Azam TV - Ufugaji wa kisasa wa samaki kwa kutimia tenki la maji

Huenda unapenda kufuga samaki, lakini unashindwa kwakuwa hakuna sehemu ya kutosha. Makala ya Shambani iliyoandaliwa na mwandishi wa Azam TV Jamaly Hashim, inatoa darasa la ufugaji huo wa kisasa.

Пікірлер: 14

  • @amosijacksoni
    @amosijacksoni Жыл бұрын

    Azamu ni the Best Duniani Unga,michezo,Elim tv

  • @danielmwakajila6878
    @danielmwakajila6878 Жыл бұрын

    Somo zuri sana. Mawasiliano na hao wataalamu yanapatikana vipi?

  • @leonardkigutu7716
    @leonardkigutu77165 жыл бұрын

    Mawasiliano ni muhimu, na je tunafanyaje hili kupata kuyatengeneza au mtengenezaji ni nani na anapatikana wapi!? kwa sababu umetuacha njia panda!

  • @thobiasmboje1506
    @thobiasmboje15064 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano me nipo mjin mfumo huo nimeupenda na ninauhitaji sana

  • @raykatsha2064
    @raykatsha20644 ай бұрын

    Nawapataje

  • @lameckluwanda3506
    @lameckluwanda35065 жыл бұрын

    We need contacts to get the experts.

  • @stellaakyoo1448
    @stellaakyoo14486 жыл бұрын

    jaman mawasiliano pls muhimu

  • @stellaakyoo1448
    @stellaakyoo14486 жыл бұрын

    fundi wa kutengeneza ayo mateki

  • @edsonteri4489
    @edsonteri44895 жыл бұрын

    Umeme umeme umeme umemeeeee eti umesema umeme unahitajika masaa 24 duh

  • @abdallahmatongo3169

    @abdallahmatongo3169

    5 жыл бұрын

    Edson Teri solar ni umeme pia. Ndugu usikatishwe tama na changamoto ya umeme.

  • @hamisihassan3070
    @hamisihassan30706 жыл бұрын

    Tatizo mawasiliano hamuweki

  • @matabac
    @matabac6 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano na mtaalam wa ufugaji wa samaki please

  • @abdulhamidabdulfarid3649

    @abdulhamidabdulfarid3649

    6 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano yao nahitaji kufuga samaki tafadhali

  • @annembau5078

    @annembau5078

    3 жыл бұрын

    Tupatie I nombari zenu za simu