UFUGAJI WA SAMAKI NA MBEGU ZAKE

Jifunze namna ya kufuga samaki katika hatua zote kuanzia mayai ya samaki mpaka sokoni

Пікірлер: 27

  • @jabirnalicho6218
    @jabirnalicho62182 жыл бұрын

    Nashukuru kwa elimu nzuri sana

  • @user-so9nd6ei1w
    @user-so9nd6ei1w3 ай бұрын

    Naomba namba

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi27953 жыл бұрын

    Somo zuri Sana nimeshkuru

  • @danielminja2087
    @danielminja20873 жыл бұрын

    Ufugaji wa samaki

  • @abdulmurtaza4722
    @abdulmurtaza47224 жыл бұрын

    Nahitaji kuja kwenu kujifunza na kuelewa jisni ya kuanza naomba unisaidi naomba mawasilano yenu

  • @jonathankaombwe6191
    @jonathankaombwe61912 жыл бұрын

    Ni gharama zipi ambazo zinatozwa ktk kujifunza ufugaji wa samaki.

  • @florajames769
    @florajames7692 жыл бұрын

    Je naweza fuga kwenye maji ya chumvi?

  • @emilymaguga5870
    @emilymaguga58704 жыл бұрын

    Nningependa kufuga bwawa dogo tuu kwajili ya chakula naomba ushaur na namba zenu kwa ushauri

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2553 жыл бұрын

    Tunawasilianaje sisi watu wa kipsto cha chini nawezaje chimbakisima na kwa gharama kiasi

  • @emilianabenedict2892
    @emilianabenedict28922 жыл бұрын

    Mbengu napataje nakaa arusha

  • @leodavid5714
    @leodavid57146 жыл бұрын

    Thanks

  • @fredrickwanjala741
    @fredrickwanjala7413 жыл бұрын

    Je nina swali wenzangu iwapo nataka kufuga samaki kataki maeneo ambayo si mtoni ila bomani nitafanya nini

  • @goodluckkirango9820
    @goodluckkirango9820 Жыл бұрын

    naweza kupata namba zetu ilikupata vifaranga

  • @zhnnnsafisanamweshimiawata1312
    @zhnnnsafisanamweshimiawata13125 жыл бұрын

    nambayakonahitaji kuga samakkama firangaefutano nataka mbegu naushauri

  • @deesyjuma2510

    @deesyjuma2510

    3 жыл бұрын

    Mimi nataka vifaranfga vya sato

  • @imanimanda4254
    @imanimanda42545 жыл бұрын

    Mimi nimefuga natakakuchimba menginematatu nahitaji mtalam kutokakwenu

  • @fredrickwanjala741

    @fredrickwanjala741

    3 жыл бұрын

    Kwanza n mtoni au bomani inafaa tujue

  • @dougrasmapunda9217
    @dougrasmapunda92176 жыл бұрын

    Shida mtaji ni mkubwa sana ila watu tunapenda ufugaji sana

  • @billionstrillion350

    @billionstrillion350

    6 жыл бұрын

    Dougras Mapunda ukitaka kuwekeza usiwaze mtaji kwanza waza wazo lako lijenge vizuri kama elimu ya kufuga alafu mtaji badae

  • @joejose7608

    @joejose7608

    4 жыл бұрын

    Naitaji mbegu plz 0621975435

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh5733 жыл бұрын

    Wakulima wanaotaka kufuga samaki Dodoma watapataje vifaranga?

  • @dougrasmapunda9217
    @dougrasmapunda92176 жыл бұрын

    My no 0652721014 napenda kilimo na ufugaji cjui na anza wap