MBEGU YA KISASA YA MAPAPAI (MALKIA)

Video imedhamiria kuelezea juu ya mbegu ya kisasa ya mapapai aina ya Malkia, imeandaliwa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) idara ya Uhandisi, Extension Group 1. Lengo kuu ni kumsaidia mkulima kukuza kipato kupitia mavuno mengi na bora kutoka kwa mbegu ya kisasa ya Malkia.
NI MATUMAINI YETU VIDEO HII ITAKUSAIDIA NDUGU MTAZAMAJI KUKUZA UELEWA JUU YA KILIMO CHA PAPAPI KWA KUTUMIA MBEGU YA KISASA.
Kwa maelezo zaidi waweza wasiliana nasi kupitia:
Tel: 0713-053032, 0743-204005
Email: ghuda.dan@gmail.com

Пікірлер: 33

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga64716 жыл бұрын

    mbegu hii ni zuri ila nasikitika kuwa hamjui kuelekeza vizuri mtu akaelewa vizuri

  • @yakamathew1910
    @yakamathew19105 жыл бұрын

    Ni taaluma nzr sana, asanteni sana

  • @raselmadaha6831
    @raselmadaha68315 жыл бұрын

    Hongereni sana. Keep it up

  • @maryprincess4657
    @maryprincess46575 жыл бұрын

    Excellent brothers .....!!!keep it up

  • @joystanford8080
    @joystanford80806 жыл бұрын

    keep it up young bro

  • @emmanuelfrancis4209
    @emmanuelfrancis42095 жыл бұрын

    Hongera sana Brother

  • @johnmbelwa2709
    @johnmbelwa27094 жыл бұрын

    Maelekezo mazuri,

  • @josephinekinyaga4941
    @josephinekinyaga49415 жыл бұрын

    asante. sikujua lakini nimejifunza nimeelewa. MUNGU awabariki.

  • @nelsonsalim6583
    @nelsonsalim65836 жыл бұрын

    hello , naomba garama ya mbegu inayotosha 4 acres ( miche 1200 Kwa acre)..?

  • @joshuamahenge4607
    @joshuamahenge46076 жыл бұрын

    asanten san wataalam

  • @pantamtui1139
    @pantamtui11394 жыл бұрын

    Mtui

  • @VailethMmari-yo8el
    @VailethMmari-yo8el Жыл бұрын

    Napataje mbegu au miche

  • @jameskihonge6467
    @jameskihonge64676 жыл бұрын

    Hi..can you send me seeds in Kenya?

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c6 жыл бұрын

    saw yana kuwa kwa mda han sasa bon hamsemi

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi68166 жыл бұрын

    vizuri sana.. lakini ili msaidie watu wengi zaid munge acha mawasiliano yenu.

  • @j.temanyaesq.7716
    @j.temanyaesq.77166 жыл бұрын

    Hiyo mbegu ya Malkia inastawi katika udongo upi? Kiasi gani cha mbegu kinatosha kwa ekari 3. Bei yake je? Kuna ushauri wa kitaalamu mnaotoa kwa wakulima?

  • @milluabdul1072
    @milluabdul10726 жыл бұрын

    Mbegu za papai husaidia uzazi unafanyaje ?

  • @lutammasawa6075
    @lutammasawa60756 жыл бұрын

    Uwiano was samadi na udongo?2ukubwa wa shimo LA.kupanda.mpapai?

  • @johnmbelwa2709
    @johnmbelwa27094 жыл бұрын

    Wapi inaweza kupata kwa Dar es Salaam,na in being gani, Na pia hapi chuoni mnaziuza hizo mbegu kiasi ganina ngapi zinakuwemo ndani ya package?

  • @malavasu6039
    @malavasu60393 жыл бұрын

    nita pata wapi mbegu hiyo mwanza

  • @aniri298
    @aniri2986 жыл бұрын

    habali mpendwa izo mbegu tunapataje

  • @mossesanney3578

    @mossesanney3578

    6 жыл бұрын

    bayser mwami 0752972727 utazipata

  • @heusenkibiriti4495
    @heusenkibiriti44956 жыл бұрын

    Naomba kufahamu suala moja kama naweza kupata mbegu za papai? Kwakuwa shamba langu lipo Mkuranga, Pwani naona nitashindwa kusarisha miche hivyo kama itapata msaada wa kuotesha shambani kwangu itakuwa bora zaidi.

  • @Majengojr
    @Majengojr5 жыл бұрын

    Mikoani zinafika??

  • @selemanishanijumanne2373

    @selemanishanijumanne2373

    4 жыл бұрын

    Fukutwe Mkhwitaghwe Ndio zinafika, wasiliana na ‭0745 184 012 au 0753639961

  • @africadolimited6642
    @africadolimited66425 жыл бұрын

    Mbegu za kisasa za papai za hybrid tuwasiliane 0752972727 Tembelea tovuti yetu www.formalagro.blogspot.com

  • @chrysostomngonyani6456
    @chrysostomngonyani64566 жыл бұрын

    Mawasiliano yakupata mbegu twayapataje

  • @mossesanney3578

    @mossesanney3578

    6 жыл бұрын

    Chrysostom Ngonyani 0752972727 utazipata

  • @chrysostomngonyani6456

    @chrysostomngonyani6456

    6 жыл бұрын

    mosses anney shukrani kk

  • @chrysostomngonyani6456

    @chrysostomngonyani6456

    4 жыл бұрын

    Mnambegu za asili

  • @mossesanney3578
    @mossesanney35786 жыл бұрын

    kwa mbegu miche ya papai za kisasa kabisa tuwasiliane 0752972727

  • @joycemalongo9050

    @joycemalongo9050

    6 жыл бұрын

    mosses anney unapatikana wapi mm nipo Kibaha.