Mashallah shukran shekh othman maalim twakupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH akujalie umrii na afya njema sichoki kusikiliza mawaidha yako Mashallah
@katore1982 Жыл бұрын
Masha Allah TabarakaAllah sheikh Maalim Allah akujaaliye kheir uzidi kutufunza nakutujuza dini yetu aamen yaRabb
@aminanahimana8759 Жыл бұрын
Ma Sha Allah Tabaarakallah Allah akujaze kheri Duniani na Akhera Sheikh wetu na oote walohudhuria hapo🤲🤝🤝
@eshaalidziza5660 Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah naomba wakenya pia wapate rais muslim mwenye imani ya dini tuwe wenye kufata rules za kislam❤
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Baaraka llahu fik, kwakweli sheikh Othman amebalikiwa hekma,busara na kipaji cha kuongea+kuskilizwa,hachoshi mazungumzo yake
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Uyo ana kipaji sio bahati Mashaa Allah
@shamte9musicofficial126 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe mi nakukubali sana
@aswilasaif2455 Жыл бұрын
Shukurani sheikh Othman mungu akujaliye umri na pepo
@Aminamuhamed Жыл бұрын
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat maashaallah barakallah FIIKIY SHEKHE WETU Othman maalim baba mwenye hekma hakika umeruzukiwa inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲❤
@abeliever6823 Жыл бұрын
زادكم الله عزةً وشرفا وكرامة شيخنا الفاضل
@KhadijaNgozi-ln4wwАй бұрын
Mwenyezi.mungn.akupe.maisha.marefu.shekh.wetu
@rhiophiri6857 Жыл бұрын
watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
@user-gx3qv7gr6f Жыл бұрын
MashaAllah Allah barik 🙏 well saying keep it up we need people like u❤ ☪️
@user-oz7fv4di9q Жыл бұрын
Sheikh Othman Maalim M/Mungu atakulipa pepo kwa ufasaha wako wa kuwaelekeza watu mambo ya kheri
@saladinkamis7814 Жыл бұрын
Mashallah sheikh mwenyezimungu akubarikie na akuzidishie ilmu
@user-jy7lg4hc1j11 ай бұрын
Allah akbar! Shekh wangu mungu akujalie mwisho mwema
@warejr4597 Жыл бұрын
Masha Allah shk.othman Allah akupe umri mrefu
@navystreetF1 Жыл бұрын
Maashallah this sheikh is my best his eloquence is off the hook
@husseinibrahim5438 Жыл бұрын
MA SHA ALLAH SHEIKH UTHMAN MAALIM JAZAKA ALLAH KHAIR.
@husseinibrahim5438
Жыл бұрын
Pokea salam kutoka Marekani USA 🇺🇸 akhi Huyu ni ndugu yako Hussein Ibrahim .
@mdsaid1527 Жыл бұрын
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
@rahmamohammed9678 Жыл бұрын
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu Alhamdhulillah ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️❤️
@nuruauni5882 ай бұрын
Mashaallah mashaallah pongezi kwa mama samia inchi itakuwa na baraka na amani kwajili kuipa kipao mbele dini.🫡
@user-tg2jn7ie3b Жыл бұрын
Wa kwanza leo naomba like zang🙏🙏
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰 ALLAH awajaalie kheri walio hidhuriya na watakawo fwatiliya Kila mwenye uzito ALLAH amuwekeye wepesi 🤲
@learningire3759 Жыл бұрын
Maashallah very precise and to the point. Are rhey equal those who know and those who don't know.
@rhiophiri6857
Жыл бұрын
they are not equal
@waheedaw1953 Жыл бұрын
MASHAALLAH TABARAKA RAHMAN ASANTE SANA SHEKH
@issashebe11 Жыл бұрын
Jazaka Allah khair shekh
@zainabuibrahim4766 Жыл бұрын
Mashaallah. Natamani kuwa mkazi wa Zanzibar. Nawapenda sana nyoote kwa ajiri ya Allah
@mamyomar1241
Жыл бұрын
Akipenda ambaye umetupenda sisi kwa ajili yake.
@bakarsaid4573
11 ай бұрын
Nasisi pia tunakupenda kwa ajili ya ALLAH
@ashabakary1462
7 күн бұрын
Na sisi tunakupenda pia karibu Kwa ajili ya Allah
@ibrahimsalum1351 Жыл бұрын
Mashaallah sh othman maalim nafrahi sana kuskia mawaidha yako naelimika sana na nashawishika sana kujifunza Allah akulipe darja kubwa sana 🙏
@allyiddy3562 Жыл бұрын
Jazaakallah Khair kwa kutukumbusha tarehe ya kiislam ilipo anzia
@ZUHURAKHALFAN-mc8nd Жыл бұрын
MASH ALLAH Allah akueke Sheikh OTHMAN
@SwalehKidume-wd2cd Жыл бұрын
Maneno mazuri Masha Allah lakini mazingira ndio hayakuandaliwa vizuri baina ya wanawake na wanaume
@KhadijaKipua-dw7yz Жыл бұрын
Sheikh Othman maalim Allah akuzidishie kheri ya duniani na ahera
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
@salhakiseki3302 Жыл бұрын
Ma sha Allah, Sheikh Othman Unajua Sana
@jumanassor8836 Жыл бұрын
Mashallah! Allah amuhifadhi sheikh Othman M
@CharafimalisalimoAli-qw3hk Жыл бұрын
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
@zaujiaahmed8803 Жыл бұрын
Shekhe Umeongea vizuri Mpaka unapendeza .unaeleweka .Basi ukiwa Kwenye mawaiza Yako usifoke Sana Uwe unaongea Ivyo Wanaoniunga mkono Nipeni like zangu.
@aliomar5589
Жыл бұрын
Kwani anafoka ktk mawaidha yake?
@khadijamasare420
Жыл бұрын
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
@ashabakary1462
7 күн бұрын
Hafoki sh.othmna sjui kamaanisha nn
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
@rehemastambuli2348 Жыл бұрын
Almdulilah shekhe mora hakuzidishe kheri na barack
@user-tg2jn7ie3b Жыл бұрын
Allah akupe kila la kheri akusameh madhimbi yako na akurehem Amiin
@fatyakauga2951 Жыл бұрын
Othuman maalim nakupenda sana
@rahmajaffar794 Жыл бұрын
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
MashaAllah sheikh othman nakupenda kwaajili ya Allah
@allykombo2992 Жыл бұрын
mashaallah othman uko vizuriii
@raheemaal-hady9328 Жыл бұрын
Maa Shaa Allaah Rabby amjaalie umri mrefu wenye barka Sheikh Othman Maalim
@abeliever6823
Жыл бұрын
Aamiin. Aamiin
@zalharashid130011 ай бұрын
a,alykum nimependa san allah atakulipa ostadh.. umeongea ya haki na mlengwa alielengwa awe makin juu ya kuyafnyia kz,
@mutanabbiabbas337 Жыл бұрын
Shekh mkumbushe uyo Anae jiona mungu mtu mwambie uwongoz ni Amana ya allaha
@idrissamohamed1100
Жыл бұрын
Kama huna cha kuchangia acha kufuru,,Unamdhaniaje mwenzio kitu ambacho hajakiwaza..
@mamyomar1241
Жыл бұрын
@@idrissamohamed1100anajiona Mungu mtu kivipi hapo sijaelewa.
@HassanAli-eq8ko Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheri
@suhel5209 Жыл бұрын
MashaAllah huyu sheikh amepewa kipawa na hekima.
@jannahjidoo3310 Жыл бұрын
My Sheikh Allah barik
@omaryally348911 ай бұрын
Allha akupe mwisho mwema shekh inshallah
@abdallahmaftah6469 Жыл бұрын
رضي الله عن شيخنا الفاضل عثمان معلم
@user-jf4xv9wl4l Жыл бұрын
Baraka lahhu fiih..
@yunisabdiri2499 Жыл бұрын
Shukran sheikh mungu akueke miaka mingi
@mustaphamatelefone-lc9pr Жыл бұрын
Masha-allah 🙏🙏🙏
@ZakariaMohamed-bc5zl Жыл бұрын
Mashallah one day I will meet with u inshallah
@saumusanjiama6991 Жыл бұрын
🥰🥰🥰mashaallah shekhe wetu
@bongotrendshd7988 Жыл бұрын
Shukrn Mimi naomba kufanya kazi kwenye tv yenu kama inawezekana
@jumannemuhammad2073 Жыл бұрын
Mashaallah uislam raha tu❤️❤️❤️❤️
@MwanaidiMohammed-bm6qg Жыл бұрын
Shukraan Allah akuvbariki
@eishnmn Жыл бұрын
MashaAllah
@mohamedmuya9648 Жыл бұрын
Maasha,Allah Maalim
@sadakimwaki9791 Жыл бұрын
Mashaalah ❤
@makamehaji2609 Жыл бұрын
Masha allah
@user-oz1rg8ol2q4 ай бұрын
Mashallah
@user-jf4xv9wl4l Жыл бұрын
Maashaalah
@zainabuibrahim4766 Жыл бұрын
Mumependeza sana tunamuomba Allah atulinde nafitina na Hasadi
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@saumusaid7825 Жыл бұрын
Mashaaallh 🥰
@Baharia Жыл бұрын
MaShaAllah
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
MASHAA ALLA
@twahahango3968 Жыл бұрын
mashaallah akhenate shkh
@saidJeneby-zk8xh11 ай бұрын
Mashallah tabaraka llah
@SalimMohamed-o3j15 күн бұрын
Maashalaa
@issakawaya8315 Жыл бұрын
Allah atuzidishie mahaba ya kupenda calendar yetu
@user-wr8qp2kk3v10 ай бұрын
Mashallah sheikh othuman
@allybakari7888 Жыл бұрын
MASHAA ALLAH
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Mashallah❤❤❤
@user-mt4sd6cj5y Жыл бұрын
Alhamdulilah .
@abdulmalickupete9015 Жыл бұрын
Maashaallah
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Пікірлер: 174
Mashallah shukran shekh othman maalim twakupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH akujalie umrii na afya njema sichoki kusikiliza mawaidha yako Mashallah
Masha Allah TabarakaAllah sheikh Maalim Allah akujaaliye kheir uzidi kutufunza nakutujuza dini yetu aamen yaRabb
Ma Sha Allah Tabaarakallah Allah akujaze kheri Duniani na Akhera Sheikh wetu na oote walohudhuria hapo🤲🤝🤝
MashaAllah MashaAllah naomba wakenya pia wapate rais muslim mwenye imani ya dini tuwe wenye kufata rules za kislam❤
Baaraka llahu fik, kwakweli sheikh Othman amebalikiwa hekma,busara na kipaji cha kuongea+kuskilizwa,hachoshi mazungumzo yake
@KassimAlly-xp4dz
Жыл бұрын
Uyo ana kipaji sio bahati Mashaa Allah
Allah akuhifadhi shekhe mi nakukubali sana
Shukurani sheikh Othman mungu akujaliye umri na pepo
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat maashaallah barakallah FIIKIY SHEKHE WETU Othman maalim baba mwenye hekma hakika umeruzukiwa inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲❤
زادكم الله عزةً وشرفا وكرامة شيخنا الفاضل
Mwenyezi.mungn.akupe.maisha.marefu.shekh.wetu
watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
MashaAllah Allah barik 🙏 well saying keep it up we need people like u❤ ☪️
Sheikh Othman Maalim M/Mungu atakulipa pepo kwa ufasaha wako wa kuwaelekeza watu mambo ya kheri
Mashallah sheikh mwenyezimungu akubarikie na akuzidishie ilmu
Allah akbar! Shekh wangu mungu akujalie mwisho mwema
Masha Allah shk.othman Allah akupe umri mrefu
Maashallah this sheikh is my best his eloquence is off the hook
MA SHA ALLAH SHEIKH UTHMAN MAALIM JAZAKA ALLAH KHAIR.
@husseinibrahim5438
Жыл бұрын
Pokea salam kutoka Marekani USA 🇺🇸 akhi Huyu ni ndugu yako Hussein Ibrahim .
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu Alhamdhulillah ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️❤️
Mashaallah mashaallah pongezi kwa mama samia inchi itakuwa na baraka na amani kwajili kuipa kipao mbele dini.🫡
Wa kwanza leo naomba like zang🙏🙏
Mashallah tabaraka llah 🥰 ALLAH awajaalie kheri walio hidhuriya na watakawo fwatiliya Kila mwenye uzito ALLAH amuwekeye wepesi 🤲
Maashallah very precise and to the point. Are rhey equal those who know and those who don't know.
@rhiophiri6857
Жыл бұрын
they are not equal
MASHAALLAH TABARAKA RAHMAN ASANTE SANA SHEKH
Jazaka Allah khair shekh
Mashaallah. Natamani kuwa mkazi wa Zanzibar. Nawapenda sana nyoote kwa ajiri ya Allah
@mamyomar1241
Жыл бұрын
Akipenda ambaye umetupenda sisi kwa ajili yake.
@bakarsaid4573
11 ай бұрын
Nasisi pia tunakupenda kwa ajili ya ALLAH
@ashabakary1462
7 күн бұрын
Na sisi tunakupenda pia karibu Kwa ajili ya Allah
Mashaallah sh othman maalim nafrahi sana kuskia mawaidha yako naelimika sana na nashawishika sana kujifunza Allah akulipe darja kubwa sana 🙏
Jazaakallah Khair kwa kutukumbusha tarehe ya kiislam ilipo anzia
MASH ALLAH Allah akueke Sheikh OTHMAN
Maneno mazuri Masha Allah lakini mazingira ndio hayakuandaliwa vizuri baina ya wanawake na wanaume
Sheikh Othman maalim Allah akuzidishie kheri ya duniani na ahera
اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
Ma sha Allah, Sheikh Othman Unajua Sana
Mashallah! Allah amuhifadhi sheikh Othman M
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
Shekhe Umeongea vizuri Mpaka unapendeza .unaeleweka .Basi ukiwa Kwenye mawaiza Yako usifoke Sana Uwe unaongea Ivyo Wanaoniunga mkono Nipeni like zangu.
@aliomar5589
Жыл бұрын
Kwani anafoka ktk mawaidha yake?
@khadijamasare420
Жыл бұрын
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
@ashabakary1462
7 күн бұрын
Hafoki sh.othmna sjui kamaanisha nn
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
Almdulilah shekhe mora hakuzidishe kheri na barack
Allah akupe kila la kheri akusameh madhimbi yako na akurehem Amiin
Othuman maalim nakupenda sana
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
Mashaallah
Barrakkah Allaah huu fiek kwa mawaidha yakooo….
Jazzak Allahu Khairan
Shukran lillah shukran kathyra jazakallahulkhayr 🤝
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
Mashaallha mungu akupe kilalenye kheri na ww ❤❤
Masha Allah
Shukran ya sheikh wetu 👏👏
Mashallah kwa hilmu shukran
MashaAllah sheikh othman nakupenda kwaajili ya Allah
mashaallah othman uko vizuriii
Maa Shaa Allaah Rabby amjaalie umri mrefu wenye barka Sheikh Othman Maalim
@abeliever6823
Жыл бұрын
Aamiin. Aamiin
a,alykum nimependa san allah atakulipa ostadh.. umeongea ya haki na mlengwa alielengwa awe makin juu ya kuyafnyia kz,
Shekh mkumbushe uyo Anae jiona mungu mtu mwambie uwongoz ni Amana ya allaha
@idrissamohamed1100
Жыл бұрын
Kama huna cha kuchangia acha kufuru,,Unamdhaniaje mwenzio kitu ambacho hajakiwaza..
@mamyomar1241
Жыл бұрын
@@idrissamohamed1100anajiona Mungu mtu kivipi hapo sijaelewa.
Mashaallah jazakumllah kheri
MashaAllah huyu sheikh amepewa kipawa na hekima.
My Sheikh Allah barik
Allha akupe mwisho mwema shekh inshallah
رضي الله عن شيخنا الفاضل عثمان معلم
Baraka lahhu fiih..
Shukran sheikh mungu akueke miaka mingi
Masha-allah 🙏🙏🙏
Mashallah one day I will meet with u inshallah
🥰🥰🥰mashaallah shekhe wetu
Shukrn Mimi naomba kufanya kazi kwenye tv yenu kama inawezekana
Mashaallah uislam raha tu❤️❤️❤️❤️
Shukraan Allah akuvbariki
MashaAllah
Maasha,Allah Maalim
Mashaalah ❤
Masha allah
Mashallah
Maashaalah
Mumependeza sana tunamuomba Allah atulinde nafitina na Hasadi
Mashaallah mashaallah
Mashaaallh 🥰
MaShaAllah
MASHAA ALLA
mashaallah akhenate shkh
Mashallah tabaraka llah
Maashalaa
Allah atuzidishie mahaba ya kupenda calendar yetu
Mashallah sheikh othuman
MASHAA ALLAH
Mashallah❤❤❤
Alhamdulilah .
Maashaallah
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Maashallah sheikh wetu
Mashaalah huyu kweli ni mwanazuoni
Barakallah fiika
I love you so much shekhe langu ❤❤❤❤❤
Mashaalah
MASHALLAH.
Masha allah 💯 alhamdullahi
Mashallh ♥️
Masha Allah😢😢😢😢😢