MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Ойын-сауық
MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 131
Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin
Sauti kama Mama 💞
@Boaz22
Жыл бұрын
Yaani kabisa 💯
Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.
@victoriajoachim7271
Жыл бұрын
Binti wa pekee hana mwingine wengine ni wa kiume 3 .
MashaAllah very nice program thank you 🎉❤
Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah
hongera umeongea vizuri sana
Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo
Like mother like daughter mashallah
Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤
Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲
Safi sana sauti kama ya mama jamani
WOW she's so well spoken ❣️😇
Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu
Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana
@abdallahdataguy
Жыл бұрын
Asante sana. Karibu katika uislam
Maashaallah maashaallah
Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Mtoto wa pekee wa kike
ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi
Bismillah masha'allah 🥰❤️
Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤
🙏🙏🙏
safii sana Umeongea vizuri
Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏
@Awatee
Жыл бұрын
Sana hana shida ALLAH amuhifadhi
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Exactly! Hana mashauzi,,,
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😂😂
@Awatee
Жыл бұрын
@@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my
Kama Mama, Hongera.
@selinalawala2270
Жыл бұрын
Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.
😍😍❤️
@amanimgoba4139
Жыл бұрын
well spoken
Mashalah wanu
Yko vzr Saana
Hongera unafanana na baba yako sana
Hongera yake
Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia
Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.
@MohammedAlly-hp8fg
8 ай бұрын
Yes mke wa Mohammed mchengelw waziri w tamisemi
@robbyartsproduction7606
5 ай бұрын
We jamaa kazinzi eti urafiki ushatamani mzigo huo dadeki
Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.
Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.
Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee
Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake
Love her
Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii
❤❤❤❤❤❤
Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa
Good spoken that's very nice
Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF
Maashallah dada wanu
Daaa pis kaliiiiii
Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu
Video
Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali
@Awatee
Жыл бұрын
🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka
@stevennenelwa3192
Жыл бұрын
@@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂
@tatotato506
Жыл бұрын
@@Awatee 😂😂😂😂😂😂
@Awatee
Жыл бұрын
@@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi
@Awatee
Жыл бұрын
@@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃
Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa
@jacquelinesemu1347
Жыл бұрын
Ameolewa kitambo sana
Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?
Malezi gani wote watovu wa adabu😂
Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢
@khamismgunya4519
5 ай бұрын
Mpeleke mama ako
Yupo single wajuba me nimemwelewa
@mohammedabdallah6390
Жыл бұрын
Mke wa mheshimiwa Mohammed Mchengerwa
@EbondoSounds
Жыл бұрын
😂😂
Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia
HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu. Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo
Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu
Vipi yuko single?
@ferouzkeis6994
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@stanastana3199
Жыл бұрын
@@ferouzkeis6994 nauliza bro mtoto wa bi mkubwa huyo
@abdillahamour234
Жыл бұрын
Married
@stanastana3199
Жыл бұрын
@@abdillahamour234 daah watu wanafaidi sana
@mathalanally8367
Жыл бұрын
Hhhhhhh haiwezekan kua single
Hao ni ccm
Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya
Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki
@ELIPHAZAMON-ex9zc
Жыл бұрын
Unakoment ujinga huna kaz za kufanya
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Mhhhh
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu
@Swahili14
Жыл бұрын
Umeongea utopolo I'm not fat but that's body shaming Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀
Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?
@khadijamwenda1851
Жыл бұрын
Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa
@user-lt6ti6lu6l
Жыл бұрын
@@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama
@epifaniamzumbwe5159
Жыл бұрын
Cheee😂😂😂😂😂
@user-lt6ti6lu6l
Жыл бұрын
@@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?
Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??
The same voice to your mother
Hakuns jipya apo
@abdalaalmas2535
11 ай бұрын
Tupe jipya wewe
Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori
EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA
@AnuarMakame-iy2gy
6 ай бұрын
Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂
@AnuarMakame-iy2gy
6 ай бұрын
Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣
@ausonjustinian4673
5 ай бұрын
Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo
Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika
@machetebogota4218
Жыл бұрын
Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂
@salyali7807
Жыл бұрын
@@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"