KnowledgeTv by ESRF S02E09 - Ufugaji wa Samaki kwa Kutumia Matank

Пікірлер: 19

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso20512 жыл бұрын

    Mwandishi hayuko sawa ungemwacha aelezee mpka gharama

  • @ismaildjuma3343
    @ismaildjuma33433 жыл бұрын

    Ongera sana naitaji namba ya sim ambaye nifundi wao nohuo mpya

  • @mathiaskulwa7686
    @mathiaskulwa76863 жыл бұрын

    Iko vzr

  • @fadhili2293
    @fadhili22935 жыл бұрын

    Maonesho mara nyingi hayalengi faida. ukiiga utajuta. hapa ndio tunasikia pesa ya serikali inatumika tu na wala hakuna faida.

  • @kisharkulaya4596
    @kisharkulaya45966 жыл бұрын

    vepe kuhusu faida na soko

  • @aikaassery7434
    @aikaassery74346 жыл бұрын

    kaka nahitaji tank moja nianze kufuga samak

  • @lesthermulagha2030
    @lesthermulagha20306 жыл бұрын

    Naomba namba ya simu, kwa sababu napenda kufuga samaki niko Mbeya Mjini .

  • @abdufatuma9420
    @abdufatuma94203 жыл бұрын

    Nikihitaji elimu kwenu , nitaanzaje......na je ina malipo

  • @willykwilyam7062
    @willykwilyam70626 жыл бұрын

    nahitaji pomp

  • @rosentirurasanye2934
    @rosentirurasanye29345 жыл бұрын

    Naomba namba za simu za huyo afisa uvuvi tafadhali, Asante sana

  • @sultanishwari6926
    @sultanishwari69266 жыл бұрын

    Ngowi tv

  • @HermanMannytheNerd
    @HermanMannytheNerd6 жыл бұрын

    Gharama za kuanzia zikoje?

  • @alexjos7625
    @alexjos76256 жыл бұрын

    namba za simu za wahusika

  • @winfridasika9126
    @winfridasika91262 жыл бұрын

    Uhalisia ukoje kuhusu soko na gharama za uzalishaji kuwen wakwel

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    soko lipo niwewe tu kujitangaza na kuzalisha samaki bora. labda hapo kwenye gharama ndo itakuwa ishu ila ukitumia wataalamu pengine gharama zitapungua na utazalisha kwa ubora mkubwa hivyo utauza kwa bei nzuri sokoni

  • @mamahustru
    @mamahustru6 жыл бұрын

    mtangazaji ovyo kabisa. Swala muhimu kuliko yote la garama za sytem a uendeshaji hakuona umuhimu wa kuuliza. Wanahabari wa Tanzania kaazi kwelikweli.

  • @barakaleonard5994

    @barakaleonard5994

    4 жыл бұрын

    Nmeangalia video nzima nikisubiri hayo maswali na mengne ya maana ambayo angeweza kuuliza, kama muda wa samaki kufikia uzito flani changamoto upatikanaj wa pum na vitu vingine na gharama sijaona, sijui lengo la hii video ni nini haswa...

  • @harubuselemani9756
    @harubuselemani97565 жыл бұрын

    ù

  • @uwimanajohn3131

    @uwimanajohn3131

    2 жыл бұрын

    Ashanti nayitaji namba yako