🔴
🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA ANAYEIMILIKI TANZANIA, NI YA KWETU WOTE"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 176
VERY INCOMPETRNT!
@dostovan5142
10 ай бұрын
Tulio soma cuba tumeelewa
Maneno ya hekima kubwa sana iliyojazwa na Mwenyezi Mungu, ubarikiwe sanaaaa mama.
Ungemjua Mungu Usingesingizia Watu Magaidi, Wahaini na Usingeua Wamasai Loliondo na Kuuza Bandari na Misitu.
Mama keep moving forward.
Tunamshukuru Mungu kutupa Rais makini Mungu azidi kukubariki
Mama etu tunakpenda we kua makini 2 sie wengine atuna neno kama ni kheri bac Allah s.w akuongoze fanya kazi
Mama ametunasihi wenye akili tumefaidika asante sana mama Mungu atuongoze sote katika Haki
Mama samia una kazi nzito sana hasa kuiongoza mijitu migumu kuelewa kama tundu lissu nakupa pole mama
Safi sana piga kazi mama tuko pamoja na ww
Usirudi nyuma mama twende mbele kwa kasi tutafika in sha Allah
Mama mungu akubariki sana
Message send and delivered for those who are unpatriotic and hiding behind the religious and racial image. Thumb up to you mama. Allah bless you
Shikamoo mama!!!
Na Maaskofu Wote wa Katoliki wote 37 Nao , Tibaijuka, Shivji etc Nao wamekuwa Kama Ng'ombe.
Mama una akili nyingi mno kila unachoongea point.mungu akulinde .
@user-fr7jj1bo7y
10 ай бұрын
Samia ni Rais wa ovyo anachojua ni mipasho tu CAG kasema shs karibu trilion 3 zimeibiwa mpk leo hakuna liyechukuliwa amebakia kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Safi Sana mama
Nice speach 🙏🙏🙏🙏🙏
MASHAALLAHU Khair, kumbe ww ni rais kweli. Ukiwa na Akili nyingi siku zote lazima ufaulu ktk mitihani migumu. Lakin hilo pia halijulikani isipokuwa Kwa wenye Akili vile vile.
Mama tunakuelewa mama yetu hawa wafata mkumbo tupo nao tunaishinao wala usitetereke nakubali kusimamia amani yetu kikamilifi na kuondoa upuuzi wa ajabu ajabu Tanzania kisiwa cha amani
Mama Tunakuombea kwa Mungu ubunifu wako ni Maendeleo yetu.
Usipate presha. Tunakuunga mkono tunawadharau hao kwa matusi yao. Mama atakayekutikana mpeleke mahakamani halafu akulipe. Hizo pesa wape watoto yatima.
Wewe Unakiuka Vitabu vya Dini KWA KUUA WAMASAI LOLIONDO. ACHA UTAPELI
Mm nakukubar tangia ukiwa makamu Rais umeongea fact sana mama umetoa nyongo
Mwacheni mama afanye kazi,, wengine subiilini nafasi yenu nanyi mkaitumie mnavyotaka iwe.
Mama mungu habariki❤❤❤❤
Sheria Inasema Polisi Hawatoi Vibali vya Mikutano sheria na Katiba Zinasema Kila Mbunge Lazima Achaguliwe, Why una Covid 19 na Why Una Waziri Mkuu ambaye hajachaguliwa. PUMBA TUPU
Duh Mama anachamba huyuuu😂😂😂😂😂😂
@victoriarwerengera4831
10 ай бұрын
Kumbe ! Ni akina nani walijiny......a?
@sadatirashidi3323
10 ай бұрын
Kweli
@RamazaniMulongeca
10 ай бұрын
@@victoriarwerengera4831 😂😂😂😂😂😂 simoooo
Ksma Umelelewa Kwa Dini , Dini yako Inakuambia Uue Wamasai
Hiyo ndiyo maana MAMA NI zaidi ya RAIS. Vilevile elewa hata ukibadilisha hawatakuwa na HEKIMA Kama kama ulivyo wewe.
Raisi umeongea vizuli sana kama mtu mgumu wa kuelewa huyo hana akili ajielewi
Uko.vizuri.bimkubwa.pambana.mpaka.kieleweke
Kumotoooooo🤣🤣🤣🤣Mama etu bhana
Heshima iwepo kwa viongozi
Kiukweli umeongea maneno ya hekima bnafsi nimekupenda buuu MUNGU akulindee
Hotuba Hii tutaikumbuka
Sasa wananchi wawaunge mkono wakati ulisema ambapo watarudisha kadi utamtimua mkuu wa wilaya🤔 au umesahau???😮
Mama huna baya shida washauli wako wengi ni mijizi magufuli alikua na kauri yeye anawataka masikini ww matajili mbona hawatusaidii zaidi ya kututesa vitu bei juu sana.
@MsAggie5
10 ай бұрын
Hujapata faili lake Tu! Nae jizi kweli, sikuamini nilipopata faili lake, mwanae WA kiume ndo mshika dau huoni alivyowaweka mijizi kina Kinana? Kazi ya wizi iendelee 😂😂😂.
Mwenye hekima huonywa na kuonyeka Kuna kitu kibaya kinakuja
@kwisa4899
10 ай бұрын
leo umehama tena
Mama wengine wamezeeka na utundu wao, watakusumbua, warioba alimbania wasira asigombee kwa miaka mitano
Ni kweli kisiasa serikali ikifanya vizuri siyo sababu ya kutosemwa, lakini isemwe si kwa kupinga lililosawa bali kwa kuonyesha kile kisichofanywa, Hicho lazima kitakuwepo kwani hakuna serikali iliyokwisha fanya yote. Huko ndiyo kukosoa kistaarabu. Vyama vijizuie kuhamasisha fujo na uasi wa raia kwa serikali yao.
Madam samia, leo umeongea maneno mazima kabisa, anaepinga ana lake moyoni ni kibaraka wa kutawaliwa akili yake
Yessssdssssssssss
Kama ktk myaka yote mmesahau kuwapa elimu wananchi juu ya sheria za nchi hilo ni kosa ndo maana watu wanatendewa bila kujua haki zao! 😮
Dependency itawafikisha pabaya. Uvivu wa kufikiri pia ni ugonjwa. Watu hawana input yoyote. Wanasubiri mtu mwingine afikiri kwa niaba yao wao wanashangilia tu. Mna shida gani?
Anaethubutu kumtukana Mama Samia. Ni sawa kamtukana Mama yake mzazi. Mjue hilo, sasa endeleeni kumtukana Mama samia na Mama zenu walowazaa.
Ila TANZANIA 🇹🇿 bhana 😅😅😅😅😅
Ondoa police ndo siasa isimame
Mama pig kazi
Vijana wa hovyo tumefikiwa from Twitter republic 😂🤣🙌
Kuna uhuru wa maoni lakini uhuru wa maoni una mipaka yake siyo tu kisheria hata kibinadamu kama ulizaliwa ukalelewa vyema ukapitishwa kwenye masomo tunayosoma lakini ukapitishwa kwenye masomo ya dini ukaielewa vizuri kuna mambo huwezi kuyafanya. Mh rais umeongea thabit
Mmekataza watoto wasipige mnge furuhusuni tupige bakora
Tafakuri ya Katiba My Ass Hili Jizi Linajua Katiba Ilyopo Inaruhusu huu Ushenzi. Tangu Lini Mnachrza Ngumi, wakati refferee ni Baba wa Mmoja wapo.
Yaani Ukifanya Upuuzi, Ukitaka Uchaguzi Ufanywe na Makada wa CCM. Kumbe Unajua hakuna Mmiliki wa Tanzwnia Mbona Unataka Kugawa Bandari na Loliondo na Misitu?
MAMA SAFARI HII ANDAA PESA YAMAANA KWNYE ULE MTINDO WA GOLI LA MAMA, MAANA WAMEMLETA MAXNZENGELI NA PACOME BASI MIGOLI MINGIMINGI, KUUSU BANDARI WE UZA TU
TV ya mwanzo afrika ilianza znz mwaka 74
Mama nalia na washauri wako...wanatuangusha...
Basi katiba ifundishwe toka shule ya msingi hadi chuo kikuu heheh
Kweli kabisa ulivolelewa utakua nayo kias na wazazi wamesahau kulea watoto na maaadili ya dini tumeacha
Namwona YUDA ESKARIOTA ZITO YUPO HAPO MNAFIKI SN
Katiba mpya jamaani msikose kuiongelea kwa makini ? na tuipate kabla ya uchaguzi. ili tuende ngazi nyingine.
Ni kweĺi kaɓisa ķuhusu katiba wanataka kituburuza wana wanchi hata sijawahi kuiona
Mheshimiwa Rais hakika ulistahili kuwepo hapo hakuna mkamilifu duniani isipokuwa mwenyezimungu peke yake hekima, busara na upendo ulionao vinaendelea kukupa thamani kwetu sisi wazalendo. Amani ya nchi yetu ni kitu kikubwa zaidi, wachache waskilizwe kama ulivyo sema ila kwenye swala la kutuvurugia amani yetu tunaomba uwe mkali na tunaomba viongozi wa vyma vya siasa wanavyo endelea kujadili walichukuwe hili na waliekee mapendekezo kwamba uhuru wa kufanya mikutano si uhuru wa kuvuruga amani yetu kuna makundi makubwa yasio na hatia yeyote kama wazee, wanawake, watoto na wenye ulemavu watakimbilia wapi kama amani ita toweka. Uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano utumiwe vyema na sio kuchochea vijana wafanye vurugu kwa masilahi ya watu wachache, tena sio waadilifu wenye uchu mkubwa wa madaraka!!!!🇹🇿
mama jibu hoja za wapinzani katiba ni jambo muhimu sana katiba ndio uliokuwa urais mama
@MsAggie5
10 ай бұрын
Kwani yeye mjinga? Anajua anachofanya, katiba mpaka uchaguzi upite, achaguliwe, akiondoka ndo ajaye analo hilo.......😂
@yahayagimbu4216
10 ай бұрын
Tunataka elimu kwanza katiba sio ya wapinza wlewa ww.
Wanaokusapoti kuwa uko sawa ni wale waliofungwa kifikra tu yaan skupendiiii wew mama 😢😢
@MsAggie5
10 ай бұрын
He jamani Kwa nini tena??
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Basi yeye anakupenda ndio maana anatafuta kila njia ya kukufanya uishi vizuri ndani ya nchi yako. Malaya weee
@MsAggie5
10 ай бұрын
@@user-ki4sg8yz9j Nani anaishi vzr zaidi ya wao viongozi na watu wao WA karibu Afrika?
Mama usiuze bandari zetu uchaguzi. Uwe huru msitutawale kwa lazima tumechoka
@MsAggie5
10 ай бұрын
Anajifanya haelewi 😂
@user-ki4sg8yz9j
10 ай бұрын
Nenda kwenu. Mwambie Lissu ukuchukue Ulaya
Nauwanja wa mapema kuonesha mipia usiku ulianza znz wka 74 unaitwa aman sd
Mama Leo umenikosha sana mungu aendelee kukutunza
@kanoa645
10 ай бұрын
Naam
@kanoa645
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@hanifa9153
10 ай бұрын
Mama etu ni hyu 2 ndo kusema nina Imani kubwa sana na hyu mama mungu amtunze❤
@KuntukumuSadam
9 ай бұрын
😂😂😂😂
Umeongea kwa hekima sana mama. NDIO MAANA MAGU ALIWAPIGA MARUFUKU HAWA WAJINGA KUFANYA SIASA KWENYE MAENDELEO
@KanyuKa
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@sadamkuntukumu3672
8 ай бұрын
😅😅😅😅
Sisi wanainchi wa kawaida tutahusika Vipi na utoaji maoni kuhusu katiba mpya?
Usifiche fiche sema bandari inakodishwa kwa miaka mingapi hapo wa tanzani wa chini hatujui
@mobilespecialschool4216
10 ай бұрын
We hujielewi unacheza ngoma ya wakatoliki
@OmmyJames-xn7ji
10 ай бұрын
NDIO WALE MPUNGA UMEISHA BANDARINI 🤪🤪🤪🤪🤪
@OmegaNelson-ho1no
10 ай бұрын
@@mobilespecialschool4216wew chawa umelogwa nanani? Umeona tunasungumzia dini hapa?
@MsAggie5
10 ай бұрын
@@mobilespecialschool4216achana na wakatoriki! Hata Magu walikuwa wanamsema akifanya mabaya. Wakizidiwa hiyo serikali yao ndo inakuja majukwaani na kuwaomba watu WA dini wawasaidie ili nchi iende Sawa. Aseme mkataba huo Una ukomo WA miaka mingapi? Hilo ndo wakatoriki walisema hapo tatizo liko wapi.
Wanaotukana kamata wapewe adabu, usibembeleze wanazidi kuharibika piga, usiwanyime mpigo ili waondokewe ujinga
MCHAKATO ULISHAPITA MAMAA, MULIZE WARYOBA ATAKUPA MPAKA TAREHE ILIYOANZISHWA MCHAKATO . BALI MNATAKA KUTUBURUZA KWA FAIDA ZENU TUU.
Mama ulisema anaetukana usimjibu we kama muache atajajikuta anajitukana mwenyewe.Sasa umegeuka tena huwezi vumilia Kwa ni nini.Naomba nitoe ushauri Kwa naamini washauri wako wamekuwa wengi.Fanya mihadhara kule Loliondo sikiliza kero zao.Ile style ya mtangulizi wako
@MsAggie5
10 ай бұрын
Kashawapa waarabu na hajari lolote!
Tudumishe Amani ili nyie muendelee kula kwa amani.
@MsAggie5
10 ай бұрын
Ndo maana yake!!! Ukiwapa upinzani wanakimbilia amani huku wao wakiendelea kula nchi. Wajinga ndo waliwao 😭😭
Mmeruhusu kama Nani? KATIBA NDIO INAYORUHUSU. Pumbavu Tu.
kama vile unamanisha
Tunataka katiba
Damu ya wamasai itakurudia
JPM alipokuwa hai pia mlikuwa mnampigia makofi eti JPM oyee. Leo hayupo mmebadilisha slogan na kuielekeza kwingine. Kweli unafiki ni ugonjwa mbaya kupita Ukoma.
Usituletee vita Anglia saana
Nyie mpambeni lakini idadi kubwa hawamkubali hasa wastafu kea dhulma yao mafao eti kikokotoo
Hapana mama usilie lie Ankoli Magufuli hakua mjinga kuzui mikutano alijua fika Hawa wendawazimu watamzingua...ndio maana wote walikimbia Sasa Mama yetu umewarudisha na upambane nao Sasa🤣🤣🤣🤣
Wewenimwamba
Bc ondoa tamisemi uchaguzi,afu tuone kama hatujui vifungu vya katiba
Wakikosoa mnawakamata
Ni lipi alilosema? Kutukana Lissu alitawadhwa kutukana watanganyika? Ili kuwafurahisha warabu hamtaweza hata mara moja mtajidai lakini walete waone watanganyika watakavyo wafanya hao warabu. Kamwe hawatuweka mateka tena. Wala watumwa wa hao maboss wenu
Nyie watawala ndo wakwanza kuivuruga amani ya nchi yetu TAFADHALI SN hatutaki mkataba wa bandari na tunataka wamasai waishi kwenye nchi yao hatutaki mkataba wa bandari elewa Hilo acha maneno mengi mno
@mobilespecialschool4216
10 ай бұрын
Hili kamwambie babu yako mkatoliki we😢
@bakarially253
10 ай бұрын
JARIBU KUWA MTU WA REASON NA KULETA UTATUZI USIKALILISHWE MATANGO POLI@@mobilespecialschool4216
@msabahaali758
10 ай бұрын
uko sahihi kabisa
Unaongea kwa tafakur kubwa maneno yenye mashiko hukurupuki .
@YahyaAbbas-kb3mj
10 ай бұрын
hata twiga Haiti maeneo anayo ishi simba akipita kwabahatimbaya......
Duh, what is this we are listening too?raisi na mipasho wapi na wapi? Bora ni miskize hadija kopa
Ng'ombe??
Mama yetu anabusara kubwa sana,hao watu anaoongea matusi kwenye majukwaaa,hao ni kama mchicha wajalalani haufau hata kidogo japo mara nyingi hustawi sana
The excellence President Mama, alisha semaga mapema macho yangu yamelegea lakini yanaona.
Hutuba hovyo na yakipumbavu
Tuachie bandari umeme umekuwa Ka kipindi chakikwete
Kweli Tanzania watu wengi nihewa mihemko inawatesa sana, hivi unasapotije rais anasema, watu hawna lakusema eti wanaongea bandari na kusema katiba hivi vitu nividogo kweli? mbona mwisho wamkataba husemi, yani Mihemko ya udini nayaona sana, Mimi najiulizaga sana hivi Tanzania niyetu sote kweli? Walio iba mabilioni ya ndege mpka ukatukana hadharani kua nitakataka je sheria ipo chini yao au juu yao, Naona uoga tu sio maadili hapa wezi lipoti ya cag wanapeta tu, huku ripoti mafaili yanauzea kwenye makabati, ninachoona nchii hii kinywa kinanena moyo unajikunja.
@gessanabuu2099
10 ай бұрын
Kwakua ww ni miongoni mwao ndomana.
@samoramussa5336
10 ай бұрын
@@gessanabuu2099 Simo mimi ndomana nashangaa mtu kusapoti kitu asichokijua, rais mwenyewe ameongea point kuhusu katiba huwezi pinga kitu bila kukijua, hua asili yangu sina mhemko wajambo ukikosea nitakusema ukipatia nakupongeza sana, ila usilazimishe kitu kibaya hata kama umepewa mamlaka nawananchi, ndomana hata wanasheria niliwapinga kwenda mahakamani, huyu mbinafisishaji amekaa akaona jambohili nisahihi kamtafuta mtu wake wakumbinafisishia mahakama haitaona kosa kwakua watu wamepatana.
@BenjaminZabron
10 ай бұрын
Inawezekana kama hakuna ubabaishaji. Au ndiyo biashara ya maneno na posho.
@BenjaminZabron
10 ай бұрын
Kama hayo maneno yatatekelezwa na kazi ifanyike yenye faida hapo sawa. Isiwe hayo maneno ni mtego.
@BenjaminZabron
10 ай бұрын
Pamba mama onyesha hali yako.
Mama tunaomba ingia kwenye point kashifa mtusi kejeri chanzo nn mbona unakwepa
@yahayagimbu4216
10 ай бұрын
chanzo ujalelewa vizur
😂😂😂😂😂
SASA MSIPOVITOWA TUTAIONAJE?. HASA KWETU SISI TUSIO NA VYAMAA.
Mama oyeeeee
@faustinombilinyi9809
10 ай бұрын
Jibu hoja za WATANZANIA sio maneno tuuu ambayo hayana mbele wala nyuma
Kwenye kampeni yako utatueleza nn