www.kilimobiashara.co.tz
This is a television program broadcasted through Swahili language aimed to facilitate agricultural growth and reduce the unemployed population. It links youth and farmers to potential markets and aimed at tracking the value chain from the farmer to the final consumer of the specific crop and distribution. The program will cover all crops which are cultivated and livestock in all regions in Tanzania because most people are not aware of the positive impacts of some potential crops that could change their lives. Youth account more than 70% of the population in Tanzania.
Пікірлер
Naomba namba hili nipate ushari zaidi
Mtu akitaka kuwatembelea inaruhusiwa?
Naomba namba ya mtaalam wa kilimo wa mkongo
Uko wapi mkulima
Mpaka leo wanaleta kaka.
mm naitaji kujifunza
Bonjour, comment obtenir la graine pour la planter
Kahamia kwenye parachichi huyo
No zeni please
Asante Sana Lakini nahitaji mbegu nafanyaje
Nguzo inayotakiwa ni urefu wa futi ngapi
Uko vizuri sana dada
Tunaomba contract ili tufike kujifunza
Kwasasa vinapatikana wapi?
Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima
Naomba kuunganishwa na hili group jaman
Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo
Mko vizuri
Nahitaji kuanza kulima viruguu nianzie wapi? Na ni mbegu gani bora ya vitunguu
Naomba namba
Ok
Mbona mbegu hamsemi mlio tumio
Nitapata wapi mayai ya kienyeji
Nawezaje kupa bwana shamba
Greenhouse zinatengezezwaje mnaeza tusaidia namba?
Mbegu za njano na nyekundu wapi napata asee na zinaitwaje au kampuni gani?
Naombeni namba zenu
Naomba na mm mnielekeze
Good
Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!
mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman Izi documentary za maneno uwa hazivutii
Nimefurahi sana kwa elimu hii japo kidogo Napenda kujifunza zaidi juu ya kilimo hai, je napataje hayo majarida?
Nikitaka ngombe napataje
Mko wp nina shamba la mtiki natk niuze
wapi naweza pata mbegu hii
Asante kwa elimu na mimi naomba kufundishwa elimu hii ya kilimo hai
Pol temble kamali/kubet
Khams. Ntakupat wap
Naipend kaz hiy
Naomba namba zenuu
Gharama ya kulimia
kilima Cha mahindi
I want to know more information please.
Hekari moja inatoa kiasi gani cha maindi
naweza kupata namba zetu ilikupata vifaranga
simlete huku kilindi jamani
Soko la pilipili hoho za njano liko wap na likoje
Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau
Wow what a good project
Ahsanteni sana kwa kipindi kizuri inapendeza sana. Huyu Bwana Shukrani Biseko anapatikanaje?