RAIS SAMIA AMSIMAMISHA MWANAYE ABDUL AKIHUTUBIA INDIA - ''HUYO NI WA PILI, KUNA KAKA NA DADA YAKE''

RAIS SAMIA AMSIMAMISHA MWANAYE ABDUL AKIHUTUBIA INDIA - ''HUYO NI WA PILI, KUNA KAKA NA DADA YAKE''
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 66

  • @globaltv_online
    @globaltv_online9 ай бұрын

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @saidalisuleiman3731
    @saidalisuleiman37319 ай бұрын

    Safi sana mama Samia tunakukubali kwakweli uko vizuri hongera sana

  • @gloriadaniel3827
    @gloriadaniel38279 ай бұрын

    Huyu mama anafaa Sana. Hayo mengine ya kibinadamu. Hana makuu, Baya.

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47659 ай бұрын

    Safi sana Mama Samia

  • @ml-elisante-kwayayavijanai6570
    @ml-elisante-kwayayavijanai65709 ай бұрын

    Mungu irehem Tanzania yetu

  • @user-wu1qj6nk1y
    @user-wu1qj6nk1y9 ай бұрын

    Acheni kecheli kwa Mh Rais, kwann Kiingereza ni nn? Lugha sio issue chamsingi utendaji na Maendeleo. Km we wajiona fundi wa Kiingereza sasa una hadhi gani.

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji9 ай бұрын

    NICE ❤❤

  • @martineshija2712
    @martineshija27129 ай бұрын

    Kumbe Doct Slaa alikuwa anaongea ukweli da aisee

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K9 ай бұрын

    Mashallah mama uko vizuri sana wengine watasema tu ila kila rais anakuja na utaratibu wake ila nakuamini mungu atakulinda mama na hawa waropokaji hawakosi la kusema jamani ,

  • @beastforever734

    @beastforever734

    9 ай бұрын

    Utaratibu wa kukata umeme

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    9 ай бұрын

    Umeme ni hata nchi za zinazoendelea hukutana na ukame kwa hiyo kama wakati wa magu hatukuwa na ukame kwahiyo sisemi kuwa ndiyo hayupo vizuri na umeme atarekebisha tu tena kabla ya muda aliyopanga na mama ni mama na namini atatuwekea mambo sawa mpaka mwezi ujao ,maana mvua ni amri ya mungu siyo binadamu anapanga ila kashaanza njia mbadala wa kuzalisba umeme ataweka sawa tu

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    9 ай бұрын

    Nchi zipi zinazoendelea umeme hukatika ?ebu naomba mfano mmoja wapo tafadhali

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    9 ай бұрын

    Miaka yote tatizo ni hilo tu ukame inamaana ni Tanzania tu mpaka masika ndio umeme uwepo ndugu yangu acha kujiwekea upofu wa kutetea hata visivyostahili kutetewa .Hivi unajua kuna nchi hazina vyanzo vingi vya maji kama Tanzania na hawana mgao wa umeme wala maji ?.Tuache mapenzi ya upofu wameshindwa kuongoza kila mahali ni wizi mafisadi nchi inadidimia .Walioajiriwa hawana uchungu na nchi juu anachota wakati anaona nae anachota wachini nae anaona anachota Taifa linaangamia kwa ulafi na hakuna wa kumkanya mwenzie maana kila mmoja anaona mwenzie anavyojichotea .

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72959 ай бұрын

    Dah!!

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c8 ай бұрын

    Mama mambo yote unayofanya safi ila kikokotoo kinakuaribia

  • @edwardmagori2281
    @edwardmagori22819 ай бұрын

    Mama kama mama

  • @dr.sendeuonlinetv2916
    @dr.sendeuonlinetv29169 ай бұрын

    Mama ❤❤❤❤

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38629 ай бұрын

    Safi dokta

  • @nassormohamed6520
    @nassormohamed65209 ай бұрын

    Wa kwetu wapo ........

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome16589 ай бұрын

    Mama maneno hayo usije kumeza ulimi bure

  • @leokamil6284
    @leokamil62849 ай бұрын

    Viongozi wa Dini flani wanapenda umwinyi wa familia nzima ziwe viongozi kama falme

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda92329 ай бұрын

    Kama Kiingereza ni shida kwa raisi wetu, kazi ipo kwa mikataba inayoingiwa na taifa.

  • @azizakitele9165

    @azizakitele9165

    9 ай бұрын

    Hoja dhaifu

  • @user-wu1qj6nk1y

    @user-wu1qj6nk1y

    9 ай бұрын

    Hizo shobo vp Wachina, Wajapan na Wakorea hawana shida na Kiingereza Ila Wanamaendeleo. Kuwa na Heshima kwa mkuu wa Nchi. Tanzania Kwanza

  • @mugishamajeba9628

    @mugishamajeba9628

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @giftphilip8357

    @giftphilip8357

    9 ай бұрын

    wewe n takataka mwenyewe neno la kiswahil tu hujui kuandika kiingereza ndo nini? boya wewe mawazo mgando muache rais wetu

  • @allymngwaya2831

    @allymngwaya2831

    9 ай бұрын

    Wapi umeona shida ya kiingereza kwake? Labda wewe ndo hujui kiingereza

  • @musaissa7463
    @musaissa74639 ай бұрын

    Unaenda nchi ya watu hupokelewi na mkuu wa inchi si aibu hiyo!!!!!

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    9 ай бұрын

    Sasa amepokelewa na mody kama siyo mkuu wa nchi ni nani ?na yeye mwanamke na kwa mila hata ya kitanzania mwanamke akija kwako hupokelewa na mwanake au mwanaume hata kama ni mgeni wa mwanauo wa kiume au amapokelewa na mwanaume kwanza ?kila nchi inafutata utaratibu wa mila na disturi ya nchi yao kwamba kama mwanamke kwanza hupokelewa na wanawake mpaka kwa mkuu wake kama ni mwanaume ,ila kama angekuwa mwamume au mwamke wa dini ambayo ina ruhusiwa kupokelewa na mwanamume ingekuwa hivyo ila mama kwanza ni mwanamke pili ni mwislam ndiyo maana ikabidi amsubiri kwake ampoke kama ilivyopangwa na utaratibu wa sheria ya nchi na kuangalia dini na mila za nchi uendao dear siyo kila mdomo uwe unasema maneno bila kujua nchi hiyo ina sheria gani ?jamani kutokuwa na elimu kuna wakati kusumbua watu ubongo nchi hii Kila kitu ni kukosoa

  • @tinadaniel6919
    @tinadaniel69199 ай бұрын

    Abdul

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae22219 ай бұрын

    Pelekeni watoto english medium nyie hahahahaaaaaa

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis9 ай бұрын

    English is still problem to our beloved leaders.I fear about contracts they signed

  • @abi-onlinetv4181

    @abi-onlinetv4181

    9 ай бұрын

    Hata hivyo ni lugha yao. Sio yetu.

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    9 ай бұрын

    Nenda kamsaidie udisemee pembeni.ulikula wapi ujana wako mpaka sasa wawaona walioko madarakani.hawafai

  • @beastforever734

    @beastforever734

    9 ай бұрын

    Ongea kiswahili tu mbona rais wa china, Russia, saudia etc wanaongea lugha zao nn kinalazimisha sisi viongozi wetu kuongea English tatizo tunamitazamo ya kitumwa hii ndio tunaita asali ya utumwa

  • @mapinduzihasanitz4864

    @mapinduzihasanitz4864

    9 ай бұрын

    @@beastforever734 😂😂 Sio asali ni athari

  • @ediminkatto5652
    @ediminkatto56529 ай бұрын

    Abudul ameenda huko kama kiongozi au ????

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    9 ай бұрын

    Dada ni kiongozi Shemeji ni kiongozi na yeye pia mda si mrefu atatawazwa 😢

  • @edesaron9070
    @edesaron90709 ай бұрын

    Duu

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed68729 ай бұрын

    Nahuyo mtoto.anasimama kiuoga

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    9 ай бұрын

    Slaa anaona mbali

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y9 ай бұрын

    Abdul ni mtu mzima anasafiri kama nani ? tunasikia anaingia mikataba nchi zingine je Abdul ana cheo gani ktk seriakali ? hatukuona watoto wa Magufuli wakienda nchi zingine na kuingia madili

  • @bashiromary6528

    @bashiromary6528

    9 ай бұрын

    Maswali mazuri sana haya, ambayo majibu yake kwa Umma ni yana umuhimu mkubwa sana.

  • @godlistenmnkeni2454

    @godlistenmnkeni2454

    9 ай бұрын

    Rais yoyote anaruhusiwa kwenda safari na mtu mmoja, ambayo wengi huwa anamwalika mwenza wake, Samia akienda na mwanae shida iko wapi kwani?

  • @mussamussa9446

    @mussamussa9446

    9 ай бұрын

    We kama mzazi wako hajawahi kuwa kiongozi kaa kimya na uache husda na chuki binafsi

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    9 ай бұрын

    MAHRIMU.

  • @leskarmeikok8956

    @leskarmeikok8956

    9 ай бұрын

    Acha kijana ale matunda ya mama

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip34269 ай бұрын

    Huyu mama ni hatar iko sku mtaskia huyu abdul ni makamu wa raisi

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    9 ай бұрын

    Ndo hivo maake mwenye nacho huongezewa hata kama ni mshenzi

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    9 ай бұрын

    Hamna tatizo

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    9 ай бұрын

    Ata ungekua wewe raisi.ungetaka familia yako wapate nyadhifa mbalimbali

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    9 ай бұрын

    Tulikuwana na Mkapa Nyerere na wengineo hao hawakuwa na hizo tabia za kutoridhika

  • @beastforever734
    @beastforever7349 ай бұрын

    Sio tunashinda kutwa nzima giza wewe uko unazulula zulula alafu utasikia ameenda kuongea na wawekezaji na ajekuwekeza kwenye taifa lenye giza kila siku

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    9 ай бұрын

    Ajabu sana 😢nachosikia hapo ni kujisifia tu alikotoka yaani Mungu tunusuru tu

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11719 ай бұрын

    Kuntu

  • @Veni584
    @Veni5849 ай бұрын

    Mh!

Келесі