Mtanda ataka haki sakata la kutajwa kumkingia kifua Dk Nawanda
Siku moja baada ya Tumsime Ngemela kutoka hadharani akiziomba mamlaka za haki kumfikisha mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda akidai alimlawiti, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema anaviachia vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza tuhuma za yeye kuhusika kwenye sakata hilo.
Akizungumza jana na waandishi wa habari, Tumsime ambaye ni mwanafunzi wa chuo kimoja jijini Mwanza, amedai baada ya tukio la kulawitiwa lililotokea Juni 2, 2024 lililotokea kwenye gari dogo alilodai ni la Dk Nawanda, alitoa taarifa polisi.
Hata hivyo, amesema kiongozi mmoja mkoani Mwanza alimtaka kufuta kesi hiyo ili suala hilo limalizwe kifamilia.
Kufuatia madai hayo, Mtanda ameibuka leo Jumamosi Julai 6, 2024 kwenye hafla ya kutoa zawadi kwa wakaguzi na askari polisi waliofanya vizuri mwaka 2024, akidai amekuwa mvumilivu baada ya kusikia watu wakimsema vibaya mtandaoni.
Huku, akiitaja falsafa ya Rais ya 4R, Mtanda amesema kwa kuwa yeye ni mstahimilivu wa kisiasa hana haja ya kumjibu kila mtu, kwa kuwa anajua tayari vyombo vya usalama vinafanya kazi yake, huku akitaka viachwe vitimize wajibu wake bila kuingiliwa.
Пікірлер: 30
The poor girl is fighting hard to be understood and to get justice against super sirikali bullies! Mungu amsaidie!
R4 ziendelee kutawala maisha na tabia za wanasiasa awamu hii 6. Bila viongozi kuziishi R4 kwa vitemdo hamumtendei haki Mh Rais wa URT kipindi chake cha uongozi.
aliamua kum support mbakaji badala ya victim huyu ni wa ajabu sana lazima awajibike. alikuwa anamlazimisha mzazi afute kesi polisi iili kumuokoa mwana Lindi mwenzie
Alikuwa anamtetea mfiraji mwenzake viongozi wapenda mavi 😅hii nchi ni ze ikulu comedy inabidi afunguliwe kesi na atumbuliwe ukuu wa mkoa!
Mnafiki huyu kichefuchefu asitaje jina la Samia ni kutumbuliwa tu
Umevaa kanzu ya heshima kumbe ni majanga.Ngozi ngumu kweli,huoni kuwa unatakiwa kujiingiza kwenye matatizo? Kesi mbaya hiyo,muachie Yahaya. X mh..
Nilishasema mungu hamfichi mnafiki ukweli utajulikana tu yule binti ukimsikiluza na kumtazama vizuri muonekano wake anapolielezea hili jambo huwezi muelewa nikama yupo na ukweli na pia nikama anaongea mambo ya kutengenezwa lakini mimi nasema kwanini haya sasa? lipo jambo mungu anataka liwe wazi utawala huu unaojiita wa awamu ya sita
Usijiteteee,,,,,,
Kumbe uchaguzi una ongozwa na Maelekezo ya juu siyo katiba
Kwa maelezo ya mlalamikaji mtendwa akiwa na TLS inastaili huyo mheshimiwa akae pembeni atumbuliwe kabisa ili apishe ivyo vyombo anavyovitaja vifanye kazi yake vzr na Kwa vile Kasi hii ipo mahakamani nafikiri Mama mzazi anafatria ni swara la mda tu yoyote atakaye bainika kashirik Kwa njia yoyote hile achukuliwe atua... Dah viongizi umma jamani turudi na ss Kwa Mungu
Kazi ipo!!
Uchaguzi huru kwa sababu ni maelekezo ya Rais!!!!!. Hilo ni takwa la kikatiba, ni vile viongozi wamekuwa wanakanyaga katiba tu.
Kumbe wafiraji ni wanasiasa ila hii nchi
Mtoto huyu mjinga
Kumbe mhaya ipo kazi
Maerezo ya huyo mwanafunzi ya kutaka kurawitiwa ni yamchongo
Wana tetea ujinga hawa watu hakuna kesi apo
Kazi ipo kama alimpeleka ofceni kwake nikosa hilo
Mfiraji namba 2 samia timua hawa wanakutia aibu
ACHANA NAE HILO KAHABA ANATAFUTA CHAKA LA KUJIFICHIA TU
@jumakapilima7295
5 күн бұрын
Hata makahaba wanahaki zao,,,
Mzee usishbikie nawe pi yatakukuta
@user-tb8zb4rv6h
5 күн бұрын
Kwamaerezo yake anasema kwanza Alitalia kurawitiwa na mtanda je ilikuaje akaenda kwake tena?
Mtaka amekidhi vigezo vya kutumnuliwa
@machasofficialsite6221
5 күн бұрын
Unaelewa ulichoandika kwel au
@godymbanyi1878
Күн бұрын
Edit tafadhali! Usimhusishe huyo uliemuandika hapo
Hawa wanaojidai niwaislamu wanapenda kufira sana
Yaani huwezi kuamini. Jamaa yuko kwenye kanzu ya kiislamu utadhani ni mtu wa maana kumbe ni mfiraji!!;
@robertphilip385
5 күн бұрын
Haaa haaaa nakweli asee
@user-mf2ll7nz5g
5 күн бұрын
Huku ndo kunaitwa kukurupuka.Amekufira wewe? .Hata hujaelewa maudhui inamhusu nani