🔴

🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA ANAYEIMILIKI TANZANIA, NI YA KWETU WOTE"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 176

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    VERY INCOMPETRNT!

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    10 ай бұрын

    Tulio soma cuba tumeelewa

  • @richardmvuyekule6300
    @richardmvuyekule63009 ай бұрын

    Maneno ya hekima kubwa sana iliyojazwa na Mwenyezi Mungu, ubarikiwe sanaaaa mama.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Ungemjua Mungu Usingesingizia Watu Magaidi, Wahaini na Usingeua Wamasai Loliondo na Kuuza Bandari na Misitu.

  • @contempo_builders
    @contempo_builders10 ай бұрын

    Mama keep moving forward.

  • @AbdulkheyrMaulid
    @AbdulkheyrMaulid10 ай бұрын

    Tunamshukuru Mungu kutupa Rais makini Mungu azidi kukubariki

  • @hanifa9153
    @hanifa915310 ай бұрын

    Mama etu tunakpenda we kua makini 2 sie wengine atuna neno kama ni kheri bac Allah s.w akuongoze fanya kazi

  • @sadatirashidi3323
    @sadatirashidi332310 ай бұрын

    Mama ametunasihi wenye akili tumefaidika asante sana mama Mungu atuongoze sote katika Haki

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw10 ай бұрын

    Mama samia una kazi nzito sana hasa kuiongoza mijitu migumu kuelewa kama tundu lissu nakupa pole mama

  • @hajisaid3024
    @hajisaid302410 ай бұрын

    Safi sana piga kazi mama tuko pamoja na ww

  • @munic6686
    @munic668610 ай бұрын

    Usirudi nyuma mama twende mbele kwa kasi tutafika in sha Allah

  • @juliusdaudi6459
    @juliusdaudi645910 ай бұрын

    Mama mungu akubariki sana

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc10 ай бұрын

    Message send and delivered for those who are unpatriotic and hiding behind the religious and racial image. Thumb up to you mama. Allah bless you

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw10 ай бұрын

    Shikamoo mama!!!

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Na Maaskofu Wote wa Katoliki wote 37 Nao , Tibaijuka, Shivji etc Nao wamekuwa Kama Ng'ombe.

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo10 ай бұрын

    Mama una akili nyingi mno kila unachoongea point.mungu akulinde .

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    10 ай бұрын

    Samia ni Rais wa ovyo anachojua ni mipasho tu CAG kasema shs karibu trilion 3 zimeibiwa mpk leo hakuna liyechukuliwa amebakia kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake

  • @user-ep9ot1pe7x
    @user-ep9ot1pe7x10 ай бұрын

    Safi Sana mama

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz83610 ай бұрын

    Nice speach 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu209910 ай бұрын

    MASHAALLAHU Khair, kumbe ww ni rais kweli. Ukiwa na Akili nyingi siku zote lazima ufaulu ktk mitihani migumu. Lakin hilo pia halijulikani isipokuwa Kwa wenye Akili vile vile.

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim197510 ай бұрын

    Mama tunakuelewa mama yetu hawa wafata mkumbo tupo nao tunaishinao wala usitetereke nakubali kusimamia amani yetu kikamilifi na kuondoa upuuzi wa ajabu ajabu Tanzania kisiwa cha amani

  • @user-sk5om4ze9b
    @user-sk5om4ze9b10 ай бұрын

    Mama Tunakuombea kwa Mungu ubunifu wako ni Maendeleo yetu.

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa10 ай бұрын

    Usipate presha. Tunakuunga mkono tunawadharau hao kwa matusi yao. Mama atakayekutikana mpeleke mahakamani halafu akulipe. Hizo pesa wape watoto yatima.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Wewe Unakiuka Vitabu vya Dini KWA KUUA WAMASAI LOLIONDO. ACHA UTAPELI

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba334810 ай бұрын

    Mm nakukubar tangia ukiwa makamu Rais umeongea fact sana mama umetoa nyongo

  • @AsifiweChaula
    @AsifiweChaula10 ай бұрын

    Mwacheni mama afanye kazi,, wengine subiilini nafasi yenu nanyi mkaitumie mnavyotaka iwe.

  • @Mikeallyradjubu
    @Mikeallyradjubu3 ай бұрын

    Mama mungu habariki❤❤❤❤

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Sheria Inasema Polisi Hawatoi Vibali vya Mikutano sheria na Katiba Zinasema Kila Mbunge Lazima Achaguliwe, Why una Covid 19 na Why Una Waziri Mkuu ambaye hajachaguliwa. PUMBA TUPU

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca10 ай бұрын

    Duh Mama anachamba huyuuu😂😂😂😂😂😂

  • @victoriarwerengera4831

    @victoriarwerengera4831

    10 ай бұрын

    Kumbe ! Ni akina nani walijiny......a?

  • @sadatirashidi3323

    @sadatirashidi3323

    10 ай бұрын

    Kweli

  • @RamazaniMulongeca

    @RamazaniMulongeca

    10 ай бұрын

    @@victoriarwerengera4831 😂😂😂😂😂😂 simoooo

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Ksma Umelelewa Kwa Dini , Dini yako Inakuambia Uue Wamasai

  • @remmymsakusy
    @remmymsakusy10 ай бұрын

    Hiyo ndiyo maana MAMA NI zaidi ya RAIS. Vilevile elewa hata ukibadilisha hawatakuwa na HEKIMA Kama kama ulivyo wewe.

  • @user-tq7fo4tp2x
    @user-tq7fo4tp2x10 ай бұрын

    Raisi umeongea vizuli sana kama mtu mgumu wa kuelewa huyo hana akili ajielewi

  • @jumaomari3842
    @jumaomari384210 ай бұрын

    Uko.vizuri.bimkubwa.pambana.mpaka.kieleweke

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in10 ай бұрын

    Kumotoooooo🤣🤣🤣🤣Mama etu bhana

  • @user-qj1wz5hj4h
    @user-qj1wz5hj4h7 ай бұрын

    Heshima iwepo kwa viongozi

  • @JullyJully-vs8xi
    @JullyJully-vs8xi7 ай бұрын

    Kiukweli umeongea maneno ya hekima bnafsi nimekupenda buuu MUNGU akulindee

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende942810 ай бұрын

    Hotuba Hii tutaikumbuka

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph263410 ай бұрын

    Sasa wananchi wawaunge mkono wakati ulisema ambapo watarudisha kadi utamtimua mkuu wa wilaya🤔 au umesahau???😮

  • @musamusa6213
    @musamusa621310 ай бұрын

    Mama huna baya shida washauli wako wengi ni mijizi magufuli alikua na kauri yeye anawataka masikini ww matajili mbona hawatusaidii zaidi ya kututesa vitu bei juu sana.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    Hujapata faili lake Tu! Nae jizi kweli, sikuamini nilipopata faili lake, mwanae WA kiume ndo mshika dau huoni alivyowaweka mijizi kina Kinana? Kazi ya wizi iendelee 😂😂😂.

  • @user-pb5fp2ht7h
    @user-pb5fp2ht7h10 ай бұрын

    Mwenye hekima huonywa na kuonyeka Kuna kitu kibaya kinakuja

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    10 ай бұрын

    leo umehama tena

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo187510 ай бұрын

    Mama wengine wamezeeka na utundu wao, watakusumbua, warioba alimbania wasira asigombee kwa miaka mitano

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal545410 ай бұрын

    Ni kweli kisiasa serikali ikifanya vizuri siyo sababu ya kutosemwa, lakini isemwe si kwa kupinga lililosawa bali kwa kuonyesha kile kisichofanywa, Hicho lazima kitakuwepo kwani hakuna serikali iliyokwisha fanya yote. Huko ndiyo kukosoa kistaarabu. Vyama vijizuie kuhamasisha fujo na uasi wa raia kwa serikali yao.

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Madam samia, leo umeongea maneno mazima kabisa, anaepinga ana lake moyoni ni kibaraka wa kutawaliwa akili yake

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45237 ай бұрын

    Yessssdssssssssss

  • @evelynmwabuki7589
    @evelynmwabuki758910 ай бұрын

    Kama ktk myaka yote mmesahau kuwapa elimu wananchi juu ya sheria za nchi hilo ni kosa ndo maana watu wanatendewa bila kujua haki zao! 😮

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda449810 ай бұрын

    Dependency itawafikisha pabaya. Uvivu wa kufikiri pia ni ugonjwa. Watu hawana input yoyote. Wanasubiri mtu mwingine afikiri kwa niaba yao wao wanashangilia tu. Mna shida gani?

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 ай бұрын

    Anaethubutu kumtukana Mama Samia. Ni sawa kamtukana Mama yake mzazi. Mjue hilo, sasa endeleeni kumtukana Mama samia na Mama zenu walowazaa.

  • @KuntukumuSadam
    @KuntukumuSadam9 ай бұрын

    Ila TANZANIA 🇹🇿 bhana 😅😅😅😅😅

  • @user-vm2xt4jr9g
    @user-vm2xt4jr9g10 ай бұрын

    Ondoa police ndo siasa isimame

  • @user-ez6ko4mm5d
    @user-ez6ko4mm5d10 ай бұрын

    Mama pig kazi

  • @BoniphaceYusuph-zx1th
    @BoniphaceYusuph-zx1th10 ай бұрын

    Vijana wa hovyo tumefikiwa from Twitter republic 😂🤣🙌

  • @husseinibrahim2929
    @husseinibrahim292910 ай бұрын

    Kuna uhuru wa maoni lakini uhuru wa maoni una mipaka yake siyo tu kisheria hata kibinadamu kama ulizaliwa ukalelewa vyema ukapitishwa kwenye masomo tunayosoma lakini ukapitishwa kwenye masomo ya dini ukaielewa vizuri kuna mambo huwezi kuyafanya. Mh rais umeongea thabit

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga540010 ай бұрын

    Mmekataza watoto wasipige mnge furuhusuni tupige bakora

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Tafakuri ya Katiba My Ass Hili Jizi Linajua Katiba Ilyopo Inaruhusu huu Ushenzi. Tangu Lini Mnachrza Ngumi, wakati refferee ni Baba wa Mmoja wapo.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Yaani Ukifanya Upuuzi, Ukitaka Uchaguzi Ufanywe na Makada wa CCM. Kumbe Unajua hakuna Mmiliki wa Tanzwnia Mbona Unataka Kugawa Bandari na Loliondo na Misitu?

  • @allysinge7096
    @allysinge709610 ай бұрын

    MAMA SAFARI HII ANDAA PESA YAMAANA KWNYE ULE MTINDO WA GOLI LA MAMA, MAANA WAMEMLETA MAXNZENGELI NA PACOME BASI MIGOLI MINGIMINGI, KUUSU BANDARI WE UZA TU

  • @wahidsalum-jy6mf
    @wahidsalum-jy6mf10 ай бұрын

    TV ya mwanzo afrika ilianza znz mwaka 74

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera483110 ай бұрын

    Mama nalia na washauri wako...wanatuangusha...

  • @kilamiko8299
    @kilamiko829910 ай бұрын

    Basi katiba ifundishwe toka shule ya msingi hadi chuo kikuu heheh

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed347710 ай бұрын

    Kweli kabisa ulivolelewa utakua nayo kias na wazazi wamesahau kulea watoto na maaadili ya dini tumeacha

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980910 ай бұрын

    Namwona YUDA ESKARIOTA ZITO YUPO HAPO MNAFIKI SN

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76867 ай бұрын

    Katiba mpya jamaani msikose kuiongelea kwa makini ? na tuipate kabla ya uchaguzi. ili tuende ngazi nyingine.

  • @AmonMwakipesile-ub8rg
    @AmonMwakipesile-ub8rg10 ай бұрын

    Ni kweĺi kaɓisa ķuhusu katiba wanataka kituburuza wana wanchi hata sijawahi kuiona

  • @nuruabdallah809
    @nuruabdallah80910 ай бұрын

    Mheshimiwa Rais hakika ulistahili kuwepo hapo hakuna mkamilifu duniani isipokuwa mwenyezimungu peke yake hekima, busara na upendo ulionao vinaendelea kukupa thamani kwetu sisi wazalendo. Amani ya nchi yetu ni kitu kikubwa zaidi, wachache waskilizwe kama ulivyo sema ila kwenye swala la kutuvurugia amani yetu tunaomba uwe mkali na tunaomba viongozi wa vyma vya siasa wanavyo endelea kujadili walichukuwe hili na waliekee mapendekezo kwamba uhuru wa kufanya mikutano si uhuru wa kuvuruga amani yetu kuna makundi makubwa yasio na hatia yeyote kama wazee, wanawake, watoto na wenye ulemavu watakimbilia wapi kama amani ita toweka. Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano utumiwe vyema na sio kuchochea vijana wafanye vurugu kwa masilahi ya watu wachache, tena sio waadilifu wenye uchu mkubwa wa madaraka!!!!🇹🇿

  • @msabahaali758
    @msabahaali75810 ай бұрын

    mama jibu hoja za wapinzani katiba ni jambo muhimu sana katiba ndio uliokuwa urais mama

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    Kwani yeye mjinga? Anajua anachofanya, katiba mpaka uchaguzi upite, achaguliwe, akiondoka ndo ajaye analo hilo.......😂

  • @yahayagimbu4216

    @yahayagimbu4216

    10 ай бұрын

    Tunataka elimu kwanza katiba sio ya wapinza wlewa ww.

  • @OmegaNelson-ho1no
    @OmegaNelson-ho1no10 ай бұрын

    Wanaokusapoti kuwa uko sawa ni wale waliofungwa kifikra tu yaan skupendiiii wew mama 😢😢

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    He jamani Kwa nini tena??

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Basi yeye anakupenda ndio maana anatafuta kila njia ya kukufanya uishi vizuri ndani ya nchi yako. Malaya weee

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    @@user-ki4sg8yz9j Nani anaishi vzr zaidi ya wao viongozi na watu wao WA karibu Afrika?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa615910 ай бұрын

    Mama usiuze bandari zetu uchaguzi. Uwe huru msitutawale kwa lazima tumechoka

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    Anajifanya haelewi 😂

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    10 ай бұрын

    Nenda kwenu. Mwambie Lissu ukuchukue Ulaya

  • @wahidsalum-jy6mf
    @wahidsalum-jy6mf10 ай бұрын

    Nauwanja wa mapema kuonesha mipia usiku ulianza znz wka 74 unaitwa aman sd

  • @popperkuch669
    @popperkuch66910 ай бұрын

    Mama Leo umenikosha sana mungu aendelee kukutunza

  • @kanoa645

    @kanoa645

    10 ай бұрын

    Naam

  • @kanoa645

    @kanoa645

    10 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @hanifa9153

    @hanifa9153

    10 ай бұрын

    Mama etu ni hyu 2 ndo kusema nina Imani kubwa sana na hyu mama mungu amtunze❤

  • @KuntukumuSadam

    @KuntukumuSadam

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @danielshauri6390
    @danielshauri639010 ай бұрын

    Umeongea kwa hekima sana mama. NDIO MAANA MAGU ALIWAPIGA MARUFUKU HAWA WAJINGA KUFANYA SIASA KWENYE MAENDELEO

  • @KanyuKa

    @KanyuKa

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @sadamkuntukumu3672

    @sadamkuntukumu3672

    8 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @hamzakimbe967
    @hamzakimbe96710 ай бұрын

    Sisi wanainchi wa kawaida tutahusika Vipi na utoaji maoni kuhusu katiba mpya?

  • @musamusa6213
    @musamusa621310 ай бұрын

    Usifiche fiche sema bandari inakodishwa kwa miaka mingapi hapo wa tanzani wa chini hatujui

  • @mobilespecialschool4216

    @mobilespecialschool4216

    10 ай бұрын

    We hujielewi unacheza ngoma ya wakatoliki

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    10 ай бұрын

    NDIO WALE MPUNGA UMEISHA BANDARINI 🤪🤪🤪🤪🤪

  • @OmegaNelson-ho1no

    @OmegaNelson-ho1no

    10 ай бұрын

    ​@@mobilespecialschool4216wew chawa umelogwa nanani? Umeona tunasungumzia dini hapa?

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    ​@@mobilespecialschool4216achana na wakatoriki! Hata Magu walikuwa wanamsema akifanya mabaya. Wakizidiwa hiyo serikali yao ndo inakuja majukwaani na kuwaomba watu WA dini wawasaidie ili nchi iende Sawa. Aseme mkataba huo Una ukomo WA miaka mingapi? Hilo ndo wakatoriki walisema hapo tatizo liko wapi.

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo187510 ай бұрын

    Wanaotukana kamata wapewe adabu, usibembeleze wanazidi kuharibika piga, usiwanyime mpigo ili waondokewe ujinga

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76867 ай бұрын

    MCHAKATO ULISHAPITA MAMAA, MULIZE WARYOBA ATAKUPA MPAKA TAREHE ILIYOANZISHWA MCHAKATO . BALI MNATAKA KUTUBURUZA KWA FAIDA ZENU TUU.

  • @hubman6780
    @hubman678010 ай бұрын

    Mama ulisema anaetukana usimjibu we kama muache atajajikuta anajitukana mwenyewe.Sasa umegeuka tena huwezi vumilia Kwa ni nini.Naomba nitoe ushauri Kwa naamini washauri wako wamekuwa wengi.Fanya mihadhara kule Loliondo sikiliza kero zao.Ile style ya mtangulizi wako

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    Kashawapa waarabu na hajari lolote!

  • @user-mi8mb2hi2m
    @user-mi8mb2hi2m10 ай бұрын

    Tudumishe Amani ili nyie muendelee kula kwa amani.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    10 ай бұрын

    Ndo maana yake!!! Ukiwapa upinzani wanakimbilia amani huku wao wakiendelea kula nchi. Wajinga ndo waliwao 😭😭

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu10 ай бұрын

    Mmeruhusu kama Nani? KATIBA NDIO INAYORUHUSU. Pumbavu Tu.

  • @kwisa4899
    @kwisa489910 ай бұрын

    kama vile unamanisha

  • @user-dv9pq5sh7j
    @user-dv9pq5sh7j9 ай бұрын

    Tunataka katiba

  • @godylyimo7471
    @godylyimo747110 ай бұрын

    Damu ya wamasai itakurudia

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda449810 ай бұрын

    JPM alipokuwa hai pia mlikuwa mnampigia makofi eti JPM oyee. Leo hayupo mmebadilisha slogan na kuielekeza kwingine. Kweli unafiki ni ugonjwa mbaya kupita Ukoma.

  • @user-xn5cz6ym7u
    @user-xn5cz6ym7u10 ай бұрын

    Usituletee vita Anglia saana

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m9 ай бұрын

    Nyie mpambeni lakini idadi kubwa hawamkubali hasa wastafu kea dhulma yao mafao eti kikokotoo

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in10 ай бұрын

    Hapana mama usilie lie Ankoli Magufuli hakua mjinga kuzui mikutano alijua fika Hawa wendawazimu watamzingua...ndio maana wote walikimbia Sasa Mama yetu umewarudisha na upambane nao Sasa🤣🤣🤣🤣

  • @user-ym9rj6bw7o
    @user-ym9rj6bw7o10 ай бұрын

    Wewenimwamba

  • @paulombay6884
    @paulombay688410 ай бұрын

    Bc ondoa tamisemi uchaguzi,afu tuone kama hatujui vifungu vya katiba

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya32889 ай бұрын

    Wakikosoa mnawakamata

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666210 ай бұрын

    Ni lipi alilosema? Kutukana Lissu alitawadhwa kutukana watanganyika? Ili kuwafurahisha warabu hamtaweza hata mara moja mtajidai lakini walete waone watanganyika watakavyo wafanya hao warabu. Kamwe hawatuweka mateka tena. Wala watumwa wa hao maboss wenu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980910 ай бұрын

    Nyie watawala ndo wakwanza kuivuruga amani ya nchi yetu TAFADHALI SN hatutaki mkataba wa bandari na tunataka wamasai waishi kwenye nchi yao hatutaki mkataba wa bandari elewa Hilo acha maneno mengi mno

  • @mobilespecialschool4216

    @mobilespecialschool4216

    10 ай бұрын

    Hili kamwambie babu yako mkatoliki we😢

  • @bakarially253

    @bakarially253

    10 ай бұрын

    JARIBU KUWA MTU WA REASON NA KULETA UTATUZI USIKALILISHWE MATANGO POLI@@mobilespecialschool4216

  • @msabahaali758

    @msabahaali758

    10 ай бұрын

    uko sahihi kabisa

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo10 ай бұрын

    Unaongea kwa tafakur kubwa maneno yenye mashiko hukurupuki .

  • @YahyaAbbas-kb3mj

    @YahyaAbbas-kb3mj

    10 ай бұрын

    hata twiga Haiti maeneo anayo ishi simba akipita kwabahatimbaya......

  • @dostovan5142
    @dostovan514210 ай бұрын

    Duh, what is this we are listening too?raisi na mipasho wapi na wapi? Bora ni miskize hadija kopa

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert29609 ай бұрын

    Ng'ombe??

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын

    Mama yetu anabusara kubwa sana,hao watu anaoongea matusi kwenye majukwaaa,hao ni kama mchicha wajalalani haufau hata kidogo japo mara nyingi hustawi sana

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin183910 ай бұрын

    The excellence President Mama, alisha semaga mapema macho yangu yamelegea lakini yanaona.

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma10 ай бұрын

    Hutuba hovyo na yakipumbavu

  • @user-dv9pq5sh7j
    @user-dv9pq5sh7j9 ай бұрын

    Tuachie bandari umeme umekuwa Ka kipindi chakikwete

  • @samoramussa5336
    @samoramussa533610 ай бұрын

    Kweli Tanzania watu wengi nihewa mihemko inawatesa sana, hivi unasapotije rais anasema, watu hawna lakusema eti wanaongea bandari na kusema katiba hivi vitu nividogo kweli? mbona mwisho wamkataba husemi, yani Mihemko ya udini nayaona sana, Mimi najiulizaga sana hivi Tanzania niyetu sote kweli? Walio iba mabilioni ya ndege mpka ukatukana hadharani kua nitakataka je sheria ipo chini yao au juu yao, Naona uoga tu sio maadili hapa wezi lipoti ya cag wanapeta tu, huku ripoti mafaili yanauzea kwenye makabati, ninachoona nchii hii kinywa kinanena moyo unajikunja.

  • @gessanabuu2099

    @gessanabuu2099

    10 ай бұрын

    Kwakua ww ni miongoni mwao ndomana.

  • @samoramussa5336

    @samoramussa5336

    10 ай бұрын

    @@gessanabuu2099 Simo mimi ndomana nashangaa mtu kusapoti kitu asichokijua, rais mwenyewe ameongea point kuhusu katiba huwezi pinga kitu bila kukijua, hua asili yangu sina mhemko wajambo ukikosea nitakusema ukipatia nakupongeza sana, ila usilazimishe kitu kibaya hata kama umepewa mamlaka nawananchi, ndomana hata wanasheria niliwapinga kwenda mahakamani, huyu mbinafisishaji amekaa akaona jambohili nisahihi kamtafuta mtu wake wakumbinafisishia mahakama haitaona kosa kwakua watu wamepatana.

  • @BenjaminZabron

    @BenjaminZabron

    10 ай бұрын

    Inawezekana kama hakuna ubabaishaji. Au ndiyo biashara ya maneno na posho.

  • @BenjaminZabron

    @BenjaminZabron

    10 ай бұрын

    Kama hayo maneno yatatekelezwa na kazi ifanyike yenye faida hapo sawa. Isiwe hayo maneno ni mtego.

  • @BenjaminZabron

    @BenjaminZabron

    10 ай бұрын

    Pamba mama onyesha hali yako.

  • @user-ys1ge5no8f
    @user-ys1ge5no8f10 ай бұрын

    Mama tunaomba ingia kwenye point kashifa mtusi kejeri chanzo nn mbona unakwepa

  • @yahayagimbu4216

    @yahayagimbu4216

    10 ай бұрын

    chanzo ujalelewa vizur

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76867 ай бұрын

    SASA MSIPOVITOWA TUTAIONAJE?. HASA KWETU SISI TUSIO NA VYAMAA.

  • @user-ez6ko4mm5d
    @user-ez6ko4mm5d10 ай бұрын

    Mama oyeeeee

  • @faustinombilinyi9809

    @faustinombilinyi9809

    10 ай бұрын

    Jibu hoja za WATANZANIA sio maneno tuuu ambayo hayana mbele wala nyuma

  • @godylyimo7471
    @godylyimo747110 ай бұрын

    Kwenye kampeni yako utatueleza nn

Келесі