KnowledgeTv by ESRF S02E09 - Ufugaji wa Samaki kwa Kutumia Matank
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@godfreymrosso20512 жыл бұрын
Mwandishi hayuko sawa ungemwacha aelezee mpka gharama
@ismaildjuma33433 жыл бұрын
Ongera sana naitaji namba ya sim ambaye nifundi wao nohuo mpya
@mathiaskulwa76863 жыл бұрын
Iko vzr
@fadhili22935 жыл бұрын
Maonesho mara nyingi hayalengi faida. ukiiga utajuta. hapa ndio tunasikia pesa ya serikali inatumika tu na wala hakuna faida.
@kisharkulaya45966 жыл бұрын
vepe kuhusu faida na soko
@aikaassery74346 жыл бұрын
kaka nahitaji tank moja nianze kufuga samak
@lesthermulagha20306 жыл бұрын
Naomba namba ya simu, kwa sababu napenda kufuga samaki niko Mbeya Mjini .
@abdufatuma94203 жыл бұрын
Nikihitaji elimu kwenu , nitaanzaje......na je ina malipo
@willykwilyam70626 жыл бұрын
nahitaji pomp
@rosentirurasanye29345 жыл бұрын
Naomba namba za simu za huyo afisa uvuvi tafadhali, Asante sana
@sultanishwari69266 жыл бұрын
Ngowi tv
@HermanMannytheNerd6 жыл бұрын
Gharama za kuanzia zikoje?
@alexjos76256 жыл бұрын
namba za simu za wahusika
@winfridasika91262 жыл бұрын
Uhalisia ukoje kuhusu soko na gharama za uzalishaji kuwen wakwel
@ahz6907
Жыл бұрын
soko lipo niwewe tu kujitangaza na kuzalisha samaki bora. labda hapo kwenye gharama ndo itakuwa ishu ila ukitumia wataalamu pengine gharama zitapungua na utazalisha kwa ubora mkubwa hivyo utauza kwa bei nzuri sokoni
@mamahustru6 жыл бұрын
mtangazaji ovyo kabisa. Swala muhimu kuliko yote la garama za sytem a uendeshaji hakuona umuhimu wa kuuliza. Wanahabari wa Tanzania kaazi kwelikweli.
@barakaleonard5994
4 жыл бұрын
Nmeangalia video nzima nikisubiri hayo maswali na mengne ya maana ambayo angeweza kuuliza, kama muda wa samaki kufikia uzito flani changamoto upatikanaj wa pum na vitu vingine na gharama sijaona, sijui lengo la hii video ni nini haswa...
Пікірлер: 19
Mwandishi hayuko sawa ungemwacha aelezee mpka gharama
Ongera sana naitaji namba ya sim ambaye nifundi wao nohuo mpya
Iko vzr
Maonesho mara nyingi hayalengi faida. ukiiga utajuta. hapa ndio tunasikia pesa ya serikali inatumika tu na wala hakuna faida.
vepe kuhusu faida na soko
kaka nahitaji tank moja nianze kufuga samak
Naomba namba ya simu, kwa sababu napenda kufuga samaki niko Mbeya Mjini .
Nikihitaji elimu kwenu , nitaanzaje......na je ina malipo
nahitaji pomp
Naomba namba za simu za huyo afisa uvuvi tafadhali, Asante sana
Ngowi tv
Gharama za kuanzia zikoje?
namba za simu za wahusika
Uhalisia ukoje kuhusu soko na gharama za uzalishaji kuwen wakwel
@ahz6907
Жыл бұрын
soko lipo niwewe tu kujitangaza na kuzalisha samaki bora. labda hapo kwenye gharama ndo itakuwa ishu ila ukitumia wataalamu pengine gharama zitapungua na utazalisha kwa ubora mkubwa hivyo utauza kwa bei nzuri sokoni
mtangazaji ovyo kabisa. Swala muhimu kuliko yote la garama za sytem a uendeshaji hakuona umuhimu wa kuuliza. Wanahabari wa Tanzania kaazi kwelikweli.
@barakaleonard5994
4 жыл бұрын
Nmeangalia video nzima nikisubiri hayo maswali na mengne ya maana ambayo angeweza kuuliza, kama muda wa samaki kufikia uzito flani changamoto upatikanaj wa pum na vitu vingine na gharama sijaona, sijui lengo la hii video ni nini haswa...
ù
@uwimanajohn3131
2 жыл бұрын
Ashanti nayitaji namba yako