UFUGAJI/FUGA SAMAKI KISASA TANZANIA- POSITIVE EYE CO. LTD
Kampuni ya Positive eye Co. Ltd ipo Arusha na inafanya kazi Tanzania nzima.
Hapa inakuletea ufugaji samaki kisasa kabisa,tunafuga kwenye mabwawa yakutengeneza kwa mabanzi, ufugaji usiolazimika kuchimba ardhi na kwa eneo dogo la 4m*2m utafuga hadi samaki 1000. Hata nyuma ya nyumba yako tu unaweza kuanza ufugaji samaki huu na kuongeza kipato chako maradufu. Tunafuga ndani ya greenhouse uvune mapema.
KARIBU UTUTEMBELEE KUJIONEA NA UFUGE.
MAWASILIANO:
Office: +255(0)745 122229
Whatsup/Mob: +255788198080
E-mail: positiveeye2010@gmail.com
Web: www.positiveeye.zohosites.com
Пікірлер: 43
Kwa mara ya kwanza Tanzania naona video inayoelimisha kwa kina na mapana kuhusiana na ufugaji wa samaki.. the rest are too shallow..big up brother!
@paulokilenga1116
2 жыл бұрын
Na mashaka
Kazi nzuri
kazi nzurii big uko arusha sehemu gan
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
arusha njiro nanenane 0745122229
you are doing very good work.
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
0745122229
Je mna branch ya positive eye kwa dar?
Hongera Sana Kaka
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
0745122229 karibu
Mnapatikana wapi, mawasiliano yenu
picha nzuri somo zuri lakini sauti ipo chini
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
How can I communicate with you?
Kazi nzurii sna brother
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
0745122229 karibu
Big up, this is a very good creativity. Can be aplied Same DC.
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Nipatie namba
Mbona mm cckii Saudi ni ndofo sana au cm yangu ndo ina tatizo?
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Namba mkuu nahitaji Mbegu..
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Samaki 1000 aina ya kambare wakubwa wanakula kilo ngapi kwa siku za chakula?
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Mnapatikana wapi?
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
Arusha, njiro ndani ya viwanja vya maonesho ya nanenane
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
Arusha njiro nanenane piga 0745122229
No.zetu haziko hewani muda mrefu kulikoni
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Nimependa ubunifu ila mbona kwenye ufugaji was sato kidogo kama kuna mzunguko mrefu kidogo naomba utupe maelezo kidogo ya kufuga sato kwa njia iyo
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080
Mtaalamu mnatumia gundi ya aina gani kuunganisha hilo karatasi la nailoni?
@PositiveeyeColtd
7 жыл бұрын
hilo Nailoni lipo complete hakuna tunapounga, but inapolazimu kwa mabwawa makubwa kuna mashine yake yakuuchomea ili kuunganisha
@saidpowa350
7 жыл бұрын
Ahsante. Ila ningependa kufahamu zaidi, hayo yaliounganishwa kabisa saizi kubwa kabisa ni ipi? Je hiyo mashine yakuunganisha mnayo? au inauzwaje? Lengo langu ni kujenga bwawa kubwa kwaajili ya kuhifadhi maji ya kumwagilia shambani.
@ezekielmwakalobo9341
6 жыл бұрын
chakula cha samaki nitapataje? 0755834211
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
wasiliana nasi kwa namba 0745122229
@happysonrithe4884
4 жыл бұрын
Ilo lakutengenezwa na linaweza kuhamixhika linagharama gan kiongoZ
numbers bro
@PositiveeyeColtd
6 жыл бұрын
0745122229
@lissamaterere5650
3 жыл бұрын
@@PositiveeyeColtd Kaka samaan mana naona saut ndgo so cjaweza kuckia vzr...kwa kutumia mabwawa ayo kunakuwa na mabomba ya kutolea maj machafu na kuingiza maj masafi au?
Naombaa nnipigiee naitaji mbegu 0787567510
@PositiveeyeColtd
4 жыл бұрын
Tuko Arusha , Njiro ndani ya viwanja vya nanenane piga 0745122229 au whatsup +255788198080