Jukwaa la Wakulima : Ufugaji Samaki Maji Baridi "Channel Ten"

Пікірлер: 9

  • @sammarley1413
    @sammarley14133 жыл бұрын

    Elimu ni nuru na ujinga nijiza. Huyu mtaalam nathael anaongea kitaalam kabisa nimependa sana. Watangazaj mjitahid sana kutizama nani mnaefanya nae mhadala. Mfano hayi ni huyu mtaalamu nathael Asanteni sana

  • @sakinaomary8874
    @sakinaomary88746 жыл бұрын

    Aloo nimejifunza kitu kwakweli ahsanteni sana

  • @allytimamiabubakar4208

    @allytimamiabubakar4208

    5 жыл бұрын

    Nimependa kipindi, mada(somo),mtangazaji,mfugaji,mtaalamu na maelezo yake ya kina yasiyo na choyo. Asante

  • @anithalobina4986
    @anithalobina49866 жыл бұрын

    Oyooooo Dr. Madalla

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын

    Namba naomba jamaniii

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo22654 жыл бұрын

    Shukrani kwa elimu

  • @stevenmwanganga8888
    @stevenmwanganga88884 жыл бұрын

    mradi ni mzuri pia ufugaji unalipa nimepata kitu kutoka kwa huyo mzee anayefuga

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын

    Nisaidien nawapataje?

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын

    Kwa utaalamu zaid