MBEGU ZA MITI

Jambe Seed, Wauzaji wa mbegu bora za miti

Пікірлер: 26

  • @NTE255
    @NTE2554 жыл бұрын

    Nashukuru sana kwa afya ya ubingo mnayotupa. Napenda kujua je Miti hii ya mbao inaweza kustawi vyema mkoa wa Morogoro Kilosa? Na kama inawezekana, je naweza kupata wapi miche ya mikaratusi mkoani Morogoro?

  • @absalommmartin2851
    @absalommmartin28515 жыл бұрын

    Asante kwa elimu bora kuhusu njia nzuri za upandaji miti pia na vitu vyakuzingatia kuhusu kilimo cha miti, je ile miti ya awali msimuliaji alikuwa akitueleza ya umri wa miaka mnne na hii ya mkulima ya miaka mitatu ni tofauti ningependa kujua

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    5 жыл бұрын

    wasiliana na namba zilizo oneshwa katika kipindi, utahudumiwa vizuri

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_4 жыл бұрын

    Inapendeza sana

  • @stewarddriver1242
    @stewarddriver1242 Жыл бұрын

    Naomba namba ya Steven mlimbila

  • @jimmyprotazi2063
    @jimmyprotazi20635 жыл бұрын

    Asante kwa kutupa elimu @kilimoBiashara naomba kuuliza mkoa wa kagera wilaya ya kyerwa Mbegu izo za mkaratuzi zinafaha naomba ushauli

  • @straitnews3441

    @straitnews3441

    5 жыл бұрын

    Jimmy Protazi VP babu na mm nipo kagera ninevutiwa na hii kitu especially kwa pines ila ardhi ya bei rahis ndo napata WAP huku

  • @protazipius6281

    @protazipius6281

    4 жыл бұрын

    @@straitnews3441 0755845130 nitafte Gideon kanje tuongee

  • @jessydevis9595
    @jessydevis95954 жыл бұрын

    Mpo wapi

  • @pierresaltary795
    @pierresaltary7952 жыл бұрын

    Naweza kupata mbegu ya miti na sio seedling

  • @pelezi84
    @pelezi845 жыл бұрын

    Asante sana kwa mafunzo mazuri, Naomba kuwashauri wadau pia wanaweza kupata elimu zaidi na kukutana na wataalamu kwenye Mitibiashara forum, forum.mitibiashara.or.tz/ Karibuni sana.

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    5 жыл бұрын

    wasiliana nao wataalamu kupitia namba zilizooneshwa katika kipindi

  • @straitnews3441
    @straitnews34415 жыл бұрын

    Hizo mbegu ndo tatizo tunazipataje

  • @gabigabrieliboniventula3462

    @gabigabrieliboniventula3462

    3 жыл бұрын

    Naulizia kilimo cha mitiki,je,inakubari mkowa wa tabora upande wa kusini,

  • @mohammedahmedsaeed7048
    @mohammedahmedsaeed70485 жыл бұрын

    Karibuni Nina mpango wa kununua shamba la Miti . Mbegu wa ekari itani kuwa bei gani na kiwango chake?

  • @mzeemzee1613

    @mzeemzee1613

    5 жыл бұрын

    unahitaji kununua wapi na miti ya aina gani

  • @eliminomtozi2602

    @eliminomtozi2602

    3 жыл бұрын

    0622520218

  • @desmondgideon7683
    @desmondgideon76835 жыл бұрын

    Ningependa kuwekeza katika biashara ya kulima miti na kununua mbegu kutoka kwenu, lakini nilikua na maswali ambayo ningependa kupata majibu, wapi naweza pata shamba nikalima miti? Na kwa kuanzia ni hekari ngapi zinafaa (najua inategemea na mtaji but roughly)?? Na mengi zaidi, sijui hizo namba za simu mlizo weka nikipiga zinaweza kunipa majibu? Asante

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    5 жыл бұрын

    Zinafanya kazi piga!

  • @noelntibakazi7577

    @noelntibakazi7577

    5 жыл бұрын

    niko Nyakanazi Biharamulo naomba aina ya miti inayofaa kwa udongo wetu

  • @avax5717
    @avax57175 жыл бұрын

    Hiyo miti haioti mkoa wa Pwani? Namaanisha maeneo ya Kibaha, vigwaza hivi

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    5 жыл бұрын

    hapana inahitaji eneo la barid na muinuko

  • @avax5717

    @avax5717

    5 жыл бұрын

    @@kilimobiashara9361 kwa hiyo huku pwani miti gani inafaa?

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    5 жыл бұрын

    Mitiki

  • @avax5717

    @avax5717

    5 жыл бұрын

    @@kilimobiashara9361 ooh asante sana

  • @eliminomtozi2602

    @eliminomtozi2602

    3 жыл бұрын

    @@kilimobiashara9361 Nnauzaa shamba la kalibea hekalii 50 7 years 0622520218

Келесі