрын

    Muko vizuri sana nyinyi muna juwa

  • @saidabdallah7277
    @saidabdallah72773 жыл бұрын

    Daah Naomba karbia nilie😢😢 ila kak kiswabi hongera san umenfurahsha huna mbaya 😂😂

  • @khamistano4848
    @khamistano48483 жыл бұрын

    Dah Hadi Raya domo pia ! Ah yule nafunika gunia tu. Nimecheka sanaaaaa. Hawa jamaa noma.

  • @mohammedhassan-yv9yd
    @mohammedhassan-yv9yd3 жыл бұрын

    Movie nzuri sana.mafunzo na vichekesho Asanteni sana.

  • @rudahhakem2668
    @rudahhakem26683 жыл бұрын

    Nimeipenda ❤️ Hongereni washiriki wote❤️❤️❤️

  • @ramlamohammed1661
    @ramlamohammed16613 жыл бұрын

    Ntu nzima mbea nmecheka Sana wallah

  • @twahirkassim7362

    @twahirkassim7362

    3 жыл бұрын

    Mhh ww

  • @alidslv9883

    @alidslv9883

    3 жыл бұрын

    HuJambo bibie

  • @draaonline7923
    @draaonline79233 жыл бұрын

    Hahahha ati bonge la baby....nikirudi bungeni nisimkute ndilo nisemalo habari za nguo hazikuhusu

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis23363 жыл бұрын

    yes yes yes yessss... #Naomba..☑️...hakika hii character umeitendea haki sana..sikutegemea Kama ungeweza kuwa jasiri wa ku_act scene ngumu Kama hyo... #dongo$makunde...hongeren kwa kubeba ujasir wa kua majambaz ambao mumejificha bila mzee #Mwinyi kujua,, hakika mulistahil pongezi.. #Bikidecha...ohhhh...what a big scene you have played...umeionesh dunia kua pamoja na ukongwe wako lakin hakika unawez kucheza vizur na ukaeleweka...hongera sanaa☑️... narudi kwako #dongo❌...ulionesha ukatili wa hali ya juu baada ya #Naomba kujifungua na ukaamua kumtelekeza,, ulitakiwa kumfikiria...ingawaje scene ilitakiwa kua hvyo kwa #Naomba ili kuonesha kua 'asiefunzwa na mama yake ulimwengu humpa funzo'.. narudi kwenye title..."#sikujua"...sijasikia hili neno lilitumika wapi, kwa haraka sana nilitegemea wakati #Naomba alipojifungua #MzeeMwinyi akasema hajui mtoto amwite jina gani...kwa nin asingesimamisha hili jina ili tujue kua movie imeendan na jina...? Kwa uhalisia siwez kumaliza #characters wote kuwapa sifa zao lakin binafsi nakiri kua hii movie ilikua poa Sanaa...

  • @ibrahimmaulah81

    @ibrahimmaulah81

    2 жыл бұрын

    Hongern

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo60553 жыл бұрын

    Yaan safi sannnnnna

  • @thamymamy3126
    @thamymamy31263 жыл бұрын

    ❤❤tumewasubir sanaa dduh asanten

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78023 жыл бұрын

    Hongereni Sana kwa filam mzur zenye mafunzo.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 Mbegu ndogo

  • @pendopendo7427
    @pendopendo74273 жыл бұрын

    Mashaallah muv nzur sna yeny mafundisho

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Mashallah ujumbe mzuri akhlaqi ziwe nzuri ndivo utaepukana na mengi mabaya tujirekebishe

  • @amirybeka9602
    @amirybeka96023 жыл бұрын

    Nice filam✓✓ujumbe mzuri

  • @tundauwatv1127
    @tundauwatv11273 жыл бұрын

    Mwanakulitafuta mwanakulpata niulze wako kweli watu wa aina hyo

  • @saidrashid8342
    @saidrashid83423 жыл бұрын

    Kazi kazi Kuna mtu humu amesubiri meli uwanja wa ndege

  • @allywawete5769
    @allywawete57693 жыл бұрын

    Good move najisikia furaha sana nikiona watu wa nyumbani wanafanya vizul

  • @asiamohd5516
    @asiamohd55162 жыл бұрын

    Makunde umeniliza.shogare nimekuona mama Habiba.

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs3 жыл бұрын

    Kiswabi mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhh!!! Namkubalije eti nikirudi BUNGENI hahaha!!

  • @gannonben2554

    @gannonben2554

    3 жыл бұрын

    pro trick : watch series on flixzone. Been using them for watching lots of of movies during the lockdown.

  • @deankorbin5640

    @deankorbin5640

    3 жыл бұрын

    @Gannon Ben Definitely, been using flixzone for months myself :)

  • @remyalvin6603

    @remyalvin6603

    3 жыл бұрын

    @Gannon Ben Yup, I've been using flixzone for months myself =)

  • @omarsheha2840
    @omarsheha28403 жыл бұрын

    Iko vizuri ina maana kubwa sana hongereni Allah awabarik

  • @slemansleyum570
    @slemansleyum5703 жыл бұрын

    Move Kali Sana Mukiwezeshw munaweza siku zote move ikuwe na chanzo kizuri na kumalizia kuwe kuzuri nipoa Sana mumeweza mashr mbali iko na madili na imeweza kabisa

  • @Zindumovies

    @Zindumovies

    3 жыл бұрын

    Hahaha napenda kucheka

  • @aliomar267
    @aliomar2673 жыл бұрын

    hebu ambao washafika miez miwili hawajapokea mshahara wagonge like hebu niwajuwe. ha ha ha ha

  • @paqchatygaga7276

    @paqchatygaga7276

    3 жыл бұрын

    hahaha mm apa 😃😃

  • @aliomar267
    @aliomar2673 жыл бұрын

    pesa zihukuuu. uku shii uku, haha nmecheka had najiogopa. hongereni

  • @kassimomar7589
    @kassimomar75893 жыл бұрын

    Hii mzur Sana

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis23363 жыл бұрын

    Mulijaribu kuibana Sana movie, labda hii ni kutokana na kukata matukio Kama vile ni wapi @Goro aliishia, na hatua gani za kisheria zilichukuliw dhidi ya #Dongo... kusave muda..☑️...sawa...lakin wakati #Naomba ashajitundika, je yule kijana alomuona na akakurupuka mbio alienda kuripoti kwa Nan...? mtoto alimpataje #Bikidecha...? je, kulikua na ubaya gani wa muendelezo wa "sehemu ya pili' ambae ingekua na dakika chache zisizozidi wala kupungua #30mns...? By the way...big up sanaaa kwa hili...💪💪💪💪...Nina imani tutaona meng mazur Zaid ya hili ndani ya mda muafaka....!

  • @muhamadali2348

    @muhamadali2348

    3 жыл бұрын

    safiii san. mafunzooo kama yoyote. hogereni. jufee

  • @maryammohd257
    @maryammohd2573 жыл бұрын

    Nimepnd hii movie mashallah allah awakuzie kipaji chenu

  • @mshihirimbwana9030
    @mshihirimbwana90303 жыл бұрын

    Wallai mko sawa jufe

  • @yasalaam590
    @yasalaam5903 жыл бұрын

    Wazazi .mambo hayo mwishowe ni khasara tujitahudini sana katika malezi na mungu atatusaiya inshaallah

  • @aliysaid9367
    @aliysaid93673 жыл бұрын

    Dah! Kiukwli ni film fupi sana kulinganisha na mafunzo yaliopo ndani yke kw lengo na nia y kuelimisha jamii tulonayo sasa visiwani na Bara kw ujumla. Kw kwli Dongo amecheza nafasi yke vzur sana sana. Pia Naomba nae ni hodari zaid kw maana naeza sema ndio kinara wa hii film kiukwli mnajua kuelimisha na upo uwezekano mkubwa kupitia kazi yenu jamii ikakaa sawa kw mchango wenu, mzee mwinyi pongezi sana kw subra ya malezi lkn zaid kw maamuzi magumi yny ujacri km mzazi.

  • @JufeFilmCompany

    @JufeFilmCompany

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @chamhamadi6379
    @chamhamadi63793 жыл бұрын

    Kiswabiiii eti bonge la bebi

  • @suleimanirashid8184
    @suleimanirashid81843 жыл бұрын

    Safi Sana best moh,d

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    3 жыл бұрын

    Shukran

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid36193 жыл бұрын

    kiswabi kumbe una mke mzuri hivi jamani DAH HATARII

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Ndio ukaona unakuta mtu anamtupa mtoto au anajiuwa yeye na mwanawe kwa uzembe wao wanawake na tamaa au ukosefu wa kujielewa na elimu na kutosikiliza wazee

  • @fatmaabdulla9518
    @fatmaabdulla95183 жыл бұрын

    Tatizo jufe mwakaa sanaa ila twawapenda iviv

  • @JufeFilmCompany
    @JufeFilmCompany3 жыл бұрын

    Tafadhali msisahau ku' SUBSCRIBE channel yetu...Pia COMMENT kwa ushauri ili tuendelee kufanya vizuri zaid.

  • @rehemasalim4590

    @rehemasalim4590

    3 жыл бұрын

    Mzee wa kuoa nakuacha kapatikana mara hii thezea huba😂😂

  • @sampartick2235
    @sampartick22353 жыл бұрын

    Good live from Zimbabwe nice massage

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka53122 жыл бұрын

    Movie ni ya kuhuzunisha sana na funzo kubwa la kimaisha kwa vijana wa leo.

  • @othmanomar9470
    @othmanomar94703 жыл бұрын

    Heeeee hata chakula hakupewa dah Mwinyi so mtu mzuri

  • @hapsajuma8674
    @hapsajuma86743 жыл бұрын

    Kazi mzuli

  • @makamevuai5579
    @makamevuai55793 жыл бұрын

    Maashaallah movie ni nzuri na inafundisha sana

  • @salumseif1005
    @salumseif10053 жыл бұрын

    Ahsanteni sana mzuri sana

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf93083 жыл бұрын

    Bi kidecha. Kuogeleya maji ni sio simama. Ww ogeleya tuu😀😀

  • @idrissaabassabdi3748

    @idrissaabassabdi3748

    3 жыл бұрын

    Asalamu alykum

  • @aishasaid6749
    @aishasaid67493 жыл бұрын

    Mmetufunza hongereni

  • @abdulkadirally8569
    @abdulkadirally85693 жыл бұрын

    Si njia wazijua 😂😂😂😂😂

  • @sulleyshbinally7903
    @sulleyshbinally79033 жыл бұрын

    Dah... gongeleee bonge la movie hadi nimetoa chozi

  • @abdulmalikmassoud2229
    @abdulmalikmassoud22293 жыл бұрын

    Hongeren sana mchezo unafunza

  • @azizakombo376
    @azizakombo3762 жыл бұрын

    Uyu mma jaman Mashaallah 🤣🤣nampenda mie

  • @khadijaakidakhadijaakida5193
    @khadijaakidakhadijaakida51933 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nichekee2 maan Wanavitukooo

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline63663 жыл бұрын

    Shooow shoow

  • @teedullah5708
    @teedullah57083 жыл бұрын

    Mashallah movie tamu

  • @abdulkadirally8569
    @abdulkadirally85693 жыл бұрын

    Bonge la movie lenye somo ndani yake tuna omba musikae sana muwalete tena awa awa time naipenda III makofi kwenu jufe

  • @eddybest5216

    @eddybest5216

    3 жыл бұрын

    Shukran tutafanya hvyo InshaAllah

  • @abdulkadirally8569

    @abdulkadirally8569

    3 жыл бұрын

    @@eddybest5216 shuqran na nyinyi pia

  • @mohdsalum5428
    @mohdsalum54283 жыл бұрын

    Munakaa sana mbna

  • @abdulfirst_pilot6479
    @abdulfirst_pilot64793 жыл бұрын

    Hadith hadith alikuwepo mtu na mwanawe baba mtu akaowa nahadithi ika ishia hapo msimulizi hajui nini chaendelea hahaahahahaha

  • @zanmbarouk7464

    @zanmbarouk7464

    2 жыл бұрын

    kake huyu si ndo yuleee

  • @aishachambo3293
    @aishachambo32933 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @kiboparjr6274
    @kiboparjr62743 жыл бұрын

    Usafir nnao lkin wa dau hhhh pba pndn

  • @salummkubwa
    @salummkubwa3 жыл бұрын

    Somo zito👍👍👍

  • @abdullahchumjuma3696
    @abdullahchumjuma36963 жыл бұрын

    Jitihada wajada nice one dongo umeeeleweka

  • @leluuu1150
    @leluuu11503 жыл бұрын

    Ata like moja sijawah pata 😒

  • @issaability6447
    @issaability64473 жыл бұрын

    Utajifanyaje mwizi kwenye nyumba y majambaziii 😁😁😁

  • @mussabamziitv8725
    @mussabamziitv87253 жыл бұрын

    Muvi kali sana

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko50963 жыл бұрын

    Mashaallah ongereni

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis92753 жыл бұрын

    Kipindi kirefu mulikuwa kimwa ila kazi nzuri

  • @laythatsuleiman7184
    @laythatsuleiman71843 жыл бұрын

    Duh nzuriy sana

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa8157 ай бұрын

    Maasha allah masha allah

Келесі