Rais mst. Jakaya Kikwete anavyotekeleza kwa vitendo 'Kilimo Kwanza' (MAKALA YA SHAMBANI - AZAM TWO)

Спорт

Rais mstaafu Jakaya Kikwete atekeleza kwa vitendo sera ya kilimo kwanza katika eneo la Kiwangwa Bagamoyo Mkoa wa Pwani kwa kulima Nanasi na Papai

Пікірлер: 32

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf4 ай бұрын

    Ongera raisi wangu

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda7416 жыл бұрын

    Ni nzuriii sana,,wengi wanatamani Sana Kuwa hivyo tatizo mtaji

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    6 жыл бұрын

    Jonas Kabonda umeonae,aliwekeza

  • @othmanikilaya6899
    @othmanikilaya68992 жыл бұрын

    Upo vzr San rais msitaafu

  • @inocentbaba7602
    @inocentbaba76025 жыл бұрын

    safi sana raising wetu waukweli maisha safi hata Mimi nimekuiga

  • @josephatkimbavala1988
    @josephatkimbavala19883 жыл бұрын

    Hongera sana mstafu wetu

  • @anzurunishaha1372
    @anzurunishaha13725 жыл бұрын

    Safi sana mzee baba jakaya nakukubali sana

  • @immamtaki6653
    @immamtaki66536 жыл бұрын

    Mzee uko vizuri.

  • @raziahhassan750
    @raziahhassan7506 жыл бұрын

    kilimo kwanza,inspires me than ever..lets fight Watanzania

  • @africanhappyadventure6951

    @africanhappyadventure6951

    6 жыл бұрын

    raziah hassan ...Kilimo kwanza ilikuwa ya Maana sana sema tumeiweka kando tungekuwa na Akili Tungeshafika Mbali ila tukubali tukatae Viwanda bila kilimo ni sawa na Bure tuuu.. Mzee wee Piga Kazii

  • @peterbayo4677
    @peterbayo46776 жыл бұрын

    Kumbe!! Hongera sana Jakaya

  • @kulwajoseph1251
    @kulwajoseph12516 жыл бұрын

    hongera mh

  • @superangeltv4615
    @superangeltv46153 ай бұрын

    Kwann watu wanaujumu selekali wakati fursa ipo

  • @ntibashimadicksonyingo7908
    @ntibashimadicksonyingo7908 Жыл бұрын

    Jamaa alijimilikisha sana mashamba ya mananasi hapo Kiwangwa duuu

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi64842 ай бұрын

    Watu wana mapesa NABADO awaridhiki ww huna chochote alafu hutaki kujituma

  • @gm7045
    @gm70456 жыл бұрын

    Create juice factory jameni..

  • @fredwaa6330
    @fredwaa63306 жыл бұрын

    Mm najua hk 400 na co 200

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c6 жыл бұрын

    jama

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c6 жыл бұрын

    jaman mi hii kax naipeda san tupen no zenu tupate masomo

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde61296 жыл бұрын

    hakili ya kuambiwa changanya na ya kwako

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa8826 жыл бұрын

    Mzee umeamua jambo jema sisi unaoamini katika kilimo tunasema kilimo ndio uti wa mgongo wa dunia

  • @ksmally1985
    @ksmally19856 жыл бұрын

    Tunaomba mtaji mheshimiwa JK

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    6 жыл бұрын

    Kassim Ally pambana nahali yako nayeye anapambana nahali yake.hahahahahaha

  • @kolinsimahanga9845
    @kolinsimahanga98455 жыл бұрын

    bro ngamange

  • @flxgreen6346
    @flxgreen63466 жыл бұрын

    Kiwanda cha juice ya mananasi .

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    6 жыл бұрын

    flxgreen haaaaaaaaaaa

  • @deusstanslaus6925
    @deusstanslaus69256 жыл бұрын

    mzee nakupongeza kwa hilo

  • @awadhsaleh2354

    @awadhsaleh2354

    6 жыл бұрын

    big up mzee

  • @stanleymfikwa8237

    @stanleymfikwa8237

    6 жыл бұрын

    Hongera mheshimiwa tupo pamoja.

  • @vailethjohansen8873

    @vailethjohansen8873

    6 жыл бұрын

    deus stanslaus safi sana nimependa

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    6 жыл бұрын

    Stanley Mfikwa haaaaaaaa nimecheka kwasauti,mpo pamoja nawakati analima kwanguvu zake nakula mavuno na familia yake

  • @avax5717
    @avax57175 жыл бұрын

    mtaji alioweka hapo si mchezo, kwanza maji tu hapo ni mamilioni tayari. Sisi maskini tulie tu.

Келесі