MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Ойын-сауық

MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 131

  • @mathalanally8367
    @mathalanally8367 Жыл бұрын

    Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Жыл бұрын

    Sauti kama Mama 💞

  • @Boaz22

    @Boaz22

    Жыл бұрын

    Yaani kabisa 💯

  • @rasheedmbaraka7556
    @rasheedmbaraka7556 Жыл бұрын

    Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.

  • @victoriajoachim7271

    @victoriajoachim7271

    Жыл бұрын

    Binti wa pekee hana mwingine wengine ni wa kiume 3 .

  • @yavuz5887
    @yavuz5887 Жыл бұрын

    MashaAllah very nice program thank you 🎉❤

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 Жыл бұрын

    Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah

  • @SophiaMinja-no8dt
    @SophiaMinja-no8dt Жыл бұрын

    hongera umeongea vizuri sana

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya Жыл бұрын

    Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo

  • @imranyusuf5505
    @imranyusuf5505 Жыл бұрын

    Like mother like daughter mashallah

  • @user-pp4rc7zc2d
    @user-pp4rc7zc2d5 ай бұрын

    Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Жыл бұрын

    Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Жыл бұрын

    Safi sana sauti kama ya mama jamani

  • @Swahili14
    @Swahili14 Жыл бұрын

    WOW she's so well spoken ❣️😇

  • @HamIslamicFoundation
    @HamIslamicFoundation Жыл бұрын

    Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 Жыл бұрын

    Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    Жыл бұрын

    Asante sana. Karibu katika uislam

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Жыл бұрын

    Maashaallah maashaallah

  • @magretsamba5002
    @magretsamba5002 Жыл бұрын

    Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Mtoto wa pekee wa kike

  • @HumoudMahmoud-dq3ff
    @HumoudMahmoud-dq3ff Жыл бұрын

    ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura576310 ай бұрын

    Bismillah masha'allah 🥰❤️

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @amanimgoba4139
    @amanimgoba4139 Жыл бұрын

    safii sana Umeongea vizuri

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 Жыл бұрын

    Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    Sana hana shida ALLAH amuhifadhi

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    Exactly! Hana mashauzi,,,

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    @@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 Жыл бұрын

    Kama Mama, Hongera.

  • @selinalawala2270

    @selinalawala2270

    Жыл бұрын

    Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    😍😍❤️

  • @amanimgoba4139

    @amanimgoba4139

    Жыл бұрын

    well spoken

  • @sabrinarashid7990
    @sabrinarashid7990 Жыл бұрын

    Mashalah wanu

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 Жыл бұрын

    Yko vzr Saana

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 Жыл бұрын

    Hongera unafanana na baba yako sana

  • @user-bu3ph8mx2b
    @user-bu3ph8mx2b9 ай бұрын

    Hongera yake

  • @SeleFundi-ym1bv
    @SeleFundi-ym1bv8 ай бұрын

    Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia

  • @SindiFRegis
    @SindiFRegis Жыл бұрын

    Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.

  • @MohammedAlly-hp8fg

    @MohammedAlly-hp8fg

    8 ай бұрын

    Yes mke wa Mohammed mchengelw waziri w tamisemi

  • @robbyartsproduction7606

    @robbyartsproduction7606

    5 ай бұрын

    We jamaa kazinzi eti urafiki ushatamani mzigo huo dadeki

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 Жыл бұрын

    Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc5 ай бұрын

    Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee

  • @domimassawe7611
    @domimassawe7611 Жыл бұрын

    Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @muna1744
    @muna1744 Жыл бұрын

    Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake

  • @cinterproductscinterproduc8606
    @cinterproductscinterproduc8606 Жыл бұрын

    Love her

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x5 ай бұрын

    Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii

  • @SHABANIMGOMI
    @SHABANIMGOMI5 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @kissakayuni767
    @kissakayuni767 Жыл бұрын

    Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa

  • @alhammwijuma2421
    @alhammwijuma2421 Жыл бұрын

    Good spoken that's very nice

  • @DottoMalago
    @DottoMalagoАй бұрын

    Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF

  • @aminashaaban5846
    @aminashaaban5846 Жыл бұрын

    Maashallah dada wanu

  • @jerrytone6919
    @jerrytone6919 Жыл бұрын

    Daaa pis kaliiiiii

  • @SalimMahdi-kx1dp
    @SalimMahdi-kx1dp3 ай бұрын

    Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu

  • @user-fe1oh4ie2i
    @user-fe1oh4ie2i7 ай бұрын

    Video

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Жыл бұрын

    Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka

  • @stevennenelwa3192

    @stevennenelwa3192

    Жыл бұрын

    @@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂

  • @tatotato506

    @tatotato506

    Жыл бұрын

    ​@@Awatee 😂😂😂😂😂😂

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    @@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi

  • @Awatee

    @Awatee

    Жыл бұрын

    @@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃

  • @alfredibrahim7085
    @alfredibrahim7085 Жыл бұрын

    Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa

  • @jacquelinesemu1347

    @jacquelinesemu1347

    Жыл бұрын

    Ameolewa kitambo sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?

  • @KhubeybJandaal-uz4oo
    @KhubeybJandaal-uz4oo Жыл бұрын

    Malezi gani wote watovu wa adabu😂

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h10 ай бұрын

    Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢

  • @khamismgunya4519

    @khamismgunya4519

    5 ай бұрын

    Mpeleke mama ako

  • @EMMA-oe9yt
    @EMMA-oe9yt Жыл бұрын

    Yupo single wajuba me nimemwelewa

  • @mohammedabdallah6390

    @mohammedabdallah6390

    Жыл бұрын

    Mke wa mheshimiwa Mohammed Mchengerwa

  • @EbondoSounds

    @EbondoSounds

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @aminayussuf7215
    @aminayussuf7215 Жыл бұрын

    Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Жыл бұрын

    HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...

  • @mbwanarajab4756

    @mbwanarajab4756

    Жыл бұрын

    Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu. Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Жыл бұрын

    Vipi yuko single?

  • @ferouzkeis6994

    @ferouzkeis6994

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    Жыл бұрын

    @@ferouzkeis6994 nauliza bro mtoto wa bi mkubwa huyo

  • @abdillahamour234

    @abdillahamour234

    Жыл бұрын

    Married

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    Жыл бұрын

    @@abdillahamour234 daah watu wanafaidi sana

  • @mathalanally8367

    @mathalanally8367

    Жыл бұрын

    Hhhhhhh haiwezekan kua single

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын

    Hao ni ccm

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn3 ай бұрын

    Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya

  • @abdillahamour234
    @abdillahamour234 Жыл бұрын

    Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki

  • @ELIPHAZAMON-ex9zc

    @ELIPHAZAMON-ex9zc

    Жыл бұрын

    Unakoment ujinga huna kaz za kufanya

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Жыл бұрын

    Mhhhh

  • @eyabdimaha3698

    @eyabdimaha3698

    Жыл бұрын

    ​@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu

  • @Swahili14

    @Swahili14

    Жыл бұрын

    Umeongea utopolo I'm not fat but that's body shaming Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀

  • @user-lt6ti6lu6l
    @user-lt6ti6lu6l Жыл бұрын

    Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?

  • @khadijamwenda1851

    @khadijamwenda1851

    Жыл бұрын

    Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa

  • @user-lt6ti6lu6l

    @user-lt6ti6lu6l

    Жыл бұрын

    @@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama

  • @epifaniamzumbwe5159

    @epifaniamzumbwe5159

    Жыл бұрын

    Cheee😂😂😂😂😂

  • @user-lt6ti6lu6l

    @user-lt6ti6lu6l

    Жыл бұрын

    @@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard40319 ай бұрын

    Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??

  • @HonesterMgombele-ln9wl
    @HonesterMgombele-ln9wl Жыл бұрын

    The same voice to your mother

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Жыл бұрын

    Hakuns jipya apo

  • @abdalaalmas2535

    @abdalaalmas2535

    11 ай бұрын

    Tupe jipya wewe

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Жыл бұрын

    Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori

  • @glorytolord-vv6in
    @glorytolord-vv6in9 ай бұрын

    EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA

  • @AnuarMakame-iy2gy

    @AnuarMakame-iy2gy

    6 ай бұрын

    Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂

  • @AnuarMakame-iy2gy

    @AnuarMakame-iy2gy

    6 ай бұрын

    Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣

  • @ausonjustinian4673

    @ausonjustinian4673

    5 ай бұрын

    Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂

  • @salyali7807

    @salyali7807

    Жыл бұрын

    @@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"

Келесі