RC CHALAMILA AUWASHA MOTO KWA MWAMPOSA HADHARANI | MNAMUONA MWAMPOSA ANACHEKESHA HUNA TATIZO WEWE.

Ойын-сауық

Пікірлер: 48

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa41785 күн бұрын

    Well said Mkuu, ambao hawajapata changamoto hawawezi kukuelewa na kama wanakuelewa na wanapinga basi hao pia ni mawakala wa kizimu. Na utakuta mwingine akipata changamoto anaona heri aende kwa mganga wa kienyeji na sio kukimbilia madhabahu. Kama hujapitia changamoto mwambie Mungu Asante.

  • @KessyRiziki
    @KessyRizikiКүн бұрын

    ❤❤umeongea leo Mungu atusaidie sana na Amtunze Mtume mwamposa

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f5 күн бұрын

    Mkuu wamkoa MUNGU akubariki sana,unakarama ya utumishi ndani yako

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru17 сағат бұрын

    Huyu ndo kasetiwa na serikali uchaguzi unakuja 😂😂😂

  • @allyanthony3489
    @allyanthony34895 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa barkiwa sana maneno haya niya baraka kabisa na mtumishi wetu Baba Mwamposa Mungu amzidishie maisha malefu

  • @H3s4d
    @H3s4d5 күн бұрын

    Hongera mkuu wa. Mkoakwahotuba. Yako🎉😅

  • @AnethJohn-t4q
    @AnethJohn-t4q5 күн бұрын

    Ni kweli muheshimiwa umeongea point

  • @luciasteven3314
    @luciasteven33145 күн бұрын

    😂😂😂 unafiki na usaliti ndio kitu kilichopo kwenye damu yake 😅

  • @designdesign4426
    @designdesign44265 күн бұрын

    Huyu jamaa kapagawa baada ya kumsema vibaya JPM eti kipindichake watu walisaga meno naona laana ishaanza kumkolea hivi jamani ushawahi kuona mtu anamcheka kichaa? au anajiongeleshatu

  • @wilfredlukowo9476

    @wilfredlukowo9476

    5 күн бұрын

    Wewe ni kati ya wanao wacheka vichaa

  • @mohamedkimbwembwe-oi1rm

    @mohamedkimbwembwe-oi1rm

    5 күн бұрын

    Mimi namkubali magufuli sana ila maisha yalikuwa magumu ni kweli au mmesahau neno vyuma vimekaza ila huyu nae nimkosa anawajibu kijeuri na kizarau raia nihilo kosa,na kuenda kanisani pia kosa maana hamna pahali YESU ametenda kazi ndani ya mikanisa

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q5 күн бұрын

    sasa chalamila aisee we ni muhubiri

  • @beatricesamwel8161
    @beatricesamwel81615 күн бұрын

    😢😢😢kumbe wanao enda kumtafuta MUNGU mpaka upate majanga hii mpya aisee

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab5 күн бұрын

    Ukweli Aupingwi Mtu Mwingine Nyumbani Kwao2 Wenye Kumpenda Awafiki Wan4 Kati Ya Watu20 Tena Mnasoma Biblia Au Quruwan Lakini Angalia Wingi Uo Mwenye Nacho Ataongezewa Kweli Mwamposa Akisema Naombeni Milioni Moja Wengi Watatoa Kumuongezea

  • @aminattai2676
    @aminattai26765 күн бұрын

    Kweli kazi anaifanya mpaka anaweza kuwauzia watu mchanga na watu wakanunua,kazi anaiweza.

  • @daudimlamka1239

    @daudimlamka1239

    5 күн бұрын

    acha uongo katika vitu usivyojua, kama vip pita tuu sio lazima ukoment, coz hapana wahi tokea ameuza mchanga ila anaombea

  • @chimpayejohn6157
    @chimpayejohn61575 күн бұрын

    Barikiwa saaana

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    5 күн бұрын

    Mzee we dini ganii

  • @gervasmichael6124
    @gervasmichael61245 күн бұрын

    Mungu azidi kukuinua

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya26225 күн бұрын

    Mmmh sioni usitawi wa watu wetu kwa mkesha kama hii🤣🤣😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab5 күн бұрын

    Mkuu Wa Mkoa Anasema Kweli Jana Madangulo Yote Yamebaki Wazi Kwenda Kwa Mwamposa Kwaivo Mkuu Wa Wilaya Fulani Akutakuwa Kukamata Madada Poa Alitakiwa Aseme Na Viongozi Wa Dini Kazi Yake Yeye Kusaidia Mikopo2

  • @DenisRukangula
    @DenisRukangula5 күн бұрын

    Watu wanamatatizo ndiyo maana unawaona wanakimbilia panapo na uhitaji

  • @woah.africa99
    @woah.africa995 күн бұрын

    Mfatilie huyo mwamposa kaja mjini kutafuta pesa za watu tu ataziacha kwa anayo yaganya mmungu anamwangalia tu ipo siku akaponeshe hospitali basi

  • @janehenry1730

    @janehenry1730

    5 күн бұрын

    Yesu aliwaponya wenye haja ya kuponywa si Kila mtu anataka kuombewa kwa Jina la Yesu.

  • @Nick16697

    @Nick16697

    5 күн бұрын

    Pole sana

  • @user-ym6hd7xh3g

    @user-ym6hd7xh3g

    4 күн бұрын

    Kwa kweli poleni sana Dunia hii ina mambo ya ajabu

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya26225 күн бұрын

    Wewe majanga ni moja ya maisha acha uongo😂🤣🤣😂

  • @DenisRukangula

    @DenisRukangula

    5 күн бұрын

    Wewe ni mpuuzi saana

  • @woah.africa99
    @woah.africa995 күн бұрын

    Uongo mtupu mungu kaja kwa mwamposa wakati mambo anayo yanfanya sio ambavyo na bee yesu kafanya leo kuna mana bee wa tofauti mara huyu kaja kwa ufunguo kapewa mara kakutana na mungu mara jua mara wanachapwa mara mtu anatoka juu kwa kama mara wanaogeshwa wanawake makanisani jamani msiewe wajinga wenzenu wanapata pesa ili wajitajirishe madili ya wazungu hayo yote

  • @emmanueljoseph3815

    @emmanueljoseph3815

    5 күн бұрын

    na wewe nenda kafanye ili utupije pesa

  • @StartSmall
    @StartSmall5 күн бұрын

    Nyie nanyi hili li Chanel lenu mmezidi matangazo Mwanzo wa habari tangazo mwisho wa habari tangazo mnadhani watu hawakereki, bora hayo matangazo ya google yenyewe yanajulikana

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8935 күн бұрын

    Amekuja kuomba kura huyo 2025 tuonane

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3135 күн бұрын

    Msanii

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q5 күн бұрын

    Chalamila tangia nimekufahamu leo ndio umeongea

  • @DenisRukangula

    @DenisRukangula

    5 күн бұрын

    Chalamila uwa anaongea

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar585 күн бұрын

    Eti mtume😂😂😂

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse73145 күн бұрын

    Ajenge kanisa sasa

  • @Mydearyasin
    @Mydearyasin5 күн бұрын

    NAPENDA UISLAM

  • @IsmailMjesh

    @IsmailMjesh

    5 күн бұрын

    Uislam raha sana.......

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    3 күн бұрын

    Nyoko

  • @IsmailMjesh

    @IsmailMjesh

    3 күн бұрын

    @@Mydearyasin Allah atuhifazi sote...... Atupe mwisho mwemaa

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis10135 күн бұрын

  • @JamesLudovic
    @JamesLudovic5 күн бұрын

    Mwamposa ni tapeli

  • @wilfredlukowo9476

    @wilfredlukowo9476

    5 күн бұрын

    Mama yako je?

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer25535 күн бұрын

    Uwe mku zaidi ya hapo😊

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer25535 күн бұрын

    Unastahili kuwa mku wa mkoa

  • @ELIYUDIIssaka
    @ELIYUDIIssaka5 күн бұрын

    niukweri mutupu muheshimiwa

Келесі