MBEGU YA KISASA YA MAPAPAI (MALKIA)
Video imedhamiria kuelezea juu ya mbegu ya kisasa ya mapapai aina ya Malkia, imeandaliwa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) idara ya Uhandisi, Extension Group 1. Lengo kuu ni kumsaidia mkulima kukuza kipato kupitia mavuno mengi na bora kutoka kwa mbegu ya kisasa ya Malkia.
NI MATUMAINI YETU VIDEO HII ITAKUSAIDIA NDUGU MTAZAMAJI KUKUZA UELEWA JUU YA KILIMO CHA PAPAPI KWA KUTUMIA MBEGU YA KISASA.
Kwa maelezo zaidi waweza wasiliana nasi kupitia:
Tel: 0713-053032, 0743-204005
Email: ghuda.dan@gmail.com
Пікірлер: 33
mbegu hii ni zuri ila nasikitika kuwa hamjui kuelekeza vizuri mtu akaelewa vizuri
Ni taaluma nzr sana, asanteni sana
Hongereni sana. Keep it up
Excellent brothers .....!!!keep it up
keep it up young bro
Hongera sana Brother
Maelekezo mazuri,
asante. sikujua lakini nimejifunza nimeelewa. MUNGU awabariki.
hello , naomba garama ya mbegu inayotosha 4 acres ( miche 1200 Kwa acre)..?
asanten san wataalam
Mtui
Napataje mbegu au miche
Hi..can you send me seeds in Kenya?
saw yana kuwa kwa mda han sasa bon hamsemi
vizuri sana.. lakini ili msaidie watu wengi zaid munge acha mawasiliano yenu.
Hiyo mbegu ya Malkia inastawi katika udongo upi? Kiasi gani cha mbegu kinatosha kwa ekari 3. Bei yake je? Kuna ushauri wa kitaalamu mnaotoa kwa wakulima?
Mbegu za papai husaidia uzazi unafanyaje ?
Uwiano was samadi na udongo?2ukubwa wa shimo LA.kupanda.mpapai?
Wapi inaweza kupata kwa Dar es Salaam,na in being gani, Na pia hapi chuoni mnaziuza hizo mbegu kiasi ganina ngapi zinakuwemo ndani ya package?
nita pata wapi mbegu hiyo mwanza
habali mpendwa izo mbegu tunapataje
@mossesanney3578
6 жыл бұрын
bayser mwami 0752972727 utazipata
Naomba kufahamu suala moja kama naweza kupata mbegu za papai? Kwakuwa shamba langu lipo Mkuranga, Pwani naona nitashindwa kusarisha miche hivyo kama itapata msaada wa kuotesha shambani kwangu itakuwa bora zaidi.
Mikoani zinafika??
@selemanishanijumanne2373
4 жыл бұрын
Fukutwe Mkhwitaghwe Ndio zinafika, wasiliana na 0745 184 012 au 0753639961
Mbegu za kisasa za papai za hybrid tuwasiliane 0752972727 Tembelea tovuti yetu www.formalagro.blogspot.com
Mawasiliano yakupata mbegu twayapataje
@mossesanney3578
6 жыл бұрын
Chrysostom Ngonyani 0752972727 utazipata
@chrysostomngonyani6456
6 жыл бұрын
mosses anney shukrani kk
@chrysostomngonyani6456
4 жыл бұрын
Mnambegu za asili
kwa mbegu miche ya papai za kisasa kabisa tuwasiliane 0752972727
@joycemalongo9050
6 жыл бұрын
mosses anney unapatikana wapi mm nipo Kibaha.